Mwanaspoti Sports
Stars yaichapa Cranes ikiita kwa Mkapa

Stars imebakiza mechi tatu za uamuzi ambapo Jumanne Machi 28 mwaka huu itaikaribisha Uganda katika mechi ya marudiano itakayopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa na baada ya hapo itawakaribisha Niger ambayo katika mechi ya kwanza ililazimishwa sare ya bao 1-1 kwao na Algeria iliyoshinda 2-0 nyumbani.

6 minutes from now


Wasomi Ajira General
Msimamo Kundi F AFCON Qualifiers 2023

Msimamo Kundi F AFCON Qualifiers 2023, Msimamo Kundi F Kundi la Tanzania, Msimamo kundi la Tanzania Kufuzu AFCON 2023, Group F Table Standings AFCON Qualifiers 2023   Msimamo Kundi F AFCON Qualifiers 2023 The Confederation of African Football (CAF) is the governing body of football in Africa. It organises the African Cup of Nations, which

2 hours ago


Mwanaspoti Sports
Amroache aanza na mabadiliko Stars

KOCHA mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania, Adel Amrouche ametoa kikosi chake cha kwanza kitakachoivaa Uganda kwenye mechi ya kuwania kufuzu fainali za mataifa ya Afrika (Afcon 2023), mchezo utakaoanza saa 11:00 jioni katika uwanja qa Suez Canal, Musri huku kocha huyo akionekana kuanza na mabadiliko makubwa.

2 hours ago


Mwanaspoti Sports
Ubabe huko RCL ukipigwa tu umeachwa!

LIGI ya Mabingwa wa Mkoa (RCL) inafikia tamati leo hatua ya makundi ambapo timu mbili kutoka kila kundi zitapenya kwenda hatua ya nane bora ambapo huko zitaendelea kuonyeshana ubavu. Timu mbili zitakazofika hatua ya fainali zitakuwa zimejihakikishia kucheza First League msimu ujao wakati timu nyingine mbili za First League zikishuka kwenda Ligi Daraja la Tatu ngazi ya Mkoa. Tayari Njombe Mji imeshashushwa kutokana na kushindwa kuendelea na ligi hiyo sababu kubwa ikitajwa na mabosi wao ni ukosefu wa fedha wa...

3 hours ago


Mwanaspoti Sports
Wadau wakubali... Simba, Yanga ni bab'kubwa!

ZIMETUHESHIMISHA. Ni baadhi ya kauli za wadau wa soka nchini walioshiriki mjadala maalumu kutokana na Simba na Yanga kutinga robo fainali ya michuano ya Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho Afrika, huku ikielezwa zimebebwa kiuchumi kulinganisha na miaka ya nyuma. Mjadala huo wa Twitter Space uliandaliwa na Kampuni ya Mwananchi Communications Ltd (MCL) na ulianza kati ya saa 2:00-4:00 usiku ukihusisha wadau mbalimbali, akiwamo viongozi wa klabu hizo, huku wachangiaji wakuu wakiwa Makamu wa Rais wa Yanga, Arafat Haji,...

3 hours ago


Mwanaspoti Sports
SPOTI DOKTA: Theluji inavyoweza kuathiri kiwango cha soka

KATIKA mchezo wa Kombe la Shirikisho barani Afrika uliochezwa kwenye Uwanja wa Benjamini Mkapa kati klabu ya Yanga na US Monastir ya Tunisia mvua ilinyesha kuanzia alfajiri hadi mchana. Mechi hiyo ilichezwa mvua ikiwa imekata ilisababisha sehemu chache za uwanja kuwa na vijidimbwi vilivyopunguza kasi ya mpira na huku wachezaji wakitumia nguvu kuukwamua mpira uliokwama. Wakati hapa Bongo hali ya mvua isiyo na baridi ikitokea kule nchini Uingereza katika ligi ya EPL ilishuhudiwa mvua iliyoambatana na theluji ikiendelea kudondoka ikiwamo...

