Taifa Leo News

Gachagua anavyorudia makosa yaliyofanya aondolewe serikalini

ALIYEKUWA naibu rais Rigathi Gachagua anaonekana kurudia makosa yaliyomfanya akosane na wenzake serikalini kwa kutoa vitisho vya kisiasa vinavyoweza kuvuruga juhudi za kuunda muungano madhubuti wa upinzani kuelekea uchaguzi mkuu...

49 minutes ago


Taifa Leo News

Chama cha Gachagua kimeiva, tayari kutajwa rasmi Alhamsi – Duru zasema

ALIYEKUWA Naibu Rais Rigathi Gachagua Alhamisi, Mei 15, 2026 anatarajiwa kutaja chama cha Democracy for Citizen Party (DCP) kama chombo kipya cha kisiasa anachotarajia kukitumia kulemaza kabisa chama cha United...

11 hours ago


Taifa Leo News

Kanjo wakunja mkia kuhusu jaribio la kufunga duka la Naivas kwa madai ya bidhaa zilizoharibika

IMEKUWA vuta ni kuvute kati ya duka la jumla la Naivas na serikali ya Kaunti ya Nairobi kuhusu kufungwa kwa mojawapo la tawi lake kwa ‘tuhuma’ za kuuza bidhaa zilizoharibika....

11 hours ago


Habari Leo News

Hukumu rufaa kesi ya kiraia mbioni kutolewa

DAR ES SALAAM: MAHAKAMA ya Rufaa ya Tanzania kwa mara ya kwanza imesikiliza kesi ya haki za binadamu ya kupinga vikwazo katika mashauri ya umma mahakamani ambapo hukumu itatolewa mara...

13 hours ago


Habari Leo News

Maneno ya kimkakati kufikiwa na umeme

DODOMA: NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema serikali inaendelea kutekeleza mradi wa kupeleka umeme kwenye maeneo ya kimkakati nchini ikiwemo maeneo ya migodi midogo, maeneo ya uvuvi, viwanda na ...

14 hours ago


Taifa Leo News

MAONI: Fedha za raia zikitumika vizuri hawatasita kulipa ushuru zaidi

INASIKITISHA kuwa afisa wa hadhi ya Katibu katika Wizara ya Fedha Chris Kiptoo bado hajang’amua hisia za Wakenya kuhusu jinsi serikali inavyotumia pesa wanazolipa kama ushuru. Akijibu maswali kuhusu Bajeti...

15 hours ago


Taifa Leo News

Serikali ya Ufaransa yakana madai inachochea ‘Vita vya 3 vya Dunia’

RAIS wa Ufaransa, Emmanuel Macron, amesema kuwa nchi yake haina mpango wowote wa kuchochea Vita vya Tatu vya Dunia kutokana na uvamizi wa Urusi nchini Ukraine. Katika mahojiano Macron aliahidi...

16 hours ago


Habari Leo News

Wabunge mikoa ya Magharibi watembelea Bandari ya Karema

KATAVI: WABUNGE kutoka mikoa ya Katavi, Rukwa na Kigoma wametembelea Bandari ya Karema iliyopo wilayani Tanganyika, mkoani Katavi, kushuhudia maendeleo ya ujenzi wa bandari hiyo pamoja na meli nne kubwa...

18 hours ago


Taifa Leo News

Bunge lawapa Wakenya majuma mawili kutoa maoni kuhusu Mswada wa Fedha 2025

BUNGE la Kitaifa limetoa muda wa majuma mawili kwa Wakenya kutoa maoni, mapendekezo au pingamizi kuhusu Mswada wa Fedha wa 2025, ambao serikali inadai haujapendekeza nyongeza ya ushuru kukwepa kero...

18 hours ago


Habari Leo News

Msuya asimulia makubwa ya Nyerere kabla hajafa (2)

JANA makala hii inayotokana na mahojiano maaalumu ya Septemba 2016 baina ya vyombo vya habari vya Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN), likiwamo gazeti la HabariLEO na Makamu wa Kwanza...

18 hours ago


Load More...

Job Vacancies





Entertainment