Hong Kong- Uchina ilisema itapinga kwa uthabiti na moja kwa moja uuzaji wowote wa kulazimishwa wa TikTok, katika jibu lake la kwanza la moja kwa moja kwa madai ya utawala wa Biden kwamba wamiliki wa programu hiyo Wachina wauze sehemu yao ya kampuni au watapigwa marufuku katika soko lake muhimu zaidi. Maoni hayo yalikuja wakati
5 hours ago
Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mkoani Tanga, Jokate Mwegelo amewataka Wafanyabiashara Wilayani humo kutopandisha bei ya vyakula kipindi hiki cha Mwezi Mtukufu wa Ramadhan. DC Jokate ameyasema hayo leo akiwa Ofisini kwake baada ya kumaliza kikao na Uongozi wa Chemba ya Biashara, Viwanda na Kilimo Tanzania (TCCIA) Wilayani Korogwe leo March 23,2023. Jokate amesema kumekuwa
1 day ago
Na Beatrice Kaiza, Mtanzania Digital Benki ya CRDB imesaini mkataba wa makubaliano ya kuwawezesha wafanya biashara wanaoagiza mizigo kutoka nje ya nchi kupitia kampuni ya Silent Ocean, kuwawezesha kupata mzigo yao kwa wakati. Akizungumza na waandishi wa habari Machi 21, 2023 katika ukumbi wa Diamond Jubilee Kaimu Mkurugenzi wa Wateja Wadogo na Wakati wa Benki
2 days ago
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameipongeza Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) kwa kazi nzuri inayoifanya na kuiasa kuendelea kuwezesha programu ya vijana ya kilimo biashara ‘Building a Better Tomorrow’ BBT kwa kupatia washiriki wake zana na vitendea kazi vya kilimo kwa muda wa miaka mitatu mfululizo
3 days ago
NA SAMMY KIMATU SHUGHULI zimesimama siku nzima katikati mwa jiji huku Polisi wakiwa na mchezo wa paka na panya kuwatawanya waandamanaji. Maduka yamesalia yakiwa yamefungwa huku wafanyakazi wakionekana kukaa nje ya milango wakisubiri kuona ikiwa hali ingetulia ili waendelee na biashara lakini hilo halikuwezekana. Katika barabara ya Tom Mboya, Moi Avenue, Ronald Ngala, River Road,
4 days ago
NA KALUME KAZUNGU BIASHARA za hoteli na gesti zinazidi kuchipuka na kunoga eneo la Mokowe, Kaunti ya Lamu tangu kufunguliwa rasmi kwa shughuli za uchukuzi bandarini Lamu (Lapsset) karibu miaka mitatu iliyopita. Kukamilika na kufunguliwa rasmi kwa barabara kuu ya Lamu-Witu-Garsen pia kumenawirisha biashara hiyo. Uchunguzi uliofanywa na Taifa Jumapili umebaini kuwa zaidi ya hoteli
5 days ago
NA MAGDALENE WANJA JANGA la Covid-19 lilikuwa na mazuri yake kwa sababu kwa kiwango kikubwa liliamsha ari ya watu mbalimbali kukuna vichwa na kuibuka na ubunifu mkubwa kiteknolojia. Kwa mfano kuna programu inayofahamika kama Mkahawa Solutions ambayo waanzilishi wake walikuwa na nia kwamba iweze kurahisisha biashara zote zinazohusiana na mikahawa. Hii ni pamoja na kuuza
5 days ago
Na MAGDALENE WANJA MNAMO mwaka 2020, Victor Kamau alitumia muda wake mwingi kufanya utafiti ili kupata dawa za kumtibu nduguye mdogo aliyekuwa akiugua kwa muda mrefu. Juhudi za familia zote ziliambulia patupu kwani hata baada ya kutembelea hospitali mbalimbali, hawakuweza kubaini chanzo cha maradhi yake. Alipokuwa akifanya utafiti wake, alichanganya aina ya matunda ya kiasili
5 days ago