4 hours ago


Mwanaspoti Sports
KIJIWE CHA SALIM SAIDI SALIM: Vikapu vya magoli vya kutosha

KILA mchezo una rekodi zake, lakini baadhi ni kubwa na za aina yake. Mara nyingi kila napozitafakari rekodi za dunia za michezo zipo ambazo hunishangaza na kukataa kuziamini. Hatimaye baada ya kuhakikisha ni za kweli hujiliwaza kwa kujisemea mtu hatakiwi kufanyia mchezo mambo ya michezo. Baadhi ya rekodi unaposimuliwa habari zake unabaki kutabasamu na kujiuliza ilikuwaje hata ikatokea hivyo, jibu lake ni jepesi. Nayo huipati na unabaki kufurahi na kucheka na kama ukiwa umekaa peke yako pembeni anayekuangalia atajisemea nadhani...

4 hours ago


Mwanaspoti Sports
Arafat: Yanga Princess kuna changamoto

Jana tuliona sehemu ambayo makamu mwenyekiti wa Yanga, Arafat akiwa anazungumza kuhusu usajili pamoja na mafanikio ya timu hiyo kwenye michuano ya kimataifa, alieleza kuwa baada ya kufanikiwa kufika hatua ya robo fainali sasa wanawaza hatua ya nusu fainali na kueleza mikakati ambayo wameiweka. Pia alizungumza mambo mengi yakiwemo mafanikio ya timu hiyo kwenye michuano mingine na jinsi walivyopambana kwa kipindi cha miezi tisa klabu hapo, sasa endelea na sehemu hii ya mwisho ya makala hii ambapo anaanza kwa kueleza...

4 hours ago


Taifa Leo General
Teranga Lions, Atlas Lions na Super Eagles mavizioni kufuzu AFCON

NA MASHIRIKA MABINGWA watetezi Senegal pamoja na Morocco, Mali, Algeria, Burkina Faso na Nigeria watafukuzia ushindi wa tatu mfululizo leo ili kujiweka pazuri kufuzu kushiriki Kombe la Afrika (AFCON) 2024. Teranga Lions ya Senegal iliyopepeta Benin na Rwanda, inaalika Msumbiji mjini Diamniadio. Vijana wa Aliou Cisse wana rekodi ya nzuri baada ya kushinda Msumbiji mara

4 hours ago


Mwanaspoti Sports
Mbrazil wa Singida BS hadi msimu ujao

HAMU ya mashabiki wa soka nchini na wapenzi wa Singida Big Stars kumuona winga wa timu hiyo, Dario Frederico raia wa Brazil akicheza uwanjani katika mechi zilizobaki za Ligi Kuu na Kombe la Shirikisho (ASFC) msimu huu imeyeyuka baada ya klabu hiyo kueleza kuwa nyota hajawa fiti kwa asilimia 100.

4 hours ago


Mwanaspoti Sports
Taifa Stars kanyaga twende!

HAKUNA namna ni ushindi tu. Mashabiki wa soka wanahesabu saa tu kwa sasa kabla ya kuishuhudia Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars ikishuka Uwanja wa Suez Canal, mjini Ismailia, Misri kuvaana na Uganda ‘The Cranes’, huku ikiwa na kiu ya kuona timu hiyo ikipata ushindi ugenini.

4 hours ago


Mwanaspoti Sports
Dodoma Jiji yafanya mazoezi kupitia Whatsapp

WAKATI Ligi Kuu Bara ikiwa imesimama mpaka Aprili 7 mwaka huu, Dodoma Jiji inaendelea na mazoezi kupitia group la Whatsapp

5 hours ago


Mwanaspoti Sports
Ndemla kuwakosa Mbeya City

KIUNGO wa Singida Big Stars,Said Ndemla anatarajia kuukosa mchezo wa robo fainali ya Kombe la Azam Sports Federation (ASFC) dhidi ya Mbeya City unaotarajiwa kufanyika Aprili 2 mwaka huu katika uwanja wa Liti mkoani Singida.

