Milard Ayo News

TANAPA yakabidhiwa cheti na TBS,chanzo utoaji huduma viwango vya kimataifa

Shirika la hifadhi za Taifa hapa nchini Tanapa limekabidhiwa cheti kwa mara ya pili na Shirika la viwango Tanzania TBS Cha umahiri wa mifumo utoaji wa huduma kwa wateja ikiwa...

12 minutes ago


Taifa Leo News

Gachagua na Karua wazika tofauti zao, waponda Ruto

ALIYEKUWA Naibu Rais Rigathi Gachagua jana alizika tofauti zake za kisiasa na kiongozi wa Narc Kenya Martha Karua na wakatangaza kuwa watashirikiana kulipa eneo la Mlima Kenya mwelekeo kisiasa. Bw...

2 hours ago


Habari Leo News

Mwinyi: Vyuo vikuu vijikite kwenye tafiti zenye tija kwa jamii

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Hussein Ali Mwinyi amevikumbusha vyuo vikuu vilivyopo nchini… The post Mwinyi: Vyuo vikuu vijikite kwenye tafiti zenye tija kwa jamii...

5 hours ago


Habari Leo News

CCM Iringa yaahidi kura za kipekee kwa Samia 2025

Chama cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Iringa kimeweka dhamira ya kuongoza kitaifa kwa idadi ya kura atakazopata mgombea… The post CCM Iringa yaahidi kura za kipekee kwa Samia 2025 appeared...

6 hours ago


Habari Leo News

Daraja la Kigongo-Busisi lafikia asilimia 96.3

WAZIRI wa Ujenzi Abdallah Ulega amesema Daraja la John Pombe Magufuli  (Kigongo-Busisi) linalounganisha mkoa wa Mwanza na Geita,… The post Daraja la Kigongo-Busisi lafikia asilimia 96.3 appeared first on HabariLeo.

6 hours ago


Habari Leo News

Tanzania yakaribisha wawekezaji vituo vya kujaza gesi vijijini

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko, amesema Tanzania inakaribisha uwekezaji kutoka Uingereza kwa ajili… The post Tanzania yakaribisha wawekezaji vituo vya kujaza gesi vijijini appeared first...

6 hours ago


Habari Leo News

Ulega ataka tathmini chanya vivuko vipya

WAZIRI wa Ujenzi, Abdallah Ulega ameutaka Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) kufanya tathmini ili kujua athari… The post Ulega ataka tathmini chanya vivuko vipya appeared first on HabariLeo.

6 hours ago


Habari Leo News

Biteko ataja mambo 7 kukuza afya, ustawi wenye ulemavu

NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko ametaja mambo saba ambayo serikali inafanya kukuza afya… The post Biteko ataja mambo 7 kukuza afya, ustawi wenye ulemavu appeared...

8 hours ago


Taifa Leo News

Gachagua ageuza kijiji cha Wamunyoro ikulu ndogo

JOMO Kenyatta, rais mwanzilishi wa Kenya, alikuwa akipenda kubarizi nyumbani kwake Ichaweri na mrithi wake Daniel Moi alipenda kualika jumbe na kupanga mikakati yao ya kisiasa katika Kabarak. Rais William...

9 hours ago


Taifa Leo News

Siogopi kuvuliwa ukatibu wa ODM, sasa asema Sifuna

KATIBU Mkuu wa ODM Edwin Sifuna amesema haogopi kuvuliwa wadhifa huo huku akipuulizia mbali uwezekano wa chama hicho kinachoongozwa Raila Odinga kuungana na kile cha UDA cha Rais William Ruto...

10 hours ago


Load More...

Job Vacancies





Entertainment