Na MASHIRIKA KOCHA Sam Allardyce ameagana na Leeds United baada ya kipindi kifupi kilichomshuhudia akisimamia michuano minne kukamilika kwa waajiri wake kuteremshwa ngazi kwenye Ligi Kuu ya Uingereza (EPL). Allardyce, 68, aliongoza Leeds kupoteza mechi tatu na kupiga sare moja tangu amrithi Javi Gracia mnamo Mei 3, 2023. Leeds watarejea sasa kwenye Ligi ya Daraja
9 minutes ago
KLABU ya Singida Big Stars imefikia makubaliano ya kumuajiri Ofisa Mtendaji Mkuu mpya, Olebile Sikwane raia wa Botswana kuanzia msimu ujao wa mashindano mbalimbali ya Ligi Kuu Bara na yale ya Kimataifa.
12 minutes ago
NA CHARLES WASONGA KWA mara nyingine juhudi za Rais mstaafu Uhuru Kenyatta kurejesha udhibiti wake wa chama cha Jubilee zimepata pigo baada ya msajili wa Vyama Vya Kisiasa Anne Nderitu kudinda kuidhinisha maafisa wapya walioteuliwa Mei. Maafisa hao wapya waliteuliwa katika kongamano maalum la wajumbe wa Jubilee (NDC) lililofanyika Mei 22, 2023 katika uwanja wa
21 minutes ago
SIMBA imeendelea kujifua katika uwanja wake wa Mo Simba Arena, Bunju na wakati huohuo wakiweka mipango ya msimu ujao ikiwemo usajili unaoendelea kimya kimya huku mastaa wake wakiwekwa kiporo.
31 minutes ago
Zikiwa zimesalia saa chache kabla ya Yanga kushuka Uwanja wa June 5 kumalizana na wenyeji wao USM Alger kundi kubwa la mashabiki wa Waarabu hao wamevamia hoteli ya Yanga na kufanya vurugu. Mashabiki wa USM Alger usiku wa kuamkia Leo wamevamia hoteli ya Legacy ambayo kikosi cha Yanga kimeweka Kambi na kuanza kuimba nyimbo zao kwa dakika 16. Hawakuishia kuimba peke yake mashabiki hao kabla ya kuondoka walipiga fataki za kutosha mbele ya hoteli hiyo kabla ya baadaye kutawanywa na...
42 minutes ago
Rwanda Prime Minister Edouard plans. wants group involved in Nairobi Process and resettlement plans.
1 hour ago
Kikosi cha Yanga Sc leo dhidi ya USM Alger June 3 2023, Kikosi cha Yanga vs USM Alger leo Kikosi cha Yanga Sc leo dhidi ya USM Alger June 3 2023 Yanga Sc Yanga Sports Club, commonly known as Yanga SC, is a football club based in Dar es Salaam, Tanzania. It is
1 hour ago
Committee drafting constitution was conducting national consultations over proposed union.
