Habari Leo Travel

Nyalandu: Kijana jiulize utaifanyia nini nchi yako

WAZIRI wa zamani wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amewataka vijana nchini badala ya kuuliza nini nchi iwafanyie, ni vema wajiulize wao wataifanyia nini nchi yao. Nyalandu ameyasema hayo, alipohutubia...

20 hours ago


Daily News Travel

Ngorongoro Heroes claim CECAFA title

TANZANIA'S Under-20 football team, Ngorongoro Heroes, secured the CECAFA U-20 Championship with a hard-fought 2-1 victory over Kenya’s Rising Stars The post Ngorongoro Heroes claim CECAFA title first appeared on...

1 day ago


Daily News Travel

Hard work, commitment paid off – Mkwasa

NGORONGORO Heroes Coach, Boniface Mkwasa, has commended his team’s 2-1 victory over Uganda, acknowledging the win was a testament to the players The post Hard work, commitment paid off –...

2 days ago


Taifa Leo Travel

Wakenya 142 kutuzwa Mashujaa Dei Kwale

WAKENYA 142 watatambuliwa na kutuzwa Jumapili katika maadhimisho ya Mashujaa Dei kutokana na wajibu muhimu waliotekeleza katika kukuza maendeleo. Kamishna wa Mkoa wa Pwani, Rhoda Onyancha, alisema kuwa wale watakaotunukiwa...

2 days ago


Habari Leo Travel

Lori lauwa wawili kwa moto Morogoro

WATU wawili wamefariki dunia kwa kuungua moto kufuatia ajali ya lori lililobeba matufa kugongana uso kwa uso na lori la mizigo katika eneo milima ya Mikumi katika Wilaya ya Kilosa...

2 days ago


Habari Leo Travel

Dk Chana afungua kongamano uhifadhi biolojia

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Balozi Dk Pindi Chana amefungua rasmi kongamano la nne la Afrika la Uhifadhi wa Biolojia lililowakutanisha wataalamu wabobezi takribani 300 kutoka nchi mbalimbali ndani na...

2 days ago


Habari Leo Travel

Mbio za Kilimanjaro kuiweka Tz kwenye ramani

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Balozi, Dk Pindi Chana amesema Mbio za Kimataifa za Kilimanjaro Premium Lager Marathon ni chachu katika kukuza utalii na kuiweka Tanzania katika ramani ya riadha...

3 days ago


Taifa Leo Travel

Mashahidi zaidi ya 20 walivyomhusisha Lali na kifo cha binti wa Keroche

KUFUATIA kifo cha kutatanisha cha binti wa Seneta wa Nakuru Tabitha Karanja, mahakama Ijumaa iliamuru ashtakiwe kwa mauaji. Hakimu mwandamizi Mahakama ya Kibera, Bi Zainab Abdul aliamuru Omari Lali ashtakiwe...

3 days ago


Habari Leo Travel

Ngorongoro Heroes kibabe dhidi ya Uganda leo

TIMU ya taifa ya vijana chini ya miaka 20 inashuka dimbani leo dhidi ya Uganda katika mchezo wa nusu fainali ya kwanza ya mashindano ya kufuzu fainali za Kombe la...

4 days ago


Habari Leo Travel

Upatikanaji maji duniani kupungua – GCEW

MAREKANI : TUME ya Kimataifa ya Uchumi wa Maji- GCEW, imesema tatizo la upatikanaji wa maji litaongezeka na kusababisha nusu ya uzalishaji wa chakula duniani kupotea ifikapo 2025. Kwa mujibu...

4 days ago


Load More...

Job Vacancies





Entertainment