International Highlights Show All 
Habari Leo General

Sh milioni 20 kujenga ofisi ya CCM Mbogwe

MKUU wa WIilaya ya Mbogwe, Sakina Mohamed amekusanya jumla ya Sh milioni 20 kwa ajilii ya ujenzi ya ofisi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani humo. Sakina amekusanya fedha hizo leo Desemba 9,2023 katika harambee aliyoiendesha kwa wadau wa chama hicho. Akizungumza Sakina amesema atasimama imara kuhakikisha CCM wilayani Mbogwe inakamilisha ujenzi wa ofisi yake. …

The post Sh milioni 20 kujenga ofisi ya CCM Mbogwe first appeared on HabariLeo.


Mtanzania General

Serikali: Hakuna Haki ya Muathirika wa Maafa ya Hanang’ itakayopotea

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu, Jenista Mhagama ametoa wito kwa wananchi kushirikiana na Serikali kuwahifadhi waathirika wa Maporomoko ya Mawe na Matope kutoka Mlima Hanang’ mkoani Manyara. Kauli hiyo ameitoa wakati wa kikao na viongozi wa Serikali, Wazee na waathirika wa maporomoko hayo katika

1 hour ago


Taifa Leo General

Wandayi: Dosari za KCPE huenda zikaibuka kwenye KCSE  

NA KASSIM ADINASI KIONGOZI wa Wachache katika Bunge la Kitaifa, Bw Opiyo Wandayi amedai ubora wa matokeo ya Mtihani wa Kitaifa wa Kidato cha Nne (KCSE) utakuwa wa kutiliwa shaka sawa na KCPE ya mwaka huu, 2023. Bw Wandayi Jumamosi, Desemba 9, 2023 aliwasuta Waziri wa Elimu Ezekiel Machogu na mwenzake wa ICT Eliud Owalo

1 hour ago


Taifa Leo General

Taulo za hedhi zilizotumika zazidi kuwa kero mitaa kadha Nairobi  

NA SAMMY WAWERU WAKAZI kutoka mitaa kadhaa Kaunti ya Nairobi wanalalamikia kuendelea kutapakaa kwa taulo za hedhi na nepi za watoto. Taulo za hedhi, ni bidhaa maalum zinazotumiwa na wanawake nyakati zao za mwezi ambazo huhusishwa na utokaji damu. Nepi nazo, hufungwa watoto wachanga sehemu nyeti ili kusitiri haja; mkojo na kinyesi. Licha ya manufaa

3 hours ago


Mwanaspoti Sports

Mwamnyeto: Tulieni, Yanga bado ina nafasi

WAKATI mashabiki na wapenzi wa Yanga wakiingiwa ubaridi kutokana na timu hiyo kulazimishwa sare ya pili mfululizo kwenye mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nahodha wa kikosi hicho, Bakar Mwamnyeto amewatuliza kwa kusema nafasi bado ipo kwani mechi mbili za uwanja wa nyumbani zitakazowavusha.

4 hours ago


Mwanaspoti Sports

Chanongo ashtukia kitu Pamba Jiji

NYOTA wa Pamba Jiji, Haruna Chanongo amewaonya mastaa wenzake wa kikosi hicho kutobweteka na ushindi walioupata katika michezo miwili mfululizo ya ugenini. Chanongo alisema kikosi chao kimefanya vizuri licha ya kukutana na upinzani mkali huku akisisitiza ligi ni ngumu na ushindani ni mkali na kila timu inataka kupanda. “Tusibweteke kwa hizi alama sita tulizopata tuendelee kujituma na kujitoa naamini mechi mbili za mwisho raundi ya kwanza tutakazocheza nyumbani, basi tutashinda, Wana Mwanza tuwatoe hofu kwa sababu kwa hizi mechi mbili...

