NA RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA Kuu Ijumaa imefutilia mbali rufaa iliyowasilishwa na magaidi wawili walioua wanafunzi 148 wa Chuo Kikuu cha Garissa 2015. Jaji Cecilia Githua ameamuru wakili Mohammed Ali Abdikadir na Hassan Aden Hassan watumikie vifungo vya miaka 41 jela kila mmoja. Gaidi Rashid Charles Mberecero ambaye alikuwa raia wa Tanzania aliyefungwa kifungo cha maisha
5 hours ago
NA PAULINE ONGAJI MWANAMAZINGIRA Elizabeth Wathuti kutoka Kenya ndiye mwenyekiti wa shirika la kimataifa la kutetea haki za kibinadamu la Amnesty International mwaka 2023. Mwanamazingira huyo alituzwa mnamo Jumanne Machi 21, katika hafla iliyofanyika katika Chuo Kikuu cha Ghent nchini Ubelgiji. Akitoa hotuba katika hafla hiyo Bi Wathuti alisema kwamba uteuzi huu utampa mfichuo zaidi
1 day ago
NA LAWRENCE ONGARO WANAFUNZI wa kitengo cha afya katika Chuo Kikuu cha Mount Kenya na kanisa la ACK kwa ushirikiano na wataalam, wametoa matibabu kwa wakazi wa kijiji cha Mitihani katika Kaunti ya Machakos. Wanafunzi wa chama cha MKU Health Students Association (MKU HSA) na wadau katika kanisa la ACK Church-Mother Union walitoa huduma muhimu
2 days ago
NA CHARLES WASONGA BARAZA la Vyombo vya Habari Nchini (MCK) inatayarisha Sera ya kwanza ya Kitaifa kuhusu Vyombo vya Habari na Uelewa wa Habari kwa manufaa ya Wakenya. Sera hiyo inayotengenezwa kwa ufadhili kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa kuhusu Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO), itafanikisha mchakato wa utengeneza wa sheria kuhusu vyombo vya habari
1 week ago
NA CHRIS ADUNGO ZAIDI ya kutoa fursa kwa washiriki kujadili kwa jicho la kiuhakiki nafasi ya Kiswahili katika uchumi wa kijani, Kongamano la 23 la Kimataifa la Chama cha Kiswahili cha Taifa (CHAKITA) mwaka huu 2023 liliwapa pia wanachama jukwaa la kuchagua viongozi wapya. Kongamano hilo la siku mbili lilifanyika katika Chuo Kikuu cha Kabianga,
1 week ago
Na Beatrice Kaiza, Mtanzania Digital Benki ya NMB imetenga Sh bilioni 200 kwa ajili ya kuwakopesha wafanyakazi kupata elimu ya juu au wale wanaohitaji fedha za kuwasomesha wategemezi wao. Huduma hio mpya ya mikopo ya elimu ya juu ‘NMB Elimu Loan’ yenye riba nafuu maalum kwa ajili ya watumishi na wafanyakazi ambao mishahara yao inapitia
1 week ago
Na SAMMY KIMATU [email protected] WAZAZI wenye watoto wanaoishi na ulemavu wameombwa kutowaficha watoto wao nyumbani na badala yake kushauriwa kuwapeleka katika taasisi za masomo ili kupata elimu. Akiongea wakati wa usambazaji wa hundi za basari katika Garage House, Mukuru-Commercial, mwakilishi wa wadi ya Landi Mawe, Bw Simon Maina Mugo almaarufu “Miche” aliwaambia wazazi kwamba kila
1 week ago
Na Clara Matimo, Mwanza Baraza la Madiwani Halmashauri ya Jiji la Mwanza limepitisha mapendekezo ya bajeti kwa mwaka wa fedha 2023/2024 ambayo ni zaidi ya Sh bilioni 142 huku vipaumbele vikiwa ni afya, elimu na barabara ili kutatua changamoto zilizopo kwenye sekta hizo. Kwa mujibu wa Naibu Meya wa Jiji hilo, Bhiku Kotecha, katika bajeti
