We recently came across a story in which a man who once served at the head of company’s board of directors was referred to as “retired” chairman. Our view is that the term “retired” was carelessly used.
I like this 1990s song, Sifa za Kijinga, by the one-time famous music duo, Wagosi wa Kaya, namely Fredrick Mariki (aka Mkoloni) and John Simba (aka Dr. John).
WAFANYAKAZI wa kampuni ya Nation Media Group (NMG) Alhamisi walitoa damu kama ishara ya upendo na moja kati ya sehemu ya kuadhimisha sherehe za Sikukuu ya Wapendanao mwaka huu.
Kampeni...
IDADI kubwa ya Wakenya sasa wanawapeleka watoto wao katika shule za bei nafuu, kuhamia nyumba za bei nafuu na kubadili matumizi yao ya pesa kutokana na gharama ya juu ya...
MBUNGE wa Changamwe, Bw Omar Mwinyi, amewahimiza wasimamizi wa shule kuwazia mbinu mbadala za kufadhili shughuli za shule.
Bw Mwinyi alisema hatua hiyo itasaidia kupunguza jinsi wanafunzi hufukuzwa shule kila...
DODOMA: NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inatoa kipaumbele katika…
The post ‘Taasisi za elimu zilizopatiwa umeme REA zafikia 18,597’ appeared first...
Rais Msitaafu wa awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete mapema leo February 8, 2025 amewasili wilayani Bukombe Mkoani Geita na kuweka Jiwe la Msingi katika Ukumbi wa Shule ya...
*Wanafunzi, Walimu waipongeza Serikali Na Mwandishi Wetu – Simiyu SERIKALI kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA imekabidhi madawati 295 yenye thamani ya Sh millioni 25.9 Kwa shule...
KATIKA mwaka wa 1992, nilipata fursa ya kufanya majaribio ya kujiunga na Shule ya Msingi ya Aga Khan mjini Mombasa.
Kabla ya hapo, uhusiano wangu na taasisi za Aga Khan...
Katibu tawala wilaya ya Geita , Lucy Beda amewaelekeza waratibu wa Chanjo pamoja na watendaji wa kata kuhakikisha wanapeleka elimu ya chanjo Mashuleni pamoja ili wanafunzi waweze kuelewa na kuchukua...
SHUGHULI za masomo zilisitishwa Jumatano, Februari 5, 2025 katika shule kadhaa Kaunti ya Uasin Gishu baada ya walimu kususia kazi na kuvamia afisi za kampuni za bima ya Aon-Minet na...
WANAFUNZI wa Shule ya Sekondari Ushirombo iliyopo wilayani Bukombe mkoa wa Geita wameeleza kuguswa na Kampeni ya Msaada…
The post Wanafunzi waguswa na msaada wa kisheria Bukombe appeared first on...