Mwanaspoti Sports

KMKM yainyoa Malindi, Kundemba ikijitafuta ZPL

BAO la dakika 90 lililowekwa kimiani na Salum Akida Shuruku lilimeiwezesha watetezi wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL), KMKM kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 mbele ya Malindi na kufufua matumaini...

3 hours ago


Mwanaspoti Sports

Kwa Mzamiru kumewaka, Simba ikizubaa..., Meneja afunguka

SIMBA imetuliza presha kwa Kibu Denis ambaye imefanikiwa kumbakisha, lakini sasa kuna jipya tena na ikizubaa kidogo yule mido asiyechoka mithili ya mnyama punda atang'oka baada ya kutengewa mamilioni ya...

9 hours ago


Mwanaspoti Sports

Azam yatangulia kibabe fainali FA, yazisubiri Yanga, Ihefu

AZAM FC imetangulia kwenda fainali ya Kombe la Shirikisho (FA) baada ya kuichapa Coastal Union mabao 3-0 kwenye mchezo wa nusu fainali uliopigwa leo Jumamosi kwenye Uwanja wa CCM Kirumba...

9 hours ago


Taifa Leo Sports

Kuondoka kwa Elneny kwaivua Arsenal nembo ya Uafrika

NA MWANGI MUIRURI KLABU ya Arsenal inayojivunia ufuasi mkubwa barani Afrika ikitesa katika Ligi Kuu ya Uingereza (EPL), sasa inaendelea kupoteza sura yake ya ‘Uafrika’ kwa kuwatema wachezaji weusi. Timu...

10 hours ago


Mwanaspoti Sports

GEAY: Nini Boston Marathon? Sasa ni zamu ya Olimpiki

UMEPITA mwezi mmoja tangu kufanyika kwa mashindano makubwa ya dunia ya mbio za Boston Marathon nchini Marekani, ambapo mwanariadha wa kimataifa wa Tanzania, Gabriel Geay alikuwa ni miongoni mwa nyota...

10 hours ago


Mwanaspoti Sports

GEAY: Nini Boston Marathon! Ni zamu ya Olimpiki

UMEPITA mwezi mmoja tangu kufanyika kwa mashindano makubwa ya dunia ya mbio za Boston Marathon nchini Marekani, ambapo mwanariadha wa kimataifa wa Tanzania, Gabriel Geay alikuwa ni miongoni mwa nyota...

10 hours ago


News 24 Sports

News24 | Premier League is the 'greatest league in the world' says Foden after Player of the Season crowning

Manchester City's Phil Foden has been named the Premier League's Player of the Season.

11 hours ago


Mwanaspoti Sports

MTU WA MPIRA: Ipo siku ‘ndoa’ ya Chama na Yanga itafungwa tu

HUWA nasema na nitaendelea kuamini hivyo kila siku. Clatous Chama ndiye mchezaji wa kisasa aliyeweka kiwango cha ubora kwenye Ligi ya Tanzania Bara.

12 hours ago


Mwanaspoti Sports

Ken Gold yataka mastaa wa Ligi Kuu

Ken Gold imesema itakuwa makini kufuatilia mechi zilizobaki za Ligi Kuu Bara na Kombe la Shirikisho (FA) ili kupata wachezaji watakaojumuishwa katika kikosi cha timu hiyo msimu ujao.

12 hours ago


Mwanaspoti Sports

Namba za Azam siku 108 bila Dube

ZIMETIMIA siku 108 ambazo ni sawa na miezi mitatu bila uwepo wa mshambuliaji Prince Dube ndani ya kikosi cha Azam FC, lakini kinachofurahisha ni Feisal Salum 'Fei Toto' kuendelea kukimbiza...

12 hours ago


Load More...

Trending on YouTube

Thumbnail
Harmonize Feat. Marioo - Disconnect (Official Lyrics Audio)
Thumbnail
Harmonize Feat. Marioo - Disconnect (Dance Video)
Thumbnail
Diamond Platnumz ft Khalil Harisson & Chley - Komasava (Comment Ça Va)
Thumbnail
Diamond Platnumz - Raha (Music Video) feat. Zuchu
Thumbnail
Diamond Platnumz - Komasava (Comment Ça Va) (Music Video) feat. Khalil Harisson & Chley
Thumbnail
Barnaba feat Yammi - Nibusu (Visualiser)
Thumbnail
Young Lunya - Freestyle Session 6
Thumbnail
Marioo - Hakuna Matata (Visualiser)
Thumbnail
Mbosso - Kunguru (Official Audio)
Thumbnail
Lava Lava x Diamond Platnumz - Kibango (Official Audio)

Job Vacancies





Entertainment