Taifa Leo General
Kenya Kwanza: Ruto asema ‘form’ ni kubembeleza vyama tanzu kukubali kuvunjwa vijiunge na UDA

NA CECIL ODONGO RAIS William Ruto mnamo Ijumaa amepigia debe pendekezo la baadhi ya vyama tanzu ndani ya Kenya Kwanza kuvunjwa ndipo viungane na UDA kuelekea uchaguzi mkuu wa 2027 ila akasema havitalazimishwa. Katibu Mkuu wa UDA Cleophas Malala amekuwa katika mstari wa mbele kupigia debe pendekezo kuwa vyama tanzu ndani UDA vivunjwe ili kuwe

7 hours ago


Taifa Leo General
Kesi dhidi ya dereva Maxine yaahirishwa kwa miezi 8 mahakama ikimruhusu kusherehekea Krismasi na familia

NA RICHARD MUNGUTI DEREVA wa Safari Rally Maxine Wahome anayekabiliwa na shtaka la mauaji, amekubaliwa kusherehekea sikukuu ya Krismasi na shamrashamra za Mwaka Mpya pamoja na familia yake baada ya Mahakama Kuu kumlegezea masharti ya dhamana. Akimruhusu Maxine kujumuika na dada yake Stephanie Wahome, dada na kaka wengine watakaosafiri kutoka ng’ambo kuja kusherehekea sikukuu hizi

8 hours ago


Taifa Leo General
Kesi ya kuzima mazungumzo Bomas kutajwa Oktoba 23

NA RICHARD MUNGUTI JITIHADA za kuzima Kamati ya Kitaifa ya Mazugumzo (NADCO ) yenye wajibu wa kukusanya maoni ya kubadilisha katiba na kutafuta suluhu ya matatizo yanayokumba nchi zimegonga mwamba baada ya Mahakama Kuu kukataa kusitisha vikao vyake. NADCO inawajumuisha wanasiasa wa mirengo ya Azimio na Kenya Kwanza. Badala ya kusitisha vikao vya kupokea maoni

9 hours ago


Taifa Leo General
Soshiolaiti Vera Sidika aduwaza mashabiki kudai bidhaa zote za wanawe huagiza ng’ambo

Na MERCY KOSKEI SOSHIOLAITI Vera Sidika, amewaacha wanamitandao vinywa wazi baada ya kudai kuwa hununua nguo za watoto wake wawili nchini Marekani kutokana na ubora wake. Kupitia kwa mtandao wake wa kijamii wa Intagram (Instastories), Alhamisi Septemba 28, 2023,Vera ambaye kwa sasa yuko Marekani, alisema kuwa alienda kufanya manunuzi na kuishia kununua nguo za Asia na Ice

9 hours ago


Taifa Leo General
Ruto akome kuwashika mateka magavana wa Azimio – Raila

NA WACHIRA MWANGI KINARA wa Azimio La Umoja-One Kenya Raila Odinga amedai kwamba Rais William Ruto anawatolea vitisho na kuwahangaisha magava wa mrengo wa Azimio, hali inayowanyima mazingira tulivu ya kutekeleza kazi zao. Bw Odinga amesema serikali imeteka baadhi ya majukumu ya magavana kinyume na katiba hali ambayo imewafanya magavana wake kushindwa kutekeleza kazi zao

9 hours ago


Milard Ayo General
Askari polisi wanawake watakiwa kuchangamkia fursa za elimu

Kamishna wa Polisi Utawala Menejimenti ya rasilimali watu, CP Suzan Kaganda amewataka askari Polisi wanawake kuchangamkia fursa za elimu ili kuongeza ujuzi na weledi wa utendaji kazi wa Jeshi la Polisi. Kamishna Kaganda ameyasema hayo leo Septemba 29, 2023 wakati wa kikao na askari Polisi wanawake kilichofanyika katika bwalo la maafisa wa Polisi Oysterbay, jijini