4 hours ago


Taifa Leo General

Mzozo wa DPP na IPOA kuhusu askari watundu

NA MWANGI MUIRURI NJAMA mpya za kuwakinga maafisa wa polisi watukutu kutoka kwa mashtaka mahakamani imezinduliwa, huku kukitolewa taarifa kesi zote kuwahusu ziwe zikiwasilishwa kwa makao Makuu ya Mkurugenzi wa Mashtaka (ODPP) ili kupewa mwelekeo. Kupitia barua rasmi kutoka kwa ODPP ikiwa na sahihi ya Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma Bw Victor Mule, utaratibu sasa

4 hours ago


US sanctions Uganda prisons boss over torture

US said members of the Uganda Prisons Service have engaged in torture and other serious human rights abuse against prisoners.

4 hours ago


Mtanzania General

Mama Lui yawakumbuka watoto Mwanza maadhimisho ya miaka 62 ya Uhuru

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital KATIKA kuadhimisha miaka 62 ya Uhuru wa Tanganyika leo Desemba 9, Mwekezaji wa maduka ya watoto, Louis Bonzon, amefungua rasmi duka la vifaa vya watoto jijini Mwanza litakalowasaidia kupata vifaa vya kuwasaidia kupanua upeo wa akili na kucheza. Duka hilo ambalo limefunguliwa leo rasmi na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi

4 hours ago


Habari Leo General

Wydad Vs Simba hesabu ngumu

MOROCCO: Wawakilishi wengine wa Tanzania katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Simba watatupa karata yao muhimu usiku wa leo nchini Morocco dhidi ya Wydad Casablanca. Mchezo huo ni watatu kwa timu zote mbili huku kila upande ukitafuta pakutokea kutokana na matokeo yasiyoridhisha katika michezo miwili iliyopita, ambapo bado timu hizo hazijaonja ladha ya ushindi …

The post Wydad Vs Simba hesabu ngumu first appeared on HabariLeo.


Mwanaspoti Sports

NYUMA YA PAZIA: Jude Bellingham sio Zidane wala Beckham

NAMNA maisha yanavyokwenda kasi. Florentino Perez atakuwa mmoja kati ya watu wanaoshangaa namna maisha yanavyokwenda. Katika umri wa miaka 76 ameona mambo mengi maishani mwake. Kazi yake kubwa ni mhandisi. Ameona namna ambavyo wakati fulani majengo ya Ulaya yalivyokuwa marefu zaidi duniani. Namna yalivyokuwa yanapendeza nyakati hizo. Ghafla majengo ya Bara la Asia yamekuwa majengo marefu zaidi duniani. Nyakati zinabadilika. Halafu atarudisha mawazo yake katika soka. Ndiye tajiri wa Real Madrid. Nadhani atakuwa ameona mambo mengi yanavyobadilika katika soka akiwa...

5 hours ago


 Job Vacancy Highlights Show All 
Ajira Chap 2 months ago  
Ajira Chap 2 months ago  
Ajira Chap 2 months ago  
Ajira Chap 2 months ago  
Ajira Chap 2 months ago  
Ajira Chap 2 months ago  
Ajira Chap 2 months ago  
Ajira Chap 2 months ago  
Ajira Chap 2 months ago  
Ajira Chap 2 months ago  
Ajira Chap 2 months ago  
Ajira Chap 2 months ago  
Ajira Chap 2 months ago  
Ajira Chap 2 months ago  
Ajira Chap 2 months ago  
Ajira Chap 2 months ago  
Ajira Chap 2 months ago  
Ajira Chap 2 months ago  
Ajira Chap 2 months ago  
Ajira Chap 2 months ago  
Taifa Leo General

Hayawi hayawi…Jackie Matubia afichua mchumba wake mpya  

NA FRIDAH OKACHI MWIGIZAJI Jackie Matubia amemtambulisha kwa umma mpenzi wake mpya, siku chache tu baada ya kudokeza kwamba ana nia kutaka kuolewa. Ijumaa, Desemba 8, 2023 mama huyo wa watoto wawili alipakia video zake Instagram na Facebook akiwa kwenye bwawa la kuogelea na mwanamume ambaye hakufichua majina yake. Katika video hizo, wapenzi hao wawili

