Milard Ayo General
Namibia yaadhimisha miaka 33 ya uhuru.

Tarehe 21 Machi 1990, nchi ya Namibia ilipata uhuru na kujitenga na Afrika Kusini ambapo mwishoni  mwa karne ya 19, wakoloni wa Kijerumani, Uingereza na Ureno walianza kuvutana kwa minajili ya kudhibiti na kupora utajiri na maliasili za Namibia. Namibia imekuwa mwanachama wa Umoja wa Mataifa, Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), Umoja wa

3 days ago


Taifa Leo General
MAANDAMANO: Raila ahutubia wafuasi Eastleigh, raia waliochoshwa na ugumu wa maisha wamshangilia

NA MWANDISHI WETU KIONGOZI wa Azimio La Umoja-One Kenya Raila Odinga ameingia jijini kwa kishindo huku waandamanaji wakimshangilia. Msafara wake umeanzia katika hoteli ya Serena na amefululiza hadi katika mtaa wa Eastleigh. Akihutubia wafuasi wa Azimio saa tisa, Raila amesema maandamano yatakuwa yakifanyika kila Jumatatu. Amesema ni lazima serikali itimize ahadi zake na ishushe gharama

4 days ago


Taifa Leo General
Mchanga wa ufuoni unavyotia ladha njugu

NA JURGEN NAMBEKA KWA kawaida, mchanga mweupe wa baharini katika Pwani za Kenya huaminika kuwa sehemu ya kivutio kikuu cha utalii. Lakini kwa wakaangaji na wauzaji njugu, mchanga huo ni kiungo muhimu cha mapishi yao. Mabw Charles Kiama na Dennis Maundu kutoka eneo la Changamwe, Kaunti ya Mombasa, ni baadhi ya wakaanga njugu wanaotumia mchanga

6 days ago


Milard Ayo General
WAZIRI MCHENGERWA AZINDUA BOTI YA KITALII YA TAWA SEA CRUSIER

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mohamed Mchengerwa amezindua boti ya utalii iitwayo TAWA SEA CRUISER, Machi 14,2023, katika Hifadhi ya Urithi wa Dunia Magofu ya Kilwa Kisiwani na Songo Mnara yaliyopo katika Mkoa wa Lindi. Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, Mhe. Mchengerwa amewataka wananchi kutumia boti hiyo itakayounganisha shughuli za utalii katika kanda ya

1 week ago


Mtanzania General
Waziri Mchengewa azindua Boti ya Kitalii ya TAWA Sea Cruiser

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Waziri wa Maliasili na Utalii, Mohamed Mchengerwa amezindua boti ya utalii iitwayo TAWA SEA CRUISER, katika Hifadhi ya Urithi wa Dunia Magofu ya Kilwa Kisiwani na Songo Mnara yaliyopo katika Mkoa wa Lindi. Akizungumza Machi 14,2023 wakati wa uzinduzi huo, Mchengerwa amewataka wananchi kutumia boti hiyo itakayounganisha shughuli za utalii

1 week ago


Mtanzania General
Kamishna wa Uhifadhi TAWA ala kiapo

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Waziri wa Maliasili na Utalii, Mohamed Mchengerwa, amemuapisha, Mabula Misungwi Nyanda kuwa Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA), katika hafla iliyofanyika Machi 14, 2023, katika Hifadhi ya Urithi wa Dunia Magofu ya Kilwa Kisiwani na Songo Mnara Mkoani Lindi. Akizungumza baada ya hafla ya uapisho

1 week ago


Milard Ayo General
Wafaransa waingia kwenye mgodi mkubwa wa Madini ya Tanzanite (video+)

Kundi kubwa la watalii wapatao 17 kutoka nchini ufaransa wametembelea mgodi wa kuzalisha madini aina ya Tanzanite katika mgodi wa kitalu C unaomilikiwa na kampuni ya franone Maining ya Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara Kundi hilo ambalo ndani yake wapo wataalamu wa kukata na kuongeza thamani ya madini pamoja na wanafunzi wa kuongeza thamani ya madini

