The Citizen General
TCCIA urges manufacturers to use AfCFTA to create wealth

The continental free trade bloc presents numerous opportunities that Tanzanians cannot afford to overlook.

14 hours ago


Taifa Leo General
Kamati ya mdahalo wa kitaifa kutumia Sh106m kutafuta namna ya kuiponya nchi

NA MOSES NYAMORI KAMATI ya Mazungumzo ya Kitaifa yenye wanachama 10 iliyoundwa na Rais William Ruto na kiongozi wa Upinzani Raila Odinga, itatumia Sh106 milioni kufanikisha mazungumzo hayo ya maridhiano. Bajeti iliyotayarishwa na sekretarieti na kupitishwa na Kamati ya Kitaifa ya Majadiliano inaonyesha kwamba sehemu kubwa ya mamilioni ya fedha imetengwa kwa ajili ya marupurupu

2 days ago


Taifa Leo General
Nyumba 80 zateketea Mukuru, wakazi 200 wakilazimika kuvumilia mvua, baridi kali

NA SAMMY KIMATU WATU zaidi ya 200 walivumia baridi kali usiku baada ya nyumba 80 kuteketea usiku wa kuamkia leo Ijumaa. Naibu kamishna kaunti ndogo ya Starehe Bw John Kisang amesema moto mkubwa ulitokea katika mtaa wa mabanda wa Mukuru-Hazina, South B mwendo wa saa nane za usiku. Mwathiriwa, Bw Nicholas Koyo,48, aliyekuwa na biashara

1 week ago


Taifa Leo General
Boda ‘fisi’ wa kubeba vipusa bure aacha kazi bei ya petroli ilipopanda

NA DENNIS SINYO MASABA, CHEPTAIS JOMBI aliyekuwa na mazoea ya kubeba vidosho bila kuwalipisha kwenye pikipiki yake, ameacha kazi hiyo baada ya petroli kupanda bei. Kulingana na mdokezi, jamaa alikuwa na mazoea ya kubeba akina dada bila malipo. Wenzake walimuonya tabia hiyo ingemletea hasara lakini aliwapuuza. Majuzi, jamaa aliamua kuacha biashara hiyo kwa kukosa pesa

1 week ago


Safaricom sued over M-Pesa trade secrets

Safaricom has asked the court to suspend hearing of the case, which is slated for October 31.

1 week ago


Milard Ayo General
Chelsea wamekusanya takriban dola milioni 500 msimu huu

Chelsea wamekusanya takriban dola milioni 500 katika uwekezaji mpya kutoka kwa kampuni ya Marekani ya Ares Management – lakini si kwa ajili ya matumizi katika soko la uhamisho. The Blues tayari wametumia takriban £1BILIONI tangu Todd Boehly na Clearlake Capital wachukue klabu hiyo ya Premier League mwaka 2022. Bado hawajaona kwamba uwekezaji mkubwa unalipa bado,

1 week ago


Milard Ayo General
Ushahidi unaonyesha kombora la Kiukreni lilisababisha mgomo wa soko-ripoti

Akaunti za mashahidi na uchanganuzi wa vipande vya video na silaha zinaonyesha kuwa kombora la Ukrain ambalo lilishindwa kulenga shabaha yake ndilo lililosababisha shambulio baya katika soko la Ukraine mnamo Septemba, gazeti la New York Times liliripoti Jumatatu. Shambulio la makombora katika soko la Kostiantynivka liliua takriban raia 16 na kuwajeruhi wengine zaidi ya 30

1 week ago


Taifa Leo General
Gharama ya maisha yasukuma wanafunzi wa vyuo vikuu kugeukia ukahaba

NA RICHARD MAOSI GHARAMA ya juu ya maisha imewasukuma baadhi ya wanafunzi wa vyuo vikuu na taasisi za elimu ya juu Nakuru kugeukia biashara ya ukahaba. Kufuatia uchunguzi wa Taifa Leo Dijitali, jijini Nairobi, Naivasha, Thika na Nakuru imebainika shughuli yenyewe inaendeshwa kwa siri kubwa nyakati za mchana na waziwazi ifikapo ifikapo usiku. Safari yetu

1 week ago


The Citizen General
Why intra-EAC trade never hits the roof

Low intra-EAC trade undermines the status of the Community which is seen as fully integrated regional economic community in Africa.

