The Revolutionary Government of Zanzibar has announced the minimum wage for the private sector increasing it by Sh47,000.
57 minutes ago
This was announced by the office of national coordination for the construction of the dam.
1 hour ago
Source said Rusesabagina will initially be flown to Doha, and then on to the United States.
2 hours ago
Msimamo Kundi F AFCON Qualifiers 2023, Msimamo Kundi F Kundi la Tanzania, Msimamo kundi la Tanzania Kufuzu AFCON 2023, Group F Table Standings AFCON Qualifiers 2023 Msimamo Kundi F AFCON Qualifiers 2023 The Confederation of African Football (CAF) is the governing body of football in Africa. It organises the African Cup of Nations, which
2 hours ago
China has invested in Tanzania projects worth $1.8 billion in the 10 years since President Xi Jinping’s last visit to Tanzania.
2 hours ago
There is always an egg, chicken, milk, beef, fish, or maize fight between Uganda and Kenya. Usually, it is Kenya banning these products from Uganda.
2 hours ago
KOCHA mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania, Adel Amrouche ametoa kikosi chake cha kwanza kitakachoivaa Uganda kwenye mechi ya kuwania kufuzu fainali za mataifa ya Afrika (Afcon 2023), mchezo utakaoanza saa 11:00 jioni katika uwanja qa Suez Canal, Musri huku kocha huyo akionekana kuanza na mabadiliko makubwa.
2 hours ago
NA ALEX KALAMA MAHAKAMA Kuu ya Malindi imemuachilia kwa dhamana mchungaji tata Paul Mackenzie wa kanisa la Good News International ambaye anadaiwa kuwaua watoto na kuwazika katika hali tatanishi huko Shakahola eneobunge la Magarini. Akiwa mbele ya hakimu mkuu Olga Onalo wa mahakama hiyo, mchungaji Paul Mackenzie ameyakana mashtaka dhidi yake na kuachiliwa kwa dhamana
2 hours ago
KIKOSI Cha Uganda vs Taifa Stars Leo 24 March 2023
3 hours ago
LIGI ya Mabingwa wa Mkoa (RCL) inafikia tamati leo hatua ya makundi ambapo timu mbili kutoka kila kundi zitapenya kwenda hatua ya nane bora ambapo huko zitaendelea kuonyeshana ubavu. Timu mbili zitakazofika hatua ya fainali zitakuwa zimejihakikishia kucheza First League msimu ujao wakati timu nyingine mbili za First League zikishuka kwenda Ligi Daraja la Tatu ngazi ya Mkoa. Tayari Njombe Mji imeshashushwa kutokana na kushindwa kuendelea na ligi hiyo sababu kubwa ikitajwa na mabosi wao ni ukosefu wa fedha wa...
3 hours ago
Makamu wa kwanza wa rais wa Marekani siku ya jumamosi ataanza safari ya kwanza ya kihistoria akiwa ofisini barani Afrika, na vituo vimepangwa ni pamoja na nchini Ghana, Tanzania na Zambia wakati wa ziara yake ya wiki moja. Anaendeleza mawasiliano ya utawala wa Biden kwa nchi za Kiafrika huku kukiwa na ushindani kutoka China na
3 hours ago
ZIMETUHESHIMISHA. Ni baadhi ya kauli za wadau wa soka nchini walioshiriki mjadala maalumu kutokana na Simba na Yanga kutinga robo fainali ya michuano ya Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho Afrika, huku ikielezwa zimebebwa kiuchumi kulinganisha na miaka ya nyuma. Mjadala huo wa Twitter Space uliandaliwa na Kampuni ya Mwananchi Communications Ltd (MCL) na ulianza kati ya saa 2:00-4:00 usiku ukihusisha wadau mbalimbali, akiwamo viongozi wa klabu hizo, huku wachangiaji wakuu wakiwa Makamu wa Rais wa Yanga, Arafat Haji,...
3 hours ago
CFAO Motors Tanzania will be launching the latest Suzuki semi-hybrid car today.
3 hours ago
KATIKA mchezo wa Kombe la Shirikisho barani Afrika uliochezwa kwenye Uwanja wa Benjamini Mkapa kati klabu ya Yanga na US Monastir ya Tunisia mvua ilinyesha kuanzia alfajiri hadi mchana. Mechi hiyo ilichezwa mvua ikiwa imekata ilisababisha sehemu chache za uwanja kuwa na vijidimbwi vilivyopunguza kasi ya mpira na huku wachezaji wakitumia nguvu kuukwamua mpira uliokwama. Wakati hapa Bongo hali ya mvua isiyo na baridi ikitokea kule nchini Uingereza katika ligi ya EPL ilishuhudiwa mvua iliyoambatana na theluji ikiendelea kudondoka ikiwamo...
