NA FRIDAH OKACHI MAMAKE msanii wa jina kubwa Diamond Platnumz, Mama Dangote amepokea zawadi ya manukato na maua kutoka kwa Tanasha Donna ambaye aliwahi kutoka kimapenzi na mwanamuziki huyo. Tanasha Donna na Diamond walifanikiwa kupata mtoto wa kiume ambaye ni mjukuu wake Mama Dangote. Juma hili, siku ya Jumatano, Sandra Sanura almaarufu Mama Dangote alitoka kwenye
15 hours ago
Ni Mwimbaji kutokea Bongo Flevani, âPhinaâ ambae leo Septemba 27, 2023 ameachia video mpya ya wimbo wake uitwao Sponsor. Unaweza ukabonyeza play kuitazama kisha usisahau kuandika neno lolote ili akipita kusoma asome mlichomuandikia.
2 days ago
Mwimbaji Diamond Platinumz amefunguka leo Septemba 27, 2023Â mbele ya Waandishi wa habari ikiwa wanashereheke miaka Mitano yaUushirikiano wao na kampuni ya SBC kupitia kinywaji chao cha Pepsi. Diamond ambaye alijibu maswali ya Waandishi kuhusu show za Wasafi Festival kufanyika lakini hakuna msanii wakike amesema ni kutokana na muingiliano wa ratiba zoo lakini pia takati
3 days ago
NI Septemba 26, 2023 ambapo Dj Effexy ameungana na G Nako x Shakes & Les katuletea hii video mpya ya single ya Khampokonya wakiwa wameshirikisha Holly. Unaweza ukabonyeza play kuitazama hapa.
3 days ago
NA JOHN KIMWERE KATI ya waigizaji mahiri wa filamu za bongo, Fridah Kajala Masanja amesema kamwe hatoingia kwenye mahusiano ya kimapenzi na wanaume wa Kenya. Kupitia mtandao wake wa Instagram, Kajala mwenye umri wa miaka 40, ambaye ni mpenzi wa zamani wa msanii Harmonize amewaonya wanaume wa Kenya akiwataka wakome kuingia kwenye safu yake ya
4 days ago
NA MERCY KOSKEI MWIMBAJI wa nyimbo za injili kwa lugha ya Abagusii, Bw Christopher Nyangwara Mosioma maarufu kama Embarambamba amekuwa gumzo mitandaoni baada ya kuachilia kibao kipya mnamo Jumamosi, Septemba 23, 2023 kupitia chaneli yake ya Youtube. Katika wimbo huo wa kuchekesha, mwanamuziki huyo anayejulikana kwa visanga mitandaoni alieleza kwa mzaha kwamba nia yake ni âkunyonywaâ na
4 days ago
Ni Mkali kutokea Bongo Flevani, Royazdad ambae time huu ameungana na Harmonize kutuletea hii video ya lyrics iitwayo Bembeleza. Unaweza ukabonyeza play kisha usisahau kuandika neno lolote ili wakali hao wakipita wasome mlichokiandika.
