Taasisi isiyo ya kiserekali yenye makao makuu nchini Norway, Stromme foundation, imekutana na wadau mbalimbali pamoja na waandishi wa habari katika ufunguzi rasmi wa ofisi zao jijini dar es salaam. Akiongea na waandishi wa habari Meneja miradi Stromme foundation, Doreen Matekele ameyasema haya; “Kabla ya kufungua ofisi zetu hapa Tanzania tumekuwa tukifanya shughuli zetu kupitia
14 hours ago
Na FRIDAH OKACHI Mwigizaji na mtangazaji wa redio Prudence Chepkirui Tonui almaarufu King Kalala, amesema kuwa idadi ya wanaumme ambao amepatana nao kimwili ni 50. King Kalala ni mzaliwa wa Eldoret na alisomea shule ya msingi na upili eneo hilo. Alijiunga na Chuo Kikuu cha JKUAT na kuacha kabla hajamaliza. Ni jambo analosema humkera kwa kukosa
1 day ago
Tume ya Utumishi wa Mahakama kwa nyakati tofauti imetoa elimu kwa Wananchi wa Wilaya za Gairo na Mvomero mkoani Morogoro lengo likiwa wananchi watambue pamoja na kufahamu majukumu ya tume hiyo Akizungumza na wananchi hao kwa nyakati tofauti Naibu katibu wa Maadili na nidhamu Tume ya Utumishi wa Mahakama Alesia Mbuya amesema wananchi wengi wanakumbana
2 days ago
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital ZAIDI ya Wanafunzi 50 kutoka Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Nyankumbu iliyopo mkoani Geita wamepatiwa mbinu za kuzingatia katika masomo yao ili kukua kitaaluma na kuja kuwa watalaamu wa masuala ya madini baadae. Wanafunzi hao wamepatiwa elimu na uzoefu huo jana kutoka kwa wafanyakazi wa Kampuni ya Geita Gold
2 days ago
ZAIDI ya Wanafunzi 50 kutoka Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Nyankumbu iliyopo mkoani Geita wamepatiwa mbinu za kuzingatia katika masomo yao ili kukua kitaaluma na kuja kuwa watalaamu wa masuala ya madini baadae. Wanafunzi hao wamepatiwa elimu na uzoefu huo jana kutoka kwa wafanyakazi wa Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) walipotembela banda
2 days ago
Ofisi ya Kamishna wa Kulinda Data imeipiga faini taasisi ya elimu kwa kukosa kutii Sheria ya Kulinda Data. Katika taarifa iliyotolewa Jumanne, Shule ya Roma yenye makao yake mjini Uthiru, Nairobi, inadaiwa kuchapisha picha za watoto wadogo bila idhini ya wazazi. Kulingana na kamishna huyo, hii ni adhabu ya kwanza na ya juu zaidi kwa
2 days ago
NA ALEX KALAMA WADAU katika sekta ya elimu eneobunge la Rabai wameanza kutafuta suluhu ya kuboresha viwango vya elimu eneo hilo baada ya kushuhudia matokeo duni kwa miaka mitatu sasa. Wakiongozwa na shirika lisilo la kiserikali la Boresha Elimu, wadau hao wanasema Rabai imeporomoka viwango na si ile ya zamani. Wamesikitika kwamba wanafunzi wengi eneo
2 days ago
Madaktari wa upasuaji nchini Marekani wamefanya upasuaji wa pili duniani wa kupandikiza moyo wa nguruwe uliobadilishwa vinasaba kwa binadamu. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa Jumatatu na Chuo Kikuu cha Maryland School of Medicine (UMSOM), upasuaji huo ulifanyika kwa Lawrence Faucette, mgonjwa mwenye umri wa miaka 58 ambaye alikuwa na ugonjwa wa moyo usio na mwisho.