5 hours ago


Habari Leo General

Sagini awakilisha wizara maadhimisho ya miaka 62 ya uhuru

DODOMA: Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Jumanne Sagini leo Desemba 9, 2023 amewakilisha Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kuungana na Rais Samia Suluhu Hassan kuadhimisha Miaka 62 ya Uhuru wa Tanzania Bara. Maadhimisho hayo yamefanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete Convertion Centre Jijini Dodoma yameudhuriwa na Viongozi mbalimbali …

The post Sagini awakilisha wizara maadhimisho ya miaka 62 ya uhuru first appeared on HabariLeo.


Habari Leo General

Kamati za maafa mikoa, wilaya jipangeni na ELNINO

MANYARA: Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu, Jenista Mhagama ametoa wito kwa kamati za maafa za mikoa na wilaya nchini kote hasa kwa mikoa 14 iliyofanyiwa utabiri wa mvua za Elnino kujipanga kwa kuzingatia maelekezo waliyopewa kwani ni jukumu lao kutoa huduma ya haraka maafa yanapotokea. Amezungumza hayo wakati wa …

The post Kamati za maafa mikoa, wilaya jipangeni na ELNINO first appeared on HabariLeo.


Burhan attends Igad summit since Sudan war began

Burhan travelled to Djibouti to gather with leaders or their representatives from Igad member states.

6 hours ago


Taifa Leo General

Kindiki atakiwa kutuliza uhalifu Pokot Magharibi

NA OSCAR KAKAI KAMATI ya usalama katika bunge la kitaifa itamuita tena Waziri wa Usalama wa Ndani Kithure Kindiki kujibu maswali kuhusu hali ya usalama katika eneo la Kaskazini mwa Bonde la Ufa. Kamati hiyo inazuru Kaunti za Pokot Magharibi na Elgeyo Marakwet kutathimini hali ya usalama katika eneo lenye utata la Bonde la Kerio. Jumamosi, Desemeba

6 hours ago


Habari Leo General

Sagini: Watendaji madawati ya jinsia tunzeni siri

DODOMA: Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Jumanne Sagini, amewataka watendaji wa madawati ya jinsia ndani ya Jeshi la Polisi nchini kujiepusha na tabia za utoaji wa siri za waliopitia vitendo vya ukatili wa kijinsia hali inayosababisha Wananchi kushindwa kutoa taarifa za ukatili. Naibu Waziri Sagini alisema hayo jijini Dodoma wakati akifungua kikao …

The post Sagini: Watendaji madawati ya jinsia tunzeni siri first appeared on HabariLeo.


Habari Leo General

Tunahitaji jamii inayochukia rushwa- Samia

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema taifa linapaswa kuwa na jamii yenye ujasiri inayoweza kuhoji watu wanaojipatia mali zisizo na maelezo nazo. Rais amesema hayo leo alipohutubia maadhimisho ya miaka 62 ya Uhuru wa Tanzania Bara pamoja na mchakato wa ukusanyaji maoni kuhusu Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 katika ukumbi wa mikutano wa Jakaya Kikwete …

The post Tunahitaji jamii inayochukia rushwa- Samia first appeared on HabariLeo.


Habari Leo General

Diaspora kushiriki maoni Dira ya Maendeleo 2050

RAIS Samia Suluhu amewataka Wananchi wote pamoja na wale wanaoishi Ughaibuni (DIASPORA) kushiriki kikamilifu katika uandishi wa Dira ya Maendeleo ya mwaka 2050. Kiongozi huyo wa nchi amesema hayo leo katika sherehe za miaka 62 ya Uhuru wa Tanzania Bara na mkutano wa kwanza wa kitaifa wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 katika ukumbi …

The post Diaspora kushiriki maoni Dira ya Maendeleo 2050 first appeared on HabariLeo.