Na MAGDALENE WANJA PATRICK Mugambi alianza biashara yake mnamo mwaka 2014 alipokuwa bado ameajiriwa katika kampuni ya kuundia wateja wavuti mbalimbali. Katika muda huo, alikuwa akikutana na wateja wake wakati wa mapumziko ya chakula cha mchana na jioni baada ya kazi yake ya mchana. “Nilikuwa sina muda kabisa kwani nilikuwa nikifanya kazi hizi mbili zikiandamana,
6 days ago
Good news ninayotaka kukusogezea ni kwamba GSM wanatangaza uzinduzi wa Asante Card zenye mchakato wa kukupatia zawadi za papo hapo. Ukiwa na Asante Card utapata nafasi ya kupata punguzo la asilimia 5% kila unapofanya manunuzi ya katika madukan ya GSM ikiwemo Splash, Babyshop, Max, Shoexpress, GSMsports. Na pia kila Mwanachama wa Asante Card anauwezo kupokea taarifa maalumu kuhusiana na Mauzo
6 days ago
Rapa na mjasiriamali Snoop Dogg ameamua kupanua himaya yake ya biashara tena, wakati huu akijikita katika safu ya bidhaa bora za kahawa na maharagwe yanayopatikana nchini Indonesia. Ameshirikiana na mjasiriamali wa kahawa wa Kiindonesia Michael Riady kuzindua INDOxyz. “biashara hii ni ya kiwango cha juu kwani ni kahawa iliyoundwa kwa ajili ya kizazi kijacho
1 week ago
NA MARGARET MAINA [email protected] Muda wa kuandaa: Dakika 10 Muda wa mapishi: Dakika 20 Walaji: 2 Vinavyohitajika kikombe ½ korosho kikombe 1 hisa ya kuku karoti 1 zukini 1 mbaazi kikombe 1 yaliyochemshwa kikombe 1 cha maharagwe yaliyochemshwa kikombe 1 cha karanga mahindi tamu kikombe ½ kitunguu maji 2 kikombe ½ koliflawa brokoli kikombe ½
1 week ago
Benki yetu kwa kushirikiana na Mamlaka ya Usimamizi wa Bima (TIRA) leo tumeendesha mafunzo ya uendeshaji wa Akaunti ya Dhamana ya Bima (Trust Account) kwa kampuni na wadau wa sekta ya bima nchini. Mafunzo hayo ambayo yamefanyika Makao Makuu ya Benki ya CRDB yalifunguliwa na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru
1 week ago
Kampuni ya ASAS yenye Makao Makuu yake Mjini Iringa ikijishughulisha na uzalishaji wa bidhaa za maziwa, imetoa shilingi milioni 100 kwa Wafanyabiashara wadogowadogo wa Iringa maarufu kama Machinga ili iwasaidie kujenga vibanda vyao vya kufanyia biashara. Mmoja wa Wakurugenzi wa Kampuni hiyo Salim Abri ASAS ambaye pia ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha
1 week ago
NA MAGDALENE WANJA KWA muda wa zaidi ya miongo minne, kampuni ya Silafrica imekuwa ikiongoza katika utengenezaji wa mikebe ya kupakia iliyotengenezwa kwa plastiki. Kampuni hii hutengenezea kampuni mbalimbali nchini ambazo ziko katika biashara ya bidhaa kama vile vyakula, vinywaji, mafuta, siagi, gururu na tangi za plastiki za kufadhia maji. Mkurugenzi mkuu Bw Akshay Shah
1 week ago
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), itaendelea kutoa elimu kuhusu dhana ya Wamiliki Manufaa wa kampuni ili wawekezaji waendelee kuiamini nchi na kuendelea kuwekeza. Hayo yamebainishwa leo Machi 15, 2023 na Kaimu Mkurugenzi wa Makapuni na Majina ya Biashara kutoka BRELA, Mainrad Rweyemamu wakati akifungua mafunzo siku mbili
1 week ago
Bahati haiji kwa siku moja lakini msemo huu una maana kubwa kwa bodada wa Kawe ambapo Meridianbet, iliwapatia Reflector ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya nenda kwa Usalama Barabarani, ambapo Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Meridianbet Matina Nkurlu pamoja na Msaidizi wa kitengo cha usalama barabarani Kawe Inspekta Alex Duguza alitoa elimu.
