Habari Leo Business

Israel yashambulia Taasisi za Hezbollah

LEBANON : JESHI la Israel limefanya mashambulizi ya anga yaliyolenga taasisi ya fedha inayodaiwa kuhusika kwa ufadhili wa silaha za wapiganaji wa Hezbollah wakati wakiendelea kutanua mashambulizi nchini Lebanon. Mashambulizi...

17 hours ago


News 24 Business

News24 | Prosus eyes surge in trading profit to R7bn for 2025

Prosus, a subsidiary of Naspers, said on Monday it is looking to deliver $400 million (about R7 billion) in earnings before interest and tax in 2025, a move that comes...

18 hours ago


Milard Ayo Business

Kamati ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar yaja Bara kujifunza Usalama na Afya kazini

Kamati ya Kudumu ya Utalii, Biashara na Kilimo ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar imetembelea Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) pamoja na baadhi ya viwanda vinavyosimamiwa na...

19 hours ago


Habari Leo Business

Wafanyabiashara wakumbushwa kutunza kumbukumbu

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imewataka wafanyabiashara mkoani Kagera kutumia mashine  za kielekroniki kwa usahihi (EFD) pamoja na kutunza vizuri kumbukumbu za taarifa zao za  biashara zitakazowawezesha kukadiliwa kodi kwa...

22 hours ago


Habari Leo Business

Mchechu achangisha mil 117.8/- ujenzi wa kanisa

KILIMANJARO : Msajili wa Hazina Nehemiah Mchechu ameendesha harambe iliyowezesha kuchangisha Sh milioni 117.8 kwa ajili ya kuendeleza ujenzi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Naibili,...

23 hours ago


Daily News Business

Digital drive to boost trade, tourism in Zanzibar

THE Zanzibar government has expressed commitment to enhancing trade, travel and tourism by partnering with NMB Bank to implement touchless digital payment The post Digital drive to boost trade, tourism...

1 day ago


Daily News Business

45 Tanzanian traders utilise AfCFTA

FORTY-FIVE Tanzanian traders are now utilising the African Continental Free Trade Area (AfCFTA) one year after the country began participating in this trade The post 45 Tanzanian traders utilise AfCFTA...

1 day ago


Milard Ayo Business

Mchechu achangisha Sh.117.8 Million ujenzi wa kanisa

Nehemiah Mchechu, Msajili wa Hazina na kiongozi anayejulikana kwa mchango wake mkubwa katika sekta ya nyumba, benki, na biashara, ameendesha harambe iliyowezesha kuchangisha Sh117.8 milioni kwaajili ya kuendeleza ujenzi wa...

1 day ago


Habari Leo Business

Mil 348/- kuwezesha mikopo halmashauri Iramba

MKUU wa Wilaya ya Iramba mkoani Singida, Suleiman Yusuph Mwenda amewataka vijana, wanawake na watu wenye ulemavu kuunda vikundi vya biashara ili kunufaika na mikopo ya asilimia 10 ya halmashauri....

1 day ago


Taifa Leo Business

Omena inavyotumika kuunda vitafunwa maridadi

OMENA ni mojawapo ya spishi za samaki ambao hushabikiwa sana eneo la Nyanza.  Wanavuliwa kutoka Ziwa Victoria, upande wa Kenya na Uganda. Samaki hawa wanaofahamika kwa Kiswahili kama dagaa, wamesheheni...

2 days ago


Load More...

Job Vacancies





Entertainment