Habari Leo General

Samia: Mafanikio Tanzania ni maono walionitangulia

RAIS Samia Saluhu amesema mafaniko ya Tanzania yametokana na maono ya viongozi waliomtangulia. Rais Samia amesema hayo leo katika maadhimisho ya sherehe za miaka 62 ya Uhuru wa Tanzania Bara na Mkutano wa kwanza wa itaifa wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 ukumbi wa mikutano wa Jakaya Kikwete. Amewataja viongozi hao kuwa Hayati Mwalimu …

The post Samia: Mafanikio Tanzania ni maono walionitangulia first appeared on HabariLeo.


Habari Leo General

Watumiaji Intaneti wafikia milioni 34

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo katika taarifa yake ameeleza Watanzania 34.4 hadi sasa wanatumia huduma ya Intaneti. Mkumbo ametoa takwimu hizo leo katika maadhimisho ya sherehe za miaka 62 ya Uhuru wa Tanzania Bara na mkutano wa kwanza wa kitaifa wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 katika …

The post Watumiaji Intaneti wafikia milioni 34 first appeared on HabariLeo.


Taifa Leo General

Avokado ni dhahabu shambani mwake  

NA SAMMY WAWERU KIJIJI cha Nyamesocho katika Kaunti ya Kisii ni chenye shughuli chungu nzima, kuanzia kilimo, ufugaji na biashara. Kwenye shamba la Shem Oseko, mkaazi, amelipamba kwa mseto wa matunda na mimea. Kilimo cha avokado, hata hivyo kina mvuto zaidi Oseko akikiri kimemsaidia kubadilisha maisha yake. Alikiingilia zaidi ya miaka kumi iliyopita, baada ya

7 hours ago


The Citizen General

Emotions and Work: Not oil and water

Emotions - so common, so natural, and so useful, yet so stigmatized and misunderstood, hence a wasted opportunity for personal and professional growth.

8 hours ago


Taifa Leo General

El Nino: Uhaba wa mafuta Lamu kina mama wajawazito wakijifungua maeneo yaliyofurika  

NA KEVIN MUTAI HUENDA shughuli za usafiri na uchukuzi katika Kaunti ya Lamu zikatatizika baada ya mafuriko yanayoshuhudiwa kuchangia uhaba wa mafuta. Boti ambayo ndiyo mojawapo ya njia kuu za usafiri, imetatizika kutokana na mvua ya El Nino inayoendelea. Hali hiyo imechangiwa na maji ya mafuriko ambayo yameharibu sehemu mbili za barabara kutoka Mokowe kuelekea

8 hours ago


The Citizen General

It is Independence Day again and I remember my small tumbler

On December 9, 1961, I vividly recall being in Class 1 at Madilu, now Wangama primary school in Wanging'ombe district, Njombe region.

8 hours ago


The Citizen General

Forget PYTs, older women are yummy

We, the Adams of this world gawp and unabashedly stare at the beauties – “the pretty young things” (PYTs) as we cross over the Kigamboni creek or at the mall.

8 hours ago


Habari Leo General

Mshindi bingwa msimu wa pili kubeba Benz

KAMPUNI ya Startimes Media imetambulisha zawadi ya gari aina ya Mercedes Benz yenye thamani ya Sh milioni 20 itakayotolewa kwa mshindi wa shindano la bingwa msimu wa pili katika fainali itakayofanyika wiki ijayo. Shindano la bingwa msimu wa pili lilizinduliwa Julai mwaka huu na kushirikisha washiriki 24 ambao ni maarufu mitandaoni waliokaa katika jumba moja …

The post Mshindi bingwa msimu wa pili kubeba Benz first appeared on HabariLeo.


