Na Oliver Oswald, Mtanzania Digital Mwimbaji mashuhuri nchini, Malima Kabondo maarufu kama ‘ndolela’, ameweka bayana kuwa maslahi madogo wanayolipwa wasanii ni moja ya sababu kubwa inayochangia Bendi nyingi nchini kusambaratika kabla hazijafikia malengo. Malima aliyasema hayo jijini Dodoma Jana, wakati akielezea sababu za bendi nyingi za muziki nchini kuvunjika na kutodumu kwa muda mrefu. Alisema
6 hours ago
NI Mkali kutokea Bongo Flevani, Barnaba ambae time hii ametuletea hii single yake mpya iitwayo Nampenda. Unaweza ukabonyeza play kuisikiliza kisha usisahau kuandika neno lolote ili mkali huyo akipita asome mlichomuandikia.
2 days ago
NI Mkali kutokea Bongo Flevani, Jaivah & Marioo ambapo time hii wametuletea hii video mpya ya wimbo wao uitwao Soap wakiwa wamewashirikisha Chino Kidd, Scotty London & Ks Hub.
2 days ago
NA SAMMY WAWERU MWANAMUZIKI Esther Akoth maarufu kama Akothee amefichua kwamba humpigia simu mchumba wake mzungu alfajiri na mapema kila siku kumjulia hali alivyolala usiku kucha. Muimbaji huyo wa kibao maarufu Give it To Me, alifichua Jumanne kwamba kuzungumza na mpenzi wake mzungu saa tisa alfajiri ni ratiba yake. Mchumba wake anayemtambua kama Omosh anaishi
3 days ago
Msanii wa muziki wa Injili Tanzania Joshua Ngelendo ameachia audio ya wimbo wake mpya wa ‘Wema wa Mungu’ kwenye wimbo huu amemshirikisha Mtumishi Diana Benjamin na anakukaribisha uusikilize kwa kubofya link hapa chini.
4 days ago
Mbali na kwamba South Africa bado wanaendelea kupeta kwenye vichwa vya habari Duniani kwa utoaji wa ladhaa tofauti ya muziki wao unaotamba kwa jina la Amapiano. Leo nakukutanisha na wakali wanaounda kundi la TxC Tarryn na Clair ushuhudie namna walivyoinogesha Groove Cartel najua utaipenda mtu wangu.
6 days ago
Ni episode nyingine tena ya Mwamba wa Kaskazini Joh Makini, ni package nyingine mpya yenye collection ya Rapper Joh Makini ambaye tayari ameachia EP yake mpya ya ‘WAVE’ ikiwa na nyimbo sita 6. 1.Joh Makini – Too Much Ft. Damian Soul (Official Audio) 2.Joh Makini – Nyeusi Ft. G Nako (Official Audio) 3.Joh Makini-
6 days ago
Ni Mkali kutokea Bongo Flevani, Darassa ambae time hii ametuletea haya mashairi ya wimbo wake mpya uitwao Mind your Business. Unaweza ukabonyeza play kutazama kile alichokifanya mkali huyo.
6 days ago
Ni Mkali kutokea Bongo Flevani, Suma Mnazaleti ambae time hii ametuletea hii video mpya ya wimbo wake uitwao Boss Kasema. Unaweza ukabonyeza play kuitazama kisha usisahau kuandika neno lolote ili mkali huyo akipita asome mlichomuandikia.
6 days ago
Mbali na kwamba South Africa bado wanaendelea kupeta kwenye vichwa vya habari Duniani kwa utoaji wa ladhaa tofauti ya muziki wao unaotamba kwa jina la Amapiano. Sasa time hii ni zamu ya wakazi wa Dar es Salaam kupata kile kinachostahili kutoka kwa Dbn Gogo ambae anatarajia kutoa burudani Jumapili hii 19th, 2023. Mrembo huyo atapanda jukwaani
6 days ago
Ni episode nyingine tena ya Mwamba wa Kaskazini Joh Makini, ni package nyingine mpya yenye collection ya Rapper Joh Makini ambaye tayari amewatangazia Mashabiki zake kuachia EP yake mpya ya ‘WAVE’ kesho March 17 ikiwa na nyimbo sita 6. Joh ameiambia AMPLIFAYA ya CloudsFM kwamba mwaka huu uachiliaji wake wa ngoma mpya utakuwa wa tofauti
1 week ago
NI Mkali kutokea Singeli, Meja Kunta ambapo time hii ametuletea hii remix ya wimbo wake uitwao Demu wangu akiwa na Marioo na Mabantu. Unaweza ukabonyeza play kuitazama kisha usisahau kuandika neno lolote ili mkali huyo akipita asome mlichowaandikia.