4 hours ago
Kikosi cha Taifa Stars vs Uganda leo March 24 , 2023 , Kikosi cha Tanzania vs Uganda Leo 24 March 2023 Kikosi cha Taifa Stars vs Uganda leo March 24 , 2023 Ugandan Teams Taifa Stars have played 17 matches so far. Uganda won ten of the direct matchups. Taifa Stars won three games. Four
4 hours ago
KILA mchezo una rekodi zake, lakini baadhi ni kubwa na za aina yake. Mara nyingi kila napozitafakari rekodi za dunia za michezo zipo ambazo hunishangaza na kukataa kuziamini. Hatimaye baada ya kuhakikisha ni za kweli hujiliwaza kwa kujisemea mtu hatakiwi kufanyia mchezo mambo ya michezo. Baadhi ya rekodi unaposimuliwa habari zake unabaki kutabasamu na kujiuliza ilikuwaje hata ikatokea hivyo, jibu lake ni jepesi. Nayo huipati na unabaki kufurahi na kucheka na kama ukiwa umekaa peke yako pembeni anayekuangalia atajisemea nadhani...
4 hours ago
Jana tuliona sehemu ambayo makamu mwenyekiti wa Yanga, Arafat akiwa anazungumza kuhusu usajili pamoja na mafanikio ya timu hiyo kwenye michuano ya kimataifa, alieleza kuwa baada ya kufanikiwa kufika hatua ya robo fainali sasa wanawaza hatua ya nusu fainali na kueleza mikakati ambayo wameiweka. Pia alizungumza mambo mengi yakiwemo mafanikio ya timu hiyo kwenye michuano mingine na jinsi walivyopambana kwa kipindi cha miezi tisa klabu hapo, sasa endelea na sehemu hii ya mwisho ya makala hii ambapo anaanza kwa kueleza...
4 hours ago
A multinational Egyptian company firm, Elsewedy Electric, has shifted its industrial park project from Kigamboni to Kikongo, Mlandizi in the Coast Region.
4 hours ago
NA MASHIRIKA MABINGWA watetezi Senegal pamoja na Morocco, Mali, Algeria, Burkina Faso na Nigeria watafukuzia ushindi wa tatu mfululizo leo ili kujiweka pazuri kufuzu kushiriki Kombe la Afrika (AFCON) 2024. Teranga Lions ya Senegal iliyopepeta Benin na Rwanda, inaalika Msumbiji mjini Diamniadio. Vijana wa Aliou Cisse wana rekodi ya nzuri baada ya kushinda Msumbiji mara
4 hours ago
HAMU ya mashabiki wa soka nchini na wapenzi wa Singida Big Stars kumuona winga wa timu hiyo, Dario Frederico raia wa Brazil akicheza uwanjani katika mechi zilizobaki za Ligi Kuu na Kombe la Shirikisho (ASFC) msimu huu imeyeyuka baada ya klabu hiyo kueleza kuwa nyota hajawa fiti kwa asilimia 100.
4 hours ago
HAKUNA namna ni ushindi tu. Mashabiki wa soka wanahesabu saa tu kwa sasa kabla ya kuishuhudia Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars ikishuka Uwanja wa Suez Canal, mjini Ismailia, Misri kuvaana na Uganda ‘The Cranes’, huku ikiwa na kiu ya kuona timu hiyo ikipata ushindi ugenini.
4 hours ago
WAKATI Ligi Kuu Bara ikiwa imesimama mpaka Aprili 7 mwaka huu, Dodoma Jiji inaendelea na mazoezi kupitia group la Whatsapp
5 hours ago
KIUNGO wa Singida Big Stars,Said Ndemla anatarajia kuukosa mchezo wa robo fainali ya Kombe la Azam Sports Federation (ASFC) dhidi ya Mbeya City unaotarajiwa kufanyika Aprili 2 mwaka huu katika uwanja wa Liti mkoani Singida.
5 hours ago
NA MASHIRIKA PARIS, Ufaransa WAFARANSA wataalika Waholanzi nao Wabelgiji watavaana na Waswidi kwenye menyu ya michuano mikali ya kufuzu kushiriki Kombe la Bara Ulaya (Euro) mwaka 2024, leo Ijumaa. Mabingwa wa Kombe la Dunia 2018 Ufaransa wanafukuzia ushindi wa nne mfululizo dhidi ya Uholanzi ugani Stade de France. Hata hivyo, mchuano huu utakuwa mtihani kwa
5 hours ago
BAADA ya kuanza kazi kwa kuvuna pointi nne kwenye mechi tatu za Championship na kikosi cha Kitayosce ya Tabora, kocha mpya wa timu hiyo, Henry Mkanwa amesema kwa sasa mwendo ni ushindi tu katika mechi zilizo mbele yao kuhakikisha hawatoki kwenye nafasi waliyopo.