1 week ago


Mtanzania General
Tanzania kuwa mwenyeji maonyesho ya LPG

Na Beatrice Kaiza, Mtanzania Digital Tanzania itakuwa mwenyeji wa Kongamano la Wadau wa Gesi ya LPG Afriks Mashariki litakalofanyika Machi 15 na 16, mwaka huu katika hoteli ya Johari Lotans Dar es Salaam likihusisha nchi zaidi ya 30. Akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam mapema Machi 9, 2023 Mkurugenzi wa Maonyesho ya

2 weeks ago


Milard Ayo General
TAWA yapokea Meli nyingine ya Utalii kutoka nchini Ufaransa

Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania ( TAWA) leo Machi 9, 2023, imepokea meli nyingine ya kimataifa iliyobeba watalii kutoka nchini Ufaransa. Meli hiyo ya utalii ijulikanayo kama LE JACQUES – CARTIER PONANT, imebeba watalii 125 ambao wametembelea Hifadhi ya Urithi wa Utamaduni wa Dunia Magofu ya Kilwa Kisiwani na Songo Mnara kwa ajili ya

2 weeks ago


Milard Ayo General
Wapenzi wakamatwa kwa kuiba chupa (45) za mvinyo.!

Aliyekuwa mlimbwende wa mitindo wa Mexico pamoja na mpenzi wake walihukumiwa kifungo cha miaka minne nchini Uhispania kwa kuiba chupa 45 za mvinyo zenye thamani ya takriban $1.7m (£1.4m). Tukio hilo lilitokea mnamo mwaka 2021 katika hoteli ya kifahari katika jiji la Uhispania la Cáceres, ambapo wanandoa hao walikuwa wakikaa kama wageni. Mahakama iliwataja wanandoa

2 weeks ago


Milard Ayo General
Naibu Waziri aagiza taasisi zilizochini ya Wizara kufanya hili kwenye Makumbusho za Taifa

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Mary Masanja amezitaka taasisi zilizochini ya wizara hiyo kutumia Makumbusho za Taifa kama eneo mojawapo la kuiongezea Serikali mapato. Masanja ametoa maelekezo hayo Machi 6, 2023 katika Ukumbi wa Ofisi za Ngorongoro zilizopo Jijini Arusha wakati akiongoza kikao cha kimkakati cha kufanya mapitio ya taarifa mbalimbali za utendaji kazi

2 weeks ago


Milard Ayo General
Rais Mwinyi akutana na Balozi wa Ufilipino nchini Tanzania

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Zanzibar ina mengi ya kujifunza uzoefu na weledi kutoka nchi ya Ufilipino hasa kwenye sekta za mafuta na gasi ,afya, utalii na uvuvi . Pia Dk.Mwinyi amemuomba Balozi wa Ufilipino kuitangaza Zanzibar katika fursa mbalimbali ambazo zinapatikana visiwa humo. Dk.Mwinyi aliyasema

3 weeks ago


Taifa Leo General
Wawekezaji walia ‘mabeach boys’ wanakera watalii

NA MAUREEN ONGALA WAWEKEZAJI katika hoteli za kifahari wamelalamika kuwa vijana wa kuwatembeza watalii fuoni almaarufu beach boys wamekuwa kero kubwa katika sekta ya utalii. Katika fuo nyingi za Pwani ambazo huvutia watalii wengi, vijana wengi wanaojitokeza kufanya shughuli hiyo hujitahidi kuanzisha urafiki na watalii hao ila mwishowe huanza kuombaomba pesa huku wengine wakituamai kufikishwa

3 weeks ago


Mtanzania General
Pesapal yahimiza matumizi ya teknolojia sekta ya Utalii

Na Mwandishi Wetu, Zanzibar Kampuni kinara wa huduma za malipo ya Pesapal imewataka wadau wa shughuli za utalii na  ukarimu nchini kuzichangamkia na kuzitumia teknolojia za kisasa kujikwamua na mathira ya janga la Uviko-19 na kuiimarisha upya sekta hiyo muhimu ya utalii. Maafisa waandamizi wa Pesapal walitoa rai hiyo jana huku Zanzibar kwenye mkutano shirikishi