5 hours ago


Taifa Leo General
Ufaransa, Ubelgiji mizanini Euro 2024

NA MASHIRIKA PARIS, Ufaransa WAFARANSA wataalika Waholanzi nao Wabelgiji watavaana na Waswidi kwenye menyu ya michuano mikali ya kufuzu kushiriki Kombe la Bara Ulaya (Euro) mwaka 2024, leo Ijumaa. Mabingwa wa Kombe la Dunia 2018 Ufaransa wanafukuzia ushindi wa nne mfululizo dhidi ya Uholanzi ugani Stade de France. Hata hivyo, mchuano huu utakuwa mtihani kwa

5 hours ago


Mwanaspoti Sports
Mkanwa atuma salama mapemaa

BAADA ya kuanza kazi kwa kuvuna pointi nne kwenye mechi tatu za Championship na kikosi cha Kitayosce ya Tabora, kocha mpya wa timu hiyo, Henry Mkanwa amesema kwa sasa mwendo ni ushindi tu katika mechi zilizo mbele yao kuhakikisha hawatoki kwenye nafasi waliyopo.

5 hours ago


Mwanaspoti Sports
Wagosi sasa bado moja tu

WAGOSI wa Kaya, Coastal Union ya Tanga wanazidi kujiimarisha kipindi hiki baada ya kutoka mapumziko wakati timu nyingine wachezaji wakiendelea na mapumziko huko Tanga unaambiwa hakuna kulala.

5 hours ago


Mwanaspoti Sports
Simba, Yanga zaipa mzuka Geita

KITENDO cha Simba na Yanga kufuzu robo fainali ya michuano ya kimataifa ya CAF na kuipa nafasi Tanzania kuwakilishwa tena na timu nne msimu ujao, imeiongezea mzuka Geita Gold katika kupambana kwenye Ligi Kuu ili kumaliza nafasi za juu na kupata tiketi ya michuano hiyo.

5 hours ago


Mwanaspoti Sports
Ihefu yaiwahi Simba mapema

BAADA ya kukusanya pointi sita kwa vigogo Yanga na Azam FC, Kocha Msaidizi wa Ihefu, Zuberi Katwila amerudisha timu haraka kambini tayari kujifua kwa mchezo wa Kombe la Shirikisho la Azam (ASFC) Aprili 7 huku akikiri kuwa na dakika 180 ngumu.

5 hours ago


Mwanaspoti Sports
Baleke mambo bado kabisaaa

STRAIKA wa Simba, Jean Baleke amesema ana kazi kubwa ya kuifanya ili kuhakikisha huduma yake inakuwa na manufaa ndani ya kikosi hicho na mashabiki wanafurahia burudani anayoitoa anapokuwepo uwanjani.

5 hours ago


Mwanaspoti Sports
Usajili mpya Simba kushtua, Mbrazili ashikilia faili la mastaa wakali

SIMBA inaendelea kupiga hesabu za kucheza hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, lakini kocha wa timu hiyo Roberto Oliveira ‘Robertinho’ akili yake iko mbali sana - kuna kazi moja ya kibabe anaifanya itakayowashtua na kuwafurahisha mashabiki wa timu hiyo.

7 hours ago


Mwanaspoti Sports
Nabi afuata dawa ya Mazembe

KOCHA wa Yanga, Nasreddine Nabi ametimka nchini kwenda Ulaya, huku akitoa salamu ambazo hazitakuwa njema jijini Lubumbashi, DR Congo, akisema hesabu zake sasa ni kumaliza na ushindi katika mechi ya mwisho ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika.

7 hours ago


Mwanaspoti Sports
Msuva, Samatta watoa ahadi ya kibabe

WAKATI Taifa Stars ikiwa kwenye maandalizi ya mwisho huko Misri kwa ajili ya mchezo wa leo, Ijumaa wa kuwania nafasi ya kufuzu kwa fainali za mataifa ya Afrika dhidi ya Uganda, nyota wa kikosi hicho wameapa kufanya kweli kwenye mchezo huo.