6 days ago
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Mwimbaji wa Injili asili ya Afrika anayeishi Australia Tarisai Vushe, anatarajia kutikisa chati za muziki wa gospo mapema Novemba kupitia wimbo wake mpya Addicted. Akizungumza na www.mtanzania.co.tz mapema leo Septemba 22, 2023 Tarisai amesema wimbo huo umebeba dhamira ya kweli ya uhusiano wake na Kristo na unakwenda kuhamasisha vijana wengi
1 week ago
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Kutoka nchini Marekani, msanii wa kizazi kipya mwenye asili ya Kongo, M King Son, ameendelea kupenya kwenye Bongo Fleva baada ya kuachia kolabo yake na staa Tundaman. Akizungumza na www.mtanzania.co.tz M King Song, amesema wimbo huo unaitwa Amenibamba tayari unafanya vizuri kwenye chati za muziki Afrika Mashariki na kwenye mitandao
1 week ago
NA WANDERI KAMAU MWANAMUZIKI maarufu wa nyimbo za injili, Dennis Mutara, hatimaye ameruhusiwa kuondoka hospitalini, baada ya kulazwa kwa karibu wiki mbili, kutokana na kile kilitajwa kuwa uraibu wa vileo. Bw Mutara ni miongoni mwa wanamuziki waliovuma katika ukanda wa Mlima Kenya katika miaka ya hapo nyuma, kutokana na nyimbo zake maarufu kama âTigana na
1 week ago
Wiki moja baada ya kifo cha mwanamuziki Mohbad cha ghafla, inasemekana amepata mafanikio mapya kwenye Chati ya Orodha ya wasanii wa dijitali wa kimataifa. Katika chapisho kwenye chati mnamo Jumatano, mwimbaji marehemu aliorodhesha 58 ya wasanii wa kidijitali waliouza nakala zao vizuri zaidi ulimwenguni. Mohbad yuko mbele ya wababe wa kimataifa kama, Nicki Minaj, Eminem,
1 week ago
Baadhi ya mashabiki wa London, Uingereza, Jumatano usiku, walifanya maandamano ya kuwasha mishumaa kwa marehemu rapper wa Nigeria, Ilerioluwa Olademeji Aloba, almaarufu Mohbad. Maandamano hayo yalifanyika Peckham Square, huko Peckham, London Kusini ambapo bosi wa kampuni ya rekodi ya Mohbad, Naira Marley alilelewa. Mashabiki hao walionekana wakiimba nyimbo za marehemu rapper katika video inayovuma kwenye
1 week ago
NA MERCY KOSKEI CHIFUÂ mmoja kutoka Kaunti ya Kisumu anauguza majeraha baada ya kushambuliwa na wanakijiji wenye ghadhabu, alipokuwa akijaribu kusimamisha muziki wakati wa âdisco matangaâ. Kisa hicho kilitokea wikendi katika kijiji cha Nduru Kaunti ndogo ya Kadibo. Chifu huyo wa lokesheni ya Kawino Kusini kwa jina Michael Buodo alifika eneo hilo Jumamosi usiku Septemba
1 week ago
Mwanamuziki maarufu wa Nigeria Davido alishinda tuzo ya Albamu Bora ya Mwaka kwa kuvunja rekodi ya albamu yake ya nne ya âTimelessâ huku Rema akimshinda Asake na magwiji wengine kuwania tuzo ya Msanii Bora wa Mwaka. Ayra Starr alishinda Tuzo ya Mwanamke Bora wa Afrika Magharibi, Flavour alishinda tuzo ya Utendaji Bora wa Moja kwa
1 week ago
Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital Mamia ya wakazi wa Mabibo na Manzese wamejitokeza kushudia uzinduzi wa pambano kubwa la ngumi za kulipwa lililopewa jina la âSafari ya Beachâ uliofanyika Septemba 15,2023 kwenye viwanja vya Mpakani, jijini Dar es Salaam. Katika uzinduzi huo kulikuwa na burudani mbalimbali za muziki pamoja na utambulisho wa baadhi ya mabondia
1 week ago
Na SINDA MATIKO VITU vingi vimesemwa kumhusu soshiolaiti Hamisa Mobetto na kati yavyo ambavyo anakanusha, ni kufanyiwa upasuaji wa uso ili kunogesha mvuto wake. Lakini mwanamitindo huyo wa zamani ambaye kwa sasa shughuli zake ni za uinfluensa, kakanusha kufanyia uso wake ukarabati.Aidha aliweka wazi kwa nini tofauti na mastaa wengi, hajawahi kuchora tatoo mwilini wake.