1 week ago
Viongozi wa ngazi za vijiji,kata na Wilaya za Korogwe na Handeni zaidi ya mia na hamsini wamepewa Elimu juu ya utunzaji wa Mazingira na usimamizi wa vyanzo vya maji. Akizungumza mara baada ya mafunzo hayo Mratibu wa mradi wa sauti Youth World Vision Shukran Dickson amesema kuwa lengo la kikao hicho ni kuangalia namna bora
1 week ago
NA ALEX KALAMA CHIFU wa eneo la Chakama lililoko Adu katika Kaunti ya Kilifi Raymond Msinda Charo amewataka wazazi ambao watoto wao hawajajiunga na Kidato cha Kwanza kupeleka watoto wao katika shule za kutwa ili kupunguza gharama ya masomo. Huku akiwataka wazazi kuondoa kasumba kwamba shule za kutwa hazifanyi vyema. Akizungumza katika kijiji cha Kanduru
1 week ago
NA SAMMY WAWERU NAIBU wa Rais Rigathi Gachagua amesimulia kuhusu maisha yake ya taabu shuleni na changamoto alizopitia. Akikiri kuzaliwa katika familia maskini, Bw Gachagua amefichua kwamba alivalia suruali ya ndani akiwa kidato cha pili. Gachagua alikuwa mwanafunzi wa Shule ya Upili ya Kianyaga, iliyoko katika Kaunti ya Kirinyaga. Maarufu kwa lugha ya mtaa
2 weeks ago
WINNIE ATIENO NA MAUREEN ONGALA HALI ya viwango vya elimu kudorora katika kaunti za Pwani, inazidi kuibua lalama kutoka kwa wadau mbalimbali huku suluhisho mwafaka likikosa kuonekana. Kwa miaka kadha sasa, shule zilizo Pwani hazijakuwa zikitoa matokeo bora katika mitihani ya kitaifa. Hivi majuzi, Wizara ya Elimu pia ilifichua kuwa Kaunti za Kwale na Kilifi
2 weeks ago
Na Imani Nathaniel, Mtanzania Digital Katika kuunga mkono juhudi za Serikali za kuokoa Maisha ya wagonjwa wanaohitaji damu, Kampuni ya Simu ya Halotel, leo Machi 6,2023 imeshirikiana na Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Kisutu na Taasisi ya Mifupa- MOI, kuandaa tukio la uchangiaji damu kwa hiari. Katika kuelekea siku ya wanawake duniani, Machi 8 ya
2 weeks ago
TITUS OMINDE Na ANNEBEL OBALA MSHUKIWA wa mauaji wa mwanafanzi wa Chuo Kikuu cha Moi Ivy Wangeci, 22, miaka mitatu iliyopita, Ijumaa alikiri kuwa alimkata kwa shoka baada ya kusalitiwa kimapenzi. Naftali Kinuthia alieleza Mahakama Kuu ya Eldoret kuwa alikasirishwa na usaliti huo akidai kuwa Bi Wangeci, ambaye alikuwa akisomea kozi ya matibabu, alikuwa na
2 weeks ago
NA CHRIS ADUNGO MWALIMU mwenye mapenzi ya dhati kwa taaluma yake huwa na msukumo wa kutaka kujifunza mambo mapya. Zaidi ya kuchangamkia masuala yanayofungamana na mtaala, ni mwepesi wa kusoma kutoka kwa vyanzo mbalimbali ili awe chemchemi ya maarifa kwa wanafunzi wanaomtegemea. Safari ya elimu ni sawa na vidato vya ngazi. Mwanafunzi anastahili kupanda vidato
3 weeks ago
