Puma global chief executive officer, Mr Mark Russel is visiting Tanzania for the first time in his current role, expressed confidence in the country’s growth potential, noting that the company aims to expand both its distribution network and retail product offerings
Early childhood development is a vital foundation for building healthy communities and a thriving nation. Their members' holistic well-being shapes safe and secure societies, qualities deeply rooted in strong, well-integrated early childhood experiences.
Love isn’t always shared between two. Sometimes, only one person loves, while the other merely exists. And that is when it hurts the most. Like a fish without water, the lover is left breathless.
BoT began exploring CBDCs in January 2023 through a phased, risk-based approach, signaling a cautious yet forward-looking stance on digital monetary policy.
DAR ES SALAAM: WAFANYAKAZI kutoka taasisi mbalimbali wametakiwa kupata elimu namna ya kudhibiti vihatarishi katika maeneo ya kazi ili kutimiza majukumu yao katika mazingira yenye usalama. Mkurugenzi wa Usalama na...
JUMLA ya wanafunzi 156,201 wamenufaika na ufadhili wa elimu kuanzia sekondari hadi shule ya upili kupitia Mpango wa ufadhili wa kwa wanafunzi wa kike chini ya Shirika lisilokuwa la Kiserikali...
DAR ES SALAAM– TIMU ya mchezo wa Rugby au Raga ya DAR Leopards inatarajia kuumana na Les Gaulois de Nairobi kutoka Kenya katika mchezo wa kirafiki wa kujenga mahusiano. Pambano...
WAZAZI wa watahiniwa wanaotarajiwa kufanya mitihani ya kitaifa mwaka huu sasa wamepata afueni baafa ya Bunge la Kitaifa kutenga Sh5.9 bilioni za mitihani hiyo katika shule za msingi, shule za...
KATIBU Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi Profesa, Riziki Shemdoe ameutaka Wakala ya Elimu na Mafunzo ya Uvuvi Tanzania (FETA), kuandaa wahitimu watakaojiajiri na kuajiri wengine badala ya kusubiri kuajiriwa...
MWANAFUNZI wa Mwaka wa Tatu wa Kitivo cha Sheria cha Chuo Kikuu cha Nairobi ameamrishwa na mahakama kufidia dereva wa Nabii David Owuor kitita cha Sh7.5 milioni baada ya kupatikana...
KITUO cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kinatoa elimu ya uwekezaji kwa watu mbalimbali wakiwamo mabalozi wanaokwenda kuwakilisha Tanzania nje ya nchi. Meneja wa Uhamasishaji Uwekezaji wa Ndani TIC, Felix John amesema...
MOROGORO: KATIBU Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi Profesa, Riziki Shemdoe ameutaka Wakala ya Elimu na Mafunzo ya Uvuvi Tanzania (FETA),kuandaa wahitimu watakaoweza kujiajiri na kuajiri wengine badala ya...
MKURUGENZI wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP), David Kafulila amesema ingawa deni la taifa linaongezeka, uchumi wa nchi ni himilivu. Kafulila amesema wastani...
HUENDA walimu wa shule za upili wakaitisha mgomo muhula huu endapo Tume ya Kuwaajiri Walimu (TSC) haitaandaa majadiliano kuhusu makubaliano ya nyongeza ya mishahara maarufu kama CBA kabla ya kusomwa...