1 month ago


Taifa Leo General
Watalii watatu wajeruhiwa katika mkasa wa moto hotelini Watamu

NA ALEX KALAMA  RAIA watatu wa kigeni wamejeruhiwa vibaya katika mkasa wa moto uliounguza hoteli tatu eneo la Watamu kaunti ya Kilifi. Watatu hao ambao ripoti za awali zinasema ni Wataliano, walikuwa wamekodi vyumba vya kuishi katika hoteli ya Mubuyu Lodge iliyoko Watamu, inasemekana walikuwa wamelala wakati moto huo ulipozuka na kuunguza hoteli hiyo waliyokuwa

1 month ago


Mtanzania General
Waziri Mchengerwa azindua magari 22 ya doria TAWA

*Ahimiza kuchapa kazi Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Waziri wa Maliasili na Utalii, Mohamed Mchengerwa Februari 16, 2023 amezindua magari 22 ya TAWA yatakayotumika Kwa ajili ya shughuli za doria na kudhibiti Wanyamapori Wakali na Waharibifu. Akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa magari hayo iliyofanyika katika Ofisi za Makao Makuu ya TAWA Mkoani Morogoro,

1 month ago


Milard Ayo General
WAZIRI MCHENGERWA AZINDUA MAGARI 22 YA DORIA TAWA, AHIMIZA KUCHAPA KAZI.

Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Mohamed Mchengerwa (Mb) leo Februari 16, 2023 amezindua magari 22 ya TAWA yatakayotumika Kwa ajili ya shughuli za doria na kudhibiti Wanyamapori Wakali na Waharibifu. Akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa magari hayo iliyofanyika katika Ofisi za Makao Makuu ya TAWA Mkoani Morogoro Mhe. Mchengerwa ameushukuru uongozi wa

1 month ago


Taifa Leo General
Makanga aambia mahakama ana kisonono aonewe huruma

NA JOSEPH NDUNDA MAKANGA wa matatu ambaye alikiri kuiba chombo cha kuhifadhi chai almaarufu thermos katika hoteli moja mtaani Kayole, Nairobi na vile vile kuzozana na wahudumu kuhusu deni la Sh60 ameambia mahakama imwonee huruma akisema ana dalili za kisonono. Samuel Muriuki,26, aliyeiba chombo hicho chenye thamani ya Sh3, 800 amemwambia Hakimu Mwandamizi Hellen Okwani

1 month ago


Milard Ayo General
Watendaji wa Taasisi za Wizara ya Maliasili Utalii watakiwa Wananchi kuhusu Uhifadhi na Utalii

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja (Mb) amewataka Watendaji wa Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Maliasili na Utalii wasimamie utekelezaji wa programu zinazoelimisha wananchi kuhusu umuhimu wa Uhifadhi na kutembelea vivutio vya Utalii hapa nchini. Ameyasema hayo leo alipofanya kikao kazi na watendaji hao katika Chuo cha Taaluma ya Wanyamapori –

1 month ago


Taifa Leo General
Chuo cha MKU-Rwanda chazindua kitabu kinachochora picha halisi ya masomo ya kazi za hotelini

NA LAWRENCE ONGARO CHUO Kikuu cha Mount Kenya nchini Rwanda (MKU-Rwanda) kimeandika kitabu kipya kuhusu masomo yanayohusu hoteli na ambayo yanapatikana katika chuo hicho. Alhasili, kitabu hicho ni wasifu na kinaeleza mengi kuhusu kitengo cha chuo hicho kilipobuniwa mwaka wa 2010 nchini Rwanda. Kitabu hicho cha kipekee na chenye anwani ‘Mlima waungana na nchi yenye milima

1 month ago


Milard Ayo General
Naibu Waziri aingilia kati mgogoro “Wananchi wanasurubiwa”

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Mary Masanja amezitaka mamlaka na taasisi zilizochini ya wizara hiyo kuacha mara moja kukamata na kutoa adhabu kwa wananchi wanaovamia mapori na hifadhi badala yake watoe elimu kwani wananchi wengi hawajui umuhimu ya uhufadhi. Masanja ametoa maelekezo hayo wakati akitatua mgogoro uliodumu kwa mrefu kati ya wananchi na hifadhi