1 hour ago
Kikosi cha USM Alger vs Yanga leo 3 June 2023 , Kikosi cha USM Alger vs Yanga leo 3 June 2023 Kikosi cha USM Alger vs Yanga leo 3 June 2023 USM Alger USM Alger, short for Union Sportive Médina d’Alger, is a professional football club based in Algiers, Algeria. It is one of
1 hour ago
Kikosi cha Yanga vs USM Alger leo 3 June 2023 , Kikosi cha Yanga dhidi ya USM Alger leo , Kikosi cha Yanga leo 3 June 2023, Kikosi cha Yanga leo, Kikosi cha Yanga leo 3 June 2023, Kikosi cha Yanga vs USM Alger leo 3 June 2023 Final Match Kikosi cha Yanga vs
2 hours ago
NA MASHIRIKA MBIVU na mbichi kuhusu nani mkali kati ya Manchester City na Manchester United itajulikana watakapokabana koo katika fainali ya Kombe la FA ugani Wembley hivi leo Jumamosi. Miamba hao wanakutana katika fainali kubwa kwa mara ya kwanza kabisa. Takwimu za ana kwa ana kati ya majirani hao kwenye dimba hili zinaweka mashetani wekundu
2 hours ago
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam June 3, 2023,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania,
6 hours ago
NA TOTO AREGE KAMPENI ya Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) kwa ushirikiano na Shirikisho la Soka Nchini (FKF) kuimarisha kandanda ya wanawake imefika tamati Ijumaa katika uwanja wa Kasarani Annex jijini Nairobi. Hafla hiyo ya siku mbili, imefika tamati kwa kishindo ikiongozwa na mwakilishi wa FIFA Sue Martin na Rais wa FKF Nick Mwendwa. Bi Martin
14 hours ago
Na AYUMBA AYODI MTIMKAJI wa pili bora kwa kasi katika historia ya mbio za kilomita 42, Kelvin Kiptum na mshikilizi wa rekodi ya dunia ya marathon ya akina dada Brigid Kosgei wataongoza timu ya Kenya kwenye Riadha za Dunia jijini Budapest, Hungary mnamo Agosti 19-27. Bingwa wa London Marathon, Kiptum, atashirikiana na mshindi mara mbili
14 hours ago
NA MAUREEN ONGALA MBUNGE wa Ganze Kenneth Kazungu amelitaka Shirika la Huduma kwa Wanyamapori (KWS) kurudisha huduma zake mashinani ili kupunguza mahangaiko ya wananchi ambao makazi yao na mashamba yamevamiwa na ndovu. Amelalamika imekuwa vigumu kwa waathiriwa wa uvamizi wa wanyamapori kupata fidia kwa sababu ya gharama za kusafiri hadi afisi za KWS mjini Malindi.
15 hours ago
NA RICHARD MUNGUTI SENETA wa Busia Okiya Omtatah ameanza mchakato wa kuokoa wananchi kwa kupeleka kesi katika Mahakama Kuu akiomba vipengee tata 13 kwenye Mswada wa Fedha wa 2023 vinavyowalazimisha wananchi kulipa madeni, ada na ushuru vifutiliwe mbali. Bw Omtatah amesema kupitishwa na kuidhinishwa kwa mswada huo na Rais William Ruto kutakuwa kumeipa serikali idhini
15 hours ago
Na BRIAN OCHARO MAHAKAMA ya Shanzu imeelezwa Ijumaa kuwa mhubiri Paul Mackenzie aliongoza hafla ya mazishi ya mamia ya wafuasi wake ambao walifariki baada ya kufunga kwa siku nyingi kwenye msitu wa Shakahola, Kaunti ya Kilifi. Stakabadhi zilizoletwa mahakamani zinaonyesha kuwa Mackenzie aliwasifu wale ambao walikuwa wakifa kama mashujaa na kuwashajiisha wale ambao bado walikuwa
16 hours ago
Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni HALIMA BULEMBO amewataka Watumishi pamoja na wakuu wa Idara waliopo katika Wilaya hiyo kuwa Waumini wa kusikiliza kero zinazo wakabili Wananchi na hatimaye kuzifanyia kazi ikiwa ni sehemu ya kutekeleza wajibu wao katika utumishi. Uhitaji wa fursa za kimaendeleo kwenye Sekta ya Afya, Miundombinu ya Barabara, umeme , Elimu, pamoja
16 hours ago
Mchezo wa Poker Hold’em Kila siku Meridianbet wanakuja na ofa kwa wateja wao, promosheni kabambe na bonasi za kishua, michezo ya kasino ya mtandaoni ya mtandaoni kama Poker Texas Hold’em na sloti za kijanja inaufanya msimu huu wa kiangazi kuwa wenye nuru ya kutosha. Mchezo wa kasino ya mtandaoni wa Poker Texas Hold’em ni moja kati ya michezo itayaoenda kung’arisha msimu wako kwa kukupatia mkwanja wa kutosha, kuanzia Juni 2 mpaka Juni 26, 2023 kutakuwa na zawadi nyingi zinatoka ikiwemo...