1 week ago


Dollar scarcity hurts business in EA region

Ease of doing business report points out financial challenges as barriers to trade in EAC.

1 week ago


Taifa Leo General
Tanzania yaambia raia waweke akiba nzuri ya mchele na mafuta sababu ya hali ngumu

Na HAMIDA SHARIFF Waziri wa Viwanda na Biashara nchini Tanzania, Dkt Ashatu Kijaji amesema kupanda kwa bei ya mchele na mafuta ya alizeti mwezi Septemba, kunatokana na mahitaji ya bidhaa hizo kubwa makubwa hivyo amewataka Watanzania kuweka akiba ya chakula. Dkt Kijaji anaamini kuwa akiba hiyo ya chakula itasaidia wananchi kuepuka kununua chakula hicho kwa

1 week ago


South Sudan president meets Uganda's Museveni

The two heads of state discussed trade, border security and conflicts in South Sudan.

2 weeks ago


Milard Ayo General
Mmiliki wa Everton, Farhad Moshiri athibitisha mkataba na kampuni ya 777

Kampuni ya uwekezaji ya Marekani ya 777 Partners imetia saini makubaliano na Farhad Moshiri ili kupata hisa zake kamili katika klabu ya Merseyside, ambayo inachangia asilimia 94.1 ya hisa za Klabu. Moshiri, mbia katika Everton tangu 2016 na mwenye hisa nyingi tangu 2018, alisema: “Asili ya umiliki na ufadhili wa vilabu vya juu vya kandanda

2 weeks ago


Taifa Leo General
Hatima ya Sheria ya Fedha ya 2023 kuamuliwa Novemba 24

NA RICHARD MUNGUTI HATIMA ya Sheria ya Fedha ya 2023 itajulikana baada ya siku 72 majaji watatu watakapoamua ikiwa itaharamishwa au la. Na wakati huo huo meneja mkurugenzi wa mamlaka ya kuthibiti bei za mafuta Daniel Kiptoo atahukumiwa kwa kukaidi agizo la mahakama na kuongeza bei ya mafuta ya petrol Julai 1, 2023. Majaji David

2 weeks ago


Milard Ayo General
Wafanyabiashara Wanahitaji Elimu umuhimu kusajili Brela

Licha ya Serikali kuendelea kuweka mazingira mazuri kwa wawekezaji na wafanyabiashara nchini, Bado kumetajwa uwepo wa changamoto ya baadhi ya sheria kukinzana kati ya Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) na taasisi za udhibiti zinazojishughulisha na usajili wa biashara na leseni za taasisi na kampuni mbalimbali. Akizungumza wakati wa kikao kazi kati ya

2 weeks ago


Taifa Leo General
Wasimamizi wa Bandari ya Lamu wasema biashara ya mifugo mataifa ya nje ingali imara

NA KALUME KAZUNGU BIASHARA ya mifugo mataifa ya nje kupitia Bandari ya Lamu (Lapsset) bado iko imara. Haya ni kwa mujibu wa maafisa wasimamizi wa Bandari ya Lamu waliopinga madai kuwa biashara hiyo imesambaratika miezi michache baada ya kuzinduliwa bandarini humo mwaka 2022. Biashara ya mifugo kutoka Kenya, kuelekea mataifa ya nje, hasa Oman, kupitia

2 weeks ago


Kenya shilling drum-up flops as local unit extends decline

The weakening of the local unit has been attributed to the emergence of a stronger dollar alongside the dip in Kenya’s official forex reserves.