1 month ago


Milard Ayo General
Balozi wa Utalii aongea kuhusu mjadala Uchumi wa Nchi

Balozi wa Utalii wa Tanzania, Nangasu Warema leo Februari 10,2023 ametoa maoni yake kuhusu mwelekeo wa uchumi kutokana na mjadala ulioibuka bungeni mwanzoni mwa wiki hii. Balozi huyo wa utalii amesema kwamba mataifa mengi duniani yameathirika kiuchumi ikiwamo Tanzania ambayo tayari hatua madhubuti zimechukuliwa. Amesema miongoni mwa hatua ambazo Tanzania imechukua ni pamoja na Rais

1 month ago


Milard Ayo General
Mtanzania atengeneza game za kutangaza Utalii

Leo nakukutanisha na na Elias Patrick, Mtaalamu wa masuala ya Biashara na Teknolojia kutoka Tanzania ambaye katika juhudi za kuunga mkono Serikali katika kutangaza Utalii na vivutio vya Tanzania, Elias ametengeneza Mobile games tano ambazo zinapatikana Google Playstore ndani ya nchi 176 duniani. Games hizi zimepewa majina ya baadhi ya vivutio vya kitalii hapa Nchini

1 month ago


Taifa Leo General
Kunguni waongezeka katika lojing’i Kisumu

Na RUSHDIE OUDIA SERIKALI ya Kaunti ya Kisumu imetishia kufunga lojing’i na hoteli zote ikiwa hazitachukua hatua ya kukabiliana na kunguni waliovamia majengo yao. Hii ni kufuatia malalamishi kutoka kwa wakazi na wasafiri kuhusu ongezeko la kunguni wanaowahangaisha usiku kucha katika lojing’i moja almaarufu Yurop. Baadhi ya wapenda burudani wanaopanga makazi Yurop kwa shughuli za

1 month ago


Taifa Leo General
UJASIRIAMALI: Alitalii, akapata wazo la kuuza utalii na hajuti

NA PETER CHANGTOEK SASHA Seraphine Mbote alijiuzulu kutoka kwa kazi aliyokuwa akifanya kama meneja wa ‘Spa’ na kuanzisha kampuni yake ya utalii nchini Zanzibar, mnamo 2015. Wazo la kuianzisha kampuni yake ya Maridadi Tours lilimjia akilini baada ya kutalii mno maeneo tofauti. Baada ya kutalii, alikuwa akipakia picha za safari hizo mitandaoni, na wengi wakaanza

1 month ago


Milard Ayo General
Mawakala wa Utalii waanza kumiminika nchini, kuangalia vivutio vya Utalii

Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Prof. Eliamani Sedoyeka jana aliongoza mapokezi ya Mawakala hao kutoka katika masoko ya kimkakati katika nchi tofauti. Nchi walizotoka Mawakala hao ni Marekani, Canada, Mexico, Ubelgiji na Brazil. Akizungumza mara baada ya kuwapokea Mawakala hao, Prof. Sedoyeka amesema..”Leo tumeanzisha Mega Trip ambayo kwa kawaida Wizara kupitia Bodi ya

1 month ago


Taifa Leo General
Kaunti ya Mombasa yalenga kuvuna zaidi kwa makongamano

NA VALENTINE OBARA GAVANA wa Mombasa, Bw Abdulswamad Nassir, amedokeza mipango ya kaunti hiyo kubuni sheria mpya itakayoisaidia kunufaika kutokana na makongamano mengi yanayoandaliwa hotelini. Akizungumza Jumatatu wakati wa warsha ya viongozi wa mashtaka, Bw Nassir alisema kaunti inalenga kukuza mbinu ya kuvutia watalii kupitia kwa warsha na mikutano. “Tunataka kuwa na sheria ndogo ya

1 month ago


Taifa Leo General
PAUKWA: Ujanja wanusuru Msanii asifutwe kazi na Kaburu

NA ENOCK NYARIKI JIONI watalii na waelekezi wao walirejea vilipokuwa vyumba vya kupanga. Juma, mkuu wa Idara ya Parachuti, aliondoka moja kwa moja kuenda kumwona Bwana Kaburu. Ofisi ya Bwana Kaburu ilikuwa katika Idara ya Upangaji zilipokuwa pia ofisi nyingi za wakuu wa idara mbalimbali mbugani. Juma, alizungusha kitasa cha mlango wa ofisi ya bosi