7 hours ago


Mwanaspoti Sports
Amrouche awavimbia Waganda

KOCHA wa Taifa Stars, Adel Amrouche ameeleza namna ambavyo kikosi chake kipo tayari kwa mchezo wa kuwania nafasi ya kufuzu kwa ajili ya fainali za mataifa ya Afrika dhidi ya Uganda huku akiamini nyota wake wanaweza kuwapa raha Watanzania.

7 hours ago


Mwanaspoti Sports
Stars, The Cranes patachimbika

TIMU ya taifa 'Taifa Stars' ina kibarua kizito leo cha kuhakikisha inashinda mchezo dhidi ya Uganda ambao utapigwa nchini Misri kwa ajili ya kufuzu michuano ya Mataifa ya Afrika (AFCON) itakayofanyika mwakani Ivory Coast.

8 hours ago


Wasomi Ajira General
Matokeo Taifa Stars vs Uganda leo 24 March 2023 ( Tanzania vs Uganda Cranes )

Matokeo Taifa Stars vs Uganda leo 24 March 2023 ( Tanzania vs Uganda Cranes ), Matokeo Tanzania vs Uganda, Uganda Cranes vs Tanzania March 24 2023, Uganda vs Tanzania Today March 24 2023 Matokeo Taifa Stars vs Uganda leo 24 March 2023 ( Tanzania vs Uganda Cranes )     Uganda the Cranes The Federation

21 hours ago


Mwanaspoti Sports
Tigers mambo magumu yachapwa Nyamagana

MAMBO yanazidi kuwa magumu kwa The Tigers Queens ya Arusha baada ya kupokea kipigo kingine kikubwa leo kwenye Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania Bara. Tigers imefungwa mabao 4-1 na Alliance Girls katika mchezo wa raundi ya 12 ya ligi hiyo ambao umepigwa leo kwenye Uwanja wa Nyamagana, Mwanza baada ya kuahirishwa jana. Mabao ya Alliance yamefungwa na Winfrida Charles aliyepachika kambani mawili dakika ya 20 na 71, Moga Patrick dakika ya 15 na Shufaisa Issa dakika ya 90 huku bao...

1 day ago


Mwanaspoti Sports
Kasino ya mtandaoni Meridianbet| shinda kirahisi

Maisha ya zamani nay a sasa ni tofauti sana haswa katika masuala ya utafutaji wa pesa, moja ya habari njema nataka nikwambie leo ni kuhusu chimbo kubwa la kuvuna hela, chimbo letu ni kasino ya mtandaoni ya Meridianbet imekuja na sloti ya kijanja kabisa hii haijawahi kuepo kwingine hapa Tanzania ‘Dream Catcher’ Moja ya sehemu unayoweza kutengeneza mkwanja mrefu ni biashara za mtandaoni lakini hatari kubwa ni utapeli, sasa swali linakuja kila anayefanya biashara ya mtandaoni ni tapeli? Hapana sio...

1 day ago


Mwanaspoti Sports
Manula aliwahofia Kapombe, Tshabalala

KIPA wa Simba na timu ya Taifa ‘Taifa Stars’, Aishi Manula amesema alikosa matumaini ya kutwaa tuzo Mwanasoka Bora wa 2022 katika tuzo zilizotolewa na Baraza la Michezo la Tiafa (BMT) kutokana na ubora wa washindani wake. Katika kipengele hicho, Manula alikuwa anachuana na mabeki wa Simba, Shomari Kapombe na Mohamed Hussein ‘Tshabalala’. Akizungumza na Mwanaspoti, kipa huyo alisema hakuona dalili ya kutoboa katika tuzo hizo akizingatia kwamba alijiona kutokuwa na nafasi kubwa ya ushindi. Alisema Kapombe na Tshabalala ni...

