Mwanaspoti Sports

Mvua yazitibulia Singida Black Stars, Yanga uzinduzi wa Uwanja mpya

Mechi ya ufunguzi wa uwanja mpya wa Singida Black Stars baina ya timu hiyo na Yanga, imeishia katika dakika ya 57 kutokana na mvua kubwa kunyesha iliyosababisha mchezo huo kutoendelea.oy...

8 hours ago


Mwanaspoti Sports

Huu ndio uwanja mpya wa Singida BS

KLABU ya Singida Black Stars leo, Jumatatu imeandika historia mpya kwa kuzindua rasmi uwanja wake wa nyumbani hapa Mtipa unaotajwa kuwa wa kisasa zaidi katika mkoa wa Singida.

9 hours ago


Taifa Leo Sports

Genesis Sports waibuka namba wani kuogelea mbio fupi na relays Kiambu

WAOGELEAJI kutoka klabu ya Genesis Sports Limited waliibuka washindi wa taji la jumla kwenye mashindano ya Kaunti ya Kiambu ya mbio fupi na relays (mbio zinazojumuisha washiriki wanne wanaoogelea backstroke,...

10 hours ago


Mwanaspoti Sports

Fitinesi ya mastaa Tabora yamshtua Mzimbabwe

TABORA United imeshaanza maisha mapya na kocha wao mpya, Genesis Mangombe na jamaa ameshashtukia mambo fasta ndani ya kikosi chake.

10 hours ago


Mwanaspoti Sports

Kocha JKT Tanzania awaondolea mzigo Bocco, Songo

KOCHA wa JKT Tanzania, Ahmad Ally amesema anatengeneza timu ambayo haitakuwa mzigo kwa baadhi ya wachezaji, badala yake anahitaji kila anayekuwa uwanjani ajue yupo kwa ajili ya kupambania pointi tatu.

10 hours ago


Taifa Leo Sports

Rubiales akwepa jela, atozwa faini ya Sh1.4 bilioni kwa kubusu mwanasoka kwa lazima

ALIYEKUWA mkuu wa kandanda nchini Uhispania, Luis Rubiales, 47, amepatikana na hatia ya kumbusu mwanasoka Jenni Hermoso bila idhini baada ya fainali ya Kombe la Dunia la Wanawake mnamo 2023....

12 hours ago


Habari Leo Sports

Askofu Bendera ahimiza amani uchaguzi mkuu 2025

ASKOFU wa Kanisa la Ufunuo Tanzania ambaye anasimamia Mkoa wa Shinyanga Samawi Bendera amewataka watanzania kuishi kwa amani… The post Askofu Bendera ahimiza amani uchaguzi mkuu 2025 appeared first on...

14 hours ago



Mwanaspoti Sports

VIDEO: Singida BS yaingia anga za Bayern Munich kisa mashabiki

MTENDAJI Mkuu wa Singida Black Stars, Jonathan Kasano, amefichua kuwa kuanzia msimu ujao, jezi namba 12 haitavaliwa na mchezaji yeyote kwenye kikosi cha timu hiyo, badala yake itakuwa maalum kwa...

15 hours ago


Taifa Leo Sports

McCarthy akiri Stars ina mlima kufuzu Kombe la Dunia 2026

MATUMAINI ya Harambee Stars kufuzu Kombe la Dunia 2026 yalififia Jumapili baada ya kupigwa na Gabon 2-1 uga wa kitaifa wa Nyayo  Mechi hiyo ya Kundi F ilikuwa ya kusisimua...

1 day ago


Load More...

Job Vacancies





Entertainment