1 week ago
Wataalamu kutoka Taasisi ya kimataifa ya Moody’s inayojihusisha kuzifanyia tathimini Nchi mbalimbali dunia ili kujua uwezo wao wa kukopesheka katika masoko ya fedha ya Kimataifa, wamewasili Nchini kwa ajili ya kuifanya tathimini Nchi ya Tanzania. Akizungumza wakati akiikaribisha Timu ya Wataalamu kutoka Taasisi hiyo Jijini Dodoma, Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema
1 week ago
Mkuu wa Mkoa wa Iringa Halima Dendego amewataka Wafanyabiashara wadogo waliovamia eneo la ndani ya makaburi ya Mlandege ili kujenga vibanda vya biashara kuondoka mara moja kwani ni kinyume na maadili na kuiagiza Manispaa ya Iringa kujenga ukuta mara moja kuzunguka makaburi hayo. RC Halima Dendego amesema hayo kwenye Kikao cha Kamati ya Ushauri ya
1 week ago
Mathuki says proposed measures will make Agoa more effective and expand to non-sub-Saharan African countries.
1 week ago
Afisa Usajili Msaidizi wa Leseni wa Wakala wa biashara na Leseni BRELA Bethod Bangahanoze amewataka vijana na Wanawake kusajili majina ya biashara zao ili waweze kuongeza thamani ya kupewa tenda kubwa za serikali. Amesema hayo wakati wakitoa elimu ya Usajili wa kampuni na majina ya Leseni ya biashara kwa wateja waliofika kwenye Banda la Wakala
1 week ago
YVONNE MASSELE ni msajili Msaidizi kutoka Wakala WA usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) amewatoa hofu vijana na wanawake kuhusu kusajili kampuni zao na Usajili wa jina kampuni ili wasikose fursa ya kutambulika kisheria katika biashara zao kitaifa na kimataifa. Amesema hayo wakati wakitoa elimu ya Usajili wa kampuni na majina ya Leseni ya biashara
1 week ago
Good news ninayotaka kukusogezea ni kwamba GSM wanatangaza uzinduzi wa Asante Card zenye mchakato wa kukupatia zawadi za papo hapo. Ukiwa na Asante Card utapata nafasi ya kupata punguzo la asilimia 5% kila unapofanya manunuzi ya katika madukan ya GSM ikiwemo Splash, Babyshop, Max, Shoexpress, GSMsports. Na pia kila Mwanachama wa Asante Card anauwezo kupokea taarifa maalumu kuhusiana na Mauzo
1 week ago
Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), imetoa ufadhili wa masomo kwa wanafunzi watano ambao wanasoma Shahada ya Uzamili katika fani ya Miliki Ubunifu ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Akikabidhi hundi hizo za ufadhili leo Machi 10, 2023 Afisa Mtendaji Mkuu wa BRELA, Bw. Godfrey Nyaisa amesema kuwa Wakala inafanya kila jitihada
1 week ago
Katika msimu huu wa Malkia wa Nguvu tunakukutanisha na Petronila Mmasi ambaye ni Mwanamke Mwenye umri wa miaka 29 aliyekuwa ameajiriwa katika moja ya hospitali hapa nchini lakini baadaye aliamua kuachana na kazi hiyo nakujiairi. Ayo TV & Millardayo.com imefanya nae mahojiano ya kina kuhusu biashara yake.
1 week ago
Carter improved US relations with Africa and increased trade, diplomatic contacts as well as treating Blacks with respect.