5 hours ago
WAGOSI wa Kaya, Coastal Union ya Tanga wanazidi kujiimarisha kipindi hiki baada ya kutoka mapumziko wakati timu nyingine wachezaji wakiendelea na mapumziko huko Tanga unaambiwa hakuna kulala.
5 hours ago
KITENDO cha Simba na Yanga kufuzu robo fainali ya michuano ya kimataifa ya CAF na kuipa nafasi Tanzania kuwakilishwa tena na timu nne msimu ujao, imeiongezea mzuka Geita Gold katika kupambana kwenye Ligi Kuu ili kumaliza nafasi za juu na kupata tiketi ya michuano hiyo.
5 hours ago
BAADA ya kukusanya pointi sita kwa vigogo Yanga na Azam FC, Kocha Msaidizi wa Ihefu, Zuberi Katwila amerudisha timu haraka kambini tayari kujifua kwa mchezo wa Kombe la Shirikisho la Azam (ASFC) Aprili 7 huku akikiri kuwa na dakika 180 ngumu.
5 hours ago
STRAIKA wa Simba, Jean Baleke amesema ana kazi kubwa ya kuifanya ili kuhakikisha huduma yake inakuwa na manufaa ndani ya kikosi hicho na mashabiki wanafurahia burudani anayoitoa anapokuwepo uwanjani.
5 hours ago
Ethiopia has opposed the investigation from the outset, calling it politically-motivated
6 hours ago
Hong Kong- Uchina ilisema itapinga kwa uthabiti na moja kwa moja uuzaji wowote wa kulazimishwa wa TikTok, katika jibu lake la kwanza la moja kwa moja kwa madai ya utawala wa Biden kwamba wamiliki wa programu hiyo Wachina wauze sehemu yao ya kampuni au watapigwa marufuku katika soko lake muhimu zaidi. Maoni hayo yalikuja wakati
6 hours ago
Na Oliver Oswald, Mtanzania Digital Mwimbaji mashuhuri nchini, Malima Kabondo maarufu kama ‘ndolela’, ameweka bayana kuwa maslahi madogo wanayolipwa wasanii ni moja ya sababu kubwa inayochangia Bendi nyingi nchini kusambaratika kabla hazijafikia malengo. Malima aliyasema hayo jijini Dodoma Jana, wakati akielezea sababu za bendi nyingi za muziki nchini kuvunjika na kutodumu kwa muda mrefu. Alisema
6 hours ago
NA RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA Kuu Ijumaa imefutilia mbali rufaa iliyowasilishwa na magaidi wawili walioua wanafunzi 148 wa Chuo Kikuu cha Garissa 2015. Jaji Cecilia Githua ameamuru wakili Mohammed Ali Abdikadir na Hassan Aden Hassan watumikie vifungo vya miaka 41 jela kila mmoja. Gaidi Rashid Charles Mberecero ambaye alikuwa raia wa Tanzania aliyefungwa kifungo cha maisha
6 hours ago
Mlipuko wa virusi vya Marburg nchini Equatorial Guinea umesababisha vifo vya watu 20 katika kipindi cha miezi miwili iliyopita, Shirika la Afya Duniani limesema Alhamisi. Mlipuko wa homa ya kuvuja damu, ambayo inafanana na ugonjwa hatari wa Ebola, sasa umeenea na kuvuka jimbo la Kie-Ntem, ambako ulisababisha vifo vya kwanza kujulikana mwezi Januari. Ugonjwa huo
6 hours ago
It has, however, emerged, that the Netherland and France sought a diplomatic solution to a standoff at the Abeid Aman Karume International Airport, warning that it could disrupt Air France and KLM flights into Zanzibar, and later Dar es Salaam.
6 hours ago
SIMBA inaendelea kupiga hesabu za kucheza hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, lakini kocha wa timu hiyo Roberto Oliveira ‘Robertinho’ akili yake iko mbali sana - kuna kazi moja ya kibabe anaifanya itakayowashtua na kuwafurahisha mashabiki wa timu hiyo.
7 hours ago
Tshisekedi has appointed his ally Bemba the deputy prime minister for Defence.