Binti huyo alishtakiwa na baba yake baada ya kuripotiwa kuwa hakuacha chuo kikuu ili kumtunza baada ya kujeruhiwa katika ajali ya gari huko Puyang, China. Mwanamume huyo, aliyejulikana kama Zhang, aliwasiliana na binti yake mara nyingi baada ya kupata ajali ya gari na kujaribu kumshawishi kuacha chuo kikuu ili kumtunza lakini baada ya majaribio kadhaa,
3 weeks ago
NA SAMMY KIMATU WAZAZI katika mitaa ya mabanda ya Mukuru kwenye kaunti ndogo za Starehe na Makadara katika Kaunti ya Nairobi wameshindwa kugharimia masomo ya watoto wao kwa sababu ya umaskini na ugumu wa maisha. Akiongea na Taifa Leo, Mkurugenzi mkuu wa Kituo cha Mukuru Promotion Centre (MPC), Mtawa Mary Killeen amesema umaskini miongoni mwa
3 weeks ago
NA MHARIRI RIPOTI zimeibuka kuwa wanafunzi wa Gredi ya 7, ambao ndio waasisi wa mfumo mpya wa elimu (CBC), hawafundishwi ipasavyo kutokana na changamoto nyingi. Changamoto kuu kati ya hizo ni uhaba wa walimu. Kwamba serikali inategemea mwalimu mmoja au wawili walioajiriwa majuzi na tume ya TSC, kufundisha wanafunzi wa daraja hiyo. Baadhi ya shule,
3 weeks ago
NA WAANDISHI WETU MWEZI mmoja tangu wanafunzi wajiunge na Sekondari ya Msingi (JSS), wengi wao katika shule za umma wamekuwa wakihudhuria leseni zao darasani, bila masomo kuendelea. Umekuwa mwezi mzima wa kukaa bure, huku walimu wakuu na maafisa wa elimu wakijaribu kila mbinu kupata walimu wa kusaidia kufunza. Shule nyingi maeneo mbalimbali nchini zinakumbwa na
3 weeks ago
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital JITIHADA za Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kuwajengea uwezo wahitimu wa vyuo vikuu kwa kuwapatia mafunzo kazini zimeendelea kuonekana baada ya kampuni hiyo kuibuka mshindi wa pili katika tuzo zilizoandaliwa na Chama cha Waajiri Tanzania (ATE) na Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi
3 weeks ago
NA DAVID MUCHUNGUH WALIMU wakuu wa shule wamelalamikia kucheleweshwa kwa mgao wa Sh9.6b kwa muhula wa kwanza, mwezi mmoja tangu wanafunzi wa Gredi 7 walipojiunga na shule. Walimu wakuu waliozungumza na Taifa Leo wamelalamika kuwa kazi yao imetatizika kwa sababu kanuni za Wizara ya Elimu zinazohusu utekelezaji wa Sekondari za Msingi (JSS) zinaagiza kuwa kitengo
3 weeks ago
*Waibuka kidedea mbio za Kilomita 21 maarufu kama Tigo Kili International Half Marathon 2023 Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Wanariadha wa Tanzania wameng’ara kwa kuibuka na ushindi wa kishindo katika Mbio za Kimataifa za Kilomita 21 maarufu kama Tigo Kili Half Marathon 2023 zilizofanyika Februari 26, 2023 katika viwanja vya Chuo Kikuu cha Ushirika (MoCU)
3 weeks ago
Muuguzi katika hospitali ya New York amesimamishwa kazi na sasa anachunguzwa na polisi baada ya baba kuchukua kipande cha video wakati mtoto wake mchanga akipigwa kofi la usoni na muuguzi huyo alipokuwa akimhudumia. Tukio hilo lilitokea katika Hospitali ya Chuo Kikuu cha Good Samaritan huko West Islip huku tarehe ya tukio hilo haikufahamika mara moja.