2 weeks ago
Mwimbaji maarufu wa Nigeria, Divine Ikubor, almaarufu Rema, anasema anataka kufanya kolabo na mastaa zaidi wa Marekani kufuatia mafanikio ya wimbo wake mkali na Selena Gomez, âCalm Down.â Katika mahojiano ya kando na Mwandishi wa Hollywood katika Tuzo za Muziki za MTV za 2023 huko New Jersey, Jumanne, mwimbaji huyo mzaliwa wa Benin alisema anataka
2 weeks ago
NA WANDERI KAMAU UTATA unaomkumba mwanamuziki maarufu wa nyimbo za injili, Dennis Mutara, sasa umechukua mkondo mpya, baada ya baadhi ya wenyeji wa eneo la Kati kusema masaibu yake yamechangiwa na baadhi ya wanamuziki wenzake. Mjadala kuhusu masaibu ya mwanamuziki huyo yalizua mijadala mikali katika mitandao ya kijamii, baadhi ya watu wakimhusisha mwanamuziki wa injili
2 weeks ago
NA AMOS NGAIRA MWANAMUZIKI maarufu wa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Lokassa ya Mbongo, aliyefariki miezi sita iliyopita, bado hajazikwa, hali inayozua wasiwasi mkubwa miongoni mwa mashabiki wake nchini mwake, barani Afrika, Ulaya na Amerika. Lokassa, 80, aliaga dunia katika Hospitali ya St Joseph, Nashua, Amerika mnamo Machi 14, baada ya kuugua kwa muda
2 weeks ago
Mwanamuziki anayetamba duniani wa Nigeria, Rema, na nyota wa pop wa Marekani Selena Gomez wameshinda Tuzo za Muziki wa Video za MTV 2023. Wawili hao walitwaa tuzo hiyo katika kitengo cha kwanza cha Best Afrobeats kwa kibao chao kikali âCalm Down.â Wimbo huo ulivutia âRushâ ya Ayra Starr, âItâs Plentyâ ya Burna Boy, Davido akimshirikisha.
2 weeks ago
Msanii mashuhuri wa muziki wa Afrobeats Burna Boy ametishia kwamba huenda akalazimika kuacha masuala ya muziki akitaja biashara ya muziki kuwa ngumu kwa upande wake kwa mapato duni. Kupitia Instagram Story yake, Burna Boy aliandika akisema kuwa katika kipindi kifupi kijacho atalazimika kuketi na kupiga tathmini kuhusu maisha yake ya kimuziki na iwapo hatoona dalili
2 weeks ago
NA WANDERI KAMAU MWANAMUZIKI maarufu wa nyimbo za injili kutoka eneo la Kati, Bw Dennis Mutara, amelazwa hospitalini, duru zikieleza amezongwa tena na uraibu wa pombe. Bw Mutara alilazwa katika hospitali moja Kaunti ya Murangâa, Jumatatu mchana Septemba 11, 2023, na Wasamaria Wema waliofika nyumbani kwake katika eneo la Maragua. Ijapokuwa watu walio karibu naye
2 weeks ago
NA MERCY KOSKEI MASHABIKI wa msanii wa Mugithi, Samuel Muchoki almaarufu Samidoh nchini Australia walishangaa kumuona Seneta maalum Karen Nyamu akimsaidia kutumbuiza. Wawili hao walifanya shoo katika mojawapo ya maeneo ya burudani nchini Australia na kuwaacha wengi kwa mshangao kwa jinsi wanavyopendana. Nyamu alijumuika na mpenziwe jukwaani akiwaacha mashabiki wa Samidoh kwa furaha huku wakishangilia walipokuwa
2 weeks ago
Ni headlines za msanii na Dj kutokea Afrika Kusini,Musa Keys ambae tayari ameshatua Dar es Salaam kwaajili ya kuwaimbia watanzania wanaoupenda muziki wao unaotikisa kwasasa unaofahamika kama Amapiano. Staa huyo leo Jumapili Septemba 10 ,2023 anatarajiwa kutumbuiza jukwaa moja na staa wa Bongo Fleva katika chimbo lililopo Mkoani Mwanza. Club Elevate.  Â
2 weeks ago
NA WINNIE ONYANDO MWANAMUZIKI kutoka nchini Tanzania Zuhura Othman Soud almaarufu Zuchu, amefichua kuwa Naseeb Abdul almaarufu Diamond Platnumz ndiye mwanamume wa kwanza kumpa burudani chumbani. Katika video iliyosambaa katika mitandao mbalimbali ya kijamii, mwanamuziki huyo alidai kuwa Diamond ndiye mwanamume wa pekee ambaye amewahi kushiriki naye mapenzi. Hii ni baada ya Zuchu kuulizwa idadi
2 weeks ago
Usiku huu wa imezinduliwa Filamu ya Superstar Irene Uwoya @ireneuwoya8 iitwayo Olema katika kumbi za cinema za Arusha ambapo amesindikizwa na Wasanii wenzie Mastaa wa Bongo Movie ambao ni Wolper, Kajala, Lulu Michael na Aunty Ezekiel Uwoya amepokelewa kimasai na kuvishwa shuka la kimasai jekundu lenye heshima kwa Jamii ya Kimasai.