1 month ago


Taifa Leo General
Raha ya wadau meli ya watalii 620 ikitia nanga

NA KNA SEKTA ya Utalii (KTB) imejawa na furaha baada ya meli iliyo na watalii 620 kutia nanga katika bandari ya Mombasa. Akiwapokea wageni hao, Katibu wa Wizara ya Utalii John Ololtua alisema kufika kwa meli hiyo kwa jina World Odyssey ni ishara sekta ya utalii imeanza kunoga. Bw Ololtua aliandamana na maafisa wakuu katika

1 month ago


Taifa Leo General
KASHESHE: Elba aipa shavu KE

NA SINDA MATIKO MWIGIZAJI staa Idris Elba ameipa shavu Kenya, akiitaja kuwa moja kati ya sehemu anazozizimia. Kwenye mahojiano yake na toleo jipya la jarida la Forbes, Elba aliisifia Kenya kuwa nchi bora zaidi Afrika iliyombamba. “Kenya ni moja kati ya sehemu bomba sana tulizowahi kutalii mimi na mke wangu. Kule ninaweza kusema ni kama

1 month ago


Taifa Leo General
Ugaidi watishia tena juhudi za kufufua utalii kisiwani Lamu

KALUME KAZUNGU NA VALENTINE OBARA MATUMAINI ya serikali ya Kaunti ya Lamu kuimarisha utalii eneo hilo yametiwa doa na mashambulio ya kigaidi yaliyochipuka upya wiki chache zilizopita. Tangu mwaka 2022, serikali ya kaunti hiyo ilikuwa imerejelea maandalizi ya tamasha na hafla mbalimbali za kusisimua watalii. Hata hivyo, baada ya utulivu wa muda mrefu, mashambulio yalianza

1 month ago


Taifa Leo General
PAUKWA: Msanii afumaniwa na Kaburu pabaya

NA ENOCK NYARIKI ASUBUHI, Bwana Kaburu aliitembelea Idara ya Parachuti. Kama ilivyokuwa ada, shughuli zilikuwa nyingi huko kuliko kwingineko mbugani. Parachuti zilikwenda juu kwa umahiri mkubwa. Katika kila parachuti aliketi mtalii mmoja na mwelekezi wake ambaye angemwonyesha mtalii mahali salama ambapo wangetua. Watalii wengine walijilaza kwenye viti vya hinzirani idarani hapo huku wakiendelea kuota jua

2 months ago


Lake Victoria Sports Fishing & Kayaking in 2023!

Kiroyera Tours is located in Bukoba on the iconic Lake Victoria in northwest Tanzania. The lake region has been our ancestral home for generations and our families still live alongside its shores. It is a source of food, transport, inspiration and pleasure for our people, which we want to share with you! We extend a

The post Lake Victoria Sports Fishing & Kayaking in 2023! appeared first on Kiroyera Tours.


16-17th December 2022 Bukoba Heritage Conference, Tanzania!

Kiroyera Tours organised and hosted the 2nd annual conference on Bukoba’s Heritage, History and Culture. The event was held at our Bukoba Heritage Site on Kiroyera hill. This vibrant event brought together key dignatories and families in the local community to discuss the continued development of tourism opportunities for the benefit of Bukoba and the

The post 16-17th December 2022 Bukoba Heritage Conference, Tanzania! appeared first on Kiroyera Tours.


Taifa Leo General
PAUKWA: Ule mabaki ya watalii Kaburu ajue utakiona!

ENOCK NYARIKI FOLENI ya watalii iliendelea kuongezeka kwenye sehemu ya mapokezi ya mbuga ya wanyama ya Maasai Mara. Kwingineko mbugani, shughuli zilienea moto mmoja. Shughuli za wapishi stadi walioandaa mapochopocho anuwai kwa ajili ya wageni. Shughuli za wafanyakazi wa Idara ya Upangaji waliopita na kupituka vyumba ili kuwaonyesha wageni hao mahali ambamo wangezilaza mbavu zao

2 months ago


Taifa Leo General
Kaunti za Pwani zenye raslimali kunufaika pendekezo la Gavana Nassir likifaulu