1 week ago
Ni Warembo wanaounda kundi la TxC ‘Tarryn na Clair’ ambapo time hii wametuletea hii collabo yapo mpya ya wimbo wao waliomshirikisha Khanyisa uitwao Vuka Mawulele.
1 week ago
Na Oliver Oswald, Mtanzania Digital Msanii mashughuri wa nyimbo za asili nchini, Malima Kabondo maarufu kama “Ndolela” anatarajiwa kutumbuiza kwenye kilele cha maadhimisho ya siku ya usalama barabarani ambayo kitaifa yatafanyika Machi 14, mwaka huu, mkoani Mwanza. Maadhimisho hayo yenye kauli mbiu ya ‘Tanzania bila ajali inawezekana , timiza wajibu wako’ yatafanyika katika Uwanja was
1 week ago
Ni Wakali wawili kutokea Afrika Kusini Pcee & Justin99 ambao tayari wameshatua Dar es Salaam kwaajili ya kuwaburudisha watanzania wanaoupenda muziki wao unaotikisa kwasasa unaofahamika kwa jina la Amapiano. Wakali hao wawili anatarajiwa kutoa burudani leo machi 11, 2023 katika Chimbo liitwalo Elements BAR iliyopo Masaki Dar es Salaam na hizi ni baadhi ya picha alivyowasili
1 week ago
Ni Wasanii wa kike kutokea kwenye Tasnia ya Bongo Flevani, Lulu Diva, Khadija Kopa, Mwasiti, Mimi Mars, Linah, Phina ambapo time hii wametuletea hii video mpya ya ngoma yao ya pamoja iitwayo Anamaremeta. unaweza ukabonyeza play kuitazama kisha usisahau kuandika neno lolote ili wakali hao wasome mlichowaandikia.
1 week ago
Ni Wakali kutokea Kings Music, Alikiba, K2ga, Vanillah, Tommy Flavour ambapo leo Machi 11, 2023 wametuletea hii video mpya ya wimbo wao uitwao La La La. Unaweza ukabonyeza play kuitazama kisha usisahau kuandika neno lolote ili wakali hao wakipita wasome mlichowaandikia.
1 week ago
Ni usiku wa Machi 10, 2023 ambapo wa muziki wa Bongo Fleva Suma Mnazaleti aliandaa party na kuwaalika watu mbalimbali ikiwa kama na ujio wa kurudi rasmi katika game ya muziki wa Bongo Flevani baada ya muda wa miaka kadhaa kukaa kimya. Hafla hiyo ilifanya Dar es Salaam na hapa nimekusogezea baadhi ya picha ushuhudie
1 week ago
Na Joseph Shaluwa MWANAMUZIKI anayekuja kwa kasi kwenye game ya Afro Pop, Felix Philemon Sola ‘Skillager’ ameachia kitu kipya, ‘Body Busy’. Msanii huyo ambaye licha ya kuimba ni mtumbuizaji na mwandishi wa mashairi, ameachia jiwe hilo moto, akiwa chini ya Lebo ya Tree of Life Entertainment ya nchini Nigeria. Wimbo huu wa kusisimua ni heshima
2 weeks ago
Na Joseph Shaluwa, Mtanzania Digital MSANII wa muziki wa Rap kutoka Nigeria, Savage a.k.a Savage tha Beast amerejea tena na wimbo wake mpya ‘Your Waist’ akiwa amegonga kolabo na King Perryy na PsychoYP. Wimbo huo wa Hip-Hop na Rap una vionjo vya aina yake, huku mapigo ya Afro-Dancehall yaliyochagizwa na King Perryy ukizidisha utamu wa
2 weeks ago
Ikiwa bado Afrika Kusini wanaendelea kuchukua vichwa vya habari hususani kupitia muziki wao unaopeta kwasasa kwenye chart mbalimbali. Sasa taarifa ninayotaka kukupatia ni kwamba Wakali kutokea Afrika Kusini Pcee & Justin99 wanatarajiwa kutumbuiza Machi 11 Jumamosi hii katika Chimbo liitwalo Elements BAR Masaki lilipo Dar es Salaam. Miongoni mwa ngoma walizowahi kusikika ni hii akiwa ZoTata
2 weeks ago
Na Jeremia Ernest, Mtanzania Digital KAMPUNI ya Michezo ya kubashiri nchini Tanzania ya WinPrincess Bet imewapa Ubalozi Wasanii, Lucas Mhuvile maarufu ‘Joti’ na msanii wa Muziki wa Bongofleva, Gift Stanford maarufu ‘Gigy Money’. Akizungumza katika hafla ya kuwatangaza mabalozi hao iliyofanyika Machi 7, 2023 jijini Dar es Salaam Meneja wa Mchezo wa Kubashiri wa WinPrincess
2 weeks ago
Ni Mkali kutokea Bad Nation, Chino Kidd ambae time hii ametuletea hii video mpya ya wimbo wake uitwao Gibela akiwa amewashirikisha S2Kizzy na Mfana Kah Gogo. Unaweza ukabonyeza play kuitazama kisha usisahau kuandika neno lolote ili wakali hao wakipita wasome mlichowaandikia.