1 day ago


Mwanaspoti Sports
Ishu ya Singida Big Stars, US Monastir usipime

KAMA ulidhani Singida Big Stars inatania basi sahau hilo unaambiwa, baada ya Kaimu Ofisa Mtendaji Mkuu, John Kadutu kuweka wazi wana malengo ya kuhakikisha kikosi hicho kinafanya vizuri ndani na nje ya mipaka ya nchi. Kauli ya Kadutu inajiri baada ya timu hiyo kuingia mkataba wa ushirikiano wa masuala ya utawala, uendeshaji na ufundi na klabu ya US Monastir ya Tunisia ikiwa ni muda mchache tu tangu icheze na Yanga kwenye Kombe la Shirikisho Afrika. “Hii ni fursa kubwa kwetu...

1 day ago


Milard Ayo General
Mohammed Hussein afunguka haya kuhusu kutoitwa kwenye timu ya Taifa, ‘Taifa Stairs’

Nahodha Msaidizi wa Club ya Simba Mohammed Hussein amesema maongezi waliyoyafanya na Kocha mpya wa Taifa Stars (andika Jina lake) akiwa na Shomari Kapombe baada ya mechi ya Simba dhidi ya Horoya yatabaki kuwa siri yake. Mohammed ameyasema haya akijibu swali la Mwandishi wa Ayo TV aliyetaka kufahamu walichoongea na Kocha huyo baada ya kusambaa

1 day ago


Milard Ayo General
Silent Ocean Ltd watoa taarifa kwa wateja wao mabadiliko ya Muda wa kazi, fahamu hapa

Ni Simba wa Bahari huyo si mwingine ni Silent Ocean Limited ambapo leo Machi 23, Machi 2023 wametoa taarifa kwa wateja wao wote kwamba katika mfumo huu wa mwezi mtukufu wa Ramadhani kutakuwa na mabadiliko ya muda wa kazi ambapo ofisi za Lumumba zitakuwa zinafunguliwa kuanzia saa mbili asubuhi mpaka Saa kumi Alasiri. Kampuni hiyo imeendelea

1 day ago


Mwanaspoti Sports
Bacca afunguka dakika 90 Yanga

BEKI wa kati wa Yanga, Ibrahim Abdallah ‘Bacca’ amesema dakika 90 alizocheza dhidi ya US Momastir zimemwongezea kujiamini na kumpa mwanya wa kuona nafasi yake kikosi cha kwanza cha timu hiyo. Bacca juzi alianza kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika na kuwa miongoni mwa mastaa waliotoa jasho lao na kuisaidia timu hiyo kutinga hatua ya robo fainali kwa mara ya kwanza kupitia makundi baada ya ushindi wa mabao 2-0. Akizungumza na Mwanaspoti, Bacca alisema ametimiza ndoto ya kwanza kucheza...

1 day ago


Mwanaspoti Sports
Mayele: Mtanikuta huku

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Fiston Mayele ambaye ameitwa kwenye kikosi cha timu ya DR Congo kinachojiandaa na mechi za kufuzu Afcon dhidi ya Mauritania Ijumaa hii, amesema hatarudi tena Tanzania ataungana na Yanga huko huko. DR Congo mara baada ya mchezo wao wa kwanza kukamilika Ijumaa hii watakuwa na kibarua kingine Machi 28 mchezo wa marudiano ugenini na baada ya hapo atawasubiri Yanga wanaokwenda kuvaana na TP Mazembe. Akizungumza na Mwanaspoti, Mayele alisema ameshawasiliana na uongozi wa timu hiyo kwa ajili...

