Taifa Leo Educational

Mahangaiko ya msichana shujaa aliyepigwa na stima akiokoa mbuzi aliyekwama

FAMILIA moja kutoka Baringo inalalamikia usimamizi wa Kampuni ya Umeme Nchini (KPLC) kwa kumtelekeza mwana wao ambaye alipigwa na stima Aprili 28 mwaka huu. Sharon Kalalwa, nusura apatwe na mauti...

1 hour ago


Milard Ayo Educational

Wenye uhitaji shule ya msingi Ilembula washikwa mkono

Jamii imetakiwa kuendelea kushirikiana ili kupunguza changamoto za watoto wenye uhitaji pamoja na watu wengine wanaoishi kwenye mazingira magumu na kujenga jamii yenye umoja na mshkamano bila kujali changamoto ambazo...

2 hours ago


Habari Leo Educational

Wanafunzi wapewa elimu kinga dawa za kulevya

MAMLAKA  ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) Kanda ya Kaskazini kwa kushirikiana na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Longido imetoa elimu kinga dhidi ya...

21 hours ago


Milard Ayo Educational

Wanafunzi 19, 345 wapangiwa Mikopo ya TZS 59.49 Bilioni awamu ya Tatu

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (Jumapili, Oktoba 20, 2024) imetangaza Awamu ya Tatu (Batch Three) yenye wanafunzi 19,345 wa shahada ya awali waliopangiwa mikopo yenye thamani...

22 hours ago


Milard Ayo Educational

Anzisheni kozi zitakazochangia maendeleo ya nchi :Rais Mwinyi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi, amezishauri taasisi za elimu ya juu zilizo nchini kuanzisha kozi muhimu zenye uhitaji na uhaba wa...

2 days ago


Habari Leo Educational

Majaliwa ajiandikisha daftari la mpiga kura

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amejiandikisha kwenye daftari la mpiga kura kwa ajili ya kuchagua viongozi wa Serikali za Mitaa katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, mwaka huu. Zoezi hilo limefanyika...

2 days ago


Milard Ayo Educational

Waziri Mkuu ajiandikisha kijijini kwake Nandagala

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameshiriki zoezi la kujiandikisha kwenye Daftari la Mpigakura kwa ajili ya kuchagua viongozi wa Serikali za Mitaa katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, mwaka huu. Waziri...

2 days ago


Taifa Leo Educational

Wagonjwa wanavyochangamkia maziwa ya mbuzi na kumuinua kibiashara

ROBERT Macharia ni mfugaji wa mbuzi wa maziwa mwenye tajiriba ya miaka 13. Anaendeleza kilimo biashara eneo la Githurai 45, Kaunti ya Kiambu na amefana sana katika sekta hii yenye...

2 days ago


Habari Leo Educational

Wanafunzi Geita wahimizwa ubalozi uchaguzi mitaa

WANAFUNZI wa shule za sekondari mkoani Geita wamehimizwa kuwa mabalozi wa kuwahamasisha na kuwaelimisha wazazi wao faida za kujiandikisha na kupiga kura katika uchaguzi wa serikali za mitaa. Mkuu wa...

2 days ago


Milard Ayo Educational

Picha: GSM Foundation yaboresha mbinu za uhifadhi taka kwa shule za Msingi

Katika hatua muhimu ya kukuza utunzaji wa mazingira, GSM Foundation inafurahia kutangaza kupeleka vifaa vya kuhifadhia taka 15 kwa matumizi ya maeneo ya nje ya shule, 25 kwa matumizi ya...

3 days ago


Load More...

Job Vacancies





Entertainment