2 weeks ago
Ni Usiku wa kuamkia Machi 6, 2023 ambapo mkali Chino Kidd ambae ni dancer wa Marioo kwa mara ya kwanza alifanya show ya kutumbuiza nyimbo zake ikiwemo ya Gibella aliyomshirikisha mtayarishaji S2kizzy na Mfana Kah Gogo. Burudani hiyo ilitolewa katika chimbo la Kidimbwi Beach lililopo Mbezi jijini Dar es Salaam.
2 weeks ago
Ni Mkali kutokea Bongo Flevani mwenye ladha ya R&B Juma Jux ambapo Usiku wa leo february 5, 2023 atatoa burudani ya nguvu Mkoani Mwanza. Juma atakutana na Mashabiki wake katika chimbo liitwalo levate – Club & Lounge iliyopo maeneo ya Malaika Beach Resort, Mwanza. Kwa wewe mtu wangu ambae upo kanda ya ziwa unaweza ukasogezea
2 weeks ago
Ni Mkali kutokea Bongo Flevani, Micky Singer ambae time hii ameachia wimbo mpya aliyomshirikisha Tommy Flavour uitwao Jishaue. Unaweza ukabonyeza play kuusikiliza kisha usisahau kuandika neno lolote ili wakali hao wakipita wasome mlichowaandikia.
2 weeks ago
Ni Wakali wakongwe kutokea kwenye muziki wa Gospel Christina Shusho na Rose Muhando ambapo time hii wameonesha wakiwa studio wakiandaa ujio mpya wa ngoma yao ya pamoja. Kupitia ukurasa rasmi wa Slide Digital wameweka video ikiwaonesha wakali hao wawili wakiwa studio kwahiyo muda wowote wewe kama shabiki tarajia ujio wa ngoma hiyo mpya kutoka kwa
2 weeks ago
Rapa wa Marekani na mtunzi wa nyimbo, Card B amechora tattoo yake ya kwanza ya jina la mwanae “WAVE” na kuipost kwa mara ya kwanza kwenye ukurasa wake wa twitter,hatua ambayo imezua hisia tofauti mtandaoni. Mama huyo wa watoto wawili mwenye umri wa miaka 30 alichorwa na msanii wa tattoo Robinson De Los Santos, ambaye
2 weeks ago
NA SAMMY WAWERU EDDAY Nderitu, mke wa kwanza wa mwanamuziki wa nyimbo za Mugithi, Samuel Muchoki maarufu kama Samidoh ameshauriwa ‘kuamka’ na kusukuma gurudumu la maisha licha ya changamoto zinazomzingira. Ushauri huo umetolewa kufuatia mzozo unaoonekana kulemea ndoa yake na staa huyo, Edday akidokeza kwamba mambo yalianza kuenda mrama miaka mitatu iliyopita. Mjadala moto umegaragazwa
3 weeks ago
NA SINDA MATIKO KUNA sanaa fulani ya uchekeshaji ambayo Wakenya bado wanahangaika kuielewa, iitwayo ventriloquism (uchekeshaji kwa kutumia kikaragosi kwa Kiswahili). Hii ni sanaa ya uchekeshaji kwa kutumia kikaragosi. Kitokeacho hapa ni msanii mchekeshaji kuigiza kama vile anafanya maongezi ya majibizano kati yake na kikaragosi. Idadi kubwa ya watu hasa Afrika ambapo sanaa hii sio
3 weeks ago
Wapenzi wa baadaye wa Drake huenda hawataonekana wala kusikika majina yao kwenye muziki wake yaani hata kushirikishwa na drake kwenye ngoma yoyote, kulingana na rapper huyo kudai kuwa huenda amewaharibia maisha yao hasa kipindi wakiachana na kuendelea na maisha yao binafsi na wapenzi wengine. Akiwa anazungumza na Lil Yachty kwenye “Moody Conversations” hivi majuzi, rapper
3 weeks ago
Legendaries wa Hip-hop wamekuwa wakijadili kwa wiki kadhaa kuhusu orodha mpya ya rapa bora zaidi wa muda wote ambayo Jay-Z anashika nafasi ya 1 lakini chakushangaza ni kwamba sasa Lil Wayne ameingia kwenye gumzo na anasema yeye ndiye G.O.A.T. Yaani “Greatest Of All Times” Weezy alisema hayo wiki iliyopita wakati alipokuwa kwenye podcast ya Muziki
3 weeks ago
Ni Usiku wa kuamkia Feb 27, 2023 ambapo mkali kutokea Nigeria Bayanni anayetamba na wimbo wa Ta Ta Ta alitumbuiza live Katika chimbo la Kidimbwi Beach lilipo Dar es Salaam na hapa nimekusogezea ushuhudie shangwe alilopewa na pale ambavyo Gigy alipoamua kupanda jukwaani na kucheza nae yaani kumpa shangwe tazama.