16 hours ago
Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Wadau wa Maonyesho ya 47 ya Biashara ya Kimataifa (DITF) maarufu kama Sabasaba wamesema maonyesho ya mwaka huu ni ya kipee kwa kuwa yanatoa fursa kwa Taasisi, kampuni wajasiriamali na watu mbalimbali kwa kuwa wanashirikishwa na Tantrade katika maandalizi ya maonyesho hayo, hivyo wanatarajia mauzo kuongezeka. Akizungumza leo Juni 2,
16 hours ago
Wakati zikibaki siku nne kuendelea na ligi kuu, Mbeya City imeendelea na mazoezi kwa ajili ya mchezo ujao dhidi ya Yanga huku ilishuhudiwa timu hiyo ikitumia masaa matatu kujifua katika uwanja wa Sokoine.
16 hours ago
Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Waajiri nchini wameaswa kuwahamasisha wafanyakazi wao kujiunga na Mfuko wa Bima ya Afya ulioboreshwa (CHF) ili kuwa na uhakika wa matibabu pindi wanapougua ili kutoa urahisi wa upatikanaji wa huduma bora za Afya na kwa gharama nafuu. Wito huo umetolewa leo Juni 2, jijini Dar es Salaam na Mratibu wa
16 hours ago
MATATIZO ya mikataba kwa wachezaji na waajiri wao haikuanza miaka ya hivi karibuni bali hata miaka zaidi ya 10 nyuma ilikuwepo. Na hii ni kutokana na wachezaji kukosa uelewa wa mikataba inavyoeleza ama wanaowasimamiza kutozingatia baadhi ya vipengele kwenye mikataba hiyo na kikubwa wanachoangalia ni pesa iliyoandikwa kwenye makaratasi hayo ya kisheria. Hivi sasa sakata la kimkata linaloendelea ni kati ya kiungo wa Yanga, Feisal Salum 'Fei Toto' na mwajiri wake huyo. Fei anapigania kuvunja mkataba kwa madai ya maslahi...
17 hours ago
KARIBU kila rangi imepewa tafsiri yake. Kwa mfano nyeusi na zambarau ni kwa msiba, hofu, maafa na mambo ya huzuni. Rangi ya njano ambayo ni ya jua inawakilisha raha na furaja, ujana na uchangamfu. Kwa watu wa Brazil manjano ni rangi inayopendwa zaidi kuliko nyengine na ukichunguza utaona popote pemnye mkusanyiko wa watu basi wengi huwa na vazi la rangi ya kijano. Watu wa Brazil wanaiona rangi ya njano kuwa ni ya kheri na baraka na yenye kuleta mafanikio na...
17 hours ago
Na Mwandishi Wetu, Arusha Serikali kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, imekabidhi eneo la ujezi wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu kwa Mkandarasi ambaye ni CRJE (East Africa) Ltd na Mshauri Elekezi Aru Built Environment Consulting Company Ltd (ABECC) katika eneo la Lakilaki, jijini Arusha. Hafla
17 hours ago
KATIKA mchezo kwanza ya fainali ya kombe la shirikisho CAF uliochezwa Jumapili jijini DSM katika dimba la Mkapa klabu ya Yanga ilipoteza mchezo huo kwa kufungwa mabao 2-1 dhidi ya US Alger ya nchini Algeria. Chakusikitisha ni pale ilipotokea tukio la mashabiki kulazimisha kuingia ndani kiasi cha kutokea vurumai iliyolazimisha polisi wakutuliza ghasia kutumia maji yenye kasi kuwatawanyisha. Katika taarifa ya baadaye iliyotolewa na wizara ya Afya kupitia waziri wa Afya Ummy Mwalimu ilieleza kuwa majeruhi 30 walipokelewa katika hospitali...
17 hours ago
EBWANA Eeh! Huko mtaani nguvu kubwa imekuwa kuzizungumzia klabu za kariakoo , Simba na Yanga sambamba na wachezaji wake, ni jambo zuri lakini kwa namna flani ni kama wanaofanya vizuri nje ya timu hizo wamesahaulika. Naam. Kila kina sasa ukipita utasikia stori za Yanga na Simba, utasikia majina ya kina Fiston Mayele, Stephane Aziz Ki, Clatous Chama na Jean Baleke, ni mara chache sana utawasikia Jumanne Elfadhili au Collins Opare. Achana na hayo, ni kawaida yetu wabongo. Pale Mbeya City...