2 weeks ago


Mtanzania General
Mji maarufu kwa vito Thailand waiomba Tanzania kufungua milango

*Wafanyabiashara wa Tanzania Wakaribishwa kushiriki Maonesho Mwezi Oktoba Chanthaburi-Thailand Serikali katika Mji Mkongwe na Maarufu kwenye shughuli na Biashara ya Madini ya Vito wa Chanthaburi nchini Thailand umeiomba Tanzania kuufungulia milango na kuimarisha ushirikiano kwenye uendelezaji wa Sekta Ndogo ya Madini ya Vito. Wito huo unafuatia ziara ya Ujumbe wa Tanzania katika mji huo Septemba

2 weeks ago


Milard Ayo General
Taasisi ya Kilimo hai kuzindua mkakati wa kilimo wenye kuhimiza umuhimu wa kutunza asili

Taasisi ya Kilimo hai nchini (TOAM) imepanga kuzindua mkakati wa kilimo hai wenye kuhimiza umuhimu wa kutunza asili Kwa ajili ya Afya naazingira Kwa ujumla. Aidha imeomba serikali kutenga sehemu ya Fedha Kwa ajili ya Kilimo hai hata katika miradi mbalimbali ya Kilimo inayoendelea nchini ukiwemo ule wa kuwezesha Vijana katika kilimo ( BBT). Mtendaji

2 weeks ago


Milard Ayo General
Kampuni ya Airpay yapata leseni ya BoT kutoa huduma za malipo kidigitali

Katika kuhakikisha watanzania waliopot visiwani Zanzibar na bara wanapata huduma za uhakika za malipo ya fedha kwa njia ya kidigitali, Kampuni ya Airpay Tanzania imetambuliwa na kupewa leseni na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kutoa huduma hiyo hapa nchini. Kwa mujibu wa Airpay yenye makao makuu yake nchini India na kwa Tanzania ofisi Kuu zikiwa

2 weeks ago


Taifa Leo General
Wakimbizi wanavyofaulu kuvuna donge jijini licha ya changamoto ya uraia

NA LABAAN SHABAAN Annociate Dusabe, 27, ni mmoja wa wakimbizi zaidi ya 80, 000 wanaosaka tonge na makao jijini Nairobi na safari yake ya miaka sita imekumbwa na pandashuka si haba. Hatua zake za maisha zinaakisi hali halisi ya wakimbizi wenzake wa mijini wanaozongwa na vizingiti vya kupata vibali vya biashara, huduma za afya na

2 weeks ago


Taifa Leo General
Huenda nyama ya pundamilia inauzwa madukani kupitia mlango wa nyuma

NA RICHARD MAOSI Visa vya kuwakamata na kuchinja pundamilia vimeanza kuripotiwa katika maeneo ya Gilgil na Naivasha, kwa sababu ya hali ngumu ya uchumi. Maeneo yanayoendesha biashara yenyewe ni North Lake, Kasarani, Longonot, Hells Gate na Marula ikizingatiwa hizi ni sehemu ambazo zinazungukwa na mbuga za wanyama na mashamba makubwa ya wawekezaji wa kibinafsi almaarufu ranches.

2 weeks ago


Milard Ayo General
Jeshi la Sudan lakanusha kuua raia 40 katika soko la Khartoum

Jeshi la Sudan (SAF) limekana kuhusika na mauaji ya raia 40 katika soko lililoko kusini mwa mji mkuu Khartoum. Kamati ya upinzani ya Khartoum Kusini jana ilisema katika taarifa kwamba raia 40 waliuawa katika shambulizi la anga la ndege za kivita za SAF kwenye soko katika eneo la Mayo, kusini mwa Khartoum. Kamati hiyo pia

2 weeks ago


The Citizen General
Tanzanian farmers reap big from online trading platform

Farmers have enhanced their productivity and products in response to the typical price increase.

3 weeks ago


Taifa Leo General
Wakenya wamponda Kuria kuweka ofa za supamaketi akisema gharama ya maisha imeshuka

NA RICHARD MAOSI WAKENYA wamempapura Waziri wa Biashara Moses Kuria, kwa kupiga picha ya ofa za supamaketi na kudai kwamba gharama ya maisha imeshuka. Huku baadhi wakitaka aombe msamaha, wameonyesha ghadhabu zao kwa kile wanachokidai kuwa waziri amevuka mipaka kwa kufanyia mzaha mzigo mzito wa maisha ambao umelemea wananchi. Kuria alipakia mtandaoni vibandiko vya kuashiria