1 day ago


Mwanaspoti Sports
Robertinho aiwekea mikakati robo fainali CAF, Yanga

SIMBA inarudi kazini leo baada ya mapumziko ya siku tatu wakitoka kufanya mauaji makubwa katika mchezo wao wa Kimataifa dhidi ya Horoya wakishinda kwa mabao 7-0 lakini kocha wao akatuma salamu wanaoubeza mziki wao. Kocha Robert Oliveira ‘Robertinho’ amezungumza na Mwanaspoti na kueleza sababu za wao kujitabiria makubwa na wanarudi kuanza maandalizi kujipanga na mechi zao zijazo za Kimataifa. Kocha huyo raia wa Brazil alisema Simba kushinda kwao mabao 7-0 sio kitu cha kubahatisha; “Nina furaha ya aina mbili, kwanza...

1 day ago


Mwanaspoti Sports
Try Again: Bocco njia ya ukocha nyeupe

MWENYEKITI wa bodi ya Wakurugenzi Simba, Salim Abdalah 'Try Again' ni kama amemshtua nahodha wao John Bocco kugeukia upande wa ukocha ambao mchezaji huyo amekuwa akitamani. Try Again ameyasema hayo wakati Simba ikisaini mkataba wa kuendeleza na kukuza vijana wa timu yao. Try Again amesema Bocco mara kadhaa amekuwa akimwambia juu ya ndoto yake ya kuwa kocha na sasa njia kwake ni nyeupe kutokana na uwekezaji ambao umeanza kufanywa kwa vijana. "Bocco nahodha wetu na wewe ndoto yako ya kuwa...

1 day ago


Mwanaspoti Sports
Chama aweka rekodi CAF, haijawahi kutokea Bongo

MABAO matatu aliyofunga dhidi ya Horoya, Jumamosi iliyopita katika ushindi wa mabao 7-0 wa Simba yamemfanya Clatous Chama kuandika historia mpya ambayo haikuwahi kuwekwa hapo kabla na mchezaji yeyote aliyewahi kucheza Ligi Kuu Tanzania Bara. Rekodi hiyo iliyowekwa na Chama ni ile ya kuingia katika 10 bora ya wafungaji bora wa muda wote wa mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika tangu yalipoanzishwa hadi sasa. Nyota huyo kutoka Zambia, kwa kufunga mabao matatu dhidi ya Horoya juzi amefikisha mabao 19 kuanzia...

1 day ago


Mwanaspoti Sports
Kocha Monastir aipa nondo nne Yanga, amtaja Mayele

KOCHA wa US Monastir, Mserbia Darko Novic ameipa Yanga nafasi kubwa ya kutinga nusu fainali ya Kombe la Shirikisho na akawapa nondo kadhaa. Novic ambaye kwao aliipiga Yanga mabao 2-0, amesema ina mambo mazuri ambayo yanawabeba na wanapaswa kuyaongezea nguvu na kuyachukulia kama silaha muhimu na wasibezwe. Alisema ubora wa kwanza wa Yanga inayoongoza kundi lao ni uwepo wa kocha Nasreddine Nabi ambaye ameiweka katika eneo salama kimbinu kutofungika kirahisi na kwamba hata ikiwa nyuma unahitaji ubora kulinda bao lako....

1 day ago


Milard Ayo General
Simba SC waingia Mkataba na MobiAd

Klabu ya Simba SC na Kampuni ya MobiAd Africa wameingia makubaliano ya udhamini kwa ajili ya kuendeleza soka la vijana katika Klabu hiyo. Udhamini huo una thamani ya shilingi milioni 500 ukiwa ni mkataba wa muda wa miaka miwili. “Soka la vijana ni muhimu sana. Ili uwe na timu ya vijana iliyo bora lazima iwezeshwe. Kama

1 day ago


Mwanaspoti Sports
Ligi Kuu Bara imewapa heshima

ILI kuthibitisha Ligi Kuu Bara imekuwa bora na ya kuvutia ni namna wageni wanavyokuja kwa wingi kucheza soka nchini, pia inawasaidia makocha na wachezaji kupata viwango bora vya kuzitumikia timu zao za taifa. Mfano mzuri ni wa Mwinyi Zahera wakati akiifundisha Yanga na aliitwa kuifundisha timu ya taifa lake la DR Congo, baada ya kuona anafanya vizuri na Wanajangwani na kwenda kusaidiana na kocha mkuu aliyekuwepo wakati huo. Hata hivyo, ligi hiyo imekuwa ikitoa nyota wa kigeni wanaoenda kuzitumikia timu...