4 days ago
WAFANYAKAZI wa Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) wamejitokeza katika maonesho ya sita ya teknolojia ya madini Geita na kupatiwa elimu pamoja na uchunguzi wa saratani mbalimbali. Huduma hiyo ya Elimu na uchunguzi wa saratani ya shingo ya kizazi, matiti na tezi dume inatolewa na bure na Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Geita
5 days ago
NA MERCY KOSKEI SHULE ya msingi ya Roots Academy iliyoko katika Kaunti ya Nakuru imechukua hatua kutoa ushauri nasaha kwa wanafunzi wanaoomboleza kifo cha mmoja wao. Jasmine Njoki, 12, mwanafunzi wa gredi ya 6 katika shule hiyo alifariki katika hali tatanishi, wiki iliyopita na mwili wake kutupwa kichakani mita 400 kutoka nyumbani kwao huku ripoti
5 days ago
*Madaktari watoa ujumbe kwa jamii Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital WAFANYAKAZI wa Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) Ijumaa Septemba 22, 2023 wamejitokeza katika maonesho ya sita ya teknolojia ya madini Geita na kupatiwa elimu pamoja na uchunguzi wa saratani mbalimbali. Huduma hiyo ya elimu na uchunguzi wa saratani ya shingo ya kizazi, matiti
5 days ago
Rais Bola Ahmed Tinubu ametoa mwanga kuhusu nyongeza kubwa ya mishahara kwa wafanyakazi wa vyuo vyote vya elimu ya juu vya shirikisho, huku viwango vipya vikitarajiwa kuanza kutumika kuanzia Januari 1, 2023. Mbinu hii jumuishi ilihakikisha kwamba nyongeza ya mishahara inaakisi mahitaji mbalimbali ya sekta ya elimu. Tangazo hilo lilitolewa kupitia waraka rasmi kutoka ofisi
1 week ago
NA GEOFFFREY ANENE HUMPHREY ‘Tall’ Kayange ni mmoja wa mashujaa wa Kenya katika raga. Mwanafunzi huyo wa zamani wa shule za msingi za Joseph Kang’ethe (Nairobi) na Hermann Gmeiner (Eldoret), shule ya upili ya St Peter’s Mumias (Kakamega) na vyuo vikuu vya Jomo Kenyatta (JKUAT) na Bristol (Uingereza) alichezea timu ya taifa ya Kenya kutoka
1 week ago
NA CHRIS ADUNGO TIMOTHY Kinoti M’Ngaruthi alizaliwa mnamo 1967 katika kijiji cha Kanthungu, Ruiri, Kaunti ya Meru. Ndiye kitinda mimba katika familia ya watoto tisa wa marehemu Mzee M’Ngaruthi M’Kirigia na Mama Grace Kaguri. Alisomea katika shule ya msingi ya Loire (1975-1983) na shule za upili za Chuka (1984-1987) na Kanyakine (1988-1989). Ana Shahada ya
1 week ago
NA LABAAN SHABAAN WAZIRI wa Barabara na Uchukuzi Kipchumba Murkomen amewavunja mbavu Wakenya alipokiri alisumbuliwa na shida ya matamshi, tatizo lililofanya wengi kumkejeli akiwa katika shule ya msingi. “Nilikuwa katika shule ya msingi ambapo somo la Kiingereza halikuchuliwa kwa uzito na kwa hivyo sikujua tofauti ya matamshi ya sauti /f/, /p/, /b/ na /v/. Zote
1 week ago
NA SAMMY WAWERU MKE wa Naibu Rais Rigathi Gachagua, Bi Dorcas Gachagua, amesimulia jinsi nusra ajitie kitanzi kufuatia mahangaiko yaliyozingira familia yake. Akihutubia wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Daystar jijini Nairobi mnamo Septemba 19, 2023, Bi Gachagua alifichua kwamba akiwa mwanafunzi karibu ajiondoe uhai. Aidha alidokeza kwamba jaribio hilo lilichochewa na ufukara uliozingira familia yake