NA WINNIE ATIENO HUENDA kaunti za Pwani zilizo na raslimali mbalimbali kama vile bandari zianze kufaidi zaidi kutoka kwa rasilimali hizo, baada ya Gavana wa Mombasa Abdulswamamd Nassir kufanya kikao maalum na Rais William Ruto kuzungumzia, jinsi zitakavyofaidika na maliasili hiyo. Mnamo Jumatano, Bw Nassir alikutana na Dkt Ruto kujadili mikakati ya bandari ya Mombasa

2 months ago


Milard Ayo General
TRA yatoa semina kwa wamiliki wa Mahoteli na Nyumba za kulala wageni Geita

Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA Mkoa wa Geita imetoa Semina kwa wafanyabiashara wakubwa wanaofanya shughuli mbalimbali ikiwemo hoteli pamoja na nyumba za kulala wageni mkoani humo. Akizungumza mara baada ya Semina hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Mji Geita (GEDECO) Ndg.Justine Katiti Afisa Huduma Mlipa kodi TRA mkoa wa Geita amesema lengo la semina

2 months ago


Taifa Leo General
Malindi: Wanawake wafanya kazi za sulubu kwa bidii kukabili gharama ya juu ya maisha

NA ALEX KALAMA WANAWAKE katika eneo la Malindi wamevalia njuga kazi ya uvunjaji kokoto ambayo miaka ya nyuma ilifanywa sana na wanaume katika eneo hili ili kutafutia familia zao riziki. Wanawake hao kutoka kijiji cha Muyeye awali walikuwa wakitegemea kazi za hoteli katika kukidhi mahitaji yao. Lakini kwa sasa wanakumbwa na changamoto nyingi za kiuchumi

2 months ago


Mtanzania General
OSHA: Mazingira salama ya kazi ni haki ya msingi ya mfanyakazi

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Waajiri kote nchini wametakiwa kuhakikisha uwepo wa mazingira salama ya kufanyia kazi ili kuendana na sheria za ndani na kimataifa. Wito huo umetolewa na Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Biashara wa OSHA, Netiwe Mhando, alipokuwa akizungumza katika kikao cha Majadiliano baina ya Wizara ya Maliasili na Utalii na wadau wa

2 months ago


Mtanzania General
Faraja Masinde aibuka kinara tuzo za uandishi wa habari za watoto 2022

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Mhariri wa MTANZANIA DIGITAL, Faraja Masinde, ameibuka mshindi wa jumla wa tuzo za uandishi wa habari za watoto (TEFCRA) kwa mwaka 2022 zilizoandaliwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Watoto (UNICEF) kwa kushirikiana na Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF). Tuzo hizo zimetolewa Alhamisi Desemba 29, 2022 katika hoteli

2 months ago


Taifa Leo General
Feri kuanza kutembeza watalii ndani ya bahari

NA WAANDISHI WETU SERIKALI inaendeleza mipango ya kuanza kutumia huduma za feri kwa utalii wa baharini Mombasa. Baadhi ya wawekezaji katika sekta ya utalii wamekuwa wakipendekeza huduma za feri ziboreshwe, kisha zitumiwe kuwazungusha watalii sehemu mbalimbali za ndani ya bahari kama mojawapo ya mbinu za kipekee za kustawisha utalii Pwani. Kwa sasa, feri za Likoni

2 months ago


Taifa Leo General
Bei ghali yamaliza ladha ya Krismasi

NA WAANDISHI WETU BEI ya juu ya bidhaa imetatiza shamrashamra ambazo huandamana na sherehe za Krismasi kote nchini. Katika mahojiano na Taifa Jumapili, Wakenya kutoka maeneo mbalimbali ya nchi walisema kuwa hali ngumu ya uchumi imewafanya kukosa kuandaa mapochopocho ya Krismasi kwa ajili ya familia zao. Usalama nao uliimarishwa maeneo mbalimbali hasa Pwani mwa Kenya ambako watalii

2 months ago


Mtanzania General
Wizara yawapa faru majina ya Waziri Mkuu na Balozi wa Ujerumani

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Wizara ya Maliasili na Utalii imewatangaza Faru wawili na kuwapa majina ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na Balozi wa Ujerumani hapa nchini, Regine Heiss. Hatua hiyo imefikiwa leo Desemba 20,2022 jijini Dar es Salaam katika hafla ya makabidhiano ya magari 51 aina ya Land Cruiser yenye thamani ya Sh bilioni

