The Citizen General
Ngorongoro’s earnings soar to Sh176 billion

In 2022/23 Ngorongoro welcomed 752,215 visitors the highest number of visitors since it was established in 1959.

1 day ago


The Citizen General
Ngorongoro’s tourism earnings soar to record Sh176 billion in one year

In 2022/23 Ngorongoro welcomed 752,215 visitors the highest number of visitors since it was established in 1959.

1 day ago


Taifa Leo General
Idara ya afya kaunti ya Nairobi yamulikwa kwa kutoa vyeti feki vya wanaotayarisha na kuuza chakula

NA WINNIE ONYANDO IDARA ya afya katika Kaunti ya Nairobi imemulikwa kwa kutoa vyeti feki kwa wafanyabiashara wanaotayarisha na kuuza chakula katika baadhi ya hoteli jijini. Hayo yamefichuliwa mbele ya kikao cha Kamati ya Afya inayoongozwa na diwani wa Mountain View Maurice Ochieng. Idara hiyo inayoongozwa na Suzanne Silantoi, inamulikwa kwa kutoa vyeti feki 580.

1 day ago


Exclusive Coffee Farm & Traditional Cooking Experiences – New for 2023!

Explore the unique tastes and beauty of Bukoba, Kagera in North West Tanzania Our team at Kiroyera Tours offer a full-day tour to visit: (1) A private a Coffee Farm to learn how coffee is grown (2) Kiroyera Teemba to learn about traditional cooking (3) Kyamunene Waterfalls and Caves to enjoy the natural beauty of

The post Exclusive Coffee Farm & Traditional Cooking Experiences – New for 2023! appeared first on Kiroyera Tours.


Taifa Leo General
Wadau waambiwa utalii na usafi ni kitu kimoja

NA KALUME KAZUNGU WADAU wa Utalii, kaunti ya Lamu wamejitokeza kusafisha fuo za Bahari Hindi kuadhimisha Siku ya Utalii Duniani. Siku ya Utalii Duniani huadhimishwa tarehe 27 Septemba ya kila mwaka ambapo kila nchi mwanachama wa Shirika la Utalii Duniani husheherekea siku hiyo. Wadau hao wakiongozwa na Waziri wa Utalii, kaunti ya Lamu, Aisha Abdallah

2 days ago


Milard Ayo General
Mhe. Kairuki asisitiza Vyombo vya Habari Kutangaza Utalii duniani

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki amevitaka Vyombo Vya Habari kutangaza vivutio vya utalii ili watalii wengi waweze kuvifahamu na kuja nchini hatimaye kuinua uchumi wa nchi yetu. Mhe. Kairuki ametoa kauli hiyo leo wakati alipotembelea kituo hicho jijini Dar es Salaam na kufanya mazungumzo na viongozi wakuu wa Kituo hicho kabla ya

4 days ago


Milard Ayo General
Wanyama wakali na waharibifu kushughulikiwa na Jeshi la Uhifadhi

Taasisi zote nne zinazounda Jeshi la Uhifadhi chini ya Wizara ya Maliasili na Utalii zimeagizwa kuhakikisha zinashiriki kikamilifu katika kudhibiti changamoto za wanyamapori wakali na waaribifu nchini na kuwa suala hilo si la taasisi moja tena kama ilivyo kuwa sasa. Agizo hilo limetolewa Jijini Arusha na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Kamishna

4 days ago


Taifa Leo General
Jombi aduwaa binti kumrushia mistari motomoto ya mapenzi

NA JANET KAVUNGA BAMBURI, MOMBASA BAROBARO aliyefika eneo hili kujivinjari, alibaki mdomo wazi kipusa anayefanya kazi katika hoteli aliyokuwa akiishi alipomrushia mistari ya mapenzi bila hofu ya kukataliwa. Jamaa alikuwa ametulia mezani akibugia kinywaji mwanadada huyo alipomjia, akamwamkua kisha akampa ujumbe ambao ulimshangaza. “Kwa kweli siwezi nikaendelea kuficha yaliyo moyoni. Sijui utakavyolichukua hili lakini ujue

