Mtanzania Educational

Dk.Mpango aipongeza shule ya Istiqaama ya Tanga kwa Usafi

Na Barnabas Lugwisha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania amezindua awamu ya pili ya kampeni ya ‘Mtu ni afya’ juzi Mjini Kibaha Mkoa wa Pwani ikiwa ni...

1 day ago


Habari Leo Educational

Vyuo pamoja katika kubadilishana maarifa

DAR ES SALAAM: CHUO Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), kinashirikiana na vyuo vingine katika kubadilishana maarifa, hivyo kudhamiria kuanzisha Kituo cha taaluma cha Bara la Asia hapa nchini. Kaimu...

4 days ago


Habari Leo Educational

Mwanafunzi SAUT afia mapangoni

NYAMAGANA, Mwanza: MWANAFUNZI wa Chuo Kikuu Cha Mtakatifu Agostino (SAUT) cha jijini Mwanza, Boaz Sanga amekutwa amefariki dunia baada ya kuzama katika Ziwa Victoria mnamo Aprili 27 mwaka huu. Taarifa...

1 week ago


Taifa Leo Educational

Mzozo watokota shule ya kifahari ya Mang’u High baina ya mwalimu na wazazi

NA DAVID MUCHUNGUH MVUTANO unatokota katika shule ya kitaifa ya Mang’u High kati ya mwalimu mkuu na wazazi wanaomtuhumu kwa kuongeza karo kiholela na kuendesha hoteli ya kibinafsi shuleni miongoni...

1 week ago


Milard Ayo Educational

NEMC yatoa elimu matumizi salama ya Zebaki kwa wachimbaji

BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), limetoa elimu ya matumizi salama ya Zebaki kwa wachimbaji wadogo na wasambazaji wa mgodi wa Mwakitolyo uliopo Kata ya Mwakitolyo...

1 week ago


Habari Leo Educational

Wafanyabiashara Katavi wafundwa suala la kodi

KATAVI; Asilimia 55 ya wafanyabiashara 12,000 waliosajiliwa mkoani Katavi wamebainika kushindwa kutoa risiti za kielektroniki  wafanyapo mauzo, hali inayoelezwa IMEsababishwa na ukosefu wa elimu ya mlipakodi. Hayo yamebainika katika kampeni...

1 week ago


Mtanzania Educational

Wahitimu UDSM Five Class 2007 wanajambo lao

Na Mzandishi Wetu, Mtanzania Digital Wahitimu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ( UDSM) five Class 2007 wanatarajia kukutana jijini Dar es Salaam kubadilishana mawazo na kushirikishana fursa mbalimbali...

1 week ago


Taifa Leo Educational

Wanafunzi 18 wa MKU kushiriki shindano la kimataifa la Huawei

NA LAWRENCE ONGARO WANAFUNZI 18 wa Chuo Kikuu cha Mount Kenya (MKU) watashiriki shindano la kimataifa la Huawei nchini China mnamo Mei 2024. Kwenye ziara hiyo, mwanafunzi stadi wa maswala...

1 week ago


Taifa Leo Educational

Baadhi ya shule zahiari kukaa na wanafunzi waliowasili ili kufanya marudio ya masomo

NA TITUS OMINDE BAADHI ya shule ambazo wanafunzi walikuwa tayari wameshawasili kwa Muhula wa Pili zimehiari kukaa nao na kushiriki marudio hadi wengine warejee kuendelea na masomo. Katika Shule ya...

1 week ago


Taifa Leo Educational

Machogu atetea kutuma agizo la kusitisha ufunguzi wa shule usiku wa manane

DAVID MUCHUNGUH NA LABAAN SHABAAN WAZIRI wa Elimu Ezekiel Machogu ametetea tukio la kutuma taarifa ya kusitisha ufunguzi wa shule usiku wa manane kwa wiki moja. Hii ni baada ya...

1 week ago


Load More...

Trending on YouTube

Thumbnail
Diamond Platnumz ft Khalil Harisson & Chley - Komasava (Comment Ça Va)
Thumbnail
Barnaba feat Yammi - Nibusu (Visualiser)
Thumbnail
Marioo - Hakuna Matata (Visualiser)
Thumbnail
Diamond Platnumz - Komasava (Comment Ça Va) (Music Video) feat. Khalil Harisson & Chley
Thumbnail
Lava Lava x Diamond Platnumz - Kibango (Official Audio)
Thumbnail
Diamond Platnumz - Raha (Music Video) feat. Zuchu
Thumbnail
D Voice - Zoba (Official Music Video)
Thumbnail
Nay Wa Mitego - Bachela ( Official Music Video )
Thumbnail
Harmonize - Na Nusu (Official Lyrics Video)
Thumbnail
Darassa feat Zuchu - Romeo (Visualiser)

Job Vacancies





Entertainment