3 months ago


Taifa Leo General
Korti yaagiza hoteli kulipa mfanyakazi aliyeachishwa kazi Sh1.9m

NA PHILIP MUYANGA MAHAKAMA ya Mombasa imeagiza hoteli ya kitalii kumlipa mfanyakazi wake wa zamani Sh1.9 milioni kwa kumfuta kazi kiharamu. Jaji Agnes Nzei, aliamuru hoteli ya Swahili Beach Resort Ltd imlipe Bw David Oseme, pesa hizo kama fidia kwa kumfuta kazi kimakosa, mshahara wa mwezi mmoja na mshahara ambao alikuwa hajalipwa wa Januari, 2019.

3 months ago


Mtanzania General
Sisalana wapigia chapuo bidhaa za mkonge

Na Norah Damian, Mtanzania Digital Kampuni Sisalana inayomilikiwa na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) imeongeza thamani ya kilimo cha mkonge kwa kuzalisha bidhaa mbalimbali ambazo zimeleta mageuzi sokoni. Kampuni hiyo yenye makao yake makuu mkoani Tanga inazalisha bidhaa za mkonge kama vile kamba, mazulia, mikoba na nyingine. Akizungumza juzi kwenye Maonesho ya

3 months ago


Taifa Leo General
Ombi huduma za feri ziboreshwe msimu wa likizo

NA KNA WADAU wa sekta ya hoteli Pwani, wameomba Shirika la Huduma za Feri za Kenya (KFS) kuboresha huduma wakati huu wa likizo. Kulingana nao, idadi ya wageni inayozidi kuongezeka ukanda huo inatarajiwa kuongeza msongamano katika kivukio cha feri Likoni. Afisa Mwelekezi wa Chama cha Wahudumu wa Hoteli tawi la Pwani, Dkt Sam Ikwaye, alisema

3 months ago


Mtanzania General
Ofisi ya Waziri Mkuu yapokea maoni kuhusu Rasimu ya Sera ya Taifa ya Hifadhi za Jamii

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu imepokea maoni kuhusu Rasimu ya Sera ya Taifa ya Hifadhi ya Jamii kutoka kwa wadau wa sekta ya hifadhi ya jamii wakati wa kikao kazi kilichofanyika jengo la OSHA, leo Desemba 6, 2022, jijini Dodoma. Aidha, hatua ya maandalizi

3 months ago


Taifa Leo General
Mabinti waanza kujitosa katika mchezo wa pool

NA AREGE RUTH SHINDANO la ndani la ‘Base Yetu Pool’ ambalo lilifanyika mjini Kitale kaunti ya Trans Nzoia, linaendelea kuthibitisha kuwa Pool ni mchezo ulio wazi kwa wote bila kubagua jinsia. Walikuambia kuwa michezo ya Pool ni hifadhi ya wachezaji wa kiume pekee? Walikudanganya. Nancy Tenai kutoka Eldoret  ni mwanaspoti wa kike ambaye amedhihirisha kuwa,

4 months ago


Taifa Leo General
Utalii: Wamiliki wa hoteli walenga vivutio vya dini

NA WINNIE ATIENO WAWEKEZAJI katika biashara za hoteli wameanza kutafuta njia mbadala ya kujizolea faida, wiki mbili baada ya serikali ya kitaifa kupiga marufuku mashirika ya umma kuandaa mikutano na warsha za mafunzo hotelini. Mojawapo ya mbinu mpya ambayo imeanza kupangwa, ni kutumia majengo ya kihistoria ya dini kuvutia mahujaji katika maeneo ya Pwani. Wiki

4 months ago


Taifa Leo General
Harakati za kuokoa msitu zinavyowapatia faida tele

NA SAMMY WAWERU MSITU Kirisia, ulioko Maralal, Samburu uliwahi kuvamiwa na maskwota kutoka eneo hilo. Jamii inayoishi humo ikiwa ni wafugaji wa kuhamahama, ilikuwa imeunda manyatta – makazi maalum, miti ikaangushwa, baadhi wakiingilia shughuli ya uchomaji makaa na kilimo. Maliasili iliharibiwa, msitu uliokuwa chanzo cha chemichemi za maji na mvuto wa mvua ukawa hauna thamani

4 months ago