Milard Ayo News

Serikali kuunda kamati maalum kushughulikia hoja za CAG kila mwaka -DK.Mwinyi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali itafanyia kazi changamoto zote zilizojitokeza katika ripoti ya CAG na kuunda kamati maalum itakayoshughulikia kasoro za...

43 minutes ago


Milard Ayo News

Mradi wa maji kunufaisha zaidi ya watu elfu 7

Zaidi ya wananchi elfu 7 kutoka katika vitongoji vitatu kwenye kata ya Mlafu katika Halmashauri ya wilaya ya Kilolo Mkoani Iringa wanatarajia kuanza kupata maji safi na salama baada ya...

58 minutes ago


Taifa Leo News

Mafuriko yafukuza maafisa kutoka kituo chao cha polisi

NA STEPHEN ODUOR MAAFISA wa polisi zaidi ya 30 wa Kituo cha Polisi cha Gamba kilicho Kaunti ya Tana River, wamehamishwa hadi katika Kituo cha Minjila baada ya kituo chao...

2 hours ago


Milard Ayo News

Israel iliwaua zaidi ya madaktari 500 wa Gaza tangu Oktoba 7 – Mamlaka ya afya

Takriban wafanyikazi 500 wa matibabu wameuawa tangu kuanza kwa vita vya Israeli huko Gaza mnamo Oktoba 7 mwaka jana, Wizara ya Afya ya Palestina katika eneo lililozingirwa ilisema wakati ulimwengu...

3 hours ago


Milard Ayo News

Rwanda yapuuza madai ya Burundi ya kuwapa silaha waasi

Rwanda imepuuzilia mbali madai ya Burundi kwamba ililipa silaha kundi la waasi linaloshutumiwa kwa milipuko ya guruneti na kujeruhi watu kadhaa, na kuzidisha uhusiano mbaya kati ya majirani hao wa...

3 hours ago


Taifa Leo News

Linturi aondolewa mashtaka yote kuhusiana na uuzaji mchanga uliopakiwa kama mbolea

NA DAVID MWERE WAZIRI wa Kilimo Mithika Linturi ameondolewa mashtaka yote kuhusiana na uuzaji wa mchanga ukisemekana kuwa mbolea, huku wabunge wa Upinzani wakilaumu wenzao wa upande wa Serikali katika...

3 hours ago


Milard Ayo News

Putin amuondoa waziri wa ulinzi wa Urusi

Rais wa Urusi Vladimir Putin siku ya Jumapili alimfuta kazi  waziri wa ulinzi Sergei Shoigu katika mtikisiko mkubwa wa uongozi wa kijeshi wa Urusi zaidi ya miaka miwili katika mashambulizi...

3 hours ago


Milard Ayo News

TAMISEMI, afya, utumishi zasisitizwa kumaliza changamoto za wauguzi

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Wizara ya Afya, na Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora zimeagizwa kufanyia kazi changamoto...

4 hours ago


Taifa Leo News

Wazee wa mitaa sasa wanusia ajira rasmi serikalini

NA KITAVI MUTUA ZAIDI ya wazee wa mitaa 45,000 huenda wakaajiriwa hivi karibuni baada ya serikali kualika maoni kutoka kwa Wakenya kuhusu uwezekano wa kuwapatia majukumu rasmi. Hii inafuatia kukubalika...

5 hours ago


Taifa Leo News

Wamatangi atikisa UDA kwa kufufua kauli ya “Mtu Mmoja, Kura Moja, Shilingi Moja”

KAMAU MAICHUHIE NA DAVID MCHUI GAVANA wa Kiambu Kimani Wamatangi amefufua kampeni yake ya mtu-mmoja-kura-moja-shilingi moja, akitaka kaunti hiyo ipewe maeneo bunge sita zaidi kwa usawa katika ugawaji wa rasilimali...

6 hours ago


Load More...

Trending on YouTube

Thumbnail
Diamond Platnumz ft Khalil Harisson & Chley - Komasava (Comment Ça Va)
Thumbnail
Barnaba feat Yammi - Nibusu (Visualiser)
Thumbnail
Marioo - Hakuna Matata (Visualiser)
Thumbnail
Diamond Platnumz - Komasava (Comment Ça Va) (Music Video) feat. Khalil Harisson & Chley
Thumbnail
Barnaba feat Yammi - Nibusu (Lyrics Video)
Thumbnail
Lava Lava x Diamond Platnumz - Kibango (Official Audio)
Thumbnail
D Voice - Zoba (Official Music Video)
Thumbnail
Diamond Platnumz - Raha (Music Video) feat. Zuchu
Thumbnail
Nay Wa Mitego - Bachela ( Official Music Video )
Thumbnail
Harmonize - Na Nusu (Official Lyrics Video)

Job Vacancies





Entertainment