Mr Makere will oversee a diverse portfolio of clients, setting business objectives, leading key projects, and supporting the rollout of new products and services.
In this future, direct flights link the US and Tanzania, carrying hundreds of thousands of American tourists every year to enjoy Tanzania’s game parks, beaches, and hotels.
Gold continues to be Tanzania’s most valuable mineral, but new data reveals that the production of other mineral resources is increasing at an impressive rate.
Sometimes, everything may seem fine on the outside, yet a quiet unrest brews within. That too is a sign. A whisper from your soul that this place no longer holds you or that the story you’ve believed in no longer belongs to you.
Maybe it’s not the dating world you miss but the version of yourself that believed in infinite stories. That freedom tasted sweet. But sweetness isn’t always sustenance.
ALIYEKUWA naibu rais Rigathi Gachagua anaonekana kurudia makosa yaliyomfanya akosane na wenzake serikalini kwa kutoa vitisho vya kisiasa vinavyoweza kuvuruga juhudi za kuunda muungano madhubuti wa upinzani kuelekea uchaguzi mkuu...
ALIYEKUWA Naibu Rais Rigathi Gachagua Alhamisi, Mei 15, 2026 anatarajiwa kutaja chama cha Democracy for Citizen Party (DCP) kama chombo kipya cha kisiasa anachotarajia kukitumia kulemaza kabisa chama cha United...
IMEKUWA vuta ni kuvute kati ya duka la jumla la Naivas na serikali ya Kaunti ya Nairobi kuhusu kufungwa kwa mojawapo la tawi lake kwa ‘tuhuma’ za kuuza bidhaa zilizoharibika....
DAR ES SALAAM: MAHAKAMA ya Rufaa ya Tanzania kwa mara ya kwanza imesikiliza kesi ya haki za binadamu ya kupinga vikwazo katika mashauri ya umma mahakamani ambapo hukumu itatolewa mara...
DODOMA: NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema serikali inaendelea kutekeleza mradi wa kupeleka umeme kwenye maeneo ya kimkakati nchini ikiwemo maeneo ya migodi midogo, maeneo ya uvuvi, viwanda na ...
INASIKITISHA kuwa afisa wa hadhi ya Katibu katika Wizara ya Fedha Chris Kiptoo bado hajang’amua hisia za Wakenya kuhusu jinsi serikali inavyotumia pesa wanazolipa kama ushuru.
Akijibu maswali kuhusu Bajeti...
RAIS wa Ufaransa, Emmanuel Macron, amesema kuwa nchi yake haina mpango wowote wa kuchochea Vita vya Tatu vya Dunia kutokana na uvamizi wa Urusi nchini Ukraine.
Katika mahojiano Macron aliahidi...
KATAVI: WABUNGE kutoka mikoa ya Katavi, Rukwa na Kigoma wametembelea Bandari ya Karema iliyopo wilayani Tanganyika, mkoani Katavi, kushuhudia maendeleo ya ujenzi wa bandari hiyo pamoja na meli nne kubwa...
BUNGE la Kitaifa limetoa muda wa majuma mawili kwa Wakenya kutoa maoni, mapendekezo au pingamizi kuhusu Mswada wa Fedha wa 2025, ambao serikali inadai haujapendekeza nyongeza ya ushuru kukwepa kero...
JANA makala hii inayotokana na mahojiano maaalumu ya Septemba 2016 baina ya vyombo vya habari vya Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN), likiwamo gazeti la HabariLEO na Makamu wa Kwanza...