11 hours ago


Milard Ayo General
Ufanisi wa wataalamu waipaisha TBA

Wakala wa Majengo Tanzania TBA imesema itahakikisha Miradi yote wanayoitekeleza ya serikali na Watumishi ya Umma itaendelea kuwa Bora na kumalizika kwa wakati uliopangwa kutokana WATAALAMU waliokuwa wanaitekeleza miradi kwa ufanisi na kwa mda uliopangwa Akielezea namna Makala wa Majengo Tanzania TBA Mkoa wa Geita kwenye viwanja vya Maonyesho 6 ya Tenchonoliji ya Madini ulivyotekeleza

11 hours ago


Taifa Leo General
Maigo azikwa nyumbani Amasago

NA WYCLIFFE NYABERI  ALIYEKUWA kaimu Mkurugenzi wa Fedha katika Nairobi Hospital, Eric Maigo Onchari amezikwa nyumbani kwao katika kijiji cha Amasago karibu na kituo cha kibiashara cha Keumbu, eneobunge la Nyaribari Chache, Kaunti ya Kisii. Maigo alipatikana akiwa ameuawa katika nyumba yake ya Woodley jijini Nairobi mnamo Septemba 15, 2023. Alidungwa kisu kifuani na shingoni

12 hours ago


Mtanzania General
Wataalam Uganda watinga maonesho ya madini Geita, wapewa darasa teknolojia mpya uchimbaji madini

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital MAONESHO ya Teknolojia ya Madini yamezidi kuwa darasa kwa wadau mbalimbali baada ya wageni kutoka Wizara ya Madini ya Serikali ya Uganda kushiriki na kujifunza namna Kampuni ya GGML inavyotumia teknolojia za kisasa katika shughuli za uchimbaji wa chini kwa chini ya ardhi pamoja na wa wazi. Wageni hao walioongozwa

12 hours ago


Milard Ayo General
Mohbad: Polisi wa Lagos wamkamata Sam Larry ahusishwa na kifo cha Mohbad

Jeshi la Polisi ya Jimbo la Lagos limethibitisha kuwa Balogun Olamilekan Eletu, almaarufu Sam Larry, sasa yuko kizuizini. Sam Larry anachunguzwa kuhusu kifo cha mwimbaji wa Nigeria, Ilerioluwa Aloba, anayejulikana pia kama Mohbad. Msemaji wa amri hiyo, SP Benjamin Hundeyin, aliandika kwenye X: “Balogun Olamilekan Eletu almaarufu Sam Larry sasa yuko chini ya ulinzi wetu.

12 hours ago


Taifa Leo General
Cherargei akashifu tena Ababu, mara hii kuhusu mwanariadha aliyevamiwa na mbwa Argentina

NA MERCY KOSKEI SENETA wa Nandi Samson Cherargei amemkashifu vikali Waziri wa Michezo Ababu Namwamba kwa madai ya kukosa kuchukua hatua baada ya mwanariadha wa Kenya kushambuliwa na mbwa nchini Argentina. Mwanariadha huyo alishambuliwa na mbwa wakati wa mbio za Buenos Aires zilizofanyika Jumapili, Septemba 24, 2023. Katika taarifa kupitia mtandao wake wa kijamii Twitter,

12 hours ago


Milard Ayo General
Rais wa Urusi Vladimir Putin akutana na kamanda mkuu wa zamani wa Wagner Group

Rais wa Urusi Vladimir Putin alikutana na kamanda mkuu wa zamani wa Wagner Group kujadili kuweka vitengo vya kujitolea kwa vita vya Ukraine, chombo cha habari cha serikali ya Urusi Tass kiliripoti. Putin alinukuliwa akimwambia kamanda wa zamani Andrey Troshev, “Katika mkutano wetu uliopita, tulijadili mradi kwako kujenga vitengo vya wanajeshi wa kujitolea ambao wataweza