3 weeks ago


Mtanzania General
Tanzania kuja na mwarobaini wa masoko ya mazao ya chakula

*Teknolojia nayo yatajwa Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amekiri kuwa ni kweli suala la masoko bado ni changamoto lakini katika tafiti walizofanya wamegundua kuna mambo mawili yenye utata na wanafanyia kazi. Hayo amezungumza leo Septemba 7, jijini Dar es Salaam Dk. Samia alipokuwa akijibu

3 weeks ago


Taifa Leo General
Hofu vibiriti ngoma watachukua waume msimu huu wa nyumbu kuhama

NA RICHARD MAOSI MAKAHABA wanaendelea kumwagika katika Kaunti ya Narok wakimezea mate hela za watalii na wageni, msimu huu wa uhamaji wa nyumbu wanawake wa familia zao wakiingiwa na hofu huenda vibiriti ngoma wakachukua waume wao. Biashara zimenoga, mikahawa imejaa na njia zinazoelekea au kutokea mbuga ya wanyama ya Maasai Mara hazipitiki. Makahaba wamepiga kambi Sekenani,

3 weeks ago


Taifa Leo General
Biashara ya utumbo wa samaki aina ya Sangara yanoga Homa Bay

Na GEORGE ODIWUOR Biashara ya utumbo wa sangara (Nile Perch) imevuma sana miongoni mwa wavuvi katika Ziwa Viktoria kuliko hata samaki wenyewe, kutokana na malipo mazuri yanayohusishwa nao. Wavuvi wamekuwa wakiwauzia wanunuzi utumbo huo kwa bei ya juu zaidi na mvuvi anaweza kujizolea zaidi ya Sh35,000 kwa kila kilo. Utumbo kwa kawaida hutolewa ndani ya

3 weeks ago


Kenya nationals to visit DRC visa free

The DRC says this could also offer an opportunity to increase trade with Kenya through which it imports goods to eastern regions of the country.

3 weeks ago


Taifa Leo General
Wakulima walia matapeli wawauzia mchanga na chokaa wakidai ni mbolea

NA RICHARD MAOSI BAADHI ya wakulima wa mahindi, mboga na matunda nchini wameungama kuuziwa mchanga wakidanganywa kwamba ni mbolea, tatizo kuu likiwa ni kuwaamini matapeli. Wauzaji hao huwa hawana ofisi na bidhaa zao huwa hazina nembo za kuonyesha ubora. Aidha imebainika mbolea zenyewe hupatikana kwenye soko la mlango wa nyuma na huchuuzwa kwa bei ya chini ili kuwavutia

3 weeks ago


Milard Ayo General
Wadukuzi wadaiwa kuiba mamia ya mamilioni ya pesa ili kufadhili mipango ya nyuklia

Wadukuzi wanaohusishwa na Korea Kaskazini inasemekana wameiba mamia ya mamilioni ya pesa ili kufadhili mipango ya serikali ya silaha za nyuklia, utafiti unaonyesha. Kufikia sasa mwaka huu, kuanzia Januari hadi Agosti 18, wadukuzi wanaohusishwa na Korea Kaskazini waliiba fedha za crypto zenye thamani ya dola milioni 200 – ikiwa ni zaidi ya 20% ya fedha

3 weeks ago


Taifa Leo General
Biashara ya nyama inachangia mazingira kuzorota, kongamano laambiwa

MARY WANGARI NA KNA KUNDI la watetezi wa Haki za Wanyama Duniani limetoa wito kwa mataifa ya Afrika kuangazia maslahi ya mifugo katika mdahalo unaoendelea wa Kongamano la Mabadiliko la Tabianchi Afrika 2023. Wakizungumza Jumatatu Septemba 4, 2023 jijini Nairobi, wanaharakati hao walihimiza kuanzishwa kwa mifumo mipya isiyo ya kikatili inayowezesha kustawisha sekta ya ufugaji.

