Devastating droughts last year in the Horn of Africa and currently in Southern Africa, as well as cyclones and floods, have also increased the region's struggles.
Na Mwandishi wetu, Ngorongoro Kreta. Mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania katika nchi za Ujerumani, Ufaransa na Ubelgiji wamempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa juhudi...
Filamu ya “The Royal Tour ambayo Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ameshiriki akiwa mshiriki/mwongozaji mkuu imekua na mafanikio makubwa sana katika kutangaza vivutio...
Na Mwandishi wetu, Handeni. Wananchi waliohama kwa hiyari kutoka eneo la hifadhi ya Ngorongoro kwenda Kijiji cha Msomera wilayani Handeni mkoani Tanga wamemuomba mkuu wa mkoa huo mhe. Balozi Dkt.Batilda...
Mkutano wa Sita (6) wa Taasisi inayosimamia Ulinzi na Usalama wa Usafiri wa Anga Afrika Mashariki (CASSOA) unatarajia kufanyika kuanzia tarehe 15 hadi 16 Mei 2024 , katika Hoteli ya...
SIMIYU: Mkuu wa Wilaya ya Bariadi, Simon Simalenga ameipongeza kampuni ya Kilimanjaro one Travel and Tours kwa kuunga mkono kwa vitendo juhudi za serikali katika kukuza utalii wa kiutamaduni. Mkuu...
NA STANLEY NGOTHO SERIKALI kuu itajenga vyoo vya kisasa na sehemu za kupumzika katika mbuga ya wanyamapori ya Amboseli ili kukuza utalii katika kaunti ya Kajiado, asema Waziri wa Utalii...
NA SINDA MATIKO MIEZI mitatu baadaye, rapa Nazizi kwa mara ya kwanza amefunguka mazingira yaliyopelekea mwanawe kufariki huku akikana taarifa zilizosambaa. “Kuna bloga alianzisha uvumi kuhusu ajali ile pasi na...
DODOMA; Tanzania imepanga kuzindua filamu nyingine ya kutangaza vivutio vya utalii ili kuendelea kutangaza utalii wa Tanzania Bara na Zanzibar. Kauli hiyo imetolewa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa bungeni mjini...
NA STEPHEN MUNYIRI HOTELI tano za hadhi mjini Karatina, Kaunti ya Nyeri, zilifungwa Jumatano baada ya Rais William Ruto kuzuru kaunti hiyo na kusema serikali haitalegeza kamba katika kupambana na...