13 hours ago


Milard Ayo General
Man Utd wamethibitisha kurejea kwa Antony kwenye shughuli za kikosi cha kwanza

Mbrazil huyo anashirikiana na uchunguzi wa polisi kuhusu tuhuma za unyanyasaji wa nyumbani. Antony alitua nchini Uingereza mapema wiki hii akitokea nyumbani kwake, ambako hakukabiliwa na mashtaka yoyote baada ya uchunguzi wa polisi wa Brazil. Taarifa ya Manchester United iliyotolewa asubuhi ya leo inasomeka: “Tangu madai yalipotolewa kwa mara ya kwanza mwezi Juni, Antony ameshirikiana

13 hours ago


Milard Ayo General
Wananchi wadai fidia ya Milioni 500 kwa Naibu Waziri wa Nishati

Zaidi ya wanachi mia mbili wilayani Uyui waliotoa maeneo yao kupisha ujenzi wa umeme Gridi ya Taifa wameiomba serikali kuwalipa fidia ya maeneo hayo kiasi cha zaidi ya shilingi milioni 500 kwa kuwa kwasasa wamekosa maeneo mbadala ya kufanya shughuli zao za kuwaingizia kipato. Wananchi hao wametoa malalamiko hayo wakati zoezi la kuwasha wa meme

13 hours ago


Milard Ayo General
Victor Osimhen: Napoli wajibu mabishano kuhusu video ya TikTok

Klabu ya Napoli imesema “hawakuwa na nia ya kumuudhi au kumkejeli” Victor Osimhen katika chapisho la mtandao wa kijamii lakini hawakumuomba msamaha hadharani. Klabu hiyo ilishirikisha umma video kwenye akaunti yao ya TikTok ya Osimhen wa Nigeria akikosa penalti, iliyopewa jina la sauti ya juu ikisema ”Nipatie penati tafadhali”-“gimme penalty please”. Wakala wa mchezaji huyo

13 hours ago


Milard Ayo General
DRC: 1 afariki na 11 kujeruhiwa katika mlipuko wa uwanja wa michezo huko Goma

Tukio la Roketi iliyolipuka kwa bahati siku ya Alhamisi katika uwanja wa michezo katika mji wa Goma, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, kulingana na mamlaka imesemekana kuwa iliua mtu mmoja na kujeruhi kumi na mmoja, Karibu saa 4:00 jioni (14:00 GMT), kurusha roketi ya “RPG-7” ya askari wa Congo “ilidondoka bila kukusudia” risasi

13 hours ago


Milard Ayo General
Mafuriko mashariki mwa Libya yawakosesha makazi zaidi ya watoto 16,000 – UNICEF

Mafuriko mabaya ambayo yaliharibu mashariki mwa Libya mnamo Septemba 10 yaliwafanya zaidi ya watoto 16,000 kukosa makazi yao UNICEF ilionya Alhamisi (Sep. 28). Wengi zaidi wameathirika kutokana na ukosefu wa huduma muhimu, kama vile afya na usambazaji wa maji salama, shirika la Umoja wa Mataifa la watoto liliongeza. Dhoruba Daniel ilikumba miji mingi ikijumuisha Derna,

15 hours ago


Milard Ayo General
Mali yashuhudia mashambulizi kwenye vituo 3 vya jeshi katika siku mbili zilizopita

Jeshi la Mali limeripoti mashambulizi katika vituo vyake vitatu kaskazini, magharibi na katikati mwa nchi tangu Jumatano, huku wapiganaji wanaotaka kujitenga na wanajihadi kutoka kundi lenye mafungamano na al-Qaeda Groupe de soutien à l’islam et aux musulmans (GSIM) kila mmoja akidai udhibiti wa muda wa wawili wao. Jeshi lilisema kwenye mitandao ya kijamii Alhamisi jioni

