NA ALEX KALAMA MAHAKAMA Kuu ya Malindi imemuachilia kwa dhamana mchungaji tata Paul Mackenzie wa kanisa la Good News International ambaye anadaiwa kuwaua watoto na kuwazika katika hali tatanishi huko Shakahola eneobunge la Magarini. Akiwa mbele ya hakimu mkuu Olga Onalo wa mahakama hiyo, mchungaji Paul Mackenzie ameyakana mashtaka dhidi yake na kuachiliwa kwa dhamana
3 hours ago
Makamu wa kwanza wa rais wa Marekani siku ya jumamosi ataanza safari ya kwanza ya kihistoria akiwa ofisini barani Afrika, na vituo vimepangwa ni pamoja na nchini Ghana, Tanzania na Zambia wakati wa ziara yake ya wiki moja. Anaendeleza mawasiliano ya utawala wa Biden kwa nchi za Kiafrika huku kukiwa na ushindani kutoka China na
3 hours ago
Mlipuko wa virusi vya Marburg nchini Equatorial Guinea umesababisha vifo vya watu 20 katika kipindi cha miezi miwili iliyopita, Shirika la Afya Duniani limesema Alhamisi. Mlipuko wa homa ya kuvuja damu, ambayo inafanana na ugonjwa hatari wa Ebola, sasa umeenea na kuvuka jimbo la Kie-Ntem, ambako ulisababisha vifo vya kwanza kujulikana mwezi Januari. Ugonjwa huo
7 hours ago
NA ALEX KALAMA WAZIRI wa maji katika serikali ya Kaunti ya Kilifi Said Omar amekiri kuwa serikali ya kaunti hiyo pamoja na kampuni za usambazaji maji eneo hilo zinadaiwa deni kubwa na kampuni ya umeme ya Kenya Power deni ambalo limesababisha wenyeji kukosa maji kutokana na kukatwa kwa umeme. Akizungumza na wanahabari mjini Malindi waziri
8 hours ago
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa Wazazi na Walezi kuwalea Watoto na Vijana kwa kuzingatia maadili ya kitanzania pamoja na kuongeza umakini katika maudhui yanayooneshwa katika Televisheni. Dr. Mpango ameyasema haya wakati akiongea na Waumini wa Kijiji cha Kasumo Mkoani Kigoma baada ya kushiriki Ibada ya
8 hours ago
NA MARY WANGARI SENETA Maalum katika Kaunti ya Nairobi, Karen Nyamu, amewasilisha rasmi bungeni mswada unaopendekeza kuongezwa kwa viwango vya chini zaidi vya mshahara kwa watumishi wa umma nchini. Endapo utapitishwa kuwa sheria, mswada huo uliowasilishwa Jumatano utawezesha wafanyakazi wanaopata kiwango cha chini zaidi cha mshahara kutia mfukoni kiasi cha hadi Sh22,680 kutoka Sh15,120 wanazolipwa
9 hours ago
MAUREEN ONGALA Na ALEX KALAMA FAMILIA za watoto wawili inaodaiwa walinyimwa chakula, wakauawa na kuzikwa kisiri na mama yao kwa ushirikiano na mhubiri wa kanisa lao zimetaka polisi wahakikishe kanisa hilo limefungwa. Mnamo Jumatano, polisi wa Malindi walimkamata mhubiri wa Kanisa la Good News International Ministries, Bw Paul Mackenzie katika eneo la Chakama, eneobunge la
10 hours ago
NA CHARLES WASONGA RAIS William Ruto amemteua aliyekuwa Msimamizi wa Bajeti (CoB) Agnes Odhiambo kuwa Mkuu wa Kusimamia Kitengo cha Utekelezaji wa Huduma za Serikali (GDU) katika teuzi alizofanya Alhamisi, Machi 23, 2023. Kwa upande mwingine, aliyekuwa Wakili wa Serikali Ken Ogeto ameteuliwa kuwa mshauri wa Rais Ruto kuhusu Masuala ya Kisheria huku Kansa Nzai
10 hours ago
