Habari Leo News

Kituo cha kujaza gesi CNG chakamilika asilimia 90

BODI ya Wakurugenzi na Menejimenti ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania(TPDC) imesema kituo mama cha kushindilia na… The post Kituo cha kujaza gesi CNG chakamilika asilimia 90 appeared first...

1 hour ago


Mtanzania News

Bodi ya TPDC yaridhishwa na maendeleo ya mradi wa kituo cha ujazaji gesi Mlimani

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Diogital Mwakilishi wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Paul Makanza, ameongoza ukaguzi wa maendeleo ya mradi wa kituo mama cha...

1 hour ago


Habari Leo News

Yametimia Bodi ya Ithibati wanahabari yazinduliwa

DAR ES SALAAM: WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Palamagamba Kabudi, ameizindua rasmi Bodi ya Ithibati… The post Yametimia Bodi ya Ithibati wanahabari yazinduliwa appeared first on HabariLeo.

1 hour ago


Taifa Leo News

Mimi sio ‘mjanja’, naponea kutokana na neema ya Mungu, Ruto ajitetea kanisani

RAIS William Ruto amekana madai kuwa yeye ni kiongozi mjanja anayefahamu njia za kukwepa misukosuko ya kisiasa na matukio yanayotishia kuangamiza serikali yake, kila mara. Akirejea kichwa cha habari kuu...

2 hours ago


Habari Leo News

DC Longido aisifu wizara msaada wa kisheria bure

ARUSHA: MKUU wa Wilaya ya Longido, Salum Kalli amesifu juhudi za wizara ya Katiba na Sheria kwa kuwaletea… The post DC Longido aisifu wizara msaada wa kisheria bure appeared first...

3 hours ago


Habari Leo News

Asilimia 91 ya Saccoss Geita hali mbaya

MKOA wa Geita umebainisha kuwa jumla ya Vyama vya Ushirika vya Akiba na Mikopo (SACCOS) 195 sawa na… The post Asilimia 91 ya Saccoss Geita hali mbaya appeared first on...

3 hours ago


Habari Leo News

Kabudi azindua bodi ya ithibati ya waandishi wa habari

DAR ES SALAAM: WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Palamagamba Kabudi, ameizindua rasmi Bodi ya Ithibati… The post Kabudi azindua bodi ya ithibati ya waandishi wa habari appeared...

3 hours ago


Taifa Leo News

Kibali chatafutwa kutwaa mali inayohusishwa na ‘Mathe wa Ngara’

MALI ya mshukiwa wa ulanguzi wa mihadarati Nancy Indoveria Kigunzu, almaarufu 'Mathe wa Ngara' sasa itatwaliwa ikiwa ombi lililowasilishwa mahakamani litakubiliwa. Katika ombi lake katika Mahakama Kuu, Shirika la Kutwaa...

4 hours ago


Habari Leo News

Wananchi Nayikole wafurahia miradi ya maendeleo

WAKAZI wa kijiji cha Navikole kata ya Chawi, Halmashauri ya Mji Nanyamba mkoani Mtwara, wameipongeza serikali kwa kuwaletea… The post Wananchi Nayikole wafurahia miradi ya maendeleo appeared first on HabariLeo.

4 hours ago


Habari Leo News

Bil 5/- zajenga kitengo cha tiba mionzi KCMC

SERIKALI imewekeza Sh bilioni tano za kujenga jengo la kituo cha tiba mionzi na ununuzi wa vifaatiba katika… The post Bil 5/- zajenga kitengo cha tiba mionzi KCMC appeared first...

6 hours ago


Load More...

Entertainment