Habari Leo Educational

Elimu yahitajika vihatarishi mahala pa kazi

DAR ES SALAAM: WAFANYAKAZI kutoka taasisi mbalimbali wametakiwa kupata elimu namna ya kudhibiti vihatarishi katika maeneo ya kazi ili kutimiza majukumu yao katika mazingira yenye usalama. Mkurugenzi wa Usalama na...

19 minutes ago


Habari Leo Educational

Wanafunzi 156,201 wanufaika ufadhili wa elimu

JUMLA ya wanafunzi 156,201 wamenufaika na ufadhili wa elimu kuanzia sekondari hadi shule ya upili kupitia Mpango wa ufadhili wa kwa wanafunzi wa kike chini ya Shirika lisilokuwa la Kiserikali...

1 hour ago


Habari Leo Educational

Dar Leopards kupimana na Les Gaulois Jumamosi

DAR ES SALAAM– TIMU ya mchezo wa Rugby au Raga ya DAR Leopards inatarajia kuumana na Les Gaulois de Nairobi kutoka Kenya katika mchezo wa kirafiki wa kujenga mahusiano. Pambano...

5 hours ago


Taifa Leo Educational

Fedha za mitihani zarejeshwa baada ya raia kukemea serikali

WAZAZI wa watahiniwa wanaotarajiwa kufanya mitihani ya kitaifa mwaka huu sasa wamepata afueni baafa ya Bunge la Kitaifa kutenga Sh5.9 bilioni za mitihani hiyo katika shule za msingi, shule za...

9 hours ago


Habari Leo Educational

Mitaala FETA kulenga wahitimu kuajirika, kujiajiri

KATIBU Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi Profesa, Riziki Shemdoe ameutaka Wakala ya Elimu na Mafunzo ya Uvuvi Tanzania (FETA), kuandaa wahitimu watakaojiajiri na kuajiri wengine badala ya kusubiri kuajiriwa...

1 day ago


Taifa Leo Educational

Tusi mtandaoni kumgharimu mwanafunzi Sh7.5 milioni

MWANAFUNZI wa Mwaka wa Tatu wa Kitivo cha Sheria cha Chuo Kikuu cha Nairobi ameamrishwa na mahakama kufidia dereva wa Nabii David Owuor kitita cha Sh7.5 milioni baada ya kupatikana...

1 day ago


Habari Leo Educational

TIC yabainisha inavyotoa elimu ya uwekezaji

KITUO cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kinatoa elimu ya uwekezaji kwa watu mbalimbali wakiwamo mabalozi wanaokwenda kuwakilisha Tanzania nje ya nchi. Meneja wa Uhamasishaji Uwekezaji wa Ndani TIC, Felix John amesema...

1 day ago


Habari Leo Educational

Mitaala FETA kuandaa wahitimu watakaojiajiri

MOROGORO: KATIBU Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi Profesa, Riziki Shemdoe ameutaka Wakala ya Elimu na Mafunzo ya Uvuvi Tanzania (FETA),kuandaa wahitimu watakaoweza kujiajiri na kuajiri wengine badala ya...

1 day ago


Habari Leo Educational

Kafulila atoa somo deni la taifa

MKURUGENZI wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP), David Kafulila amesema ingawa deni la taifa linaongezeka, uchumi wa nchi ni himilivu. Kafulila amesema wastani...

1 day ago


Taifa Leo Educational

Walimu wa shule za upili watoa notisi ya kugoma iwapo CBA itapuuzwa

HUENDA walimu wa shule za upili wakaitisha mgomo muhula huu endapo Tume ya Kuwaajiri Walimu (TSC) haitaandaa majadiliano kuhusu makubaliano ya nyongeza ya mishahara maarufu kama CBA kabla ya kusomwa...

3 days ago


Load More...

Job Vacancies





Entertainment