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital “Nampongeza Rais Dk. Samia Suluhu Hassan wa kufungua milango katika utendaji kazi wa vyombo vya habari Tanzania, vyombo vya habari sasa visiwe vioga katika kutekeleza majukumu yake. Ameonesha namna anavyohitaji vyombo hivyo kuwa huru, wanahabari nao watumie nafasi hiyo kuimarisha uhuru wao,” Balozi Boer. Ni kauli ya Balozi wa Uholanzi
11 hours ago
NA CHARLES WASONGA RAIS William Ruto amelaumiwa kwa kuendelea kunyonga demokrasia tangu alipoingia mamlakani mwaka jana hali ambayo imeanza kuitia doa serikali yake changa. Dkt Ruto ameelekezewa lawama kwa kuonekana kuhujumu uhuru wa vyombo vya habari, kuidhinisha ubinafsishaji wa mashirika ya serikali bila kushirikisha bunge na kuharamisha maandamano ya amani kinyume na kibali kinachotolewa na
13 hours ago
JAMES MURIMI Na JUSTUS WANGA NAIBU wa Rais Rigathi Gachagua na kinara wa Azimio Raila Odinga mnamo Alhamisi walishikilia misimamo yao mikali huku wakisema hawako tayari kwa mazungumzo baina ya serikali na Upinzani. Bw Odinga alikanusha madai anaongoza maandamano ili ‘akiribishwe’ katika serikali ya Kenya Kwanza. Akizungumza katika jumba la Capitol Hill, Nairobi, Bw Odinga
14 hours ago
Waliochaguliwa Kujiunga na Polisi 2023 Selected to Join the Police 2023, Walioitwa kazini Jeshi la Polisi 2023, Download PDF Majina waliochaguliwa jeshi la Polisi 2023 Waliochaguliwa Kujiunga na Polisi 2023 Selected to Join the Police 2023 ADVERTISEMENT TO REPORT POLICE SCHOOL MOSHI TO YOUNG PEOPLE SELECTED TO JOIN THE ARMY TANZANIA POLICE 1. The
19 hours ago
NA KEYA NEWS AGENCY MWANAHABARI mkongwe Salim Mohammed aliyehudumu katika Huduma ya Mawasiliano ya Rais (PPS), Sauti ya Kenya na BBC, amepumzishwa leo Alhamisi mjini Mombasa. Mwanahabari huyo aliaga dunia na kuzikwa katika Makaburi ya Kiislamu ya Sarigoi kuambatana na Imani ya Kiislamu. Marehemu ni baba mkwe wake mfanyabiashara wa Mombasa, Bw Abubakar Joho. “Alikuwa
23 hours ago
*…litatumika pia kumuombea Rais Dk. Samia Na Beatrice Kaiza, Mtanzania Digital Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion inayoandaa matamasha mbalimbali ya Injili nchini, Alex Msama amesema Tamasha la Pasaka mwaka huu litakuwa la kihistoria na kufanyika bure. Amesema tamasha litafanyika katika viwanja vya Leaders Club Kinondoni jijini Dar es Salaam na kwamba hakutakuwa na kiingilio,
1 day ago
Kinyang’anganyiro cha kuwania nafasi ya ujumbe wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa (NEC )mkoa wa Arusha, kimeanza rasimi leo mara baada ya vigogo kadhaa kujitokeza kuchukua fomu kuwania nafasi hiyo. Miongoni mwa waliojitokeza ni Mbunge wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki(EALA) James ole Millya ambaye alisema amejipanga vema kukitumikia chama cha Mapinduzi kipitia mkoa
1 day ago
NA WYCLIFFE NYABERI RAIS William Ruto amemtaka kinara wa ODM Raila Odinga asitishe maandamano na badala yake ampe nafasi awatimizie Wakenya ahadi alizotoa wakati wa kampeni. Ruto akiwa kwenye ziara katika eneo la Gusii, amemsuta Bw Odinga kwa maandamano ya Jumatatu wiki jana hasa jijini Nairobi na Kisumu aliyosema yalisababisha uharibifu mkubwa wa mali, huku akisema
1 day ago