2 weeks ago
NA JOSEPH NDUNDA MWAJIRIWA wa kulisha mifugo jijini anayedaiwa kupanga njama na mtu mwingine kuuza ng’ombe 10 wa mwajiri wake katika soko la Burma jijini Nairobi ameshtakiwa kwa wizi wa mifugo. Daniel Enaantoyie ameshtakiwa pamoja na Lazarus Mole mbele ya Hakimu Mkuu wa Makadara Francis Kyambia kwa kuiba ng’ombe wenye thamani ya Sh600,000 wa Jackson
2 weeks ago
NA ALEX KALAMA ZAIDI ya wakazi 4,000 kutoka eneo la Chakama, wadi ya Adu, Kaunti ya Kilifi wanakadiria hasara kubwa ya mamilioni ya fedha baada ya mazao yao kuharibiwa na wanyamapori mashambani. Wakazi hao wamesema ndovu wamekuwa wakiharibu mimea yao mashambani tangu Disemba 2022 na kusababisha hasara kubwa ya mamilioni ya fedha hivyo kuwadidimiza kiuchumi.
2 weeks ago
NA SAMMY KIMATU WAFANYABIASHARA wameomba serikali za kaunti kupunguza au kuondoa ada wanayotoza malori ya kusambaza bidhaa za kilimo katika masoko mbalimbali jijini Nairobi. Akiongea na Taifa Leo Alhamisi asubuhi, Mwenyekiti wa Soko la Muthurwa, Bw Nelson Githinji Githaiga amesema wakulima wanajizatiti kulisha wakazi katika Kaunti ya Nairobi ilhali wanaponzwa na ada wanazotozwa barabarani. Alikariri
2 weeks ago
rade between the two nations has been declining, but it is still in Tanzania’s favour
2 weeks ago
Na Derick Milton, Simiyu Taasisi ya Kuzuia na Kupamba na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Simiyu imesema kuwa vibanda vingi kwenye masoko ya Halmashauri za Wilaya ya Maswa, Meatu na Bariadi vinamilikiwa na viongozi. Aidha, taasisi hiyo imesema kuwa baadhi ya viongozi wanamiliki vibanda zaidi ya kimoja kwenye masoko hayo na kuvitumia kwa kujinufaisha wenyewe tofauti
2 weeks ago
Uganda is South Africa’s 15th largest trading partner on the continent.
2 weeks ago
BENKI ya CRDB imetwaa tuzo ya Benki Bora inayohudumia wafanyabiashara wadogo na wa kati Tanzania inayotolewa na Jarida maarufu la Global Finance kwa mwaka 2023. Hafla ya utoaji wa tuzo hizo ilifanyika hivi karibuni jijini London, Uingereza. Jarida la Global Finance linawasaidia wakuu wa mashirika, benki na wawekezaji kubadilishana uzoefu kwenye masuala ya biashara na
2 weeks ago
NA MAGDALENE WANJA BAADA ya kufanya biashara za aina mbalimbali, ikiwemo ya mitumba, Bw Simon Kibe aligundua kuwa kulikuwa na pengo katika biashara ya kukodisha magari ya kibiashara. Baadhi ya marafiki zake ambao walikuwa katika biashara mbalimbali walimuelezea jinsi walitaka magari aya kutumia kwa muda mfupi ila hawakuridhika na baadhi ya magari yaliyokuwa yakipatikana ya
3 weeks ago
The official launch of the Switzerland–Tanzania Chamber of Commerce is set to boost trade between the two countries.
3 weeks ago
NA WANDERI KAMAU TUME ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) imemwandikia barua Mkuu wa Utumishi wa Umma, Bw Felix Koskei, ikimtaka kuikabidhi stakabadhi kuhusu kiwango cha utajiri cha aliyekuwa Waziri wa Usalama wa Ndani, Dkt Fred Matiang’i. Ripoti zilieleza kuwa EACC inamtaka Bw Koskei kuweka wazi mapato ya Dkt Matiang’i, mali anayomiliki na madeni
3 weeks ago
The ship is expected to ply Lake Victoria, providing a key transport and trade network between Jinja and Portbell in Uganda, Kisumu in Kenya, and Mwanza, Bukoba, Kemondo and Musoma in Tanzania.
