Despite forming movements spanning trade unions and civil societies to find a way out of the raging conflict, deep-rooted mistrust curtails peace efforts.
FAMILIA moja kutoka Baringo inalalamikia usimamizi wa Kampuni ya Umeme Nchini (KPLC) kwa kumtelekeza mwana wao ambaye alipigwa na stima Aprili 28 mwaka huu.
Sharon Kalalwa, nusura apatwe na mauti...
Jamii imetakiwa kuendelea kushirikiana ili kupunguza changamoto za watoto wenye uhitaji pamoja na watu wengine wanaoishi kwenye mazingira magumu na kujenga jamii yenye umoja na mshkamano bila kujali changamoto ambazo...
MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) Kanda ya Kaskazini kwa kushirikiana na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Longido imetoa elimu kinga dhidi ya...
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (Jumapili, Oktoba 20, 2024) imetangaza Awamu ya Tatu (Batch Three) yenye wanafunzi 19,345 wa shahada ya awali waliopangiwa mikopo yenye thamani...
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi, amezishauri taasisi za elimu ya juu zilizo nchini kuanzisha kozi muhimu zenye uhitaji na uhaba wa...
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amejiandikisha kwenye daftari la mpiga kura kwa ajili ya kuchagua viongozi wa Serikali za Mitaa katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, mwaka huu. Zoezi hilo limefanyika...
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameshiriki zoezi la kujiandikisha kwenye Daftari la Mpigakura kwa ajili ya kuchagua viongozi wa Serikali za Mitaa katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, mwaka huu. Waziri...
ROBERT Macharia ni mfugaji wa mbuzi wa maziwa mwenye tajiriba ya miaka 13.
Anaendeleza kilimo biashara eneo la Githurai 45, Kaunti ya Kiambu na amefana sana katika sekta hii yenye...
WANAFUNZI wa shule za sekondari mkoani Geita wamehimizwa kuwa mabalozi wa kuwahamasisha na kuwaelimisha wazazi wao faida za kujiandikisha na kupiga kura katika uchaguzi wa serikali za mitaa. Mkuu wa...
Katika hatua muhimu ya kukuza utunzaji wa mazingira, GSM Foundation inafurahia kutangaza kupeleka vifaa vya kuhifadhia taka 15 kwa matumizi ya maeneo ya nje ya shule, 25 kwa matumizi ya...