Mothers play a fundamental role in nurturing and shaping their children. They are the primary caregivers, teaching values, and instilling them a sense of security and belonging.
An eyewitness from El Fasher told Xinhua that fierce ground clashes took place between Sudan army and the RSF in the central neighborhoods of the city.
The seven countries in the region increased their trade with the rest of Africa by $584.6 million to $4.3 billion in the fourth quarter of 2023, latest data by the EAC Secretariat shows.
Three-day Nairobi fertiliser and soil health summit gave leaders a forum to push for more financing and trade saying low use of the input is killing agriculture.
Matokeo Yanga vs Mtibwa Sugar Leo 13 May 2024, Matokeo Yanga vs Mtibwa Sugar 13 May 2024 NBC Premier League, Matokeo ya Yanga vs Mtibwa Sugar 13 May 2024, Matokeo...
Baraza la madiwani Halmashauri ya wilaya ya Mlimba Mkoani Morogoro imeadhimia kupunguza ushuru wa Mchele kwa wafanyabiashara kutoka shilingi 4000 hadi shilingi 3000 Kwa gunia moja kutokana na kushuka kwa...
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali itafanyia kazi changamoto zote zilizojitokeza katika ripoti ya CAG na kuunda kamati maalum itakayoshughulikia kasoro za...
Zaidi ya wananchi elfu 7 kutoka katika vitongoji vitatu kwenye kata ya Mlafu katika Halmashauri ya wilaya ya Kilolo Mkoani Iringa wanatarajia kuanza kupata maji safi na salama baada ya...
NA LABAAN SHABAAN ARSENAL imepiku hasimu wake Manchester United maradufu kwa mara ya nne katika Ligi Kuu ya Kandanda Uingereza (EPL). Hii ni baada ya the Red Devils kuduwazwa nyumbani...
HIVI karibuni kuna jambo kubwa kwenye soka linakwenda kutokea. Achana na ubingwa wa Yanga ambayo inaweza kutangaza leo, lakini kuna lingine ambalo linalomhusisha staa wa Simba, Mzambia Clatous Chama kusaini...
WAKATI timu zikiwa sokoni kusaka majembe kwa ajili ya msimu ujao, miongoni mwa majina yaliyopo mezani kwa vigogo wa Yanga ni jina la kipa wa Singida Fountain Gate, Beno Kakolanya.
Baada ya jukumu dogo tangu ajiunge na Januari, maoni ya umma ya wakala wake ya kutaka kupewa muda zaidi wa kucheza yamechochea uvumi wa kuondoka majira ya kiangazi. Mbrazil huyo,...
Kocha wa PSG, Luis Enrique anaamini kwamba Kylian Mbappe amepata kutambuliwa alikostahili kutoka kwa mashabiki wa klabu hiyo katika mchezo wake wa mwisho katika uwanja wa Parc des Princes. Mbappé,...
Real Betis wamekanusha taarifa kwamba kiungo Guido Rodriguez amesaini mkataba wa awali na Barcelona. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Argentina hajaweka wazi mkataba mpya na Betis na atakuwa wakala wa...