1 week ago
CHUO Kikuu cha Dar es Salaam, (UDSM) inatazamiwa kuwafikia vijana wahitimu takribani 1,200 katika Mafunzo ya Ujasiriamali kwa wahitimu wa Vyuo Vikuu Vya Elimu ya Juu Tanzania ambayo yanatarajia kuanza Septemba 25 hadi Oktoba 12,2023 kwa Mkoa wa Dar es Salaam. Katika Mikoa mingine ya Arusha, Dodoma, Iringa, Kagera, Kigoma, Lindi, Kusini Pemba na Mjini
1 week ago
Watu saba walikufa siku ya Jumapili katika kijiji kimoja katikati mwa Ivory Coast karibu na Bouaké, ambapo wengine 59 walilazwa hospitalini kutokana na ugonjwa ambao bado haujajulikana asili yake, hospitali na vyanzo vya ndani viliiambia AFP Jumatatu. Watu saba walifariki, watano katika Hospitali ya Chuo Kikuu cha Bouaké na wawili katika Niangban, kijiji kilichoko takriban
1 week ago
NA SHABAN MAKOKHA MALI ya thamani isiyojulikana ilichomeka Jumatatu usiku, baada ya moto mkubwa kutokea katika mojawapo ya mabweni katika Shule ya Upili ya Mumias Boys Muslim. Moto huo, ambao ulianza mwendo wa saa 2.20 usiku, uliwaacha mamia ya wanafunzi bila la kufanya, baada ya kuchoma vitabu, vifaa vya malazi, sare na bidhaa nyinginre za
1 week ago
NA LAWRENCE ONGARO CHUO Kikuu cha Mount Kigali kimepewa kibali maalum cha utambulisho rasmi. Mnamo Aprili 2023, baada ya kujiendeleza kwa miaka mitano, chuo hicho, ambacho kilianza kama bewa la Chuo Kikuu cha Mount Kenya (MKU) jijini Kigali, Rwanda kilikabidhiwa mikoba ya kujiendeleza kivyake. Hafla hiyo ya kupata kibali kipya kuwa chuo cha kujitegemea ilihudhuriwa
1 week ago
NA MERCY KOSKEI MSANII Samuel Muchoki Ndirangu almaarufu Samidoh amewaacha mashabiki wake vinywa wazi kufuatia chapisho la cheti chake cha mtihani wa kitaifa wa darasa la nane (KCPE). Kupitia ukurasa wake wa Facebook, Samidoh alichapisha mnamo Jumamosi Septemba 16, 2023 picha ya cheti chake cha KCPE iliyofichua alikamilisha masomo ya shule ya msingi 2004. Mwanamuziki
1 week ago
NA SHABAN MAKOKHA WANAHABARI kutoka Kakamega jana, Jumamosi Septemba 16, 2023 walifurushwa na usimamizi wa shule ya upili ya Sacred Heart Mukumu Girls baada ya bweni moja katika shule hiyo kuteketea. Wanafunzi, walimu na wafanyakazi wa shule hiyo waliwafurusha wanahabari wakidai kuwa wanapeperusha habari zisizofaa. Bweni hilo lilishika moto mwendo wa saa 10.30 asubuhi Jumamosi
1 week ago
NA SHABAN MAKOKHA BWENI katika shule ya The Sacred Heart Girls’ Mukumu High limeteketea Jumamosi, mkasa huu ukitokea miezi michache tu baada ya wanafunzi kadha kuaga dunia baada ya kula chakula kilichokuwa kimeharibika. Waandishi wanaofuatilia matukio na visa Kaunti ya Kakamega, wametimuliwa wakifuatilia habari kuhusu mkasa huo wa moto ulioanza saa nne na nusu asubuhi.