5 days ago


Taifa Leo General
Jinsi watalii wawili walivyopoteza mali ya thamani wakiogelea

NA FARHIYA HUSSEIN WATALII wawili waliokuwa wamezuru Kaunti ya Mombasa wamekwama baada ya kuibiwa bidhaa zao ndani ya hoteli eneo la Shanzu. Kulingana na wawili hao waliokuwa wakilala katika hoteli ya kifahari ya Royal Shaza, walikuwa wametoka chumbani mwao jioni ya Septemba 13, 2023, na waliporudi walipata mali yao ikiwa imeibwa. “Kando na sababu za utalii,

1 week ago


Taifa Leo General
Utalii Lamu unavyoyumbishwa na mfumko wa bei ya mafuta ya petroli

NA KALUME KAZUNGU WATALII na wageni wanaozuru Pwani ya Kenya, hasa Lamu tayari wameanza kuhisi ugumu wa gharama ya juu ya maisha unaochochewa na ongezeko la bei ya mafuta. Hii ni kufuatia kuongezeka kwa bei ya mapochopocho, hasa yale ya samaki hotelini na mikahawani eneo hilo. Kwa kawaida, bakuli la mlo wa samaki kwenye hoteli

1 week ago


Taifa Leo General
Kenya kusafirisha shehena kubwa zaidi ya mbegu ya ng’ombe wa kiasili

Na JAMES MURIMI Kenya itafikia hatua muhimu hivi punde kwa kusafirisha idadi kubwa ya mbegu za ng’ombe aina ya Borana na Ankole kwa taifa la nje. Kikosi cha wanasayansi kimekamilisha mradi wa kuandaa viinitete (embryo) 2,954 katika kituo cha Sirima, kwenye hifadhi ya Ol Pajeta, Kaunti ya Laikipia tayari kusafirishwa Afrika Kusini. Aina hizo za

1 week ago


Mtanzania General
Tanzania mwenyeji Mkutano wa Ufugaji Nyuki Duniani(APIMONDIA)

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Tanzania inatarajiwa kuwa mwenyeji wa mkutano wa Dunia wa Ufugaji Nyuki (APIMONDIA) utakaofanyika mwaka 2027 nchini wadau wametakiwa kutumia fursa kwa kuvutia wawekezaji na kuongeza tija katika ufugaji na biashara . Hayo yameelezwa SeptembA 12 jijini Dar es Salaam Waziri wa Maliasili na Utalii, Angellah Kairuki katika mkutano na vyombo

2 weeks ago


Milard Ayo General
Tanzania nchi ya 14 duniani na ya 2 afrika katika uzalishaji wa asali.

Wadau wa ufugaji nyuki nchini wametakiwa kutumia fursa ya mkutano wa Dunia wa Ufugaji Nyuki (APIMONDIA) utakaofanyika nchini 2027 kuvutia wawekezaji na kuongeza tija katika ufugaji na biashara nzima ya mazao ya nyuki na utalii. Hayo yamesemwa leo na Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) katika mkutano na vyombo vya habari uliofanyika

2 weeks ago


Milard Ayo General
Hoteli inayomilikiwa na Cristiano Ronaldo imekuwa makazi ya wahanga wa tetemeko la ardhi nchini Morocco.

Eneo la Atlas ya Juu nchini humo lilikumbwa na tetemeko la ardhi la kipimo cha 6.8, ambalo limegharimu maisha ya zaidi ya watu 2,122 huku zaidi ya 2,421 wakijeruhiwa na wengine wengi kutoweka. Ronaldo ametoa msaada wake kwa kufanya hoteli ya Pestana CR7 Marrakesh ipatikane kwa waathiriwa wanaotafuta hifadhi kutokana na janga hilo la asili.

2 weeks ago


Milard Ayo General
DC Pangani aandaa mafunzo maalum kwa Vijana, ‘kutambua fursa katika sekta ya Utalii’

Mkuu wa Wilaya ya Pangani kwa kushirikiana na Chuo cha Taifa cha Utalii nchini wameandaa mafunzo Maalum ya muda mfupi kwa Vijana wa Pangani likiwa ni kuwaandaa Vijana kuweza kukidhi ushindani kwenye Soko la ajira hasa ukizingatia kuwa Pangani ni Mji wa Utalii. DC Zainab amesema mafunzo hayo yatawasaidia Vijana wa Pangani kutambua fursa zilizopo

3 weeks ago


Taifa Leo General
Wenye hoteli zilizogeuka magofu Malindi waambiwa wazikarabati au zivunjwe

