4 hours ago
4 hours ago
MOROCCO: Wawakilishi wengine wa Tanzania katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Simba watatupa karata yao muhimu usiku wa leo nchini Morocco dhidi ya Wydad Casablanca. Mchezo huo ni watatu kwa timu zote mbili huku kila upande ukitafuta pakutokea kutokana na matokeo yasiyoridhisha katika michezo miwili iliyopita, ambapo bado timu hizo hazijaonja ladha ya ushindi …
The post Wydad Vs Simba hesabu ngumu first appeared on HabariLeo.
5 hours ago
5 hours ago
9 hours ago
10 hours ago
10 hours ago
10 hours ago
10 hours ago
10 hours ago
10 hours ago
10 hours ago
10 hours ago
10 hours ago
LIGI Kuu nchini England ‘EPL’ inaendelea leo kwa michezo kadhaa, mchezo wa mapema utakuwa kati ya Crystal Palace dhidi ya Liverpool saa 9:45 Alasiri. Michezo mingine itayopigwa saa 12 jioni, Brighton dhidi ya Burnley, Manchester United itakuwa Old Trafford kuwaalika Bournemouth, Sheffield United dhidi ya Brentford. Mchezo mwingine utakaopigwa muda huo, Wolver dhidi ya Notts …
The post EPL kuendelea leo first appeared on HabariLeo.
10 hours ago
KAMPUNI ya Diamond Williamson Ltd inayojishughulisha na uchimbaji wa madini ya almas iliyopo Mwadui wilayani Kishapu mkoani Shinyanga, wamepandikiza vifaranga 5000 vya samaki aina ya Sato katika bwawa jipya la Mwang’olo ili kuinua kipato cha wananchi na chakula. Upandikizaji wa vifaranga vya samaki aina hiyo limefanyika jana tarehe 8,2023 kwa kuzinduliwa na Katibu Tawala wa …
The post Kampuni uchimbaji madini yapandikiza vifaranga vya samaki first appeared on HabariLeo.
10 hours ago
11 hours ago
11 hours ago
12 hours ago
23 hours ago
LICHA ya sare ya leo, kimahesabu klabu ya Yanga bado ina nafasi ya kufuzu robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika endapo itashinda michezo miwili ya nyumbani na kupata sare Misri. Sare ya bao 1-1 ya leo inaifanya Yanga kuwa na pointi 2, katika msimamo wa kundi D, Al-Ahly wanaongoza kwa pointi 5, CR Belouizdad …
The post Yanga nafasi ipo CAF first appeared on HabariLeo.
23 hours ago
1 day ago
1 day ago
1 day ago
1 day ago
1 day ago
1 day ago
1 day ago
1 day ago
1 day ago
1 day ago
1 day ago
KUMASI, Ghana: Mabingwa wa kandanda nchini, Yanga leo wanatupa karata muhimu mno katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika watakapokuwa wageni wa Medeama ya Ghana katika mchezo wao wa tatu wa makundi ya michuano hiyo. Huu ni mchezo uliobeba dira ya wababe hao wa mitaa ya Twiga na Jangwani kwani kama watashinda mchezo huo basi …
The post Medeama Vs Yanga mechi iliyobeba hatma first appeared on HabariLeo.
1 day ago
1 day ago
1 day ago
1 day ago
1 day ago
1 day ago
1 day ago
SHINYANGA: Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amewasili mkoani Shinyanga kwa ziara ya kikazi ambapo amepokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Christina Mndeme, Desemba 8, 2023. Katika ziara hiyo, Waziri Bashungwa atakagua miundombinu ya barabara zilizoharibiwa na mvua kubwa za El-nino zinazoendelea kunyesha katika mkoa huo pamoja na maeneo mbalimbali nchini. Miundombinu hiyo iliyoharibiwa na …
The post Bashungwa awasili shinyanga kukagua athari za mvua first appeared on HabariLeo.
1 day ago
1 day ago
1 day ago
1 day ago
1 day ago
1 day ago
1 day ago
1 day ago
1 day ago
1 day ago
1 day ago