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Kamati ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii imeishauri serikali kuongeza bajeti ya usimamizi wa masuala ya usalama na afya ili kuuwezesha Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) kuzuia ajali, magonjwa na uharibifu wa mali katika shughuli za uzalishaji hususan miradi mikubwa ya maendeleo jambo ambalo
1 day ago
Kamati ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii imeishauri Serikali kuongeza bajeti ya usimamizi wa masuala ya usalama na afya ili kuuwezesha Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) kuzuia ajali, magonjwa na uharibifu wa mali katika shughuli za uzalishaji hususan miradi mikubwa ya maendeleo jambo ambalo litaongeza kasi ya ukuaji wa
1 day ago
NA RICHARD MUNGUTI DEREVA wa Uber ameshtakiwa kwa kumteka nyara afisa mkuu wa polisi na kumzuilia kwa muda mrefu kabla ya kuokolewa na wenzake katika barabara ya Ngong, Kaunti ya Nairobi, Jumatano. Francis Karanja Wango aliyefikishwa mbele ya hakimu mkuu Susan Shitubi alikanusha mashtaka matatu ya kumteka nyara Inspekta Joseph Osugo, kukataa akitiwa nguvuni, na kuwazuia watumizi
1 day ago
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Mkurugenzi Msaidizi anayeshughulika na Operesheni pamoja na Uratibu wa shughuli za Maafa kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu, Luteni Kanali Selestine Masalamado ameongoza ujumbe wa kutoka Tanzania kupeleka misaada ya unga, mahindi, mablanketi, mahema na madawa mbalimbali ambayo yatasaidia wahanga wa Kimbunga Freddy kilichotokea nchini Malawi. Luteni
1 day ago
Bunge la Serikali ya Wanafunzi wa chuo Kikuu Huria Tanzania limepongeza Juhudi na jitihada zilizofanywa na Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dokta Samia Suluhu Hassan katika utumishi wake kwa miaka miwili ya Uongozi wake. Tamko hilo limetolewa leo Mkoani Manyara katikaKikao Cha 42 Cha Serikali ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu Huria Tanzania (OUTSO).
1 day ago
Wakati Aprili 13, ikiwa ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Baba wa Taifa la Tanzania, Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere Kampuni ya Repatriation kwa Kushirikiana na Clouds Media Group wameandaa harambee ya kuchangisha fedha kwa ajili ya uandaaji wa makala ya Mwalimu Nyerere. Akizungumzia mchakato huo ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais Mstaafu wa
1 day ago
Na Faraja Masinde, Mtanzania Digital Taasisi ya Nyumba ya Watumishi Housing Investment (WHI) imenza kutekeleza agizo la Serikali la kubadilisha matumizi ya flemu za biashara kuwa nyumba katika mradi wa Magomeni jijini Dar es Salaam. Itakumbukwa agizo hilo lililotolewa Jumanne Septemba 27, 2022 na Waziri wa Ofisi ya Rais- Menejimenti ya Utumishi wa Umma na
1 day ago
NA WINNIE ONYANDO UMOJA wa Mataifa na Amerika zimelaani hatua ya nchi ya Uganda kuharamisha ushoga nchini humo. UN na Amerika zinasema kuwa msimamo wa nchi hiyo inaendea kinyume na haki za binadamu. Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa alimtaka Rais wa Uganda Yoweri Museveni kutotia saini mswada huo. Volker Türk
1 day ago