17 hours ago
NA MANASE OTSIALO MAAFISA wawili wa polisi wameaga dunia huku wengine watano wakijeruhiwa kwenye shambulio la kigaidi katika Kaunti ya Mandera mnamo Ijumaa. Shambulio hilo limetokea kwenye barabara ya Elele-Takaba katika kaunti ndogo ya Mandera Kusini saa nne asubuhi. Chanzo kutoka kwa maafisa wa usalama kimesema msafara wa maafisa wa kitengo kilicho Elele wameshambuliwa na wanaoshukiwa
17 hours ago
SIKU moja baada ya kupangwa kukutana na Congo katika raundi ya kwanza ya kufuzu michezo ya Olimpiki 2024 huko Ufaransa, kocha wa timu ya taifa ya wanawake 'Twiga Stars', Bakari Shime ametamba kuwa watahakikisha wanatimiza lengo.
17 hours ago
WAKATI Mabingwa wa Ligi ya Wanawake WPL msimu huu JKT Queens wakijiandaa na michuano ya kimataifa timu hiyo huenda ikamrudisha tena Sebastian Nkoma kama mbadala wa Ally Ally kutokana na kukosa leseni A ya Ukocha. Huenda Nkoma akarudi tena kuwatumikia wanajeshi hao kutokana na kuwa na Leseni A na aliwahi kuifundisha Simba Queens ambao walitwaa Ubingwa wa Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) kwa kuifunga She Corporates ya Uganda bao 1-0. Katibu Mkuu wa timu hiyo, Dankan Beno amesema kuwa wako...
17 hours ago
TETESI za kocha mkuu wa Dodoma Jiji, Melis Medo kuhusishwa na klabu ya AFC Leopards ya Kenya zimezidi baada ya timu hiyo kutokuwa na matokeo mazuri.
17 hours ago
Eritrean President said that “the unipolar world order" dominated by the US, had contributed to the “spiral of crises and destruction around the world”.
18 hours ago
NA BENSON MATHEKA SPIKA wa Bunge la Kitaifa Moses Wetang’ula amesuta muungano wa Azimio La Umoja-One Kenya unaongozwa na Raila Odinga kwa kutishia kufanya maandamano kushinikiza serikali kushughulikia matakwa ya muungano huo. Bw Wetang’ula amemtaka Waziri Mkuu huyo wa zamani kukumbatia mifumo ya amani kushughulikia matakwa yao kwa ustawi wa nchi. “Ikiwa Raila na timu
18 hours ago
Vyama vya upinzani nchini Uganda vinataka katiba ya nchi hiyo pamoja na sheria za uchaguzi vifanyiwe mageuzi kabla ya uchaguzi mkuu mwaka 2026. Kulingana na wanasiasa wa upinzani, Uganda haiwezi kudai kutawaliwa kidemokrasia katika mazingira ya sasa ambapo katiba imefanyiwa mageuzi kwa ajili ya kuendeleza utawala wa Rais Yoweri Museveni. Museveni ametawala nchi hiyo tangu mwaka
18 hours ago
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu leo tarehe 02 Juni 2023 akiwa Bukoba Mkoani Kagera ametangaza kuwa mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania. “Kwa mujibu wa miongozo ya Shirika la Afya la Duniani (WHO), tangu tulipomruhusu mgonjwa wa mwisho, tulipaswa kuendelea kuchukua hatua za udhibiti ikiwemo ufuatiliaji wa tetesi katika jamii na kuchunguza Wahisiwa
18 hours ago
It was the first such outbreak in Tanzania, an East African country with a population of almost 62 million.
18 hours ago
Nyota wa zamani na kiungo wa zamani wa Manchester United na Uingereza Jesse Lingard ataondoka Nottingham Forest mwishoni mwa kandarasi yake. Lingard alijiunga na Forest msimu uliopita baada ya kupandishwa daraja hadi Ligi ya Premia, lakini alishindwa kufanya lolote kwenye Uwanja wa City Ground. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 30 alikataa kwenda West Ham,
19 hours ago
Analysts question the efficacy of sanctions on Sudan's rival generals, both of which amassed wealth during the rule of Omar al-Bashir.