3 weeks ago
Na Ramadhan Hassan, Dodoma Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imesema mitaala 300 ya vyuo vikuu inafanyiwa mapitio ili kuhuishwa kwa kuzingatia maoni ya wadau mbalimbali ili kukidhi matarajio yao na mahitaji ya soko. Katibu Mtendaji wa tume hiyo, Profesa Charles Kihampa amesema hayo Jumatano Februari 22,2023 jijini Dodoma wakati akielezea utekelezaji wa shughuli za
1 month ago
Taasisi ya Elimu ya Aga Khan (AKES) Tanzania ikishirikiana na Taasisi ya Aga Khan Tanzania (AKF) imetoa mafunzo kwa walimu na wanafunzi juu ya namna bora ya kuhifadhi mazingira kwa maendeleo endelevu. Katika mafunzo hayo kwa vitendo, yaliyoshirikisha walimu na baadhi ya wanafunzi kutoka shule za awali, msingi na sekondari za Aga Khan zilizoko jijini Dar es Salaam, yaliwapa ujuzi wa
1 month ago
MTANDAO wa Elimu Tanzania (TENMET) umesema umefanikiwa kuchochea maendeleo ya elimu nchini, tangu ilipoanza kuratibu mradi wa ufuatiliaji na kufanya tathmini ya kazi zinazofanyika kwenye jamii kupitia fedha zilizotolewa katika utekelezaji wa masuala ya elimu. Program hiyo inayosimamiwa na TENMET ilianza utekelezaji wa majukumu yake Septemba 2022 na inatarajiwa kukamilisha Machi mwaka huu, na jana
1 month ago
NA ALEX KALAMA MWANAFUNZI mmoja kutoka familia isiyojiweza katika kijiji cha Gahaleni eneo bunge la Malindi kaunti ya Kilifi anafanya kazi ya kusuka makuti akisaka fedha za kumwezesha kujiunga na shule ya upili. Rabecca Salama aliyekamilisha masomo yake ya darasa la nane katika shule ya msingi ya Airport mjini Malindi na kupata alama 329 amesema
1 month ago
Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limeendelea kutoa elimu ya Usalama wa vyombo, abiria pamoja na mali zao wanapotumia usafiri majini. Akizungumza wakati akitoa elimu ya namna ya kujiokoa abiria pamoja na wavuvi katika mwalo wa Chato beach uliyopo wilayani Chato Mkoani Geita, Bw. Rashid Katonga ambaye ni Afisa Mfawidhi Tasac mkoa wa Geita
1 month ago
Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) imeingia makubaliano ya ushirikiano na Chuo Kikuu cha Tiba cha Vienna, Austria. Kwa makubaliano hayo, Chuo Kikuu cha Tiba cha Vienna kitawajengea uwezo wataalamu wa mfumo wa mkojo, kugharamia utafiti na ubunifu pamoja na kufanya kambi ya pamoja ya matibabu na BMH. Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali, Dkt Alphonce Chandika, amesema
1 month ago
Mkuu wa Mkoa wa Tanga OMARY MGUMBA amewataka Viongozi na wadau wa Elimu kujitahidi kuweka mikakati ya kuongeza Ufaulu kwa kupambana na viashiria vinavyopelekea kutofanya Vizuri kwenye mitiani ya kitaifa ikiwemo ukatili, Mimba za utotoni,ajira kwa watoto ikiwemo ya upatikanaji wa Chakula mashuleni. Ametoa maelekezo hayo wakati akiongea na wadau wa Elimu Mkoa wa Tanga
1 month ago
Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kwa kushirikiana na Baraza la Taifa la Uhifadhi wa Mzingira (NEMC) wamepanda miti rafiki na maji zaidi ya 45,000 kwenye vyanzo vya maji vya Mto Mbarali unaochangia maji yake kwenye Mto Ruaha Mkuu, Bwawa la Kidatu na Bwawa la Mwalimu Nyerere kama sehemu ya kuunga mkono jitihada za
1 month ago