3 weeks ago
Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Mwanahamisi Munkunda amewataka wamiliki wa Bar zote wilayani humo kuacha tabia ya kutumia maeneo ya barabara “service road” kama sehemu ya biashara zao. DC Munkunda ametoa kauli hiyo wakati akifanya usafi maeneo ya Buza wilayani humo ambapo amesema; “Niwaambie ndugu zangu upo uchafu wa aina mbalimbali hapa Buza kuna uchafu
3 weeks ago
Taifa's entry into the country is part of a bilateral trade deal between Kenya and Tanzania.
3 weeks ago
Meridianbet hatimaye imewatangaza washindi wake wa Promosheni kabambe ya Bashiri bila bando na kasino, Huku Said akijinyakulia Bodaboda yake mpyaa. Piga *149*10# Chagua Tukupe Odds kubwa za soka unazipata Meridianbet Kasino ya mtandaoni, sloti, Poker, Aviator na Roulette– Chagua Tukupe. Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Meridianbet Martina Nkurlu alishiriki zoezi la kuwakabidhi
1 month ago
NA LAWRENCE ONGARO TATU CITY ilialika Wizara ya Biashara na Viwanda ili kujionea mengi yanayoendeshwa katika eneo hilo. Kwenye mwaliko huo, magavana wote 47 walipata mwaliko lakini magavana 18 pekee ñdio walihudhuria. Katika hafla hiyo, meneja mkuu wa Tatu City nchini, Preston Mendenhall, aliwakaribisha magavana na Waziri wa Biashara Bw Moses Kuria, huku akiwajulisha mafanikio yaliyopatikana
1 month ago
Tanzania Ports Authority (TPA) has advised traders to join hands in an attempt to grab opportunities for exporting coal.
1 month ago
NA SAMMY KIMATU WAFANYABIASHARA zaidi ya 50 waliobomoa vibanda vyao vya kuuzia bidhaa ili kupisha mwanakandarasi apate nafasi ya kutengeneza barabara na mtaro wa kupitisha maji machafu wanakadiria hasara. Awali, waliendesha biashara zao mkabala wa barabara ya Busia inayoungana na ya Entreprise kwenye eneo la Viwanda kaunti ndogo ya Starehe. Akiongea na Taifa Leo, mwenyekiti
1 month ago
NA SAMMY WAWERU SHAMBA la Charles Mburu ni bustani ya mseto wa matunda, mengi akiwa anayakuza kwa minajili ya biashara. Limesheheni matunda kama avokado, ndizi, machungwa, mapapai, mapera, matundadamu, matikiti ya pepino, karakara, stroberi, matufaha, zabibu, maembe, komamanga na ndimu.Mburu anasema ana zaidi ya aina 20 ya matunda, katika shamba lake lililoko Ndeiya, Kaunti ya
1 month ago
Na Beatrice Kaiza, Mtanzania Digital Katika mwendelezo wa kusaidia jitihada za Serikali kukuza ujumuishi wa kiuchumi nchini, Benki ya CRDB leo imeingia mkataba wa makubaliano na Tume ya TEHAMA (ICTC), na Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) kupitia programu yake ya ‘IMBEJU’ iliyojikita katika uwezeshaji wa wanawake na vijana kiuchumi. Akizungumza katika hafla
1 month ago
Rais wa Baraza la Manabii na Mitume Tanzania (BMMT) Dr.Joachim Peter ametangaza Uteuzi Mpya wa Viongozi watakaoendesha Shughuli zote za Utendaji Ndani ya Baraza hilo. Akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dar es salaam amesema kuwa amemteua Prophert Godson kuwa mwenyekiti wa idara ya fedha na mipango Taifa huku engineer Methew Mwalukira kuwa Naibu wake
1 month ago
Despite Tanga’s rich history and natural beauty, the region has yet to reach its full potential as a trade hub.
1 month ago
Burundi and Juba have been unable to make good sales due to duties on certain goods and services.
1 month ago
The forthcoming EU-Kenya Business Forum dubbed “Trade and Investment Opportunities in Kenya” will focus on trade opportunities.
1 month ago
A situational report by Oxfam said on Friday more Africans had been pushed into food insecurity territory in the past year.
1 month ago