Habari Leo Educational

Wakulima kupewa elimu kilimo cha tija

MRADI wa Kilimo na Lishe Tanzania (NOURISH -Tanzania), umeandaa siku ya wakulima katika wilaya 10 za mikoa mitano nchini kwa lengo la kuwaelimisha wakulima kuhusu kilimo cha tija ili kuleta...

3 days ago


Habari Leo Educational

Mpango ataka bustani kutafiti dawa

MAKAMU wa Rais, Dk Philip Mpango ametoa rai kwa viongozi wa mikoa kwa kushirikiana na taasisi za misitu na utafiti waanzishe bustani za mimea zinakazosaidia vijana kutafiti na kutengeneza dawa....

3 days ago


Habari Leo Educational

Msuya alitaka chuo kikuu cha IT Mwanga

MTOTO wa hayati Cleopa Msuya, Job Msuya amesema Januari 4, mwaka huu katika siku ya kuzaliwa, baba yake alieleza nia yake ya kujengewa Chuo Kikuu Mwanga kinachohusu mambo ya Bioteknolojia...

4 days ago


Habari Leo Educational

Maelfu wamuaga Msuya Mwanga

MAELFU ya wananchi wake kwa waume wa Wilaya ya Mwanga na maeneo ya jirani wamejitokeza kwa wingi kuuaga mwili wa Mbunge wa Kwanza wa Jimbo la Mwanga, Cleopa Msuya kwenye...

5 days ago


Habari Leo Educational

Wanafunzi nje ya mfumo rasmi waongezeka Geita

GEITA: IDADI ya wanafunzi wanaosoma Elimu ya Sekondari Nje ya Mfumo Rasmi (ASEP) katika Halmashauri ya Manispaa ya Geita imeongezeka kutoka wanafunzi 105 mwaka 2021 hadi kufikia 176 Aprili mwaka...

5 days ago


Taifa Leo Educational

Funza mtoto kupumzika akuze utulivu na kuongeza motisha

Katika ulimwengu wa sasa ambao tekinolojia inaendelea kukua kwa kasi, watoto wengi wamezama katika vifaa vya kielektroniki kama simu, michezo ya video, na televisheni. Ingawa teknolojia ina faida zake katika...

6 days ago


Habari Leo Educational

DC Mwenda atoa wiki mbili sekondari ikamilike

SINGIDA: MKUU wa Wilaya ya Iramba mkoani Singida, Suleiman Mwenda ametoa wiki mbili kwa wajenzi wa Shule ya Sekondari ya Amali Kitukutu kumaliza maeneo yote ambayo hayajakamilika. Shule hiyo inayojengwa...

1 week ago


Taifa Leo Educational

Usihangaike, jaribu vyakula hivi ukiwa unapanga kupunguza uzito

KUPUNGUZA uzani si jambo rahisi kwa wengi hasa kwa sababu mara nyingi huhusisha kufanya mazoezi. Kwa hivyo, kuna baadhi ya watu ambao wamelazimika kutumia njia za mkato ili kupunguza uzani,...

1 week ago


Habari Leo Educational

Hongera Tamwa, TCRA, asante Rais Samia

KATIKA moja ya kauli zake Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere amewahi kunukuliwa akisema, “Uandishi wa habari ni nyenzo muhimu katika kujenga taifa lenye umoja na maendeleo, vyombo vya habari...

1 week ago


Taifa Leo Educational

Sababu za Turkana kuongoza kwa Malaria nchini

KAUNTI ya Turkana  sasa imechukua nafasi ya kwanza kama kaunti yenye mzigo mkubwa zaidi wa malaria nchini Kenya, kulingana na takwimu mpya kutoka kwa Mpango wa Kitaifa wa Kudhibiti Malaria....

2 weeks ago


Load More...

Job Vacancies





Entertainment