NA MAGDALENE WANJA JUMATATU alfajiri, tunawasili katika Chuo Kikuu cha Kilimo na Sayansi cha Jomo Kenyatta (JKUAT) ambapo tunampata Dkt Paul Kinoti akimwaga maji kwenye vijisanduku ambavyo vina konokono. Anatuambia kuwa maji hayo yanasaidia katika kutengeneza mazingira bora kwa konokono. Konokono hao wanatumika katika kufanyia utafiti ili kuunda bidhaa mbali mbali kama vile dawa ya
1 month ago
Watanzania 170 wanatarajiwa kupata mafunzo maalumu katika kada mbalimbali ili kushiriki kikamilifu kwenye miradi ya gesi na mafuta inayotekelezwa hapa nchini. Akizunguza wakati wa ufunguzi wa mafunzo kwa wanafunzi mia moja na sabini kutoka EACOP katika chuo cha Veta mkoani Tanga Kamishina wa Petroli na Gesi nchini Michale Mjinja amesema kuwa Mradi wa Bomba hili
1 month ago
JESHI la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia Mwalimu wa Shule ya Sekondari Loiler iliyopo Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mbalizi mkoani Mbeya Peter Emmanuel (29)pamoja na mlinzi wa Shule hiyo Haruna Issa (30) mkazi wa Iwala kwa tuhuma za kumshambulia kwa viboko sehemu mbalimbali za mwili mwanafunzi wa Shule hiyo Laurence Nicholaus (16) na kumsababishia
1 month ago
Mwanafunzi wa kidato cha nne Shule ya Sekondari Rohila iliyopo Mbalizi, mkoani Mbeya, Laurence Mwangake amelazwa Hospitali ya Ifisi iliyopo mjini humo, ikidaiwa kuwa walimu wanne na walinzi wawili walimfungia katika chumba kumuadhibu, hali iliyomsababishia majeraha sehemu mbalimbali za mwili wake. Imedaiwa kuwa sababu ya kumuadhibu mwanafunzi huyo anatuhumiwa kudokoa maandazi manne yaliyokuwa ndani ya
1 month ago
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewaagiza Wakaguzi wa Elimu nchini wapite kwenye shule zote wakakague vitabu vinavyotumika katika shule hizo kama vinaendana na maadili na tamaduni za Kitanzania. Ameyasema hayo leo (Jumatano, Februari 15, 2023) wakati akizungumza na Watumishi wa Mkoa wa Songwe akiwa kwenye majumuisho ya ziara ya kikazi mkoani Songwe ya kukagua miradi ya
1 month ago
NA CHARLES WASONGA AFISA Mkuu mtendaji wa Tume ya Huduma za Walimu (TSC) Nancy Macharia jana alijitetea vikali kufuatia hatua ya tume yake kutotuma walimu wa kutosha katika shule za upili za kimsingi (JSS) nchini. Dkt Macharia aliiambia Kamati ya Bunge kuhusu Elimu kwamba TSC ilituma mwalimu mmoja katika kila moja ya shule hizo 30,550
1 month ago
NA WINNIE ATIENO TAASISI ya kukuza mitaala nchini (KICD), inalenga kuchapisha takriban vitabu milioni 15 vya Gredi 7 kabla muhula huu ukamilike. Afisa mkuu wa taasisi hiyo, Prof Charles Ong’ondo, alisema kila mwanafunzi anafaa kuwa na vitabu 13. Kulingana naye, vitabu vya Gredi 7 vimesambazwa katika shule za kaunti 20 kufikia sasa huku serikali ikilenga
1 month ago
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda leo February 13, 2023 kwa Mamlaka aliyopewa chini ya kifungu cha 59 cha sheria ya Elimu Sura 353 amepiga marufuku matumizi ya vitabu 16 vya ziada katika Shule za umma na binafsi nchini. Vitabu vya 16 vilivyopigwa marufuku vimekutwa katika baadhi ya Shule si kama vitabu
1 month ago
Na CHRIS ADUNGO MWALIMU aliye na wito wa kufundisha na mapenzi ya dhati kwa taaluma yake, ana jukumu la kuchochea wanafunzi wake kupiga hatua kubwa katika safari ya elimu inayohitaji subira na moyo wa kujitolea. Zaidi ya kuwafahamu wanafunzi wake kwa jina, mwalimu bora sharti awe na bidii na msukumo wa kutaka kujifunza mambo mapya.