7 hours ago
KOCHA wa Yanga, Nasreddine Nabi ametimka nchini kwenda Ulaya, huku akitoa salamu ambazo hazitakuwa njema jijini Lubumbashi, DR Congo, akisema hesabu zake sasa ni kumaliza na ushindi katika mechi ya mwisho ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika.
7 hours ago
Makundi ya kihindu pamoja na chama tawala cha Hindu nationalist Bharatiya Janata, wanadai kwamba wamishonari wa kikristo wanabadili Imani za watu kote nchini kwa kutumia nguvu au ushawishi usiofaa. Katika miaka ya karibuni, wamedai kwamba waislamu wamekuwa wakivuta watu kwenye dini yao kupitia njia haramu na hadi sasa majimbo 12 kati ya 28 yaliopo nchini
7 hours ago
WAKATI Taifa Stars ikiwa kwenye maandalizi ya mwisho huko Misri kwa ajili ya mchezo wa leo, Ijumaa wa kuwania nafasi ya kufuzu kwa fainali za mataifa ya Afrika dhidi ya Uganda, nyota wa kikosi hicho wameapa kufanya kweli kwenye mchezo huo.
7 hours ago
KOCHA wa Taifa Stars, Adel Amrouche ameeleza namna ambavyo kikosi chake kipo tayari kwa mchezo wa kuwania nafasi ya kufuzu kwa ajili ya fainali za mataifa ya Afrika dhidi ya Uganda huku akiamini nyota wake wanaweza kuwapa raha Watanzania.
7 hours ago
NA ALEX KALAMA WAZIRI wa maji katika serikali ya Kaunti ya Kilifi Said Omar amekiri kuwa serikali ya kaunti hiyo pamoja na kampuni za usambazaji maji eneo hilo zinadaiwa deni kubwa na kampuni ya umeme ya Kenya Power deni ambalo limesababisha wenyeji kukosa maji kutokana na kukatwa kwa umeme. Akizungumza na wanahabari mjini Malindi waziri
7 hours ago
TIMU ya taifa 'Taifa Stars' ina kibarua kizito leo cha kuhakikisha inashinda mchezo dhidi ya Uganda ambao utapigwa nchini Misri kwa ajili ya kufuzu michuano ya Mataifa ya Afrika (AFCON) itakayofanyika mwakani Ivory Coast.
7 hours ago
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa Wazazi na Walezi kuwalea Watoto na Vijana kwa kuzingatia maadili ya kitanzania pamoja na kuongeza umakini katika maudhui yanayooneshwa katika Televisheni. Dr. Mpango ameyasema haya wakati akiongea na Waumini wa Kijiji cha Kasumo Mkoani Kigoma baada ya kushiriki Ibada ya
7 hours ago
A Ukraine commander said he planned to take advantage of Russian troops exhaustion near Bakhmut.
8 hours ago
NA MARY WANGARI SENETA Maalum katika Kaunti ya Nairobi, Karen Nyamu, amewasilisha rasmi bungeni mswada unaopendekeza kuongezwa kwa viwango vya chini zaidi vya mshahara kwa watumishi wa umma nchini. Endapo utapitishwa kuwa sheria, mswada huo uliowasilishwa Jumatano utawezesha wafanyakazi wanaopata kiwango cha chini zaidi cha mshahara kutia mfukoni kiasi cha hadi Sh22,680 kutoka Sh15,120 wanazolipwa
9 hours ago
The 70-year-old president-elect had appeared frail during some campaign appearances.
9 hours ago
MAUREEN ONGALA Na ALEX KALAMA FAMILIA za watoto wawili inaodaiwa walinyimwa chakula, wakauawa na kuzikwa kisiri na mama yao kwa ushirikiano na mhubiri wa kanisa lao zimetaka polisi wahakikishe kanisa hilo limefungwa. Mnamo Jumatano, polisi wa Malindi walimkamata mhubiri wa Kanisa la Good News International Ministries, Bw Paul Mackenzie katika eneo la Chakama, eneobunge la
9 hours ago
NA CHARLES WASONGA RAIS William Ruto amemteua aliyekuwa Msimamizi wa Bajeti (CoB) Agnes Odhiambo kuwa Mkuu wa Kusimamia Kitengo cha Utekelezaji wa Huduma za Serikali (GDU) katika teuzi alizofanya Alhamisi, Machi 23, 2023. Kwa upande mwingine, aliyekuwa Wakili wa Serikali Ken Ogeto ameteuliwa kuwa mshauri wa Rais Ruto kuhusu Masuala ya Kisheria huku Kansa Nzai
10 hours ago