1 week ago
Mwanafunzi wa kidato cha nne katika Shule ya Sekondari Sunshine iliyopo Kibaha Mkoani Pwani, Sada Kabaju (17) ambaye alitoroka nyumbani tangu August 18 baada ya kupigwa na Kaka yake kwa kosa la kujihamishia fedha kutoka kwenye simu ya Mama yake bila ruhusa, amepatikana akiwa Ubungo Msewe Dar es salaam anakodai aliomba kazi ya kuwa House
2 weeks ago
Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Taasisi ya Mama Ongea na Mwanao inatarajia kuanza kampeni ya kugawa viatu vya shule kwa watoto wa shule za msingi nchi nzima ikiwa ni sehemu ya kuhamasisha elimu. Akizungumza Dar es Salaam Septemba 14, Mwenyekiti wa Taasisi hiyo, Steven Mengele amesema wamekuwa wakifanya shughuli mbalimbali za kijamii ili kusaidia juhudi
2 weeks ago
Na DAVID MUCHUNGUH WIKI tatu baada ya shule kufunguliwa kwa muhula wa tatu, Wizara ya Elimu bado haijatuma pesa kwa shule za umma. Kutokana na hilo, baadhi ya shule zimeanza kuwatuma wanafunzi nyumbani kwa kutolipa karo huku wengine wakitarajiwa kufukuzwa shuleni wiki ijayo. Serikali humlipia kila mwanafunzi wa sekondari Sh22, 244, yule wa shule za
2 weeks ago
NA RICHARD MUNGUTI MWALIMU Mkuu katika Shule ya Sekondari iliyoko Kaunti ya Kiambu ameshtakiwa kujiwekea stima katika makazi yake bila idhini ya Kampuni ya Kenya Power. Mary Wambui Gitonga anayefundisha katika shule moja kaunti ndogo ya Kiambaa, alishtakiwa katika Mahakama ya Milimani, Nairobi mnamo Septemba 14, 2023. Bi Gitonga aliyefikishwa kortini na Koplo Nicholas Kangangi
2 weeks ago
NA EVANS JAOLA USIMAMIZI wa Shule ya Upili ya Kapsitwet katika Kaunti ya Trans Nzoia sasa imekanusha kwamba mwanafunzi aliyeaga dunia mnamo Jumatatu alikunywa ethanol katika shule hiyo. Wasimamizi wa shule hiyo wamejitenga na madai kwamba wanafunzi wawili walikunywa ethanol shuleni humo. Mwanafunzi Steve Rodgers wa Kidato cha Nne aliaga dunia huku mwingine akiwa nyumbani
2 weeks ago
NA TITUS OMINDE MPISHI mmoja wa shule ya msingi ya kibinafsi mwenye ulemavu wa macho, amehukumiwa kutumikia kifungo cha miaka 30 jela baada ya kukiri kosa la kumnajisi mwanafunzi wa shule ya chekechea mwenye umri wa miaka mitano. Mwanamume huyo mwenye umri wa miaka 20 alishangaza mahakama ya Eldoret mnamo Jumatano alikiri kwamba harakati zake za uovu
2 weeks ago
Mkurugenzi mkuu, watendaji wote na wafanyakazi wote wa Shirika la Kiislamu la Elimu, Sayansi na Utamaduni (ICESCO) lenye makao yake makuu mjini Rabat watakuwa wakitoa asilimia 10 ya mishahara yao kuwasaidia wahanga wa tetemeko la ardhi. Kurugenzi Kuu ilisema katika taarifa yake kwamba fedha hizo zitahamishiwa kwenye akaunti maalum ya Benki ya Al-Maghrib, iliyoombwa na
2 weeks ago
NA MAUREEN ONGALA SHULE ya Upili ya The Great Vonwald katika eneobunge la Kilifi Kaskazini inalenga kuwa kituo cha kutoa elimu ya sayansi ya sayari na unajimu kwa wanafunzi kutoka maeneo mbalimbali nchini. Hii ni baada ya shule hiyo kupata darubini kubwa ya kisasa inayotumia vioo na vilolo vya kisasa vilivyopinda. Darubini hiyo ililetwa shuleni
2 weeks ago
NA GEOFFREY ANENE CHIPUKIZI Aldrine Kibet sasa analenga juu zaidi baada ya kupata motisha ya kuibuka Mwanamichezo Bora wa Agosti katika tuzo ya Chama cha Waandishi Habari za Michezo Kenya (SJAK), mnamo Alhamisi. Mwanafunzi huyo wa shule ya upili ya wavulana ya St Anthony High Kitale alitwaa tuzo hiyo baada ya kuongoza shule yake kushinda
3 weeks ago
NA KASSIM ADINASI KIJANA Brian Otieno mwenye umri wa miaka 23, ametengeneza pikipiki yenye umbo la kipekee ambayo anasema anasubiri tu kuweka injini ili ianze mwendo. Amepiga hatua kubwa licha ya kuachia elimu yake katika Darasa la Tatu, na anasema mambo bado kwani katika masuala ya uhandisi, “ninaweza kutengeneza motokaa”. Brian anasema aliacha masomo ya