1 month ago
NA WANTO WARUI MAJUMA matatu sasa tangu shule za sekondari msingi kuanza mafunzo yake,bado shule nyingi hazijaweka mikakati bora ya kuendeleza ufunzaji wake. Shule nyingi za umma zingali katika ndoto ya kupata walimu wa kufunza masomo yanayohitajika huku Tume ya Huduma za Walimu (TSC) ikituma mwalimu mmoja tu au wawili katika kila shule. Hii ni
1 month ago
NA WANDERI KAMAU KWENYE makala aliyoandika Jumamosi iliyopita katika gazeti moja, msomi na mchanganuzi Barrack Muluka alilalamika kuhusu hali, mwelekeo na kiwango cha elimu nchini Kenya. Msomi huyo aliufananisha mfumo wa elimu nchini na “mzigo mkubwa” anaotwikwa mwanafunzi mchanga, ambaye kimsingi anafaa kupewa nafasi kuufurahia utoto wake. Dkt Muluka, ambaye majuzi alimaliza kusomea shahada yake
1 month ago
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali haitosita kumchukulia hatua mzazi au mtu yeyote atakayemzuia mwanafunzi kupata haki yake ya elimu, hivyo amewataka wazazi wote wenye wanafunzi waliofaulu kujiunga na kidato cha kwanza kuhakikisha kuwa watoto hao wanaripoti kwenye shule walizopangiwa mara moja. Ameyasema hayo leo (Ijumaa, Februari 10, 2023) wakati akiahirisha Mkutano wa 10 wa
1 month ago
Na Seif Takaza, Manyoni KATIBU Tawala Mkoa wa Singida, Dorothy Mwaluko ameuagiza Mradi wa Shule Bora kutengeneza mfumo wa kutoa mafunzo kwa walimu wa mkoani humo ili kuinua kiwango cha elimu katika Mkoa huo. Mwaluko ametoa agizo hilo katika ufunguzuzi wa mkutano wa siku moja ambao umefanyika hivi karibuni katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya
1 month ago
RUSHDIE OUDIA Na AGARTHA GICHANA UTAMADUNI wa ‘Tero Buru’ hautazingatiwa kesho wakati wa mazishi ya aliyekuwa Waziri wa Elimu, George Magoha. Lengo la utamaduni wa Tero Buru ni kufukuza ‘mapepo ya kifo’. Utamaduni huo hufanyika katika mazishi ya wazee na watu mashuhuri. Hufanyika kaburini kabla mwili kuzikwa. Wazee hupeleka ng’ombe nyumbani kwa mwendazake na kuanza
1 month ago
Jumla ya wanafunzi 520 wa vyuo vitatu nchini wamenufaika na mradi wa ubunifu wa ‘Innoversity Project’ ambao unazisaidia taasisi za elimu ya juu nchini kuinua ubunifu na ujasiriamali zaidi ya taaluma na utafiti. Mradi huo unalenga kuimarisha taasisi na nyenzo za elimu ya juu Tanzania, kusaidia safari ya ujasiriamali ya wanafunzi pamoja na kukuza ujasiriamali
1 month ago
NA SIAGO CECE TAKRIBAN wanafunzi 738 waliopita KCPE mwaka 2022 katika Kaunti ya Kwale, wamepokea ufadhili wa masomo kutoka kwa serikali ya kaunti hiyo. Ufadhili huo wa jumla ya Sh400 milioni chini ya mpango wa Elimu Ni Sasa utatumika kwa wanafunzi hao waliopata alama 350 na zaidi. Gavana wa Kwale, Bi Fatuma Achani, alisema ufadhili
1 month ago
Na Mwandishi Wetu, Mtanzani Digital KATIKA kuunga mkono juhudi za serikali za kuboresha elimu na kulea kizazi kijacho ambacho kitasaidia Taifa kufikia malengo ya kiuchumi na kimaendeleo, Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imejenga na kukabidhi vyumba viwili vya madarasa kwa Shule ya Msingi Kiziba iliyopo Kijiji cha Mwenegeza kata ya Nyakagomba, Wilayani Geita
1 month ago
NA WAANDISHI WETU WALIMU wakuu wa shule katika maeneo ya Nyanza na Magharibi jana Jumatatu walilazimika kugeuza madarasa kuwa vyumba vya malazi ili kutosheleza idadi kubwa ya wanafunzi walioripoti katika shule hizo kujiunga na Kidato cha Kwanza. Katika shule nyingi, idadi ya wanafunzi waliofika ilizidi ile zinaweza kutosheleza kulingana na nafasi zilizo nazo.Maafisa wa Wizara
1 month ago
NA ENOCK NYARIKI GIZA la kaniki lilitanda kote katika shule ya wavulana ya Jitahidi. Sauti pekee zilizosikika japo kwa aliyepita nje ya mabweni ya wavulana hao, ni mikoromo yao. Walikoroma mfano wa vyura bwawani. Sauti zao zilipanda na kushuka kana kwamba zilishindana na kuhimizana. Kwenye upembe huu na ule ulisikika mlio mmoja mmoja wa wadudu
1 month ago