NA ALEX KALAMA GAVANA wa Kaunti ya Kilifi Gideon Mung’aro amewataka wamiliki wa hoteli ambazo ziliporomoka na kusalia kuwa magofu katika mji wa Malindi kuzikarabati upya hoteli hizo la sivyo zivunjwe kabisa.  Akizungumza katika ukumbi wa bustani ya Buntwani Waterfront, Gavana Mung’aro alisema serikali ya kaunti hiyo hivi karibuni itatoa muda kwa wamiliki wa hoteli

3 weeks ago


Mtanzania General
Makala: TFS inavyonadi utalii wa Ikolojia

*Yasema ni fursa nyingine ya kutazamwa na Watanzania Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Utalii inatajwa kama Sekta inayokua kwa kasi nchini. Kumekuwa na aina nyingi za utalii ikiwemo utalii wa wanyamapori, mali kale, maghofu, milima, picha, utalii mazingira au ikolojia na vivutio vingine mbalimbali vinavyopatikana nchini Tanzania na kuwavutia watalii wengi duniani. Utalii wa ikolojia

3 weeks ago


Taifa Leo General
Jinsi Kenya ilivyotumia kongamano kuu la ACS23 kujipigia debe, kuvutia watalii

NA MARY WANGARI KENYA imetumia fursa ya Kongamano la Afrika la Kuangazia Mabadiliko ya Tabianchi (ACS23) kujipigia debe kama kivutio kikuu cha watalii, na sehemu yenye maeneo ya burudani na historia barani Afrika na duniani kwa ujumla. Kongamano hilo la siku tatu ambalo ni kwanza kabisa la aina hiyo kufanyika barani Afrika lilianza Jumatatu na

3 weeks ago


Mtanzania General
‘Kina Lissu wamesema uongo’ – Mwiba

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Kampuni ya Uwekezaji kwenye utalii na ranchi za wanyamapori, Mwiba Holdings Ltd imetishia kuwachukulia hatua kali za kisheria wanasiasa waliosambaza taarifa za uongo wakidai walidanganya kuwa kampuni hiyo (na mmiliki wake Thomas Dan Friedkin), imepewa umiliki wa ekari milioni 6 za eneo la Hifadhi ya Wanyama wilayani Meatu mkoani Simiyu.

3 weeks ago


Milard Ayo General
‘Kwasasa tunalipa Bilioni 67 kwa mwezi kwa Wastaafu takribani 160,000’- Mkurugenzi Mkuu PSSSF

Mfuko wa hifadhi ya jamii kwa watumishi wa umma (PSSSF) kwa kipindi Cha miaka mitano wamefanikiwa kulipa madai ya kiasi Cha shilingi Trilioni 1.3 yaliyoathiriwa kutoka kwenye mifuko iliyounganishwa kwa wanufaika 10, 273 ambapo madai hayo yalilipwa ndani ya miaka miwili huku mfuko ukiendelea kulipa madai mapya Aidha Mfuko huo umefanikiwa kuongeza thamani ya uwekezaji

4 weeks ago


Taifa Leo General
Daktari aliyeshtakiwa kumnajisi msichana aachiliwa kwa dhamana ya Sh100,000

NA TITUS OMINDE DAKTARI mmoja mjini Eldoret ameshtakiwa Ijumaa kwa kumnajisi msichana wa umri wa miaka 15 wa katika chumba kimoja cha hoteli mjini Eldoret, Kaunti. Nakala ya mashtaka imeonyesha kuwa Dkt Robert Kipkoech alimnajisi mtoto huyo Agosti 26 na 27 katika chumba cha hoteli iliyoko kaunti ndogo ya Turbo. Mahakama imeambiwa kuwa mshtakiwa anafanya

4 weeks ago


Milard Ayo General
Video:’Tunataka kuhama,mifugo inaliwa na wanyama wakali, wanatufilisi” wananchi waiomba serikali…..

Wananchi wa vijiji vya Irkeepus na Olchani omelock za kata ya Nainonoka wilayani Ngorongoro Mkoa Arusha Wamesema wameshangazwa na maisha ya Msomera ikiwemo kuona Mahindi ya kuchoma kwa mara ya kwanza pamoja na kilimo huku wengine wakisimulia jinsi walivyofilisika baada ya mifugo yao kushambuliwa na wanyama katika Mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro nakushindwa kuwahudumia watoto

4 weeks ago


Milard Ayo General
Watanzania kupelekwa kileleni Mlima Kilimanjaro,Miaka 62 kuadhimishwa mlimani

Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) kwa kushirikiana na makampuni ya waongoza watalii nchini limepanga kuadhimisha miaka 62 ya uhuru kwa kuwapeleka idadi kubwa ya watanzania katika kilele cha Mlima Kilimanjaro ikiwa ni sehemu ya maadhimisho hayo. Hayo yameelezwa na naibu Kamishna wa Uhifadhi na Maendeleo ya Biashara TANAPA Herman Batiho wakati akiongea na

1 month ago


Milard Ayo General
Wenyeji wa kijiji cha Hallstatt nchini Austria waandamana dhidi ya kupinga utalii

Wenyeji katika kijiji hicho  cha Austria cha Hallstatt wamefanya maandamano dhidi ya utalii mkubwa kwa kuziba barabara kuu ya kuelekea mjini kwa kudai kuwa kina idadi ya watu 800 tu, lakini hupata hadi wageni 10,000 kwa siku wakati wa msimu wa juu wa watalii. Wakazi wanatoa wito wa kuweka mipaka kwa idadi ya watalii wa

1 month ago


Taifa Leo General
Atwoli ahimiza Ruto kujenga hoteli za kifahari kilele cha Mlima Kenya kuvutia watalii

NA SAMMY WAWERU KATIBU Mkuu wa muungano wa kutetea wafanyakazi nchini (Cotu), Francis Atwoli amemshauri Rais William Ruto kuunda mikahawa ya kifahari katika kilele cha Mlima Kenya, akisema hatua hiyo itachangia kuvutia watalii. Kulingana na Bw Atwoli, Kenya ina raslimali nyingi ambazo zinahitaji ubunifu pekee kuteka hela. Huku mbuga za wanyama na fuo za Pwani

1 month ago


Milard Ayo General
Kijana wa kitanzania ‘Victor Jango’ ashinda tuzo ya Business- Youth in Mining ‘East Africa Youth Awards 2023’

Ni Usiku wa Agosti 26, 2023 ambapo zimefanyika utoaji wa tuzo za East Africa Youth Awards zilizotolewa Mkoani Arusha katika hoteli ya Gran Melia. na miongoni mwa vijana walioshinda tuzo usiku huo ni Victor Jango ambae alitajwa kushinda tuzo ya Business- Youth in Mining kwenye upande wa Madini na kuwakilishwa na Mwanae aitwae Myles Victor

1 month ago


Milard Ayo General
Joseph Kusaga apewa tuzo hii ya heshima kwenye utoaji wa tuzo za East Africa Youth Awards 2023

Ni Usiku wa Agosti 26, 2023 ambapo zimefanyika utoaji wa tuzo za East Africa Youth Awards zilizotolewa Mkoani Arusha katika hoteli ya Gran Melia. Na Miongoni waliopewa tuzo ya kutambuliwa mchango ama heshima ni Mkurugenzi wa Clouds Media Group Joseph Kusaga ambae alipewa tuzo ya Examplary Business Leader in Empowering Youths ambapo aliwakilishwa na Issa

1 month ago


Taifa Leo General
Raila amsherehekea Mama Ida kwa mtindo katika hoteli ya kifahari

MWANDISHI WETU KINARA wa upinzani Raila Odinga alionyesha mapenzi yake kwa mkewe Ida Odinga katika siku ya kuzaliwa kwake Agosti 24th. Wapenzi hao ambao pia walikuwa wakisherehekea miaka 50 kwenye ndoa, walijongewa na marafiki, wanasiasa, ndugu na jamaa katika hoteli ya kifahari ya Villa Rosa Kempinski, Nairobi. Wanasiasa hao ni pamoja na Martha Karua, Kalonzo

1 month ago


Milard Ayo General
Paul Kagame atoa onyo kwa watalii wa kikatoliki”kuabudu umaskini”

Rais wa Rwanda Paul Kagame amewaonya Wakatoliki wanaotembelea maeneo ya Hija yanayojulikana kuwa maeneo ya maonyesho ya Marian kila mwaka, akiwashutumu kwa “kuabudu umaskini”. Kila mwaka, maelfu ya mahujaji husafiri, wakati mwingine kwa miguu, hadi mji wa Kibeho, unaojulikana kwa maonyesho kadhaa ya Bikira Maria kwa wasichana watatu wachanga mapema miaka ya 1980. Mwaka huu,

1 month ago


Taifa Leo General
Fahamu kwa nini wanaume Lamu wanapenda kula hotelini kuliko nyumbani