15 hours ago


Milard Ayo General
Eswatini kufanya uchaguzi wa wabunge

Uchaguzi wa wabunge unaafanyika Ijumaa hii nchini Eswatini, zamani ikiitwa Swaziland, nchi ya mwisho barani Afrika iliyo chini utawala wa kifalme wenye nguvu. Baadhi ya wapiga kura 585,000 waliojiandikisha wameitishwa kuchagua wabunge 59 wa Bunge. Isipokuwa kwamba vyama vya siasa havijaidhinishwa kushiriki katika kupiga kura na kwamba Bunge lina jukumu la kushauriana tu. Hii ni

15 hours ago


Milard Ayo General
Waziri Mkuu wa zamani wa Burundi afikishwa mahakamani baada ya miezi 5 kizuizini

Waziri Mkuu wa zamani wa Burundi, Alain-Guillaume Bunyoni, amefikishwa mahakamani siku ya Alkhamisi, akituhumiwa kuhatarisha usalama wa taifa na kumtusi rais. Alain-Guillaume Bunyoni, ambaye alikuwa Waziri Mkuu tangu mwezi Juni 2020, alifutwa kazi mnamo mwezi Septemba 2022, siku chache baada ya rais Evariste Ndayishimiye kushutumu majaribio ya “mapinduzi ya serikali”. Nafasi yake ilichukuliwa na Waziri

15 hours ago


Milard Ayo General
Janga la milipuko ya magonjwa nchini Sudan laongezeka

Hali ya afya imeendelea kudorora nchini Sudan, huku kukiwa na ongezeko la magonjwa ya milipuko ya msimu, imeibua wasiwasi mkubwa wakati huu pia kukiendelea mapigano kati ya vikosi vya serikali na wapiganaji wa RSF. Wizara ya afya nchini Sudan, imekiri kuibuka kwa visa vya homa ya dengue, malaria, na kipindupindu katika maeneo mbalimbali ya nchi.

15 hours ago


Milard Ayo General
UNHCR: Zaidi ya wahamiaji 180,000 wameingia Ulaya mwaka huu

Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limetangaza kuwa, takribani watu 186,000 wamewasili Ulaya kupitia bahari ya Mediterania mwaka huu. Mkurugenzi wa ofisi ya UNHCR mjini New York Ruven Menikdiwela ameliambia Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwamba watu 130,000 wamesajiliwa nchini Italia idadi hiyo ikiwa ni ongezeko la asilimia 83 ikilinganishwa

15 hours ago


Milard Ayo General
Rais Putin amekutana na mbabe wa kivita wa Libya jijini Moscow

Rais wa Vladimir Putin wa Urusi amefanya mazungumzo na kiongozi wa kijeshi Mashariki ya Libya Khalifa Haftar jijini Moscow. Vikosi vya Jenerali Haftar, vilitegemea pakubwa wapiganaji wa Urusi Wagner, ambao kwa sehemu kubwa bado wangali mashariki mwa Libya. Msemaji wa Kremlin amesema viongozi hao wamejadiliana kuhusu hali ya nchini Libya na eneo hilo la mashariki.

15 hours ago


Taifa Leo General
Salasya: Natafuta mwanamke Mzungu wa kuoa

NA MERCY KOSKEI Mbunge wa Mumias Mashariki Peter Salasya amefichua kuwa anatafuta mwanamke Mzungu wa kuchumbiana naye. Mwanasiasa huyo mcheshi kupitia kwa mtandao wake wa kijamii wa Twitter Alhamisi Septemba 28, 2023, alichapisha kuwa anataka kuoa mwanamke mzungu, jambo lililoibua hisia tofauti mitandaoni. “Nimetamani sana kuchumbiana na mwanamke mzungu kwa muda mrefu. Nataka mwanamke Mzungu

