Milard Ayo Travel

RC Malima ataka wanahabari Morogoro kuwa mabalozi wa Utalii

Mkuu wa Mkoa Morogoro Adam Malima amewataka wanahabari mkoani humo kuwa mabalozi wa utalii Kwa kuandika Habari na makala mbalimbali zitakazowavutia watalii wengi kutoka nje na ndani ya nchi. RC...

2 days ago


Milard Ayo Travel

“Tumefanikiwa kuwarudisha tembo 61 Hifadhini” Waziri Kairuki

Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii imedhamiria kutatua changamoto ya migongano baina ya binadamu na wanyamapori huku ikisisitiza kuwa katika bajeti ya mwaka wa fedha 2024/2025 imeweka kipaumbele katika...

4 days ago


Taifa Leo Travel

Kaunti yaondoa marufuku ya kutumia fuo baada ya Hidaya kudhoofika

NA WINNIE ATIENO SERIKALI ya Kaunti ya Mombasa imeondoa marufuku dhidi ya uogeleaji katika fuo zake. Waziri wa Utalii na Biashara, Bw Mohamed Osman, alisema marufuku hayo yameondolewa baada ya...

5 days ago


Taifa Leo Travel

Watalii wafurushwa ufuoni kufuatia hofu ya Kimbunga Hidaya

Na WINNIE ATIENO MAAFISA wa usalama katika Kaunti ya Mombasa wamepiga marufuku uogoeleaji katika Bahari Hindi kutokana na kimbunga cha Hidaya. Wakazi na hata watalii wanaopania kujivinjari kwenye fuo za...

1 week ago


Daily News Travel

NCAA chosen for world travel award

NGORONGORO Conservation Area Authority (NCAA) has been nominated to compete for the World Travel Award in the African Leading Tourist Attractions 2024 category. The post NCAA chosen for world travel...

2 weeks ago


Habari Leo Travel

Ngorongoro kuwania Tuzo Kivutio Bora

ARUSHA; Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA), imeteuliwa kuwania Tuzo ya Kivutio Bora cha Utalii Duniani mwaka 2024. Kaimu Kamishina wa Uhifadhi NCAA, Victoria Shayo amesema dirisha la kupiga kura...

2 weeks ago


Habari Leo Travel

Mambo yaiva Great Ruaha Marathon

IRINGA; Kwa kadri shauku inavyoongezeka, msisimko unavyozidi na tarehe inavyokaribia, maandalizi ya mbio za mwendo pole na haraka za Great Ruaha Marathon (GRUMA) zitakazofanyika Julai 6, mwaka huu ndani ya...

2 weeks ago


Taifa Leo Travel

Polo mjanja apeleka mamanzi kibandani badala ya hotelini

NA NICHOLAS CHERUIYOT NAROK MJINI POLO wa hapa alifanya uamuzi wa haraka kuepuka hasara kwa kuwapeleka vipusa wanne walioandamana na demu wake kibandani badala ya hoteli aliyopanga kujivinjari na mpenzi...

2 weeks ago


Mtanzania Travel

Wanyamapori wakali wametufanya tuhame hifadhini -Wananchi ngorongoro

Na Mwandishi wetu Baadhi ya wananchi wanaoishi katika Kijiji cha Endulen ndani ya Tarafa ya Ngorongoro wameipongeza serikali kwa uamuzi wa kuwahamisha kwa hiyari kutoka kijijini hapo kutokana na kusumbuliwa...

2 weeks ago


Milard Ayo Travel

Tanzania nafasi ya 3 kwa tembo wengi barani Afrika

Imeelezwa kuwa Tanzania inaongoza kwa idadi kubwa ya simba, nyati, na chui huku ikishika nafasi ya tatu kwa kuwa na tembo wengi barani Afrika hivyo itachochea ongezeko la watalii na...

2 weeks ago


Load More...

Trending on YouTube

Thumbnail
Diamond Platnumz ft Khalil Harisson & Chley - Komasava (Comment Ça Va)
Thumbnail
Barnaba feat Yammi - Nibusu (Visualiser)
Thumbnail
Marioo - Hakuna Matata (Visualiser)
Thumbnail
Diamond Platnumz - Komasava (Comment Ça Va) (Music Video) feat. Khalil Harisson & Chley
Thumbnail
Lava Lava x Diamond Platnumz - Kibango (Official Audio)
Thumbnail
Diamond Platnumz - Raha (Music Video) feat. Zuchu
Thumbnail
D Voice - Zoba (Official Music Video)
Thumbnail
Nay Wa Mitego - Bachela ( Official Music Video )
Thumbnail
Harmonize - Na Nusu (Official Lyrics Video)
Thumbnail
Darassa feat Zuchu - Romeo (Visualiser)

Job Vacancies





Entertainment