NA MASHIRIKA PARIS, Ufaransa KIUNGO mshambuliaji Antoine Griezmann wa klabu ya Athletico Madrid anafikiria kujiondoa kwenye timu ya taifa ya Ufaransa baada ya kocha Didier Deschamps kumpa Kylian Mbappe wa Paris Saints-Germain (PSG) unahodha wa kikosi hicho. Duru zimesema Giezmann mwenye umri wa miaka 32 alitarajiwa kupewa jukumu hilo kama mchezaji wa miaka mingi kwenye
1 day ago
NA RUSHDIE OUDIA VIONGOZI wa Muungano wa Wanafunzi wa Vyuo Vikuu nchini (KUSO) wameafikiana kuwa watajiunga na maandamano ambayo yameitishwa na Kinara wa Azimio la Umoja-One Kenya Raila Odinga mara mbili kila wiki. Kupitia muungano huo, wanafunzi hao walisema kuwa gharama ya maisha nchini inaendelea kupanda na ni kupitia tu maandamano hayo ndipo serikali itawajibika
1 day ago
Mkurugenzi mtendaji mkuu wa TikTok anapanga kuwaambia wabunge mjini Washington leo kwamba data ya watumiaji milioni 150 wa programu hiyo nchini Marekani na atakabiliwa na wasiwasi kuhusu usalama wa data na usalama wa watumiaji huku akitoa hoja yake kwa nini programu maarufu ya kushiriki video haifai na kupigwa marufuku. Ushahidi wa Shou Zi Chew unakuja
1 day ago
NA AFP KAMPALA, UGANDA SERIKALI ya Uganda imepiga marufuku ushoga huku watakaopatikana na hatia kuadhibiwa vikali. Hii ni baada ya Bunge la Uganda kupitisha mswada unaopendekeza kifungo cha hadi miaka 10 kwa mashoga. Mswada huo uliidhinishwa na wabunge 389 waliokuwepo. Spika wa bunge hilo, Anita Among, aliwapongeza wabunge hao akisema kwamba walichofanya ni kwa manufaa
1 day ago
NA CHARLES WASONGA SENETA wa Busia Okiya Omtatah ameapa kuwasilisha kesi mahakamani kupinga mpango wa Rais William Ruto wa kuuza mashirika ya serikali bila idhini ya Bunge. Bw Omtatah alisema ataelekea kortini wiki ijayo kuzuia kujadiliwa kwa Mswada wa Ubinafsishaji, 2023 “kwa sababu bunge limetekwa na Ikulu ya Rais”. “Sharti Wakenya wasimame na kutekeleza mamlaka
1 day ago
Majina waliochaguliwa Jeshi la Polisi 2023 Download PDF, Majina waliochaguliwa Jeshi la Polisi 2023 Download PDF Police Selection, Waliochaguliwa Kujiunga na Polisi 2023 Selected to Join the Police 2023, Walioitwa kazini Jeshi la Polisi 2023, Download PDF Majina waliochaguliwa jeshi la Polisi 2023,Tangazo la waliochaguliwa kujiunga na Jeshi la Polisi Majina waliochaguliwa Jeshi la Polisi
1 day ago
Kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa na serikali mapema wiki hii, idadi ya wakazi wa Beijing imeshuka kwa 43,000 hadi kufikia watu milioni 21.84 kufikia mwishoni wa mwaka jana. Ripoti hiyo kutoka mamlaka za manispaa ya Beijing inasema kwamba idadi ya vifo mjini humo imepanda mara 5.72 kwa kila watu 1,000 wakati idadi ya watoto wanaozaliwa ikishuka
1 day ago
Siku kama ya leo miaka 73 iliyopita, liliasisiwa Shirika la Hali ya Hewa Duniani ‘WMO’. Shirika hilo linafungamana na Umoja wa Mataifa na taasisi zote za hali ya hewa ulimwenguni hushirikiana na shirika hilo. Miongoni mwa malengo ya kuanzishwa shirika hilo ni kutoa msaada wa elimu ya hali ya hewa kwa wataalamu wa anga, mabaharia, wakulima
1 day ago
LEONARD ONYANGO Na CHARLES WASONGA SERIKALI sasa inapanga kuuza kampuni, baadhi ya vyuo vikuu na mashirika ya umma ambayo yamekuwa yakipata hasara bila idhini ya wabunge. Ikiwa Mswada wa Ubinafisishaji wa 2023, utapitishwa na Bunge, Waziri wa Fedha atapata mamlaka ya kuuza mashirika na kampuni za umma bila kuulizwa maswali.Rais Ruto jana alisema kutafuta idhini