16 hours ago


Milard Ayo General
Jeshi la polisi mkoa wa Simiyu latoa elimu uvuvi salama

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Simiyu, Kamishnaa Msaidizi wa Polisi Edith Swebe akiwa amengozana na Mkuu wa Polisi Jamii mkoani humo ACP Mayunga R. Mayunga ametoa elimu ya uvuvi salama kwa Wananchi wa Vijiji vya Mwaburugu, Nyamikoma na Ihale Wilayani Busega katika fukwe za Ziwa Victoria. Kamanda Swebe ameitaka jamii inayojishughulisha na uvuvi kuzingatia usalama

16 hours ago


Taifa Leo General
Maeneo bunge yasiyo na idadi tosha ya watu kumezwa

NA MERCY KOSKEI UFICHUZI kwamba, karibu maeneo bunge 40 nchini yatafutiliwa mbali kwa sababu hayajatimiza idadi ya watu wanaohitajika kulingana na sheria, umeibua wasiwasi miongoni mwa wabunge wanaoyawakilisha. Hayo yalifichuka Jumatano, wakati wa warsha kuhusu mageuzi katika mfumo wa uchaguzi iliyofanyika katika mkahawa mmoja mjini Nakuru. Kulingana na sheria, kila mojawapo ya maeneo bunge 290

16 hours ago


Milard Ayo General
Maofisa kutoka shirika la hifadhi za taifa wapata mafunzo ya ushirikishwaji wa jamii

Maafisa wa shirika la hifadhi za Taifa TANAPA,wamepatiwa mafunzo kutoka Kamisheni ya Polisi Jamii Dawati la Ushirikishwaji Jamii ambayo yamelenga kuwajengea uwezo wa namna bora ya ushirikishwaji Jamii. Akitoa Mafunzo hayo Jijini Arusha katika Ukumbi wa Mikutano wa mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro Mrakibu wa Polisi SP Dkt. Ezekiel Kyogo amesema ulimwengu wa sasa hususani

16 hours ago


Taifa Leo General
Makabila makubwa yajinyakulia nafasi nyingi za ajira katika Idara ya Magereza yale madogo yakiachwa kwa mshangao

NA CHARLES WASONGA JAMII za Wakenjin, Wakikuyu, Wakamba na Waluhya ndizo zilizo na uwakilishi mkubwa katika Huduma za Magereza Nchini Kenya (KPS). Maafisa kutoka jamii hizo ndio wengi zaidi ambapo idadi ya Wakalenjin ni 5,723 wakifuatwa na Wakikuyu ambao ni 5,335 huku idadi ya maafisa kutoka jamii ya Wakamba ikiwa 3,278. Jamii ya Waluhya inashikilia

17 hours ago


Taifa Leo General
Kilio mwanamume aliyeenda kusomea Afrika Kusini akiuawa na wateja wake wa teksi

NA KASSIM ADINASI FAMILIA moja ya Muhanda, eneobunge la Gem inataka majibu baada ya kijana wao aliyeenda kusomea nchini Afrika Kusini kuaga dunia katika mazingira tata. Enock Wamare Hosea almaarufu ‘Blacky’ aliyekuwa na umri wa miaka 30, alikuwa akiishi mjini Cape Town nchini Afrika Kusini kwa miaka 11. Alikuwa mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Cape Town

19 hours ago


Taifa Leo General
Wanaharakati washinikiza karani wa Bunge la Kaunti ya Nairobi ajiuzulu

NA WINNIE ONYANDO KIKUNDI cha Bunge la Mwananchi sasa kinamtaka karani wa Bunge la Kaunti ya Nairobi, Edward Gichana kujiuzulu kwa madai ya kuendeleza ufisadi. Kikundi hicho kikiongozwa na Francis Awino kinadai kuwa mabilioni ya fedha yametumika kwa njia isiyofaa chini ya karani huyo. Akirejelea ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa serikali wa kaunti mbalimbali mwaka

