Taifa Leo News

Ndindi Nyoro amuonya Ruto kuhusu kukopa zaidi huko Uchina

MBUNGE wa Kiharu Ndindi Nyoro amemwonya Rais William Ruto dhidi ya kuendelea kukopa akisema kuwa hatua hiyo itasababisha janga la kiuchumi nchini. Bw Nyoro alisema Kenya lazima iangazie njia ya...

5 hours ago


Habari Leo News

Dk. Mwilike aishauri serikali kuongeza idadi ya wakunga

DAR-ES-SALAAM: RAIS wa Chama cha Wakunga Tanzania, Dk. Beatrice Mwilike, ameishauri serikali kwa kushirikiana na wadau wengine kuongeza… The post Dk. Mwilike aishauri serikali kuongeza idadi ya wakunga appeared first...

6 hours ago


Taifa Leo News

Wapare wa Taveta walilia kutambuliwa rasmi kama Wakenya

JAMII ya Wapare kutoka eneo la Taveta, Kaunti ya Taita Taveta sasa wamepeleka kilio chao bungeni ili kutambuliwa kama Wakenya. Jamii hiyo inayoishi mpakani mwa Kenya na Tanzania imekuwa ikiishi...

7 hours ago


Taifa Leo News

Wandani wa Lissu wanyakwa wakienda kortini kusikiza kesi

DAR ES SALAAM, TANZANIA POLISI jana waliwazuilia wanasiasa wawili wakuu wa CHADEMA ambao walikuwa wakielekea kortini wakati wa kusikilizwa kwa kesi ya Kiongozi wa Upinzani Tundu Lissu. Wawili hao walikuwa...

8 hours ago


Habari Leo News

Wasanii wapewa somo kuelimisha jamii

DAR ES SALAAM; Wasanii nchini wametakiwa kutumia filamu na tamthilia kama njia ya kuelimisha jamii, badala ya kuzitumia… The post Wasanii wapewa somo kuelimisha jamii appeared first on HabariLeo.

9 hours ago


Taifa Leo News

Kaunti yakanusha madai ilihamisha Sh2.2 bilioni za madeni

Serikali ya Kaunti ya Kajiado imekanusha madai kuwa Sh2.2 bilioni  zilizotengwa kwa ajili ya kulipa madeni zilielekezwa kwa matumizi mengine. Waziri wa Fedha na Mipango ya Kiuchumi wa Kaunti hiyo,...

9 hours ago


Taifa Leo News

MAONI: Waafrika waanze kujipigania kivyao kwa sababu Trump hana muda wala nia

SIKU hizi mambo yakimwendea vibaya Mwafrika anakimbia kumlaumu Rais Donald Trump wa Amerika, hata kuhusiana na mambo ambayo kamwe hana mwao nayo. Hata kina ‘pangu pakavu tia mchuzi’ mitaani wanateta...

11 hours ago


Habari Leo News

Dereva wa basi awekwa chini ya ulinzi wodini

MOROGORO; POLISI mkoani Morogoro, imemuweka chini ya ulinzi akituhumiwa uzembe na kusababisha ajali, dereva wa basi la Kampuni… The post Dereva wa basi awekwa chini ya ulinzi wodini appeared first...

12 hours ago


Taifa Leo News

Jaribu vyakula hivi unapotatizwa na harufu mbaya kinywani

TATIZO la kutoa harufu mbaya kinywani hutokana na mambo mengi. Hata hivyo, kuna baadhi ya vyakula ambavyo husaidia kukabiliana na shida hii. Kwa mfano: Maji Kunywa maji ndio mbinu sahili...

13 hours ago


Habari Leo News

Binti aliyedai kutumwa kumuua Mpina kortini

JESHI la Polisi Mkoa wa Simiyu limemfikisha mahakamani binti aliyejitambulisha kwa jina la Pendo Paul Elikana (19) akidaiwa… The post Binti aliyedai kutumwa kumuua Mpina kortini appeared first on HabariLeo.

13 hours ago


Load More...

Job Vacancies





Entertainment