1 day ago
NA STANLEY NGOTHO GAVANA Joseph Ole Lenku wa Kajiado amepata pigo baaada ya Bunge la Kaunti kupitisha hoja ya kumwondoa mamlakani Waziri wa Elimu, Taasisi za Kiufundi, Vijana na Michezo baada ya mvutano uliodumu kwa mwezi mmoja. Hata hivyo, Waziri wa Utumishi wa Umma, Alais Kisota, alinusurika kuondolewa mamlakani baada ya kamati iliyokuwa ikimchunguza kwa
1 day ago
NA CHARLES WASONGA WAZIRI wa Kilimo Mithika Linturi Jumatano, Machi 22, 2023 aliungama mbele ya wabunge kwamba ufisadi ulikithiri katika mpango wa ruzuku wa unga mahindi ya kati ya Julai na Agosti 2022. Bw Linturi ambaye alifika mbele ya Kamati ya Bunge kuhusu Kilimo kutoa maelezo kuhusu mpango huo, aliitaka kamati hiyo kuwaita maafisa walioendesha
1 day ago
NA CHARLES WASONGA BAADHI ya wabunge Waislamu sasa wanamtaka kiongozi wa Azimio la Umoja-One Kenya Raila Odinga asitishe maandamano wakati huu ambapo Waislamu kote ulimwenguni wanaadhimisha Mwezi Mtukufu wa Ramadhan. Wakiongozwa na mbunge wa Nyali Mohammed Ali almaarufu Jicho Pevu, viongozi hao wamesema ghasia kama zilizoshuhudiwa katika maandamano yaliyofanyika katika miji ya Nairobi na Kisumu
2 days ago
Mkuu wa Wilaya ya Mlele mkoani Katavi Alhaj Mjid mwanga amesema Tangu Rais wa awamu ya sita Mheshimiwa Dokta Samia Suluhu Hassan aingie madarakani ametoa zaidi ya Bilioni Mia moja (196.6)Kwa wilaya hiyo katika miradi ya maendeleo ikiwemo, Miundombinu ya Afya,Elimu,Maji , Barabara na umeme. DC Majid ameyasema hayo wakati akiongea na wananchi wa Wilaya
2 days ago
Ni Ally Hapi ambae ni miongoni mwa waliohudhuria hafla ya Rais Samia ya uzinduzi wa Program ya Jenga Kesha iliyobora BBT ya Wizara ya Kilimo ambayo itakawanufaisha Vijana katika Sekta hiyo ya Kilimo.
2 days ago
Katika kuanza funga ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhan, zaidi ya Kaya 1000 zinazokabiliwa na changamoto mbalimbali zimepatiwa vitu ikiwemo vyakula. Akizungumzia hatua hiyo, Aisha Mohammed ambaye ni Afisa Mwajiri wa GP amesema..”Tunachokifanya ni kurudisha kwa jamii ambapo tumeona mwaka huu ni kuwapatia vitu mbalimbali ikiwemo vyakula kama Sukari, Mchele na Unga na tumezifikiw Kaya 1000,”.
2 days ago
Tanzania Breweries Limited ni kampuni kubwa zaidi ya utengenezaji wa vileo nchini na ni ambayo iko chini ya kampuni Mama AB InBev, imejitolea kukuza utumiaji bora wa pombe na kuathiri desturi za kijamii na tabia ya mtu binafsi ili kupunguza matumizi hatari ya pombe. TBL inajitahidi kufanya Mabadiliko endelevu ya kitamaduni katika Jamii za ndani
2 days ago
NA SAMMY KIMATU SERIKALI imetoa onyo kali kwa yeyote atakayepatikana akiharibu au kukata miti kiholela ikisema atakamatwa na kushtakiwa. Naibu Kamishna wa kaunti ndogo ya Starehe, Bw John Kisang amesema kuanzia Novemba 2022 hadi Machi 21, 2023 zaidi ya miti 2,600 imepandwa katika eneobunge la Starehe. Bw Kisang alizungumza na Taifa Leo alipoongoza hafla iliyofanyika
2 days ago
NA MARY WANGARI KUNDI la viongozi kutoka Magharibi mwa Kenya sasa linamtaka Rais William Ruto kumchukulia hatua kali kiongozi wa Azimio la Umoja, Raila Odinga, kuhusiana na maandamano yaliyofanyika Jumatatu. Kwa mujibu wa waunda-sheria hao, kinara wa ODM amekuwa akihatarisha maisha ya Wakenya kiuchumi miaka nenda miaka rudi kwa maslahi yake ya kibinafsi kisiasa. Wakihutubia