3 weeks ago
Msanii wa muziki kutokea Nigeria, Abimbola Oladokun maarufu kama Bayanni ametua katika ardhi ya Tanzania ambapo anatarajia kufanya show katika fukwe za Bahari Kidimbwi, Dar es Salaam. Ayo Tv tumezungumza na Bayanni anayetamba na wimbo wa ‘Ta ta ta’ ambapo amewataja wasanii wa Bongo anaowakubali akiwemo Harmonize na Diamond Platnumz. “Ni mara ya kwanza kuwa
3 weeks ago
NA SINDA MATIKO NILIMKUTILIZA Edmond Josiah almaarufu Tedd Josiah, akiwa anajipangapanga kwenye makao yake mapya yaliyopo mtaa wa kifahari wa Runda. Ni siku chache toka alipohamia kwenye mjengo huu wa ghorofa wenye vyumba vya kutosha. Pembeni kuna mjengo mkubwa ambao kaugeuza kuwa kiwanda cha kutengeneza mabegi yake ya ngozi JokaJok Leather. KWA NINI ALIACHA MUZIKI
1 month ago
Ni Mkali kutokea Bongo Flevani, Darassa ambae time hii ametuletea hii video mpya ya wimbo wake uitwao Dead Zone.
1 month ago
Nyota wa muziki wa RnB aliyegeuka kuwa mhalifu maarufu kama R.Kelly imesemekana kuwa hatoweza kuachiliwa hadi 2066, yaani mwaka mmoja kabla ya kutimiza miaka 100, ikiwa jaji wa shirikisho atakubali mapendekezo ya waendesha mashtaka katika kesi yake ya hukumu Ya alhamis katika mji wa Chicago. Kelly, 56, atahukumiwa kwa makosa yake kutoka mwaka jana huko
1 month ago
Ni Mkali kutokea Bongo Flevani, Kusah ambae time hii ametuletea hii single mpya iitwayo Wasi Wasi. Single hiyo imetayarishwa na producer Cukie Dady, unaweza ukabonyeza play kuisikiliza hapa.
1 month ago
Ni Mkongwe kutokea Bongo Flevani, Q Chief ambae leo Feb 20, 2023 ameachia rasmi album yake iitwayo The Last Meal yenye nyimbo 10. 1.Naumia ft Dogo Janja 2.Japanes Eyes 3.Open My Eyes 4.Nasema Nae 5.Ukikaa vibaya feat Professor Jay 6.Unaumenya 7.Tik Tok feat Kusah 8.Imagination feat Bushoke 9.Kidebe feat Tamimu 10.Mikoba Unaweza ukazisikiliza nyimbo hizo
1 month ago
Na Beatrice Kaiza, Mtanzania Digital Kundi la muziki wa Injili la ESSENCE OF WORSHIP limezindua Ibada ya uzinduzi wa Albamu ambayo wameipa jina la My Worship itakayofanyika Juni 16, mwaka huu jijini Dar es Salaam. Akizungumza na waandishi wa habari kiongozi wa Essence of Worship, Gwamaka Mwakalinga amesema kuwa siku ya Ibada hiyo kutakuwa na waimbaji
1 month ago
Ni headlines za Wakali Afrika Kusini, 2wo Bunnies ambao tayari wameshatua Dar es Salaam kwaajili ya kuwaburudisha watanzania wanaoupenda muziki wao unaotikisa kwasasa unaofahamika kama Amapiano. Hapa nimekusogezea ushuhudie picha kadhaa wakifanya soundcheck ama maandalizi ya kwaajili ya kuwaburudisha watanzania usiku wa Feb 18, 2023 katika chimbo liitwalo Elements BAR lililopo Masaki jijini Dar es Salaam.