NA KALUME KAZUNGU NI bayana kwamba wanaume wengi, hasa wale wa jamii ya Waswahili Wabajuni  kisiwani Lamu hukimbilia kufakamia mapochopocho hotelini, vibandani na vichochoroni badala ya kusalia nyumbani kupikiwa na wake wao. Si jambo la kustaajabisha kumpata mwanamume aliyeoa na mwenye familia ya watoto wengi mjini Lamu akiwa amejibanza hotelini asubuhi na mapema, akinywa chai

1 month ago


Taifa Leo General
Hoteli zageuka magofu kwa sababu ya usalama kudorora mjini Malindi

NA ALEX KALAMA INAVUNJA moyo mwekezaji na mfanyakazi katika hoteli yoyote ile kuona wageni na wateja wakianza kupungua ghafla. Ukweli mchungu ni kwamba zipo sababu nyingi ambazo zinaweza kuchangia hali hii. Baadhi ya wakazi na wawekezaji katika mji wa Malindi wanaujua ‘msiba’ huu kwa sababu wameshaona hoteli za kifahari na tajika eneo hilo kama vile Eden

1 month ago


Milard Ayo General
Wilaya ya Mvomero na hifadhi ya Taifa Mikumi wakubaliana kutangaza fursa za uwekezaji kwa wadau

Wilaya ya Mvomero kwakushirikana na Hifadhi ya Taifa Mikumi wamepanga kuanzisha mkakati wa kuhakikisha wanatangaza fursa ya Uwekezaji katika maeneo yaliyoko jirani na Hifadhi kwakuweka vivutio vya kitalii ili kupunguza ongezeko la Wanyama waharibifu wa mazao na vifo vya binadamu. Hayo yamezungumzwa hapo katika kikao Cha pamoja kilichofanyika katika Ofisi za Hifadhi ya Taifa Mikumi

1 month ago


Taifa Leo General
Neymar alitaka kasri la vyumba 25 kabla ya kuhamia klabu ya Saudia

NA MASHIRIKA NEYMAR alitaka kasri la vyumba 25, bwawa la kuogelea na chumba cha kujituliza kwa mvuke maalum, wafanyakazi na wanane wa kusafisha nyumba, limefichua jukwaa la Kihispania la Cope. Jukwaa hilo linaongeza kwamba Neymar alitaka magari tisa ya kifahari na mahitaji yote ya usafiri, mikahawa na hoteli yagharimiwe na wasimamizi wa klabu ya Al-Hilal.

1 month ago


Mtanzania General
Fisi mwenye kichaa alivyoacha ulemavu wa kudumu Ngorongoro

*Mwanamke apoteza jicho, masikio, mikono na fuvu “Aiomba Serikali kuwahamisha haraka Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital “Nimepoteza masikio, jicho, viganja vya mikono yangu miwili na fuvu la kichwa wakati nikikabiliana na fisi ili asiweze kula mifugo yangu katika hifadhi ya Ngorongoro, sasa nimebaki na ulemavu huu wa kudumu,” ni maneno ya Rose Kapande (50) mkazi

1 month ago


Milard Ayo General
Rose atobolewa jicho nakung’atwa na Fisi akipambana kumzuia asile ng’ombe zake

Mwanamke anayeitwa Rose Kapande mkazi wa kijiji cha Napai katika kata ya Nainokanoka Wilayani Ngorongoro Mkoani Arusha amesimulia jinsi alivyotobolewa jicho lake la upande wa kushoto nakukatwa vidole viwili vya mkono wake huku akisema alivamiwa na fisi huyo wakatai akipambana naye asili ng’ombe wake. Akizungumzia tukio hilo amesema kuwa anaiomba Serikali kuharakisha mchakato wa kuwahimisha

1 month ago


Taifa Leo General
Najib Balala alaumiwa kwa kuangusha hoteli za kifahari Nyeri

NA MWANGI MUIRURI  MFANYABIASHARA na mwanasiasa Thuo Mathenge amemlaumu aliyekuwa Waziri wa Utalii katika serikali ya Uhuru Kenyatta kwa kusambaratika kwa biashara za hoteli kubwa Mlima Kenya. Alisema hoteli za kifahari katika eneo la Mlima Kenya zikiwemo Treetops, Outspan, Green Hills na White Rhino zilifungwa kutokana na Waziri huyo kukandamiza biashara za burudani eneo hilo.

