NA DERICK LUVEGA WATAALAMU wa kike wa Kiislamu wanawazia kubuni sheria itakayowezesha wanafunzi kuvaa hijab shuleni. Hii ni baada ya usimamizi wa taasisi za elimu kukosa kutekeleza amri iliyotolewa na Wizara ya Elimu inayoruhusu matumizi ya vazi hilo la kidini kwa wanafunzi wa Kiislamu katika shule za msingi na za upili. Wakiongozwa na kamishna wa
2 minutes ago
WIZARA YA NISHATI yafungua rasmi Mkutano wa siku 3 wa Wadau wa Sekta ya Nishati nchini kutoka Mataifa mbalimbali Jijini Dar es salaam Akizungumza na Wanahabari Leo Februari 01,2023 Waziri wa Nishati Januari Makamba wakati akifungua Mkutano huo kwa wa wawekezaji wa Sekta ya Nishati kutoka mataifa mbalimbali Jijini Dar es salaam amesema Serikali ipo
7 hours ago
Shirika la Nyumba NHC limesema limelipa kodi mbalimbali inayofikia takriban shilingi bilioni 22.0 kwa mwaka 2021/2022. Aidha, Shirika limelipa Gawio Serikalini la shilingi milioni 750 kwa mwaka 2021/2022. Gawio hili ni kiwango kinachopaswa kulipwa na Shirika kila mwaka kutokana na maelekezo ya Msajili wa Hazina. Shirika limekuwa likichangia kila Mwaka Gawio la Serikali na kulipa
8 hours ago
Mwanza. MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania Bara, Simba Queens imeibuka na ushindi mnono wa mabao 4-0 dhidi ya Alliance Girls leo katika Uwanja wa Nyamagana, Mwanza mchezo ambao umepigwa kuanzia saa 10 jioni. Ushindi huo ni wa sita mfululizo kwa Simba Queens katika michezo saba ya ligi tangu ilipopoteza kwa mabao 2-1 mbele ya JKT Queens katika mchezo wake wa kwanza msimu huu, huku ikiwa ni dozi ya pili mfululizo nzito kwa timu hiyo kuigawa baada ya...
10 hours ago
MCHEZO wa Ligi Kuu ya Wanawake (WPL) kati ya Fountain Gate Princess na Ceasiaa Queens ya mkoani Iringa umemalizika katika uwanja wa Jamhuri kwa timu hizo kutoka sare ya kutofungana. Licha ya Fountain kuishambulia kwa dakika 90 Ceasiaa lakini Hadi filimbi ya mwisho ya mwamuzi Halima Ally kutoka mkoani Manyara hakuna timu iliyoweza kupata bao. Zifuatazo ni dondoo muhimu za mchezo huu. Huu ni mchezo wa tatu kwa Kocha wa Ceasiaa Queens,Mustapha Kayinda raia wa Uganda,kuiongoza timu hiyo akichukua nafasi...
10 hours ago
Dodoma. Mwamuzi Halima Ally wa mkoani Manyara amechezea kichapo kutoka kwa mashabiki na wachezaji wa timu ya Fountain Gate katika mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake (WPL) uliomalizika jioni ya leo katika uwanja wa Jamhuri Jijini hapa. Mchezo huo ulikuwa dhidi ya Ceasiaa Queens ya mkoani Iringa na ulimalizika kwa timu hizo kutoka sare ya kutofungana. Mara baada ya kumalizika mchezo huo baadhi ya wachezaji wa Fountain walianza kumzonga huku wakitaka kumpiga. Kuona anazidi kuzongwa mwamuzi huyo ilibidi atimue mbio...
10 hours ago
MASTAA wa SINGIDA Big Stars wametumia saa mbili kujifua tayari kwa ajili ya kuikabili Simba Ijumaa hii kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara ambao dakika 90 zitaamua ubora wa timu zote mbili. Mchezo wa kwanza Singida BS ikiwa nyumbani ililazimishwa sare ya bao 1-1 mchezo uliochezwa kwenye Uwanja wa Liti mkoani Singida. Timu hiyo ikiwa chini ya kocha mkuu, Hans Van Pluijm ilianza mazoezi saa 3:15 asubuhi wakianza na kupasha viungo huku wakigawanyika kwa nafasi za viungo, mabeki na makipa....