The Citizen General

Good with mature ladies, not a Mario

He’s a quite outgoing. A generous guy when he’s loaded and, when he’s not, he doesn’t shy away from asking for a beer from anyone he knows.

8 hours ago


Taifa Leo General

Vijana wahimizwa kutumia kozi zao kujiajiri

NA LAWRENCE ONGARO MAHAFALI wapatao 5, 700 wa chuo Kikuu cha Mount Kenya waliofuzu mwaka huu, 2023 wamehimizwa kutilia maanani ujuzi waliopokea ili kujiajiri badala ya kutegemea nafasi finyu za kazi za serikali ambazo hazipatikani. Naibu Chansela Prof Deogratius Jaganyi, alisema licha ya masomo, wamepata ujuzi wa kuwa viongozi na kuonesha talanta zao katika uimbaji na

8 hours ago


Mwanaspoti Sports

Baresi akubali yaishe Mashujaa FC

MASHUJAA imecheza mechi nane mfululizo bila kupata ushindi katika Ligi Kuu Bara, kitu kimemfanya Kocha Mkuu wa timu hiyo, Abdallah Mohamed 'Baresi' kuamua kubwaga manyanga kwa kuandika barua ya kujiuzulu kukinoa kikosi hicho.

9 hours ago


Taifa Leo General

Makahaba wapandisha bei wakilalamikia polisi na Mungiki kuwawekea ushuru

NA MWANGI MUIRURI  MAKAHABA katika mtaa wa Githurai 45, mpakani mwa Kiambu na Nairobi Desemba 6, 2023 walitangaza nyongeza ya bei ya huduma kwa kati ya Sh50 na Sh100. Walisema nyongeza hiyo imetokana na hongo ya polisi ambayo imeongezeka kutoka Sh10 kwa kila kahaba kila siku hadi Sh20, huku nalo genge la Mungiki likiongeza ada

9 hours ago


Tshisekedi compares Kagame to Hitler

Tshisekedi has previously described Rwanda as a "horrible neighbour."

9 hours ago


Habari Leo General

Andengenye aahidi Neema kwa Machinga

KIGOMA: Serikali mkoani Kigoma imeahidi kuendelea kuunga mkono maelekezo ya Rais, Samia Suluhu Hassan kwa serikali za mikoa na wilaya kushirikiana na wafanyabiashara wadogo maarufu machinga kwa kuwatengea maeneo ambayo yataruhusu kufanya biashara zao kwa tija. Mkuu wa mkoa Kigoma,Thobias Andengenye amesema hayo alipokutana na viongozi wa shirikisho la machinga Mkoa wa Kigoma (SHIUMA) ili kujadili changamoto mbalimbali zinazowakabili na namna …

The post Andengenye aahidi Neema kwa Machinga first appeared on HabariLeo.


Habari Leo General

Daraja la Mpiji lafunguliwa upande mmoja

DAR ES SALAAM: HATIMAYE daraja la Mto Mpiji ambalo ni mpaka wa Bagamoyo Pwani na Dar es Salaam lililokuwa limefungwa kwa muda ili kupisha ujenzi baada ya kuwa hatarini kukatika kutokana na mvua zinazonyesha limefunguliwa upande mmoja kuruhusu magari kupita. Jana usiku Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amekesha katika eneo hilo …

The post Daraja la Mpiji lafunguliwa upande mmoja first appeared on HabariLeo.