3 weeks ago
NA RICHARD MUNGUTI WAMILIKI wa chuo cha kutoa mafunzo ya masuala ya matibabu wametozwa faini ya Sh0.8 milioni kwa kutoa mafunzo yanayohusu elimu ya maabara ya tiba bila leseni kutoka kwa Wizara ya Afya. Hakimu mwandamizi katika mahakama ya Milimani Bernard Ochoi aliwaadhibu Roseline Akeyo na Olet Joshua kwa kukaidi sheria za Wizara ya Afya
3 weeks ago
NA LAWRENCE ONGARO CHUO Kikuu cha Mount Kenya (MKU) na Chuo Kikuu cha Kimataifa katika Masuala ya Usimamizi (IUM) cha nchini Namibia, vitashirikiana kwa elimu ya maswala ya afya. Makamu wa Rais wa Namibia Dkt Nangolo Mbumba alizuru chuo cha MKU mnamo Jumatano kushuhudia kutiwa saini kwa mkataba huo na pande zote mbili. Naibu Chansela
3 weeks ago
NA KASSIM ADINASI SHAMBULIO la kigaidi la Aprili 2, 2015, katika Chuo Kikuu cha Garissa lilisababisha kiwingu cha huzuni baada ya watu 148 kupoteza maisha naye Mwalimu James Odongo akiachwa na majeraha baada ya kupigwa risasi mara tatu. Mwalimu huyo ambaye kwa sasa ana umri wa miaka 48 ni baba wa watoto watano na majuzi alimpoteza
3 weeks ago
Na DAVID MUCHUNGUH WAZIRI wa Elimu Ezekiel Machogu jana aliongeza muda wa wanafunzi kutuma maombi ili kupata ufadhili wa elimu ya juu kwa kipindi cha mwezi mmoja. Bw Machogu alichukua hatua hiyo kutokana na idadi ndogo ya wanafunzi ambao walikuwa wametuma maombi ya kupata mkopo au ufadhili wa masomo yao kwenye Vyuo vya Vikuu na
3 weeks ago
Shule za umma za Ufaransa zimewarudisha wasichana kadhaa nyumbani kwa kukataa kuvua nguo zao – majoho marefu na yasiyobana yanayovaliwa na baadhi ya wanawake na wasichana wa Kiislamu – katika siku ya kwanza ya mwaka wa shule, kulingana na Waziri wa Elimu Gabriel Attal. Wakikaidi marufuku ya vazi hilo linaloonekana kuwa alama ya kidini, karibu
3 weeks ago
Na Esther Mnyika Mtanzania Digital Mkurugenzi Mtendaji wa Mtandao wa Jinsia Tanzania (TNGP), Lilian Liundi ametoa wito kwa jamii kutoa elimu ya masuala ya jinsia kwa watoto tangu wakiwa shuleni ili kuondoa mfumo dume. Liundi amebainisha hayo Septemba mosi, jijini Dar es Salaam wakati wa semina ya Wahariri wa Vyombo vya Habari kuhusu Tamasha la
3 weeks ago
Na ALEX NJERU Diwani wa bunge la Kaunti ya Tharaka Nithi Morris Maugu ameshtakiwa katika mahakama ya Chuka kwa kumteka nyara na kumpiga mwalimu mmoja wa shule ya msingi. Mahakama hiyo iliambiwa Jumatatu, Septemba 4, 2023 kwamba Bw Maugu, Bw Martin Murangiri na Bw Pineas Muriuki walimteka nyara Bw Adams Kenneth Nthiga katika eneo moja
3 weeks ago
NA MERCY KOSKEI AFISA mmoja mkuu wa polisi anayehusishwa na mauaji ya Whitney Atieno, mwanafunzi wa shule ya upili, katika mtaa wa Lake View Nakuru ameachiliwa huru mwaka mmoja baada ya kisa hicho kilichowakera wakazi. Inadaiwa kuwa Atieno, 19 ambaye alikuwa mwanafunzi wa kidato cha nne katika shule ya Upili ya Nakuru Central, alipigwa risasi
3 weeks ago
NA JAMES MURIMI NDEGE 5Y-CIU ya shule ya mafunzo ya urubani ya Mt Kenya Flight School, imetua ghafla shuleni Guara na kuharibu sehemu moja ya darasa. Walimu wa shule hiyo ya msingi na sekondari ya chini, wamelazimika kuwaambia wanafunzi warudi nyumbani. Hakuna mwanafunzi aliyejeruhiwa. Nao manusura wawili waliokuwa kwenye ndege hiyo wamepelekwa katika hospitali ya
4 weeks ago
NA CHARLES WASONGA SASA wanafunzi ambao hawajatimiza umri wa miaka 18 wanaweza kutuma maombi na kupokea mikopo na ufadhili wa aina nyingine yoyote kupiga jeki elimu yao ya vyuo vikuu. Hii ni baada ya Baraza la Mawaziri Jumanne kuondoka hitaji kwamba sharti wanafunzi wawe na vitambulisho vya kitaifa kabla ya maombi yao ya ufadhili kushughulikiwa.