1 day ago


Taifa Leo General
Wakazi wa Rabai wapigwa kimaisha minazi ikikauka

NA ALEX KALAMA WAKAZI wa Rabai katika Kaunti ya Kilifi wamepigwa kimaisha baada ya minazi mingi kukauka msimu wa kiangazi kilichopita. Wakiongozwa na Mama Cathrine Luvuno kutoka Chang’ombe, wakazi hao wamesema kuwa viwango vya umaskini eneo hilo vimeongezeka kutokana na hali hiyo, ikikumbukwa kuwa mti wa mnazi huwa kitega uchumi kikubwa katika jamii hiyo ya

1 day ago


Mtanzania General
Pinda awaonya viongozi wanaosababisha migogoro ya mipaka

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Geophrey Pinda ameonya baadhi ya viongozi wanaosababisha migogoro ya ardhi ya mipaka isiyo na tija kwa Taifa. Pinda amesema hayo wakati Septemba 27, alipokutana na Watumishi wa Sekta ya Ardhi mkoa wa Tanga ambapo alibaini kuwa Wizara yake inatatua migogoro mingi

1 day ago


Mtanzania General
Nyumbu Fc, Polisi Tanzania hakuna mbabe

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Timu ya Soka ya Nyumbu ya mkoani Pwani inayojiandaa na ligi daraja la Pili imetoka sare ya goli 1-1 na timu ya Polisi Tanzania kwenye mchezo wa kirafiki uliofanyika kwenye uwanja wa Chuo Cha Polisi Kurasini Jijini Dar es Salaam. Timu ya Nyumbu huo ni mchezo wake wa pili wa

1 day ago


Mtanzania General
Nchi jirani ruksa kutumia Reli za Tanzania-Serikali

Na Mwandishi wetu, Mtanzania Digital Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Prof. Godius Kahyarara amesema kufutia mabadiliko ya Sheria katika Mashirika ya Reli hapa nchini hivi sasa kampuni binafsi na mashirika ya reli katika nchi jirani zitapata fursa ya kutumia Reli kusafirisha mizigo yao kupitia Tanzania na sehemu nyingine. Akizungumza Septemba 27, 2023 jijini Dar

1 day ago


Taifa Leo General
Jamii ya wafugaji Lamu yadai vita dhidi ya ugaidi vinailenga bila ushahidi

NA KALUME KAZUNGU JAMII ya wafugaji katika Kaunti ya Lamu sasa inadai kwamba idara ya usalama eneo hilo inawalenga katika vita dhidi ya ugaidi. Hii ni kufuatia visa vya kujirudiarudia vya wafugaji kupotezwa katika hali tatanishi na watu wanaoadaiwa kuwa ni maafisa wa usalama. Kisa cha hivi punde zaidi cha mfugaji kutoweka asijulikane aliko ni

1 day ago


Taifa Leo General
WAMEMKALIA CHAPATI? Madiwani waendelea kumkalia ngumu Sakaja

NA WINNIE ONYANDO SERIKALI ya Kaunti ya Nairobi inayoongozwa na Gavana Johnson Sakaja itaendelea kuumia zaidi baada ya madiwani kutaka muda wa ushirikishi wa umma kuhusu Mswada wa Fedha 2023 kuongezwa kwa kipindi cha mwezi mmoja. Madiwani hao wanasema kuwa muda huo utawawezesha wakazi wa Nairobi kuelewa mswada huo wa fedha kabla haujapitishwa na bunge

1 day ago


Taifa Leo General
Jirani asimulia jinsi alivyompata Assad Khan akiwa hoi kwa kuvuja damu nyingi

NA RICHARD MUNGUTI SHAHIDI Francis Gitonga aliyejitolea kumpeleka dereva wa Safari Rally Assad Khan katika Nairobi Hospital, ameambia Mahakama Kuu mnamo Alhamisi kwamba alimpata akiwa hoi kwa kuvuja damu nyingi. Alisema hayo wakati wa kusikilizwa kwa kesi dhidi ya dereva Maxine Wahome, mrembo aliyekuwa akiishi na Khan na ambaye ndiye mshukiwa mkuu wa mauaji hayo.