19 hours ago
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Serikali imewaagiza Wataalamu wa Mipango na Uratibu katika Sekretarieti za Mikoa kuhakikisha wanatenga bajeti za utekelezaji wa Programu Jumuishi ya Malezi, Makuzi na Maendeleo ya Awali ya Mtoto (MMMAM) ili kufanikisha malengo ya uanzishwaji wa programu hiyo. Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dk. Dorothy Gwajima
20 hours ago
NA JESSE CHENGE MHUBIRI wa kanisa la Muungano Church for All Nations, Geoffrey Nakalira Wanyama,83, almaarufu ‘Nabii Yohana wa Tano’ ametii agizo la kufika mbele ya maafisa wa Idara ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) na polisi mjini Bungoma kuhojiwa kuhusu kanisa lake. ‘Yohana wa Tano’ inadaiwa kwamba aliandika Biblia yake yenye vitabu 93
20 hours ago
Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na mwendesha mashtaka wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu walitia saini mkataba wa maelewano Alhamisi (Juni 1) ili kuimarisha ushirikiano wao. Vyama hivyo viliapa kuzidisha vita dhidi ya kutokuadhibiwa kwa uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya ubinadamu. Ili ahadi zisiwe matakwa ya bure, mwendesha mashtaka mkuu wa
21 hours ago
Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International linasema magereza ya Iran yamegeuka kuwa “maeneo ya kuua” huku idadi ya watu walionyongwa kwa makosa yanayohusiana na madawa ya kulevya ikiwa karibu mara tatu mwaka huu ikilinganishwa na 2022, na kuiita “kiwango kisicho na aibu” ambacho kinafichua “ukosefu wa ubinadamu” wa serikali. Shirika la kutetea
21 hours ago
Elon Musk kwa mara nyingine tena ndiye mtu tajiri zaidi duniani baada ya kumruka bilionea wa Ufaransa Bernard Arnault, baada ya kuporomoka kwa thamani ya himaya ya bidhaa za anasa ya LVMH ya Arnault. Mkurugenzi mkuu wa Tesla mwenye umri wa miaka 51 na mmiliki wa Twitter ameona utajiri wake ukirudi hadi $192bn (£153bn) –
21 hours ago
Uganda President says son’s activities show a ‘resistance movement within a resistance movement’.
21 hours ago
Kanye West na mke wake mpya, Bianca Censori, wameanza kulipa $20,000 kwa mwezi kwaajili ya nyumba yao mpya lakini inasemekana jumba lao la kifahari la zamani linaendelea kukaa tupu na kutelekezwa. Radar Online imeripoti kwamba Wests kwa sasa wanakodisha huko West Hollywood, na walisema siku ya Jumatano (Mei 31) . Kabla ya hili, wenzi hao
21 hours ago
A local company with substantial investments in the hospitality industry is investing $18 million (Sh41 billion) in constructing a five-star, luxurious hotel in the Serengeti National Park.
22 hours ago
STRAIKA wa FC Lupopo, Mtanzania George Mpole amesema jambo kubwa alilojifunza kwenye Ligi Kuu ya nchini Congo ni mchezaji kujisimamia mwenyewe bila uangalizi wa kocha na viongozi, kikubwa kinachotazamwa ni kile anachokitoa uwanjani.
22 hours ago
MSHAMBULIAJI wa Azam FC, Abdul Sopu amesema kwa sasa wao kama wachezaji wanafanya maandalizi ya kumaliza msimu kwa kushinda mechi zilizosalia huku akimweka kiporo kipa wa Yanga, Djigui Diarra.
22 hours ago
Hatimaye Lil Uzi Vert amefichua sababu iliyopelekea kupandikiza almasi ya dola milioni 24 zaidi wa Trillion 56 za ki-Tanzania kwenye paji la uso wake na inasemekana huenda ilikuwa na uhusiano wowote na mmoja wa wahusika wa katuni wanaopendwa zaidi na rapa huyo. Katika mahojiano mapya na jarida la mitindo la 032c, lililotolewa Jumanne (Mei 30),
22 hours ago