Wasomi Ajira General

Kikosi cha Simba vs Wydad AC Leo 9 December 2023 CAF Champions League

Kikosi cha Simba vs Wydad AC Leo 9 December 2023 CAF Champions League, Kikosi Simba vs Wydad Athletic Club, Kikosi cha Simba vs Wydad Casablanca , Simba vs Wydad leo, Kikosi cha Simba vs Wydad  Casablanca leo, Kikosi cha Simba dhidi ya Wydad Casablanca leo, Kikosi cha Simba leo 9 December 2023, Kikosi cha Simba leo 9.12.2023, Kikosi cha Simba vs Wydad AC Leo 9 December 2003 CAF

10 hours ago


Wasomi Ajira General

Kikosi cha Wydad Casablanca vs Simba leo 9 December 2023 CAF Champions League

Kikosi cha Wydad Casablanca vs Simba leo 9 December 2023 CAF Champions League, Kikosi cha Wydad AC vs Simba leo, Kikosi cha Wydad Athletic vs Simba Sc leo

10 hours ago


Wasomi Ajira General

Kikosi cha Simba vs Wydad Casablanca leo 9 December 2023

Kikosi cha Simba vs Wydad Casablanca leo 9 December 2023, Kikosi cha Simba vs Wydad Casablanca , Kikosi cha Simba vs Wydad Casablanca leo , Kikosi cha Simba vs Wydad Casablanca leo 9 December , Kikosi cha Simba vs Wydad Casablanca leo December 9 2023

10 hours ago


Wasomi Ajira General

Kikosi cha Simba vs Wydad Casablanca

Kikosi cha Simba vs Wydad Casablanca, Kikosi cha Simba vs Wydad Casablanca 9 December 2023, Kikosi cha Simba vs Wydad Casablanca December 9 2023, Kikosi cha Simba vs Wydad Casablanca leo

10 hours ago


Wasomi Ajira General

Kikosi cha Simba vs Wydad leo

Kikosi cha Simba vs Wydad leo, Kikosi cha Simba vs Wydad leo 9 December 2023, Kikosi cha Simba vs Wydad leo December 9 2023, Kikosi cha Simba vs Wydad

10 hours ago


Wasomi Ajira General

Wydad Athletics vs Simba Sc Today Results

Wydad Athletics vs Simba Sc Today Results, Wydad Athletics vs Simba Sc Today 9 December 2023 Results, Wydad Athletics vs Simba Sc Today , Wydad Athletics vs Simba Sc Results, Wydad Athletics vs Simba Sc December 2023

10 hours ago


Dulla Makabila 3 days ago  
D Voice 1 week ago  
LuluDiva 3 days ago  
Harmonize 1 week ago  
D Voice 4 days ago  
Harmonize 1 week ago  
Alikiba 2 days ago  
Mocco Genius 3 days ago  
Israel Mbonyi 2 weeks ago  
JAIVAH 2 days ago  
D Voice 3 weeks ago  
D Voice 3 weeks ago  
D Voice 3 weeks ago  
D Voice 3 weeks ago  
Wasomi Ajira General

Wydad vs Simba Matokeo leo 9/12/2023 CAF Champions League

Wydad vs Simba Matokeo leo 9/12/2023 CAF Champions League, Wydad vs Simba Matokeo leo 9/12/2023 , Wydad vs Simba Matokeo leo, Simba vs Wydad leo

10 hours ago


Wasomi Ajira General

Matokeo Simba vs Wydad Casablanca leo 9 December 2023

Matokeo Simba vs Wydad Casablanca leo 9 December 2023, Matokeo Simba leo, Matokeo Simba dhidi ya Wydad Casablanca, Matokeo Simba vs Wydad Casablanca leo , Matokeo Simba vs Wydad Casablanca , Wydad VS Simba, Matokeo Simba vs Wydad Casablanca 9/12/2023

10 hours ago


Wasomi Ajira General

Matokeo Wydad Casablanca vs Simba leo

Matokeo Wydad Casablanca vs Simba leo, Matokeo Wydad Casablanca vs Simba leo 9 December 2023, Matokeo Wydad Casablanca vs Simba leo December 9 2023, Matokeo Wydad Casablanca vs Simba

10 hours ago


Habari Leo General

Zimbabwe, Botswana kusafiri bila pasipoti

MATAIFA ya Zimbabwe na Botswana yanafanyia kazi mpango wa kufuta mahitaji ya hati ya kusafiria ‘pasipoti’ kwa raia wa nchi zingine. Hatua hiyo ni katika kuungana na baadhi ya nchi Afrika kupunguza vizuizi vya kuingia wageni kutoka katika baadhi ya nchi. “Sisi wawili tumekubaliana kwa sababu sisi ni Waafrika. Tunapaswa kuingia Botswana, kuingia Zambia, kuingia …

The post Zimbabwe, Botswana kusafiri bila pasipoti first appeared on HabariLeo.