1 day ago


Taifa Leo General
Serikali yaendelea kuchemsha chuma cha kuchoma Al-Shabaab

NA ALEX KALAMA SERIKALI ya kitaifa kupitia Wizara ya Usalama wa Ndani nchini imewahakikishia wakazi wa Pwani, Kaskazini Mashariki na Wakenya kwa ujumla kwamba inaendelea kutumia nguvu zote kukabiliana na ugaidi. Akizungumza na wanahabari mjini Malindi mnamo Alhamisi, katibu katika Wizara ya Usalama wa Ndani Dkt Raymond Omollo amesema mikakati hiyo, ikiwemo vikao na wakuu

1 day ago


Taifa Leo General
Kesi dhidi ya washukiwa wa uteketezaji wa ofisi za chama cha Ruto kusikilizwa Oktoba 4

NA KASSIM ADINASI KESI dhidi ya washukiwa watano wa uteketezaji wa ofisi za chama cha Rais William Ruto itasikilizwa mnamo Oktoba 4, 2023, miezi mitano baada ya tukio hilo. Ofisi hizo za United Democratic Alliance (UDA) ziliteketezwa mnamo Machi 30, 2023, wakati wa maandamano yaliyoitishwa na muungano wa Azimio la Umoja-One Kenya. Waliokamatwa ni Michael Ochieng, Felix

1 day ago


Taifa Leo General
El Nino: Wanaoishi mtoni kuhamishwa ‘cha lazima’

NA SAMMY KIMATU SERIKALI imeamua kuwaondoa kwa nguvu wakazi ambao wanaishi karibu na mto Ngong na pia kubomoa nyumba zote zilizojengwa katika kingo za mto Ngong. Akiongea Alhamisi, naibu kamishna kaunti ndogo ya Starehe, Bw John Kisang, alisema serikali iko mbioni kuchukua tahadhari za mapema kukabiliana na athari za mvua ya El Nino iliyotabiriwa na

1 day ago


Taifa Leo General
Mbarak aonya kuhusu uwezekano wa maafisa wa umma kutumia El Nino kama kisingizio cha wizi wa pesa za umma

NA CHARLES WASONGA AFISA Mkuu Mtendaji wa Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) Twalib Mbarak ameonya kuhusu njama ya baadhi ya magavana na maafisa katika serikali kuu kupora pesa za umma kwa kizingizio cha kujiandaa kwa mvua kubwa ya El Nino. Bw Mbarak alifichua kuwa tume hiyo imekusanya habari za kijasusi kwamba baadhi

1 day ago


Mtanzania General
Nape awakumbusha watumiaji wa mitandao ya kijamii kulinda usalama

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Waziri wa Habari Mawasilino na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amewataka wananchi pamoja na kuwa wanatumia mitandao ya kijamii wahakikishe wanalinda usalama wa jamii na ni muhimu kulinda utamaduni wa Bara la Afrika. Nape ametoa kauli hiyo leo Septemba 28, jijini Dar es Salaam waziri huyo wakati wa uzinduzi wa

1 day ago


Taifa Leo General
Mchango: Familia ya mtandaoni yampa mtangazaji Kimani Mbugua bega la kuegemea

NA MARY WANGARI MWANAHABARI nyota wa zamani katika runinga ya Citizen amejitokeza kuomba msaada kwa Wakenya baada ya kupambana na maradhi ya akili (bipolar) kwa miaka miwili. Kupitia video aliyorekodi na kuisambaza Jumapili kwenye mitandao ya kijamii na iliyofikia Taifa Leo, kijana Kimani Mbugua amefichua kwamba maisha yalianza kumwendea segemnege mnamo 2020 alipogunduliwa kuwa na

