Key income streams include dividends from profit-making public entities, 15 percent contributions from the gross revenues of non-commercial institutions, loan repayments, interest earnings and other revenue avenues
Love does not remain in its first bloom forever. Time alters it. The initial rush fades, and the heart stops racing as it once did. This is where love either truly begins or begins to end.
Some people don’t just become part of your day. They become part of your memory. Their scent, their voice,… They stay installed somewhere inside you, still quietly running in the background.
Dar es Salaam. Stanbic Bank Tanzania, in collaboration with Visa, has concluded its Tap Kibingwa Campaign, a three-month initiative aimed at encouraging the use of digital payments through Stanbic Visa debit cards.
The final monthly draw, held in Dar es Salaam, awarded Sh500,000 each to five customers—Coles Josette, Irene Charles Isaka, Chisora Kennedy, Abubakar Said Salim Bakhresa, and Pietro Stella. This brought the total payout to Sh7.5 million across 15 winners selected in February, March, and April.
The bank also announced that the campaign’s grand prize winner, who will receive a new Suzuki Fronx, will be revealed in the coming...
MBUNGE wa Kiharu Ndindi Nyoro amemwonya Rais William Ruto dhidi ya kuendelea kukopa akisema kuwa hatua hiyo itasababisha janga la kiuchumi nchini.
Bw Nyoro alisema Kenya lazima iangazie njia ya...
DAR-ES-SALAAM: RAIS wa Chama cha Wakunga Tanzania, Dk. Beatrice Mwilike, ameishauri serikali kwa kushirikiana na wadau wengine kuongeza…
The post Dk. Mwilike aishauri serikali kuongeza idadi ya wakunga appeared first...
JAMII ya Wapare kutoka eneo la Taveta, Kaunti ya Taita Taveta sasa wamepeleka kilio chao bungeni ili kutambuliwa kama Wakenya.
Jamii hiyo inayoishi mpakani mwa Kenya na Tanzania imekuwa ikiishi...
DAR ES SALAAM, TANZANIA
POLISI jana waliwazuilia wanasiasa wawili wakuu wa CHADEMA ambao walikuwa wakielekea kortini wakati wa kusikilizwa kwa kesi ya Kiongozi wa Upinzani Tundu Lissu.
Wawili hao walikuwa...
DAR ES SALAAM; Wasanii nchini wametakiwa kutumia filamu na tamthilia kama njia ya kuelimisha jamii, badala ya kuzitumia…
The post Wasanii wapewa somo kuelimisha jamii appeared first on HabariLeo.
Serikali ya Kaunti ya Kajiado imekanusha madai kuwa Sh2.2 bilioni zilizotengwa kwa ajili ya kulipa madeni zilielekezwa kwa matumizi mengine.
Waziri wa Fedha na Mipango ya Kiuchumi wa Kaunti hiyo,...
SIKU hizi mambo yakimwendea vibaya Mwafrika anakimbia kumlaumu Rais Donald Trump wa Amerika, hata kuhusiana na mambo ambayo kamwe hana mwao nayo.
Hata kina ‘pangu pakavu tia mchuzi’ mitaani wanateta...
MOROGORO; POLISI mkoani Morogoro, imemuweka chini ya ulinzi akituhumiwa uzembe na kusababisha ajali, dereva wa basi la Kampuni…
The post Dereva wa basi awekwa chini ya ulinzi wodini appeared first...
TATIZO la kutoa harufu mbaya kinywani hutokana na mambo mengi.
Hata hivyo, kuna baadhi ya vyakula ambavyo husaidia kukabiliana na shida hii. Kwa mfano:
Maji
Kunywa maji ndio mbinu sahili...
JESHI la Polisi Mkoa wa Simiyu limemfikisha mahakamani binti aliyejitambulisha kwa jina la Pendo Paul Elikana (19) akidaiwa…
The post Binti aliyedai kutumwa kumuua Mpina kortini appeared first on HabariLeo.