2 days ago
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amewataka Wananchi waelewe dhamira ya Serikali ni kuhakikisha Mji Mkongwe unabaki kama ulivyokuwa miaka mia mbili iliyopita na si kuubadilisha .Aliyasema hayo katika hafla fupi ya ufunguzi wa Jengo jipya la Hoteli ya Tembo, iliyofanyika Ukumbi wa Tembo House Hoteli ,Shangani leo tarehe
2 days ago
Hatima ya vurugu zilizotokea katika mgodi wa kitalu C unaomilikiwa na Serikali na mwekezaji mzawa Onesmo Mbise pamoja na kitalu B unaomilikiwa na Saitot Mollel itajulikana March 24 mwaka huu baada ya timu ya wataalamu kutoka Dodoma na maofisa wengine kuingia ndani ya migodi hiyo. Akizungumza na waandishi wa Habari Ofisini kwake,Afisa Mfawidhi wa Madini
2 days ago
Na Amina Omary, Tanga Serikali imesema kuwa iwapo Mfumo wa mshitiri (prime Vendor system) ukisimamiwa vizuri utaweza kumaliza changamoto ya uhaba wa dawa na uwepo wa uhakika wa dawa na vifaa tiba katika vituo vya afya nchini. Hayo yameelezwa leo Machi 22, 2023 na Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Tanga, George Mmbaga wakati akifungua mafunzo
2 days ago
*Ni kufuatia tukio la adhabu iliyopelekea kifo cha mwanafunzi Mwanza Na Beatrice Kaiza, Mtanzania Digital Shirika lisilo la kiserikali linaloshughulikia masuala ya elimu nchini, HakiElimu wamependekeza dhana ya adhabu chanya kupewa mkazo katika mafunzo tarajali na kazini kwa walimu ili kuwasaidia kuepukana na matumizi ya adhabu za kikatili. Mapendekezo hayo wameyatoa leo Machi 22,2023 wakati
2 days ago
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amewapongeza familia ya Mama Amne Salim, Mke wa Waziri Mkuu Mstaafu Dk.Salim Ahmed Salim kwa kutoa mchango wao katika kuendeleza tafiti nchini na kuelekeza ufadhili wao, ili kuisaidia Serikali na Wananchi wa Tanzania kulielewa janga la Ugonjwa wa Uviko-19. Aliyasema hayo alipofungua Kongamano
2 days ago
NA MARY WAMBUI VIONGOZI wa mrengo wa Azimio la Umoja-One Kenya Wycliffe Oparanya, Eugene Wamalwa, Jeremiah Kioni na George Wajackoyah leo Jumatano wamepeleka notisi ya maandamano yao ya juma lijalo kwa mkuu wa polisi Nairobi Adamson Bungei. Wamemkabidhi katibu wa Bungei barua hiyo kwa sababu yeye mwenyewe hakuwa ofisini. Tunaandaa habari kamili…
2 days ago
Baada ya Rais kuzindua programu ya vijana ya jenga kesho iliyobora (BBT) iliyochini ya wizara ya kilimo yenye lengo la kutoa ajira kwa vijana zaidi ya milioni tatu,Spika wa bunge la Tanzania Dkt. Tulia Ackson ametaka vijana kujengwa kifra ili kuamini kilimo ni sehemu ya ajira. Dkt. Tulia ametoa ushauri huo jijini Dodoma kwenye Programu
2 days ago
Katika kuadhimisha siku ya Maji Duniani, Shirika la WaterAid Tanzania linatarajia kuzindua mkakati wenye matarajio ya miaka mitano (2023-2028) kwa lengo la kumaliza tatizo la maji na usafi wa mazingira. Akizungumza leo, Mkurugenzi Mkaazi wa Shirika la WaterAid, Anna Mzinga amesema..”Kwa wasichana, upatikanaji wa vifaa vya WASH ni jambo muhimu linaloathiri mahudhurio ya shule, hasa
2 days ago