1 day ago


Taifa Leo General
Polisi wazima krusedi ya Pasta Ezekiel mjini Kilifi

NA MAUREEN ONGALA POLISI wametia breki krusedi kubwa ya mhubiri wa kanisa la New Life Prayer Centre and Church, Ezekiel Odero. Pasta Ezekiel alikuwa amepanga kuwa na ibada katika shamba la Kwa Kenga Mupa kwenye makutano ya kwenda eneo la Basi katika barabara kuu ya Kilifi-Malindi kwa siku tano. Kamanda wa polisi wa Kilifi Kaskazini

1 day ago


Taifa Leo General
Mama mmoja Kwale asimulia jinsi genge lilivyompiga mwanawe kwa saa mbili na kumuua

NA FARHIYA HUSSEIN FAMILIA moja kutoka eneo la Kaza Moyo katika Kaunti ya Kwale inalilia haki baada ya jamaa wao kuuawa kwa njia tatanishi. Kulingana nao, asubuhi ya Septemba 15, 2023, kijana Jacob Nyae Ngala aliyekuwa na umri wa miaka 23 alikuwa ametoka kuoga huku akiwa amekaa nje ya nyumba yao akipata kiamsha kinywa. “Dakika

1 day ago


Mtanzania General
Upungufu wa umeme unachangiwa na kukua kwa uchumi-TANESCO

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limebainisha kuwa asilimia 12 ya changamoto ya upungufu wa umeme katika vituo vyao vya uzalishaji unachangiwa na ongezeko la mahitaji ya umeme kutokana na kukua kwa shughuli za kiuchumi na upungufu wa maji kwenye vituo vya kufufua umeme. Akizungumza Septemba 27, jijini Dar es Salaam

1 day ago


Taifa Leo General
Wabunge wazima utekelezaji wa ripoti ya Munavu

NA CHARLES WASONGA BUNGE la Kitaifa limepiga breki utekelezaji wa mapendekezo ya ripoti ya Jopokazi la Rais kuhusu Mageuzi katika Sekta ya Elimu nchini, likisema baadhi ya mapendekezo yake yanakiuka Katiba. Aidha, wabunge wamelalamika kuwa baadhi ya mapendekezo ya jopokazi hilo lililoongozwa na Profesa Raphael Munavu, yameanza kutekelezwa kabla ya kuwasilishwa bungeni. Kwenye mjadala ulioshamiri

1 day ago


Taifa Leo General
Kauli za Ndii zaashiria kuna nyufa katika Ikulu ya Rais?

NA WANDERI KAMAU MASWALI yameibuka kuhusu ikiwa mwenyekiti wa Baraza la Washauri wa Rais kuhusu Uchumi (CEA), Dkt Dadid Ndii, hatimaye amemgeuka Rais William Ruto na serikali anayoongoza ya Kenya Kwanza. Hili linatokana na kauli tata ambazo msomi huyo amekuwa akitoa katika siku za hivi karibuni, wengi wakisema kuwa huenda ametofautiana na utawala wa Rais

1 day ago


Mtanzania General
Serikali: Tutaendelea kuunga mkono uzazi salama

*Ni baada ya UNFPA na UK AID kuikabidhi vifaa vya uzazi wa mpango Na Faraja Masinde, Mtanzania Digital Serikali imeeleza kuwa itaendelea kuunga mkono uzazi salama kwani unasaidia afya ya mama na kumwezesha mtoto kuwa na utimamu mzuri wa mwili na akili. Hayo yameelezwa Septemba 26, 2023 na Mkurugenzi Msaidizi wa Huduma za Mama na Mtoto, Wizara

2 days ago


Milard Ayo General
Kwa mara ya kwanza TANESCO yaeleza sababu za kukatika Umeme nchini (video+)

Ni Septemba 27, 2023 ambapo Shirika la Umeme nchini TANESCO limekutana na vyombo vya habari kueleza sababu ya kukatika kwa Umeme. Kwa taarifa kamili unaweza ukabonyeza play kufahamu zaidi.

2 days ago


Peruzzi