Mwanaspoti Sports

Vurugu viwanjani mambo ya kishamba

POLE kwa mashabiki wote ambao walikutana na kadhia ya kupigwa, kuchaniwa jezi au kufanyiwa kitendo chochote kisicho cha kiungwana kwenye mechi ya Simba dhidi ya RS Berkane ya Morocco, Jumapili...

46 minutes ago


Mwanaspoti Sports

New City yashuka rasmi, Mlandege yapaa nafasi ya pili ZPL 

TIMU ya New City imeshuka daraja rasmi baada ya jana kupoteza kwa kupigwa mabao 5-1 na Mwenge ambayo nayo inapambana kuepuka kushuka daraja kutoka Ligi Kuu ya Zanzibar (ZPL).

6 hours ago


Mwanaspoti Sports

Yanga yamleta Dar beki wa Mazembe

BEKI wa TP Mazembe ya DR Congo, Ibrahim Keita yupo njiani kuja jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kufanya mazungumzo na mabosi wa Yanga inayompigia hesabu kumsajili kwa kikosi...

19 hours ago


Mwanaspoti Sports

Singida BS yapoteza tena dhidi ya Simba, vita bado mbichi

MSHAMBULIAJI wa kimataifa kutoka Uganda, Steven Mukwala, ameendelea kuonyesha thamani yake ndani ya Simba SC kwa kufunga bao pekee lililoiwezesha timu hiyo kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya...

19 hours ago


Vanguard News Sports

Man Utd booed off after friendly loss in Malaysia

Manchester United suffered fresh embarrassment and were booed off as they lost 1-0 to a Southeast Asian XI in Kuala Lumpur on Wednesday in front of 72,550. The post Man...

19 hours ago


Mwanaspoti Sports

Chama la Wana, Geita kumaliza ubishi

MECHI ya marudiano ya play-off kusaka tiketi ya kucheza Ligi Kuu Bara msimu ujao, inapigwa leo ambapo wenyeji, Stand United ‘Chama la Wana’, itakuwa kwenye Uwanja wa Kambarage, mjini Shinyanga...

19 hours ago


Mwanaspoti Sports

Pamba yaanza hesabu za msimu ujao

LICHA ya kubakiwa na mechi mbili tu kabla ya kuhitimisha msimu wa Ligi Kuu Bara wa 2024/2025, Pamba Jiji tayari imeanza kupiga hesabu za msimu ujao ikiwemo mustakabali wa mdhamini...

20 hours ago


Mwanaspoti Sports

Kiungo Singida agomea mamilioni

SINGIDA Black Stars imeanza harakati za mapema za kumuongeza mkataba mpya, kiungo Morice Chukwu, huku Mnigeria huyo akiwagomea mabosi hao, licha ya kuahidiwa donge nono.

20 hours ago


Mwanaspoti Sports

Mbeya City yamnyatia nyota wa Yanga

UONGOZI wa Mbeya City umeanza hesabu za kuiwinda saini ya winga wa Yanga, Farid Mussa ili kuongeza nguvu ya timu hiyo kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara,...

20 hours ago


Mwanaspoti Sports

Pina mwamba aliyeandika rekodi mpya Zanzibar

STRAIKA wa Mlandege na nyota wa timu ya taifa ya Zanzibar, Zanzibar Heroes, Abdallah Idd ‘Pina’ ameweka rekodi Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) wakati msimu ukiwa ukingoni.

20 hours ago


Load More...

Job Vacancies





Entertainment