1 month ago


Mtanzania General
Wananchi Ngorongoro waomba kuhamishwa

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Baadhi ya Wananchi waliosalia ndani ya mamlaka ya Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro (NCAA) wamesema kuwa wanaishi katika maisha ya tabu yasiyokuwa na huduma za kijamii na kwamba wanatamani kuondoka. Wakizungumza na waandishi wa habari Agosti 13, 2023 katika kata za Nainokanoka na Naiyobi, wameeleza kuwa wanataka kuondoka kwa hiari

1 month ago


Milard Ayo General
Oparesheni yaanzishwa dhidi ya maeneo yanayodaiwa kuendeleza ushoga Ethiopia

Mamlaka nchini Ethiopia imesema imekuwa ikiendeleza oparesheni dhidi ya hoteli, baa na maeneo ya burudani katika mji mkuu ambapo inadaiwa vitendo vya mapenzi ya jinsia moja na ushoga vinafanyika. Ofisi ya utawala wa amani na usalama ya Addis Ababa,ilisema ilikuwa ikichukua hatua “dhidi ya taasisi ambazo vitendo vya ushoga vinatekelezwa”. Katika taarifa yake kwenye mtandao

1 month ago


Taifa Leo General
Namwamba awatuza wanahabari kwenye hafla ya kufana

NA TOTO AREGE HISTORIA imewekwa Jumatano wakati Waziri wa Michezo Ababu Namwamba amewatuza wanahabari 195 wa michezo kwa mara ya kwanza kabisa. Hafla hiyo imeandaliwa katika hoteli ya Weston jijini Nairobi. Akizungumza katika hafla hiyo, Bw Namwamba amewatunuku wanahabari 195 wa michezo na watengenezaji wa video za kupakiwa kwenye majukwaa mbalimbali mtandaoni. “Katika kila mfanyalo,

1 month ago


Milard Ayo General
Ukraine yaishutumu Urusi kwa kushambulia timu za uokoaji

Maafisa wa Ukraine wameishutumu Kremlin kwa kuwalenga waokoaji katika shambulio la Jumanne dhidi ya Pokrovsk kwa kulipua ghorofa na hoteli kwa makombora mawili mfululizo. Shambulizi hilo limesababisha vifo vya watu tisa na kujeruhi wengine zaidi ya 80, Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy alisema katika hotuba yake ya usiku. Kulingana na mamlaka ya Ukraine, mmoja wa

1 month ago


Mtanzania General
Juhudi za Rais Samia zimetuongezea nguvu – Dk. Abbasi

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Serikali imesema iko tayari kuliwakilisha Bara la Afrika kwenye vyombo vya juu katika ngazi ya Umoja wa Mataifa katika sekta ya utalii kutokana na dhima ambayo Tanzania imepewa na Bara la Afrika katika Mkutano wa Utalii Kanda ya Afrika uliomalizika hivi karibuni nchini Maritius. Akizungumza na waandishi wa habari jijini

1 month ago


Taifa Leo General
NEMA yataka maoni yatolewe kuhusu ujenzi wa hoteli ya Raila

NA VALENTINE OBARA MAMLAKA ya Kitaifa ya Kusimamia Mazingira (NEMA), imetoa wito kwa umma kuwasilisha maoni kuhusu mpango wa kampuni ya kinara wa ODM, Bw Raila Odinga, kujenga hoteli Malindi. Kampuni ya Kango Enterprises Ltd, ambayo Bw Odinga ni mmoja wa wakurugenzi, imenuia kujenga hoteli hiyo kando ya bahari katika eneo la Mayungu, Kaunti ya

1 month ago


Milard Ayo General
Wakimbizi wa Afghanistan wanakabiliwa na kufukuzwa kutoka hoteli za Uingereza

Halmashauri zinaonya juu ya shida ya makazi wakati serikali inauliza familia kuondoka kwenye makazi Maelfu ya wakimbizi wa Afghanistan ambao walipewa hifadhi na Uingereza baada ya kunyakua Taliban wako katika hatari ya kukosa makazi huku serikali ikiwataka kuondoka kwenye hoteli ifikapo mwisho wa mwaka, kulingana na mamlaka za mitaa. Familia hizo, ambazo wengi wao walifanya

