Taifa Leo Educational

Wafanyakazi wa NMG wachangia damu kusherehekea Sikukuu ya Wapendanao

WAFANYAKAZI wa kampuni ya Nation Media Group (NMG) Alhamisi walitoa damu kama ishara ya upendo na moja kati ya sehemu ya kuadhimisha sherehe za Sikukuu ya Wapendanao mwaka huu. Kampeni...

1 day ago


Taifa Leo Educational

Wakenya wabuni mbinu kukabili gharama ya juu, baada ya kubaini afueni haiji

IDADI kubwa ya Wakenya sasa wanawapeleka watoto wao katika shule za bei nafuu, kuhamia nyumba za bei nafuu na kubadili matumizi yao ya pesa kutokana na gharama ya juu ya...

1 day ago


Taifa Leo Educational

Shule zahimizwa zibuni mbinu mpya za kujiletea fedha badala ya kutegemea karo

MBUNGE wa Changamwe, Bw Omar Mwinyi, amewahimiza wasimamizi wa shule kuwazia mbinu mbadala za kufadhili shughuli za shule. Bw Mwinyi alisema hatua hiyo itasaidia kupunguza jinsi wanafunzi hufukuzwa shule kila...

3 days ago


Habari Leo Educational

‘Taasisi za elimu zilizopatiwa umeme REA zafikia 18,597’

DODOMA: NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inatoa kipaumbele katika… The post ‘Taasisi za elimu zilizopatiwa umeme REA zafikia 18,597’ appeared first...

4 days ago


Milard Ayo Educational

Dkt.Jakaya aweka jiwe la msingi ukumbi wa shule ya Sekondari Bulagwa

Rais Msitaafu wa awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete mapema leo February 8, 2025 amewasili wilayani Bukombe Mkoani Geita na kuweka Jiwe la Msingi katika Ukumbi wa Shule ya...

6 days ago


Mtanzania Educational

TAWA yakabidhi madawati 295kwa shule za mkoa wa Simiyu

*Wanafunzi, Walimu waipongeza Serikali Na Mwandishi Wetu – Simiyu SERIKALI kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA imekabidhi madawati 295 yenye thamani ya Sh millioni 25.9 Kwa shule...

1 week ago


Taifa Leo Educational

‘Aga Khan ‘imenilea’ tangu kuzaliwa hadi kuajiriwa’

KATIKA mwaka wa 1992, nilipata fursa ya kufanya majaribio ya kujiunga na Shule ya Msingi ya Aga Khan mjini Mombasa. Kabla ya hapo, uhusiano wangu na taasisi za Aga Khan...

1 week ago


Milard Ayo Educational

Endeleeni kutoa elimu ya chanjo kwa akina mama pamoja na elimu ya mabagi

Katibu tawala wilaya ya Geita , Lucy Beda amewaelekeza waratibu wa Chanjo pamoja na watendaji wa kata kuhakikisha wanapeleka elimu ya chanjo Mashuleni pamoja ili wanafunzi waweze kuelewa na kuchukua...

1 week ago


Taifa Leo Educational

Walimu wasusia kazi Uasin Gishu kulalamikia huduma mbovu za kampuni ya bima

SHUGHULI za masomo zilisitishwa Jumatano, Februari 5, 2025 katika shule kadhaa Kaunti ya Uasin Gishu baada ya walimu kususia kazi na kuvamia afisi za kampuni za bima ya Aon-Minet na...

1 week ago


Habari Leo Educational

Wanafunzi waguswa na msaada wa kisheria Bukombe

WANAFUNZI wa Shule ya Sekondari Ushirombo iliyopo wilayani Bukombe mkoa wa Geita wameeleza kuguswa na Kampeni ya Msaada… The post Wanafunzi waguswa na msaada wa kisheria Bukombe appeared first on...

1 week ago


Load More...

Entertainment