Members of the Zanzibar House of Representatives have expressed concern over a government payroll system that has led to the underpayment of public servants.
Members of the Zanzibar House of Representatives have expressed concern over a government payroll system that has led to the underpayment of public servants.
Tanzanian motorists and businesses will experience a welcome relief at the pump in May after the Energy and Water Utilities Regulatory Authority (EWURA) announced a notable drop in fuel prices across the country, effective from Wednesday, May 7, 2025.
KAULI ya Rais William Ruto kwamba alikutana na marehemu aliyekuwa Kamishna wa Mkoa wa Nyanza, Isaiah Kiplangat Cheluget kujadili uuzaji wa ardhi, imezua mshangao.
Akizungumza katika eneo la Sogoo, Narok,...
MOSHI mweupe ulitoka kwenye paa la Kanisa la Sistine Chapel Vatican jijini Roma Alhamisi jioni kutangaza kuchaguliwa kwa kiongozi mpya wa Kanisa Katoliki lililo na wafuasi zaidi ya 1.4 bilioni...
MOSHI mweupe ulitoka kwenye paa la Kanisa Sistine Chapel jijini Vatican, Roma jana jioni kutangaza kuchaguliwa kwa kiongozi mpya wa Wakatoliki 1.4 bilioniduniani.
Papa alichaguliwa kumrithi Papa Francis aliyefariki dunia...
RAIS William Ruto amemteua Erastus Edung Ethekon kuwa mwenyekiti mpya wa IEBC, katika tangazo la hivi punde zaidi.
Rais pia ameamua kwamba Msajili wa Vyama vya Kisiasa Ann Nderitu, Moses...
SIMBA imeendeleza kugawa dozi katika Ligi Kuu Bara baada ya jana kuifumua Pamba Jiji kwa mabao 5-1 na kukata tiketi ya kucheza Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao, huku ikiziachia...
RASMI Simba SC ina tiketi ya kushiriki michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao 2025-2026, hiyo ni baada ya kufikisha pointi 66 katika msimamo wa Ligi Kuu Bara ambazo...
KENGOLD iliyoshuka mapema hadi Championship kutoka Ligi Kuu Bara iliyoicheza kwa mara ya kwanza msimu huu, imepanga kuipeleka mechi dhidi ya Simba iliyopangwa kupigwa Juni 18 Uwanja wa Majimaji, Songea,...
WAKATI Ligi Kuu Bara ikirejea tena wikiendi hii baada ya kushuhudiwa viporo vinne vya mechi za Simba vikimalizika, Kagera Sugar ipo katika mtego wa kukwepa aibu ya miaka 21 katika...
BEKI wa kati na nahodha wa timu ya taifa ya vijana U20, Ngorongoro Heroes. Lameck Lawi, leo atakuwa uwanjani huko Misri, ili kukamilisha ratiba ya hatua ya makundi ya Kombe...
ZAIDI ya vibanda 150 vinavyoshukiwa kutumiwa katika kufyonza mafuta mkabala wa barabara ya Nanyuki-Nairobi katika eneo la Viwandani vilibomolewa Alhamisi na serikali kwa kunyima serikali ushuru mkubwa kwa biashara hiyo...