1 day ago


Mwanaspoti Sports
UBISHI WA MZEE WA KALIUA: Umemuona Clatous Chama?

HADI leo ukiniuliza kwa nini Clatous Chama yuko Tanzania siwezi kukupa jibu la moja kwa moja. Nitajikanyaga kanyanga. Nitajigonga gonga tu. Mchezaji pekee mwenye utu na utulivu. Mchezaji mwenye akili kubwa sana ya soka. Watu wengi wanawahusudu sana wachezaji wenye mabao mengi, lakini Chama ni zaidi ya mabao. Anaufanya mpira kuonekana mchezo rahisi sana kwenye miguu yake. Unaweza kuhisi miguu yake ina sumaku. Kila mpira unapofika kwenye miguu yake unakutana na utu na utulivu. Ni wachezaji wachache wamekuwa na baraka...

1 day ago


Mwanaspoti Sports
Arafat: Yanga hii tukutane nusu fainali CAF

“NI miezi tisa ambayo ina mafanikio mengi tangu tumeingia ndani ya Yanga kwa ajili ya kuiongoza na kuipeleka kwenye lile eneo ambalo tumekuwa tukitamani kuiona Yanga ikifika. Maeneo makuu ambayo tunaelekea nayo ni kuendelea na mabadiliko, lakini pia kwenye eneo la miondombinu na kutengeneza timu imara,” anaeleza Arafat Haji, makamu wa rais wa Klabu ya Yanga wakati akianza kuelezea mwanzo wa utawala wao ndani ya timu hiyo wakati akifanya mahojiano maalumu na Mwanaspoti, huku akiendelea kusema: “Kutengeneza timu imara lazima...

1 day ago


Wasomi Ajira General
Kikosi cha Yanga Princess vs Simba Queens leo 22 March 2023

Kikosi cha Yanga Princess vs Simba Queens leo 22 March 2023   Kikosi cha Yanga Princess vs Simba Queens leo 22 March 2023 Yanga, or Young Africans Sports Club, is a Tanzanian professional football team headquartered in Jangwani, Dar es Salaam, Tanzania. The club was founded in 1935 and plays its home games at the

1 day ago


Wasomi Ajira General
Kikosi cha Simba Queens vs Yanga Princess leo 22 March 2023

Kikosi cha Simba Queens vs Yanga Princess leo 22 March 2023   Kikosi cha Simba Queens vs Yanga Princess leo 22 March 2023 A football team called Simba Sports Club is headquartered in Kariakoo, Dar es Salaam, Tanzania. It was first known as Queens, in honor of Her Majesty, the Queen of England, when it

1 day ago


Wasomi Ajira General
Matokeo Simba Queens vs Yanga Princess leo 22 March 2023

In This Article you’ll Find Out Yanga Princess vs Simba Queens Tanzania Serengeti Lite League,matokeo Yanga Princess vs Simba Queens Serengeti Lite Women’s Premier League 2022/2023,matokeo Yanga Princess vs Simba Queens leo 22 2022,Yanga Princess vs Simba Queens Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania,Yanga Princess vs Simba Queens Serengeti Lite Women’s Premier League 2022/2023,Matokeo Simba Queens

1 day ago


Mwanaspoti Sports
Simba, Yanga zishikilie 'bomba'

OFISA habari wa Simba, Ahmed Ally amesema itakuwa na maana kubwa sana kwa nchini kama klabu za Tanzania ikiwemo Simba na Yanga zitaendelea kufanya vizuri kwenye michuano ya kimataifa. Ahmed ambaye alikuwa mmoja wa wachangiaji kwenye Twitter Space ya Mwananchi alisema, "Mpira wa nchi hii umepiga hatua kubwa kwa timu za Simba na Yanga kufuzu robo fainali kwa sababu ni kwa mara ya kwanza lakini pia kuna nchi utaona ina timu moja tu kwenye hii hatua sasa hili ni jukumu...