1 month ago


Taifa Leo General
Utalii Lamu wayumbishwa na Al-Shabaab

NA KALUME KAZUNGU WADAU wa utalii Lamu wameeleza hofu kuwa visa vya mashambulizi ya kigaidi vinavyoendelea kushuhudiwa katika kaunti hiyo miezi ya hivi karibuni huenda vikaathiri pakubwa idadi ya watalii wanaozuru eneo hilo. Tayari msimu wa juu wa utalii ulishaanza tangu Julai mwaka huu, wakati ambapo watalii wengi, hasa wale wa ng’ambo hutarajiwa kufurika Lamu

1 month ago


Milard Ayo General
Ofisi ya Halmashauri yajengwa kwenye njia ya Wanyamapori, Makatibu wakutana kuzungumza

Naibu Katibu Mkuu wizara ya maliasili na Utalii Kamishna Benedict Wakulyamba akiwa kwenye mkutano wa wizara za kisekta jijini Dodoma unaolenga kuokoa shoroba za wanyapori zilizovamiwa na wananchi amesema kuonekana kwa wanyamapori kwenye makazi ya watu ni kutokana na wananchi kuvamia kwenye mapito ya Wanyama hao (shoroba). Kamishna Wakulyamba ameongeza kuwa changamoto ya kuvamiwa kwa

1 month ago


Taifa Leo General
Shakahola: Awamu ya nne upasuaji maiti yaanza

NA ALEX KALAMA AWAMU ya nne ya upasuaji wa maiti zilizoondolewa kwenye makaburi yaliyofukuliwa ndani ya msitu wa Shakahola imeanza ambapo miili 10 imefanyiwa uchunguzi. Miili tisa ilikuwa ya watoto huku mwili mmoja ukiwa wa mtu mzima. Akihutubia wanahabari baada ya kumaliza shughuli hiyo ya Jumatano katika hifadhi ya maiti ya Hospitali Kuu ya Malindi,

2 months ago


Taifa Leo General
Raila kujenga hoteli itakayogharimu nusu bilioni Malindi

NA VALENTINE OBARA KAMPUNI inayohusishwa na kiongozi wa ODM Raila Odinga, imepanga kujenga hoteli ya kifahari kwenye ardhi ambayo awali ilikuwa ikizozaniwa Malindi, Kaunti ya Kilifi. Stakabadhi zilizosomwa na Taifa Leo zilionyesha kuwa, kampuni hiyo ya Kango Enterprises Limited ambapo Bw Odinga ni mmoja wa wakurugenzi, itatekeleza ujenzi huo kwenye ardhi ya karibu ekari 4.3.

2 months ago


Mtanzania General
Kwa Sh milioni 5 faru anapewa jina lako

Na Ramadhan Hassan, Dodoma SHIRIKA la Hifadhi za Taifa za Tanzania (TANAPA) limeanzisha Programu maalum ya kuwezesha watu wanaotaka baadhi ya wanyama waitwe majina yao kufanya hivyo lakini kwa kulipia Sh milioni tano. Hayo yameelezwa Jumatatu, Julai 24,2023 na Kamishna wa Uhifadhi wa Tanapa, William Mwakilema wakati akielezea utekelezaji wa majukumu na mwelekeo wa utekelezaji

2 months ago


Milard Ayo General
Putin atia saini sheria ya nyongeza ya ukomo wa umri kwa askari wa akiba

Rais wa Urusi Vladimir Putin alitia saini sheria Jumatatu inayoongeza ukomo wa umri kwa miaka mitano kwa makundi fulani ya raia kusalia katika hifadhi ya kijeshi ya Urusi, huku Moscow ikizidisha mashambulizi dhidi ya Ukraine. Marekebisho ya Sheria ya Shirikisho “Juu ya wajibu wa kijeshi na huduma ya kijeshi,” iliyochapishwa kwenye tovuti rasmi ya habari

2 months ago


Milard Ayo General
Mradi wa kufua umeme wa JNHPP kuinua fursa za kiuchumi na uwekezaji

Viongozi wa Baraza la Makanisa ya Kipentekoste Tanzania (CPCT), wamesema mradi wa kufua umeme wa Julius Nyerere (JNHPP), una manufaa zaidi kwa Taifa sio tu kuzalisha nishati hiyo bali utaibua fursa za kiuchumi katika sekta za utalii, kilimo na mifugo. Hayo yalisemwa na muasisi wa Baraza la umoja wa makanisa ya kipentekoste Tanzania na mkuu

2 months ago


Peruzzi