Puma global chief executive officer, Mr Mark Russel is visiting Tanzania for the first time in his current role, expressed confidence in the country’s growth potential, noting that the company aims to expand both its distribution network and retail product offerings
Early childhood development is a vital foundation for building healthy communities and a thriving nation. Their members' holistic well-being shapes safe and secure societies, qualities deeply rooted in strong, well-integrated early childhood experiences.
Love isn’t always shared between two. Sometimes, only one person loves, while the other merely exists. And that is when it hurts the most. Like a fish without water, the lover is left breathless.
BoT began exploring CBDCs in January 2023 through a phased, risk-based approach, signaling a cautious yet forward-looking stance on digital monetary policy.
POLE kwa mashabiki wote ambao walikutana na kadhia ya kupigwa, kuchaniwa jezi au kufanyiwa kitendo chochote kisicho cha kiungwana kwenye mechi ya Simba dhidi ya RS Berkane ya Morocco, Jumapili...
TIMU ya New City imeshuka daraja rasmi baada ya jana kupoteza kwa kupigwa mabao 5-1 na Mwenge ambayo nayo inapambana kuepuka kushuka daraja kutoka Ligi Kuu ya Zanzibar (ZPL).
BEKI wa TP Mazembe ya DR Congo, Ibrahim Keita yupo njiani kuja jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kufanya mazungumzo na mabosi wa Yanga inayompigia hesabu kumsajili kwa kikosi...
MSHAMBULIAJI wa kimataifa kutoka Uganda, Steven Mukwala, ameendelea kuonyesha thamani yake ndani ya Simba SC kwa kufunga bao pekee lililoiwezesha timu hiyo kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya...
Manchester United suffered fresh embarrassment and were booed off as they lost 1-0 to a Southeast Asian XI in Kuala Lumpur on Wednesday in front of 72,550.
The post Man...
MECHI ya marudiano ya play-off kusaka tiketi ya kucheza Ligi Kuu Bara msimu ujao, inapigwa leo ambapo wenyeji, Stand United ‘Chama la Wana’, itakuwa kwenye Uwanja wa Kambarage, mjini Shinyanga...
LICHA ya kubakiwa na mechi mbili tu kabla ya kuhitimisha msimu wa Ligi Kuu Bara wa 2024/2025, Pamba Jiji tayari imeanza kupiga hesabu za msimu ujao ikiwemo mustakabali wa mdhamini...
SINGIDA Black Stars imeanza harakati za mapema za kumuongeza mkataba mpya, kiungo Morice Chukwu, huku Mnigeria huyo akiwagomea mabosi hao, licha ya kuahidiwa donge nono.
UONGOZI wa Mbeya City umeanza hesabu za kuiwinda saini ya winga wa Yanga, Farid Mussa ili kuongeza nguvu ya timu hiyo kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara,...
STRAIKA wa Mlandege na nyota wa timu ya taifa ya Zanzibar, Zanzibar Heroes, Abdallah Idd ‘Pina’ ameweka rekodi Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) wakati msimu ukiwa ukingoni.