4 weeks ago
NA LAWRENCE ONGARO HOSPITALI ya Mafunzo, Rufaa na Utafiti ya Chuo Kikuu cha Kenyatta (KUTRRH) imepata mashine mpya 20 za usafishaji damu kupitia figo. Mkurugenzi wa hospitali hiyo, Ahmed Dagane, alisema hospitali hiyo imepiga hatua ya kuwa na jumla ya mashine 35 ya kuosha damu kupitia figo. Alisema maradhi ya figo yamesambaa kote duniani. Alisema
4 weeks ago
Mkuu wa Wilaya ya Namtumbo Mkoani Ruvuma, Ngollo Malenya ameungana na Wananchi site kwa kazi za kujitolea pamoja na Wanakijiji hao kwenye ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Kata ya Mputa ambayo tangu kupatikana kwa Uhuru haikuwahi kuwa na Shule ya Sekondari. Wilaya ya Namtumbo imepata fedha Tsh. 560,552,827 ajili ya ujenzi wa Shule hiyo
1 month ago
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ikiongozwa na Mh.Dkt. Samia Suluhu Hassan imeendelea kuboresha Sekta ya Elimu ya Juu kwa kuwezesha miundo mbinu ya kisasa kupitia mradi wa Elimu ya Juu na Mageuzi ya Kiuchumi. Akizungumza katika halfa ya utiaji Saini ya mikataba hiyo makamu Mkuu wa Chuo Prof.Aloys Mvuma amesema kupitia Mradi huo
1 month ago
NA LABAAN SHABAAN MHADHIRI wa Chuo Kikuu cha Kenyatta (KU), anaendelea kupokea matibabu baada ya kutiliwa dawa za kupoteza fahamu katika kilabu maarufu Thika Road. Mhadhiri huyo ambaye tumebana majina yake kwa sababu za kiusalama, inasemekana alitiliwa kwenye kinywaji tembe maarufu kama ‘mchele’ wakati akijifurahisha katika eneo hilo la burudani. Kwenye mahojiano ya kipekee na Taifa
1 month ago
Waziri wa Elimu wa Ufaransa Gabriel Attal alisema nchi hiyo inawazuia wanawake kuvaa nguo aina ya Abaya shuleni kwani wanakiuka sheria kali za kidini za nchi hiyo, kuhusu mavazi yanayovaliwa na baadhi ya Waislamu kama “ishara ya kidini,” kwani uamuzi huo ulizua hisia tofauti. kutoka kwa waangalizi. Attal aliiambia televisheni ya TF1: “Haitawezekana tena kuvaa
1 month ago
Kufuatia ombi la Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Fatma Nyangasa, Serikali ya Uturuki kupitia Taasisi ya Uratibu na Maendeleo ya Uturuki (TİKA) imekarabati mabweni ya Wasichana ya Shule ya Msingi Msimbu iliyopo Kisarawe na kuwapa msaada wa vitanda na magodoro. Shule hiyo inayotoa elimu kwa Wanafunzi 1000 ipo umbali wa KM 20 kutoka Mji wa
1 month ago
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Ukosefu wa elimu kuhusu Amani imetajwa kama moja ya sababua inayochochea maeneo mengi duniani kuwa na machafuko jambo ambalo linatakiwa kupigwa vita na kila mtu. Hayo yamebainishwa Jumamosi Agosti 26, 2023 na wadau wa Amani katika Mkutano wa 5 wa Kimataifa wa Amani wa Viongozi Wanawake duniani ulioandaliwa na Taasisi
1 month ago