Habari Leo Educational

Kidato cha sita Nanyamba wafundwa udanganyifu mitihani

WANAFUNZI wa kidato cha sita wa Shule ya Sekondari ya Dinyecha iliyopo Halmashauri ya Mji Nanyamba mkoani Mtwara… The post Kidato cha sita Nanyamba wafundwa udanganyifu mitihani appeared first on...

2 days ago


Habari Leo Educational

Kampeni Mama Samia yaondoa mfumo wanawake kutomiliki ardhi Korogwe

TANGA: LICHA  ya serikali na wadau mbalimbali kutoa elimu ya kuondoa mfumo dume wa wanawake kupata haki ya… The post Kampeni Mama Samia yaondoa mfumo wanawake kutomiliki ardhi Korogwe appeared...

3 days ago


Taifa Leo Educational

MAONI: Ni ukatili kuadhibu wanafunzi kwa kuwarushia vitoza machozi

JUMA hili, katika shule ya msingi ya Melvin Jones, Kaunti ya Nakuru, wanafunzi wa shule ya Upili ya Wasichana ya Butere walitua kuwasilisha mchezo wao wa kuigiza maarufu kama “Echoes...

4 days ago


Taifa Leo Educational

TSC yaanza kunoa walimu kwa maandalizi ya masomo ya Gredi 9

TUME ya Kuwaajiri Walimu (TSC) ikishirikiana na Wizara ya Elimu imeanza kufunza walimu wakuu wa shule za sekondari namna ya kusaidia wanafunzi wa Gredi ya Tisa wanaotarajiwa kujiunga na Sekondari...

6 days ago


Habari Leo Educational

Muhas yaja na mkakati kukabili usonji

DAR ES SALAAM: CHUO Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) kimesema kitaendelea kuzalisha wataalamu wa shahada… The post Muhas yaja na mkakati kukabili usonji appeared first on HabariLeo.

1 week ago


Taifa Leo Educational

Leta mijadala katika masomo ya dijitali kwani hufaidi mwanao

KUTOKANA na ongezeko la vifaa vya kielektroniki, watoto sasa wanatazama vitabu kwenye vifaa bebe. Ni rahisi kuelewa mvuto wa vifaa hivi kwani hadithi zinachanganywa na picha za kupendeza pamoja na...

1 week ago


Mtanzania Educational

Wastaafu Serengeti waomba benki ipunguze riba mikopo

Na Malima Lubasha, Serengeti Jumla ya watumishi wastaafu serikalini 123 katika Wilaya ya Serengeti mkoani Mara, wameshauri benki ya Azania kupunguza asilimia ya riba kwa mikopo inayosomeka tarakimu mbili na...

1 week ago


Mtanzania Educational

Mikakati yawekwa juu ya ujumuishaji wa watu wenye ulemavu katika mabadiliko ya tabianchi

Na Mwandishi Wetu, Berlin-Ujerumani Mfuko wa Dunia wa Watu wenye Walemavu (Global Disability Fund – GDF) umezikutanisha nchi zaidi ya 23 Mjini Berlin nchini Ujerumani huku wakijikita katika kuzungumzia masuala...

1 week ago


Taifa Leo Educational

Miradi yachoma mabilioni wagonjwa wakiteseka

MIRADI mikubwa ya afya ya thamani ya mabilioni ya pesa imekwama kote nchini, na kuwaacha wagonjwa mahututi na chaguo chache au ghali kupata matibabu. Kukwama kwa miradi kama vile Kituo...

1 week ago


Taifa Leo Educational

Shule kufungwa wiki hii, elimu ikiwa ingali na shida tele

SHULE zikifungwa wiki hii kuashiria kumalizika kwa muhula wa kwanza, changamoto bado zinaendelea kukabili sekta ya elimu nchini ikiwemo miundomsingi, ufadhili wa elimu ya bure na karo. Kwa kipindi cha...

2 weeks ago


Load More...

Job Vacancies





Entertainment