1 month ago
Ni Feb 18, 2023 ambapo yamefanyika mazishi ya Rapper AKA huko nchini Afrika Kusini. Hapa nimekusogezea video hii ushuhudie mwanzo mwisho mazishi hayo yaliyofanyika. INAHUZUNISHA MTOTO MDOGO WA AKA ALIVYOMBEMBELEZA MCHUMBA WA BABA YAKE MSIBANI
1 month ago
Ndugu, Jamaa na Marafiki wamekusanyika leo nyumbani na katika Kanisa la Mtakatifu Kizito Mbezi Beach Kilongawima Jijini Dar es salaam kumuaga Babu Sikare maarufu Albino Fulani aliyekua Msanii wa Bongofleva na pia Mtetezi wa Watu wenye ualbino Nchini Tanzania. Mwili wa Babu Sikare ambaye umauti ulimkuta February 8 2023 akiwa Marekani alikokua akiishi na kufanya
1 month ago
Ni Wakali wawili wanaounda kundi la 2wobunnies ambae tayari wameshatua Dar es Salaam kwaajili ya kuwaburudisha watanzania wanaoupenda muziki wao unaotikisa kwasasa unaofahamika kwa jina la Amapiano. Wakali hao wawili anatarajiwa kutoa burudani leo Feb 18, 2023 katika Chimbo liitwalo Elements BAR iliyopo Masaki Dar es Salaam na hizi ni baadhi ya picha alivyowasili katika
1 month ago
Mbali na kwamba South Africa bado wanaendelea kupeta kwenye vichwa vya habari Duniani kwa utoaji wa ladhaa tofauti ya muziki wao unaotamba kwa jina la Amapiano. Sasa habari njema ni kwamba wakali hao wenye midundo yao isiyochosha kwenye usikilizwaji wameanza kupata tours nchini tofauti tofauti na usiku wa Feb 18th, 2023 Jumamosi hii Watanzania watashuhudia burudani itakayotolewa
1 month ago
NA MARGARET MAINA MIAKA ya nyuma, kazi ya u-DJ yaani deejaying mara nyingi haikuzingatiwa lakini baada ya muda, madeejay wamethibitisha kuwa sanaa hii inafaa kupewa fursa. Stan Njenga Kinyanjui anayejulikana kama DJ Stan, amefanya mageuzi katika uchezaji muziki mitaani na sasa ameanza kuwafundisha vijana ili nao wawe stadi na magwiji katika tasnia ya burudani. Kwa mtaji
1 month ago
Na Mwandishi Wetu Mtanzania Digital MSANII wa muziki wa kizazi kipya kutoka nchini Nigeria, King Perry ameachia EP yake aliyoipa jina la Continental Playlist ikiwa na nyimbo saba, ikiwa ni miezi michache baada ya kuachia ngoma yake ya pili ya On God. King Perryy aliyepata umaarufu mwaka 2018 baada ya kuachia ngoma yake ya Man
1 month ago
Ni Mkali kutokea Bongo Flevani, Micky Singer ambae time hii ametuletea hii single mpya iitwayo Nobody. Unaweza ukabonyeza play kuisikiliza kisha usisahau kuandika neno lolote ili mkali huyo akipita asome mlichomuandikia.
1 month ago
Ni headlines za msanii na Dj kutokea Afrika Kusini,Musa Keys ambae tayari ameshatua Dar es Salaam kwaajili ya kuwaimbia watanzania wanaoupenda muziki wao unaotikisa kwasasa unaofahamika kama Amapiano. Na hapa nimekusogezea picha ushuhudie akifanya Soundcheck katika Chimbo ambalo atakalotoa burudani usiku wa leo maarufu kama Elements Bar iliyopo Masaki Dar es Salaam.
1 month ago
Ni headlines za msanii na Dj kutokea Afrika Kusini, Musa Keys ambae tayari ameshatua Dar es Salaam kwaajili ya kuwaimbia watanzania wanaoupenda muziki wao unaotikisa kwasasa unaofahamika kama Amapiano. Musa Keys anatarajiwa kutoa burudani leo Feb 11, 2023 katika Chimbo liliitwalo Elements BAR iliyopo Masaki Dar es Salaam na hizi ni baadhi ya picha alivyowasili
1 month ago