3 weeks ago


Mtanzania General
Bashe: Puuzeni uzushi hakuna vanila inayouzwa milioni 1 kwa kilo

Na Esther Mnyika Mtanzania Digital Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe ametoa rai kwa wananchi kuwa na utaratibu wa kufuatilia bei ya mazao katika mitandao mbalimbali ya kimataifa ili kuepuka uzushi unaoweza kujitokeza kwenye baadhi ya bei za mazao. Hayo ameyasema September 3, 2023 jijini Dar es Salaam wakati wa mkutano wa wahariri ulioandaliwa na Mkurugenzi

3 weeks ago


Taifa Leo General
Mahindi: Wakulima Bonde la Ufa katika njiapanda

EVANS JAOLA na BARNABAS BII WAKULIMA wa mahindi ukanda mwa Bonde la Ufa wanakabiliwa na njiapanda kuhusu kuyauza mahindi yao kwa mawakala wanaotoa pesa za haraka au wasubiri serikali itangaze bei mpya ya kununua mazao hayo. Mawakala wamefurika katika masoko ambako mahindi huuzwa ukanda wa Kaskazini mwa Bonde la Ufa baada ya wakulima kuyavuna mahindi

3 weeks ago


Taifa Leo General
Tanzania yatesa soko la kitunguu kwa ‘kususia’ kilimo

NA MWANGI MUIRURI WAKULIMA, madalali na wachuuzi wa kitunguu nchini wanaendelea kuvuna pato la juu lililoongezeka hadi kwa asilimia 875 tangu Februari. Kilo moja ya aina ya kitunguu chekundu ilikuwa ikinunuliwa kwa Sh20 mwezi wa Februari lakini kwa sasa ni Sh195 katika maeneo mengi ya nchi. Wanapovuna vinono, ni kilio kwa watumizi bidhaa hiyo katika

3 weeks ago


The Citizen General
Fresh Tanzania's berries attract Israel buyers

It is an opportunity for Tanzanian farmers to profit from emerging trade prospects

4 weeks ago


Milard Ayo General
Usajili wa majina ya biashara,Brela waingia kazini nakufanya jambo hili

Wafanyabiashara wa kuuza mazao nje ya nchi kutoka mikoa ya kanda ya kaskazini wamefanya semina Jijini Arusha iliyoandaliwa na wakala wa usajili wa leseni na biashara Brela nakuwapatia mafunzo ya usajili wa majina ya biashara na kampuni ili kutekeleza miongozo na taratibu za biashara hiyo. Waziri wa viwanda na biashara Dkt. Ashatu Kijaji alielekeza BRELA

4 weeks ago


Milard Ayo General
Erdogan, Putin kukutana nchini Urusi kujadili mkataba wa nafaka Septemba 4

Rais wa Uturuki Tayyip Erdogan atakutana na mwenzake Vladimir Putin katika eneo la mapumziko la Urusi la Sochi Septemba 4 ili kujadili kimsingi mauzo ya nafaka ya Bahari Nyeusi, vyanzo viwili vya Uturuki viliiambia Reuters. Viongozi hao wawili watajadili anguko la vita vya Ukraine pamoja na makubaliano yaliyoruhusu mauzo ya nafaka ya Ukraine kupitia Bahari

4 weeks ago


Taifa Leo General
Wafanyabiashara waomba taa irekebishwe sokoni Kisekini

NA SAMMY KIMATU WAFANYABIASHARA katika kijiji cha Kisekini, kaunti ndogo ya Kathiani, Kaunti ya Machakos, wanakadiria hasara baada ya taa ya kituo cha kibiashara cha Kisekini kuharibika. Kutokana na hali hiyo, wafanyabiashara wanalazimika kufunga biashara kabla ya saa moja usiku. Akizungumza na Taifa Leo jana Jumatano, mhudumu wa duka, Bw Joseph Nzomo Kasema, alisema hawawezi

4 weeks ago


The Citizen General
Advancing the market development of clean cooking solutions

From logging to transport, millions of Tanzanians count on the continued usage and trade of traditional sources of energy such as charcoal for their daily bread.

4 weeks ago


The Citizen General
Is it time Africa took the Brics group of nations seriously?

With a combined 40 percent of the global population, 25 percent of the global GDP, 30 percent of global food production, and 20 percent of global trade, Brics boast considerable economic and political potential

4 weeks ago


Taifa Leo General
Brown Mauzo atangaza kutengana na Vera Sidika

NA MWANDISHI WETU MWANAMUZIKI Brown Mauzo ametangaza kuvunjika kwa uhusiano kati yake na soshiolaiti Vera Sidika. Kwenye ujumbe wake, Fredrick Mutinda almaarufu Brown Mauzo alisema kuwa walifikia uamuzi wa kutengana baada ya mazungumzo mengi ya kina na kuwaomba wafuasi wao kuwapa muda. Mauzo ambaye aliungama kuwa mahusiano yake na Vera yalileta watoto wawili, Asia Brown

4 weeks ago


Milard Ayo General
Callum Hudson-Odoi anakaribia kuondoka Chelsea.