10 hours ago
Diageo South Africa Marketing head Zizwe Awuor Vundla has been tapped as Director of Brand and Marketing.
11 hours ago
WAFALME wa zamani wa magongo Ligi Kuu nchini, Kenya Police wamevunja rekodi ya Butali Warriors ya kutoshindwa msimu huu kwa kuizaba bao 1-0 ugani City Park, Nairobi katika mechi ya kutamatisha kampeni za ligi kuu msimu huu. Butali chini ya kocha, Zack Aura, ilikuwa imecheza mechi 17 bila kupoteza lakini ilishindwa kutimiza azma ya kumaliza msimu ‘unbeaten’ katika mechi ambayo pande zote zilionyesha mchezo safi. Bao pekee katika mchezo huo lilifungwa kwa njia ya penalti na Sammy Oungo baada ya...
11 hours ago
Troops from Kenya, Uganda, Ethiopia, Djibouti and Burundi have been supporting the fight against Al-Shabaab.
11 hours ago
NA CHARLES WASONGA SPIKA wa Bunge la Kitaifa Moses Wetang’ula amewahimiza wabunge waharakishe utayarishaji wa sheria itakayoiweka Hazina ya Ustawi ya Maeneo Bunge (NG-CDF) katika Katiba kuikinga na kesi nyingi za kuipinga. Alisema tangu kuanzishwa kwa hazina hiyo mnamo 2003, imesaidia pakubwa katika ufadhili wa miradi mingi ya maendeleo katika maeneo bunge. Hazina hiyo ilianzishwa
12 hours ago
High transport charges of goods and services have contributed to the rise in the cost of living.
12 hours ago
NA WINNIE ONYANDO MADIWANI wa Nairobi wa mrengo wa chama cha United Democratic Alliance (UDA) wanataka chama hicho kiwachukulie hatua madiwani wawili kwa kudai kwamba Gavana Johnson Sakaja alifadhili mkutano wa kisiasa uliofanyika Kamukunji. Madiwani hao wanataka kiongozi wa wachache katika bunge hilo la kaunti Anthony Kiragu na kiranja wa wachache bungeni Mark Mugambi wachukuliwe
12 hours ago
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Mary Masanja amewaomba Wananchi wa Jimbo la Ushetu kuwa watulivu wakati huu ambapo Serikali inapanga kushughulikia mgogoro uliopo katika Halmashauri ya Ushetu pamoja na Kaliuwa. Kauli hiyo imetolewa leo Bungeni February 1, 2023 baada ya swali la nyongeza lililoulizwa na Mbunge wa Jimbo la Ushetu Mhe. Emmanuel Cherehani
12 hours ago
Good news ninayotaka kukusogezea ni kwamba GSM wanatangaza uzinduzi wa Asante Card zenye mchakato wa kukupatia zawadi za papo hapo. Ukiwa na Asante Card utapata nafasi ya kupata punguzo la asilimia 5% kila unapofanya manunuzi ya katika madukan ya GSM ikiwemo Splash, Babyshop, Max, Shoexpress, GSMsports. Na pia kila Mwanachama wa Asante Card anauwezo kupokea
12 hours ago
Kikosi Cha Simba Queens vs Alliance Girls 1 February 2023
12 hours ago
TI says in countries where corruption reigns, the governments are unable to protect their people.
12 hours ago
Kikosi Cha Yanga Princess vs JKT Queens Leo 1 February 2023 Yanga Sports Club, commonly known as Yanga SC, is a Tanzanian professional football club based in Dar es Salaam, Tanzania. It is one of the oldest and most successful clubs in the country and has won several national league titles and cup competitions.
13 hours ago
MPAKA leo ni nani ambaye anaweza kuelewa mshambuliaji wa Mkongomani, Cesor Manzoki alikuja kufanya nini katika mkutano mkuu wa Simba? Ni ngumu kujua. Ni mshambuliaji ambaye Simba ilimkosa katika dirisha kubwa lililopita kwa sababu aliuzwa kwenda China. Aliibuka katika ukumbi wa uchaguzi wa Simba na kuwasalimia wana Simba ambao akili zao zilikuwa wamezielekeza katika uchaguzi. Baada ya hapo akawapiga kijembe watani wa Simba, Yanga. Nadhani alipewa maelekezo hayo. Habari yake ilikuwa tofauti kidogo na watani zao ambao msimu uliopita katika...
