Vanguard News Sports

Man United to face Tottenham in Europa League final

Manchester United will face Tottenham Hotspur in an all-English Europa League final after both sides secured convincing victories from the aggregate scores of their respective semi-final matches on Thursday. The...

7 hours ago


Mwanaspoti Sports

Simba yaacha msala CAF

SIMBA imeendeleza kugawa dozi katika Ligi Kuu Bara baada ya jana kuifumua Pamba Jiji kwa mabao 5-1 na kukata tiketi ya kucheza Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao, huku ikiziachia...

12 hours ago


Mwanaspoti Sports

Simba rasmi Ligi ya Mabingwa, Ahoua akipiga hat trick

RASMI Simba SC ina tiketi ya kushiriki michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao 2025-2026, hiyo ni baada ya kufikisha pointi 66 katika msimamo wa Ligi Kuu Bara ambazo...

12 hours ago


Mwanaspoti Sports

KenGold yaipeleka Simba Ruvuma

KENGOLD iliyoshuka mapema hadi Championship kutoka Ligi Kuu Bara iliyoicheza kwa mara ya kwanza msimu huu, imepanga kuipeleka mechi dhidi ya Simba iliyopangwa kupigwa Juni 18 Uwanja wa Majimaji, Songea,...

12 hours ago


Mwanaspoti Sports

Kagera Sugar ina mtego wa miaka 21

WAKATI Ligi Kuu Bara ikirejea tena wikiendi hii baada ya kushuhudiwa viporo vinne vya mechi za Simba vikimalizika, Kagera Sugar ipo katika mtego wa kukwepa aibu ya miaka 21 katika...

13 hours ago


Mwanaspoti Sports

Kisa Simba, Yanga Lawi aitwa mezani

BEKI wa kati na nahodha wa timu ya taifa ya vijana U20, Ngorongoro Heroes. Lameck Lawi, leo atakuwa uwanjani huko Misri, ili kukamilisha ratiba ya hatua ya makundi ya Kombe...

13 hours ago


Mwanaspoti Sports

Msimu mpya BDL/WBDL, kazi imeanza DonBosco

LIGI ya kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), inatarajia kuanza kesho kwa michezo miwili kupigwa katika Uwanja wa Donbosco Upanga na utaishuhudia UDSM Outsiders itakipiga dhidi ya JKT, huku...

14 hours ago


Taifa Leo Sports

Mashabiki ndio wanaumia! Kilio Arsenal wakipepetwa na kutupwa nje Uefa

LONDON, Uingereza KILIO cha mashabiki wa Arsenal kuhusu kutoshinda taji kilifika miaka mitano sasa baada ya timu yao kupoteza nafasi kadhaa nzuri ikibanduliwa kwenye nusu-fainali ya Klabu Bingwa Ulaya, Jumatano....

16 hours ago


Mwanaspoti Sports

Mwenge yaizima Junguni, Mwembe Makumbi ikibanwa ZPL

Maafande wa Zimamoto wameiwekea ngumu Mwembe Makumbi kwa kutoka sare ya 3-3, huku Mwenge ikiizima Junguni United katika mfululizo wa mechi za Ligi Kuu Zanzibar. Mwembe Makumbi ambao ndio vinara...

17 hours ago


Mwanaspoti Sports

AKILI ZA KIJIWENI: Waziri Palamagamba Kabudi kweli Profesa

JANA Jumatano, kundi lote hapa kijiweni tulikuwa tumekusanyana kusikia na kuona Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Profesa Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi akisoma hotuba ya makadirio ya bajeti...

20 hours ago


Load More...

Job Vacancies





Entertainment