1 day ago


Mwanaspoti Sports
Simba, Yanga zimeongeza umaarufu wa Ligi

KITENDO cha klabu za Simba na Yanga kufanya vizuri kwenye michuano ya kimataifa kimeelezwa kuwa kinaongeza umaarufu wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Hilo limeelezwa na Ofisa Habari wa Bodi ya Ligi, Karim Boimanda kwenye mjadala wa Simba, Yanga kufuzu robo fainali ya michuano ya kimataifa nini maana yake kwa soka la Tanzania na ukanda wa Afrika Mashariki ambao umejadiliwa kwenye mtandao wa kijamii wa Twitter ya Mwananchi 'Twitter Spice'. Boimanda ambaye alijikita kuongelea zaidi ligi, alisema, "Tumekuwa tukikusanya watu wengi...

1 day ago


Mwanaspoti Sports
Nguvu kiuchumi zimezibeba Simba, Yanga

MAKAMU wa Rais wa Yanga, Arafat Haji amesema kukua kwa nguvu za kiuchumi kwa klabu za Simba na Yanga imekuwa chachu kwa miamba hiyo ya soka la Tanzania kufanya vizuri kwenye michuano ya Kimataifa. Arafat amesema hayo kwenye mjadala wa Simba, Yanga kufuzu robo fainali ya michuano ya kimataifa nini maana yake kwa soka la Tanzania na ukanda wa Afrika Mashariki ambao umechukua nafasi kwenye mtandao wa kijamii wa Twitter ya Mwananchi. Kiongozi huyo ambaye alikuwa mmoja wa wachangiaji, alianza...

1 day ago


Mwanaspoti Sports
JKT Queens yaendeleza rekodi, Simba yashushwa

Dodoma. JKT Queens imeendeleza rekodi ya kutopoteza mchezo ya Ligi Kuu ya Wanawake (WPL) mara baada ya kuifunga Baobab Queens kwa mabao 3-0 katika mchezo uliofanyika jioni ya leo katika uwanja wa Jamhuri. JKT iliwachukua dakika 29 kupata bao la kuongoza lilofungwa na Jackine Shija kwa shuti la karibu mara baada ya mabeki Neema Charles na Neema John kushindwa kuokoa mpira mrefu uliopigwa na kiungo,Donesia Minja. Bao la pili lilifungwa na winga Zabela Mbwale huku la tatu likifungwa na mshambuliaji...

2 days ago


Milard Ayo General
Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)

Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Ilala Dar es Salaam limeopoa mwili wa mwanaume mmoja katika mto msimbazi maeneo ya Jangwani akiwa amefariki baada ya kusombwa na maji siku ya jumapili akijaribu kuvuka mto maeneo ya karakata saa kumi na moja jioni na maji kumshindwa na kupoteza maisha. Akiongea na Ayo tv Kaimu Mkuu

2 days ago


Mwanaspoti Sports
Firat: Wakenya tulizeni boli

KOCHA wa Harambee Stars, Engin Firat, amewataka Wakenya kuwa wavumilivu na kwamba mafanikio hayatakuja haraka kama baadhi yao wanavyodhani ila itamchukua muda kujenga timu ya taifa iliyo imara. Firat alipotua nchini kwa mara ya kwanza, alikaidhiwa mkataba wa muda mfupi lakini safari hii kocha huyo raia wa Uturuki anapewa mkataba wa miaka mitatu ambayo imempa fursa kuisoma historia ya soka la Kenya na kuja na mikakati ya kuipaisha. “Sitaki kuuza matumaini ya uongo,” alisema Firat kuhusu Stars kusajili matokeo chanya...

2 days ago