14 hours ago
LIGI Kuu ya Wanawake inarejea leo kwa mechi tano kupigwa kwenye viwanja tofauti hapa nchini huku wengi wakiwa na hamu zaidi ya kuona mchezo kati ya JKT Queens dhidi ya Yanga Princess.
14 hours ago
ULIPOFUNGWA usajili wa dirisha dogo moja ya majina makubwa lililoshtua lilipotajwa kutua Ihefu ni mshambuliaji Yacouba Songne, raia wa Burkina Faso. Yacouba alifikia uamuzi huo baada ya kuachwa na Yanga katika dakika za mwisho kufuatia klabu hiyo kukosa nafasi katika wachezaji ambao waliwasajili msimu huu kisha jamaa kudakwa na matajiri wa Mbarali kule Mbeya. Baada ya usajili huo Mwanaspoti lilimtafuta Yacouba na kupiga naye stori tukianza na maisha yake Yanga yalivyokuwa na kutua kwake Ihefu. MAISHA YANGA Yacouba anaeleza jinsi...
14 hours ago
Ratiba mechi za Simba Ligi kuu TPL 2022/2023,Ratiba ya Mechi za Simba NBC 2022/2023,Ratiba mechi za Simba Ligi kuu NBC Premier League 2022/2023 Ratiba mechi za Simba Ligi kuu NBC Premier League 2022/2023 Simba Sports Club is a football club based in Kariakoo, Dar es Salaam, Tanzania. Founded in 1936 as Queens, the
14 hours ago
NECTA Shule bora 50 Bora 2022 Form Four Results Based on GPA,NECTA Shule 50 Bora 2022 Form Four Results Based on GPA, Shule 10 Bora Matokeo ya Kidato cha NNE 2022, Shule 50 Bora Matokeo Kidato cha nne 2022/2023 NECTA Shule 50 Bora 2022 Form Four Results Based on GPA What
14 hours ago
Tanzania under Magufuli amended its criminal laws in 2019 to introduce the plea-bargaining arrangement.
14 hours ago
BAADA ya kupata matokeo mazuri ya kidato cha nne, beki wa Fountain Gate Princess, Ester Mabanza amesema msingi mzuri aliojijengea kwenye suala la elimu ndio siri ya ufaulu alioupata. Beki huyo ambaye amehitimu elimu ya kidato cha nne katika Shule ya Fountain Gate Secondary School amepata ufaulu wa daraja la kwanza (division 1.16). Akizungumza na Mwanaspoti, Mabanza alisema alikuwa na muda mwingi wa kusoma tofauti na mambo ya mpira ni kutokana na kuipa kipaumbele elimu kwenye maisha yake. “Muda wa...
14 hours ago
Ratiba mechi za Yanga Ligi Kuu TPL 2022/2023, Ratiba mechi za Yanga Ligi Kuu NBC Premier League 2022/2023,Yanga Sc Fixtures 2022/23 Ratiba mechi za Yanga Ligi Kuu NBC Premier League 2022/2023 The following is Yanga’s Schedule for this season 2022/2023, All Yanga Matches for the 2021/2020 season, Yanga Matches today TPL, Yanga Club was founded
14 hours ago
HUKO JKT Queens mambo ni moto, kwa jinsi ilivyopania kuichapa Yanga Princess leo ili kuendelea kubaki kileleni kwenye msimamo wa ligi. JKT Queens ndiyo timu pekee ambayo haijapoteza mchezo wowote hadi sasa kwenye Ligi Kuu Bara Wanawake huku kocha wa kikosi hicho, Ally Ally akisema ili kujiweka katika nafasi nzuri ya kutwaa ubingwa msimu huu ni lazima wahakikishe wanaichapa Yanga. Alisema waliifunga Simba Queens katika mechi ya kwanza ya ufunguzi wa ligi Desemba mwaka jana, hivyo watahakikisha wanapambana ili kuifunga...