Gwiji la uhamisho Fabrizio Romano anaripoti kuwa Nottingham Forest ‘inakaribia’ kupata dili la winga huyo. Mazungumzo na Chelsea yanaelekea katika hatua ya mwisho na uhamisho unaweza kukamilika hivi karibuni. Hudson-Odoi alitumia msimu uliopita kwa mkopo Bayer Leverkusen lakini hajajumuishwa kwenye kikosi cha Chelsea hadi sasa kampeni hii. Itakuwa sehemu ya pili ya biashara kati ya

4 weeks ago


Taifa Leo General
Uhaba wa meli wachelewesha Wakenya kubobea kwa maswala ya baharini

NA MAUREEN ONGALA MAMLAKA ya Bandari nchini (KPA) imeeleza kuwa Wakenya hawajajiendeleza kitaaluma jinsi inavyotakikana, kutokana na uhaba wa meli hapa nchini. Afisa wa mawasiliano wa KPA Bw Hajji Misemo, alisema kuwa licha ya hatua zilizopigwa kuimarisha mapato ya uchumi wa baharini, bado kuna changamoto hiyo ya uhaba wa meli, ambayo alisema inastahili kuchukuliwa kwa

1 month ago


EA trade deficit widens on cheaper exports, dearer imports

It is only in Kenya and Burundi where the international trade balances have adjusted to reflect the change in currency value over the last year.

1 month ago


Taifa Leo General
Raia wa Nigeria anayeshtakiwa kwa ‘washwash’ apewa masharti magumu ya dhamana

NA RICHARD MUNGUTI RAIA wa Nigeria anayeshtakiwa kumlaghai Mkenya Sh60.4 milioni katika biashara ya ‘washwash’ amepata afueni ya kuachiliwa kwa dhamana kwa vile ameoa Mkenya, huku mwenzake akinyimwa haki hiyo na kuagizwa asalie gerezani hadi kesi inayowakabili isikilizwe na kuamuliwa. Hata hivyo, Alo Ojo, ambaye mkewe na wazazi wake walifika kortini kuthibitisha ni mkwe wao,

1 month ago


Kenya banks book $100m forex gain from foreign units

Equity Group recorded the biggest currency gain at $43.51 million, compared to $4.4 million in June 2022.

1 month ago


Milard Ayo General
Kijani Bondi ya kwanza Tanzania, kubwa zaidi Kusini mwa Jangwa la Sahara, ‘itarahisisha upatikanaji wa fedha’

Ni Agosti 24, 2023 ambapo Benki yetu ya CRDB leo imekabidhiwa kibali cha kuuza Hatifungani ya Kijani “Kijani Bondi” ya miaka 5 yenye thamani ya dola za marekani Milioni 300 sawa na Shilingi Bilioni 780 na Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA). Kibali hicho cha kutoa hatifungani ya kijani kimekabidhiwa na Afisa Mtendaji

1 month ago


Milard Ayo General
Je! muungano wa BRICS utaweza kuondoa ufalme wa dola ya Marekani, kuleta utulivu duniani?

Muungano wa BRICS wa nchi zinazoongozwa na China na Urusi unataka kuinua dola ya Marekani na kwa hakika, balozi wa Afrika Kusini kwenye kundi hilo hangeweza kuwa wazi zaidi mwezi uliopita aliposema, “Siku za ulimwengu unaozingatia dola zimepita hiyo ni ukweli tuna mfumo wa biashara wa kimataifa wa pande nyingi leo.” Kwa miaka 80, dola

1 month ago


The Citizen General
Why startup owners fail to commercialise operations

The Investors Tradeshow 2023 was organised by Habari Hub a Mwananchi Communications Limited digital media innovation ecosystem

1 month ago


Peruzzi