Habari Leo General

EPL kuendelea leo

LIGI Kuu nchini England ‘EPL’ inaendelea leo kwa michezo kadhaa, mchezo wa mapema utakuwa kati ya Crystal Palace dhidi ya Liverpool saa 9:45 Alasiri. Michezo mingine itayopigwa saa 12 jioni, Brighton dhidi ya Burnley, Manchester United itakuwa Old Trafford kuwaalika Bournemouth, Sheffield United dhidi ya Brentford. Mchezo mwingine utakaopigwa muda huo, Wolver dhidi ya Notts …

The post EPL kuendelea leo first appeared on HabariLeo.


Habari Leo General

Mfanyakazi wa ndani mbaroni kwa wizi wa mtoto wa miaka 5

MWANZA: JESHI la Polisi Mkoa wa Mwanza linamshikilia mwanamke mmoja, Mariam Jeremia kwa tuhuma za wizi wa mtoto wa kike, Odeta Julius ambaye kwa wakati anaibiwa alikua na umri wa miaka mitano. Akizungumza na waandishi wa habari Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Mwanza, Wilbrod Mutafungwa amesema tukio hilo liliripotiwa katika kituo cha Polisi Kirumba …

The post Mfanyakazi wa ndani mbaroni kwa wizi wa mtoto wa miaka 5 first appeared on HabariLeo.


Taifa Leo General

Shinikizo maspika wa mabunge yote wawe na digrii

NA COLLINS OMULO SHINIKIZO za kuwataka maspika wa Bunge la Kitaifa na mabunge ya Kaunti kuwa wamefuzu kwa shahada ya digrii zimeshika kasi, huku waundasheria wakijadili mswada uliowasilishwa kwa Seneti. Mlalamishi, Simon Lenguiya, amehoji kuwa hali ya kukosa maarifa ya kielimu na kitaaluma yanayohitajika ili mtu ateuliwe kama spika wa asasi tatu za uundaji sheria,

10 hours ago


Habari Leo General

Kampuni uchimbaji madini yapandikiza vifaranga vya samaki

KAMPUNI ya Diamond Williamson Ltd inayojishughulisha na uchimbaji wa madini ya almas iliyopo Mwadui wilayani Kishapu mkoani Shinyanga, wamepandikiza vifaranga 5000 vya samaki aina ya Sato katika bwawa jipya la Mwang’olo ili kuinua kipato cha wananchi na chakula. Upandikizaji wa vifaranga vya samaki aina hiyo limefanyika jana tarehe 8,2023 kwa kuzinduliwa na Katibu Tawala wa …

The post Kampuni uchimbaji madini yapandikiza vifaranga vya samaki first appeared on HabariLeo.


Habari Leo General

Ujerumani yatoa neno ushirikiano na Tanzania

UJERUMANI: Rais wa Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani ,Frank Walter Steinmeier amesema Serikali yake itaendelea kuunga mkono jitihada za maendeleo nchini Tanzania zinazotekelezwa na Serikali inayoongozwa na Rais, Samia Suluhu Hassan. Ametoa kauli hiyo wakati wa hafla ya kupokea Hati za Utambulisho za Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani , Hassani Iddi Mwamweta kwenye Ikulu ya …

The post Ujerumani yatoa neno ushirikiano na Tanzania first appeared on HabariLeo.


Peruzzi