14 hours ago
Club ya PSG ya Ufaransa imeelezwa kuwa imesikitishwa na kitendo cha club ya Chelsea kukosea kutuma nyaraka za usajili wa Hakim Ziyech mara mbili bila kuwa zimesainiwa kitu ambacho kimekwamisha usajili wa mkopo wa mchezaji huyo. Hakim alikuwa amekubaliana na club yake ya Chelsea kuwa aende kwa mkopo PSG na alikuwa tayari kawasili Paris kwa
14 hours ago
Matokeo Yanga Princess vs JKT Queens 1 February 2023 Serengeti Lite Premier League, Matokeo Ligi ya Wanawake Tanzania 2022/2023 Matokeo Yanga Princess vs JKT Queens 1 February 2023 Serengeti Lite Premier League Yanga Sports Club, commonly known as Yanga SC, is a Tanzanian professional football club based in Dar es Salaam, Tanzania. It is one
14 hours ago
Ratiba mechi za Yanga Shirikisho Afrika 2022 CAF Confederation Cup Fixture Ratiba mechi za Yanga Shirikisho Afrika 2022 CAF Confederation Cup Fixture The Young Africans Sports Club, also known as Yanga, is a Tanzanian football team based in Dar es Salaam‘s Jangwani neighborhood. The club has been around since 1935, and their home
14 hours ago
KOCHA mkuu wa klabu ya Singida Big Stars, Hans Pluijm amesema mchezo wao ujao dhidi ya Simba ni dakika 90 za ndani ya uwanja ndio zitaamua nani atatoka na pointi tatu na sio kitu kingine.
14 hours ago
The partnership, according to Nala’s founder, would fill the payment gap from the UK, US and EU to Tanzania.
15 hours ago
KOCHA mpya wa Tanzania Prisons, Mohamed Abdalah 'Bares' yupo viunga vya Jiji la Mbeya tayari kwa kuanza majukumu mapya na Wajelajela hao ambao Ijumaa watakipiga na Mtibwa Sugar, Uwanja wa Sokoine kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara.
15 hours ago
Official Vatican statistics put the proportion of Catholics in the DRC at 49 percent of the population.
15 hours ago
Mbeya. Baada ya kuwasili kikosini, hatimaye Abdalah Mohamed 'Bares' ameanza kazi rasmi leo, Februari Mosi kuitumikia Tanzania Prisons akisimamia matizi ya nyota wake katika uwanja wa Magereza jijini hapa. Bares ametua kikosini humo kuchukua nafasi ya mtangulizi wake, Patrick Odhiambo raia wa Kenya ambaye alitemwa kutokana na matokeo kutokuwa mazuri baada ya mkataba wake kumalizika Januari 14. Bares amesaini kandarasi ya miezi sita japokuwa katika mkataba wake kipo kipengele cha kuongeza iwapo timu hiyo itafanikiwa kubaki ligi kuu msimu ujao....
15 hours ago
Na MASHIRIKA KINSHASA, DRC PAPA Francis ameanza rasmi ziara yake ya siku sita katika nchi za Afrika. Kiongozi huyo wa Kanisa la Katoliki amezuru nchi ya Jamhuri ya Demokrasia ya Congo leo Jumatano kama njia ya kuombea amani katika nchi hiyo inayokumbwa na mzozo. Kanisa Katoliki jijini Kinshasa lilisema kwamba ziara hiyo inalenga maombi maalum
15 hours ago
TAASISI ya Utoaji wa Huduma za Afya ya Aga Khan, Tanzania (AKHST) imeingia makubaliano ya kutoa huduma za matibabu, mafunzo na uchunguzi wa afya kwa ujumla na klabu ya Azam kwa kipindi cha miaka miwili. Makubaliano hayo yamefikiwa Leo, Februari mosi, 2023 kwenye moja ya kumbi za mikutano za Hospitali hiyo zilizopo jijini Dar es Salaam ikiwahusisha Watendaji wakuu (CEO’s) wa taasisi zote mbili, Sisawo Konteh wa AKHST na Abdul Kareem ‘Popat’ wa Azam sambamba na viongozi wengine. Mkataba huo...
