Taifa Leo Travel

Miili ya vijana wawili waliokufa maji ufukweni Shella, waopolewa

MIILI ya vijana wawili kati ya watatu walioripotiwa kutoweka baharini eneo la Shella, Kaunti ya  Lamu, ilipatikana Jumatatu ikielea karibu na ufuo huo huo wa Shella. Akithibitisha taarifa hizo, Meneja...

1 day ago


Mtanzania Travel

Tanzania mwenyeji tuzo za kimataifa za utalii, nchi 30 kushiriki

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Tanzania imepewa heshima ya kuwa mwenyeji wa Tuzo za Kimataifa za Utaili zijulikanazo kama World Travel Awards katika hafla ya kutangaza washindi wa Kanda ya...

1 day ago


Habari Leo Travel

Katy Perry na wanawake wengine wasafiri angani

MAREKANI : MWANAMUZIKI wa Pop, Katy Perry, pamoja na wanawake watano wamesafiri angani kwenye chombo cha utalii, New… The post Katy Perry na wanawake wengine wasafiri angani appeared first on...

1 day ago


Habari Leo Travel

Tanzania mwenyeji tuzo za World Travel

TANZANIA imechaguliwa kuwa mwenyeji wa tuzo za kimataifa za utalii ‘World Travel’ na hafla ya kutangaza washindi wa… The post Tanzania mwenyeji tuzo za World Travel appeared first on HabariLeo.

1 day ago


Habari Leo Travel

Washindi CRDB kutembelea hifadhi ya Serengeti

WASHINDI wa Benki ya CRDB kupitia kampeni ya “Tembo Card ni Shwaa ” wanakwenda Hifadhi ya Taifa ya… The post Washindi CRDB kutembelea hifadhi ya Serengeti appeared first on HabariLeo.

5 days ago


Mtanzania Travel

Washindi sita ‘Tembo Card Shwaa’ kutalii Serengeti

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Benki ya CRDB imetangaza washindi sita wa kampeni ya ‘Tembo Card Shwaa’ ambao watasafiri kwenda kutalii katika mbuga ya Serengeti mkoani Mara. Washindi hao ambao...

1 week ago


Mtanzania Travel

NCAA yang’ara Tuzo za ubora PRST 2024

Na Mwandishi wetu Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) imeendelea kung’ara katika ulingo wa mawasiliano na uhusiano wa umma baada ya kushinda Tuzo ya Ubora ya Chama cha Maafisa Uhusiano...

2 weeks ago


Habari Leo Travel

Kigoma yaanza kutekeleza mpango utalii tiba

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) imesema kuwa Tanzania imepiga hatua kubwa katika utoaji huduma za afya ambapo kwa sasa… The post Kigoma yaanza kutekeleza mpango utalii tiba appeared first on HabariLeo.

2 weeks ago


Taifa Leo Travel

Ole wako unayebusu jamaa mwenye ndevu, bakteria zinakusubiri

DAKTARI na mtaalamu wa afya Dkt Myro Figura ametahadharisha dhidi ya kupiga busu wanaume wenye ndevu, akisema hatua hiyo inaweza kukusababishia maambukizi na mwasho kwa ngozi. Kutokana na hilo amewataka...

2 weeks ago


Vanguard News Travel

Hotelier, others in police net as lodger found dead in Delta hotel

Officials of Isoko North Local Government Council sealed the hotel following the suspects' arrest. The post Hotelier, others in police net as lodger found dead in Delta hotel appeared first...

2 weeks ago


Load More...

Job Vacancies





Entertainment