16 hours ago
Geita Gold Mining Ltd (GGML) yesterday inaugurated the start of an internship for another 50 fresh graduates who joined the miner in various disciplines.
16 hours ago
Serikali imesema kuwa uamuzi wa baraza la Taifa la mitihani (NACTE) kutokutangaza Shule bora kwa kutegemea matokeo ya mwisho ya mitihani ni kwa sababu ya utata wa namna ya kutathmini Shule bora. Ufafanuzi huo wa Serikali umetolewa Bungeni leo February 1, 2023 na Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda baada ya mwongozo uliombwa
16 hours ago
In the region, China was Tanzania's lead market for tourists before the pandemic.
16 hours ago
NA SAMMY KIMATU FAMILIA zaidi ya 1,000 zilizoathirika katika mkasa wa moto katika mtaa wa mabanda wa Mukuru-Maasai, kaunti ndogo ya Starehe bado zitasubiri zaidi kurudi kwa makao yao. Naibu Kamishna katika kaunti ndogo ya Starehe, Bw John Kisang ameambia Taifa Leo kwamba serikali ilikuwa na utaratibu wa kufuatwa kabla ya nyumba kujengwa upya. “Serikali
16 hours ago
Serikali imesema kuwa uamuzi wa baraza la Taifa la mitihani (NACTE) kutokutangaza shule bora kwa kutegemea matokeo ya mwisho ya mitihani ni kwa sababu ya utata wa namna ya kutathmini shule bora. Ufafanuzi huo wa Serikali umetolewa Bungeni leo February 1, 2023 na Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda baada ya mwongozo uliombwa
16 hours ago
Taarifa iliyoshtua wengi ni juu ya wadhamini wakuu wa Yanga kampuni ya SportPesa kulalamika hatua ya klabu hiyo kuingia mkataba na wadhamini wengine wakuu maalum lakini bosi mmoja amefafanua. Bosi mmoja wa juu wa Yanga amesema wameshangaa hatua ya wadhamini wao wakuu SportPesa wakilalamika juu ya uamuzi wao, na kwamba mapema waliwatafuta kwa nyakati tofauti na kuwaeleza juu ya nia yao hiyo. Amesema kila hatua ya kuingia mkataba wa mechi sita na kampuni ya vifaa vya Kielektroniki ya Haier waliwajulisha...
16 hours ago
Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mustapher Siyani, amewataka watumishi wa mahakama kutoa haki ili kuwajengea imani wananchi, hivyo kuondoa dhana iliyojengeka kwamba hakuna huduma inatolewa mahakamani bila kutoa rushwa. Akizungumza jana wakati wa uzinduzi wa majengo ya Mahakama za Wilaya ya Manyoni, Jaji Kiongozi alisema watumishi wa mahakama wanatakiwa kuwa mabalozi wazuri wa
17 hours ago
MWENYEKITI wa Kamati ya Waamuzi, Nassoro Amduni amethibitisha kufungiwa kwa baadhi ya waamuzi kutokana makosa mbalimbali ya kujirudia kwenye Ligi Kuu. Alisema baadhi ya waamuzi waliofungiwa adhabu zao zipo ukingoni kumalizika na punde watarejea katika majukumu yao baada ya kupewa tena mafunzo ikiwa njia mojawapo ya kuboresha utendaji kazi wao. Kauli yake ameitoa baada ya kuonekana taarifa mitandaoni ikieleza waamuzi 20, kati yao waamuzi wa kati 13 kuondolewa kwenye orodha katika michezo ya ligi iliyobaki na hawatakuwepo pia msimu ujao....
17 hours ago
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imelieleza Bunge kuwa katika kipindi cha mwaka 2021 na 2022 wanafunzi 1,554 wa shule za msingi na 7,457 wa sekondari walipata ujauzito. Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson alisema takwimu hizo ni kubwa. Akaitaka hiyo wizara kuandaa takwimu kuhusu idadi ya wanaume walioshitakiwa na kupatikana na hatia ya kuwapa
17 hours ago
According to IATA, Somalia hosts some of the region’s busiest airways.
17 hours ago