3 weeks ago
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital STAA wa muziki, Mr.Eazi ni gwiji linapokuja suala la kuachia rekodi tamu yenye burudani ya kipekee kwa jamii na sasa ameachia kitu kipya. âAdvice,â ni kazi mpya kutoka staa huyo ambayo imetiwa mkono na lebo maarufu nchini Ghana, M.O.G. Beatz, ikiwa inapatikana katika albamu inayokwenda kwa jina la âThe Evil Geniusâ,
3 weeks ago
NA SAMMY WAWERU MWANAMUZIKI tajika Esther Akoth maarufu kwa jina la jukwaa kama Akothee amejipata kwenye kikaangio moto, kwa kuvalia nusu uchi wakati akitumbuiza mashabiki wake Uswidi (Sweden). Akiwa ameshika mikrofoni mkononi, Akothee anaonekana akinengua kiuno makalio yakiwa nusu uchi. Alichapisha picha katika akaunti zake za mitandao ya kijamii, hatua iliyoghadhabisha baadhi ya wafuasi wake.
3 weeks ago
Rapper Nay wa Mitego leo Septemba 6, 2023 aliripoti katika kituo cha Polisi Kati ( Police Central) Jijini Dar es salaam kuitikia wito kuhusu wimbo wake wa âAmkeniâ ambao hivi karibuni Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ilitangaza kuufungia kuchezwa katika vituo vyote vya Radio na Televisheni. Sasa Staa huyo ameachia kwa Dhamana na hapa ndicho
3 weeks ago
Mwimbaji wa Nigeria aliyeshinda tuzo ya Grammy, Damini Ogulu, almaarufu Burna Boy, ameweka rekodi mpya akiwa Mwafrika wa kwanza kutoa nyimbo mbili kwenye chati ya Billboard Hot 100 ya Marekani katika mwaka mmoja wa kalenda. Alipata mafanikio hayo baada ya wimbo wake âSittinâ On Top Of The World hatimaye kushika nafasi ya 80 kwenye chati
3 weeks ago
Mwimbaji na mwigizaji wa Marekani, Selena Gomez amefunguka kuwa amekuwa shabiki wa staa wa muziki wa afrobeats wa Nigeria, Rema hata kabla hawajafanya kolabo kwenye remix ya âCalm Downâ. Alisema alianza kuupenda wimbo wa Rema, âRunaway,â kabla ya âRave Lordeâ kuwasiliana naye kwa remix ya âCalm Down.â Gomez alisema alikubali kufanya kazi na Rema kwa
3 weeks ago
NA SAMMY WAWERU KAREN Nyamu, ambaye ni seneta maalum amedai alisaidia aliyekuwa mke wa mwanamuziki Samuel Muchoki â Samidoh, Edday Nderitu kupata zabuni. Akizungumza kupitia video aliyopeperusha mbashara mitandaoni, mwanasiasa huyo wa chama cha UDA alilalamikia kuitwa âmvunja ndoa au kiruja njiaâ akisema lawama hizo si haki kwa mtu aliyesaidia. Matamshi yake yalionekana kutia muhuri
3 weeks ago
NA SAMMY WAWERU KAREN NYAMU mpango wa kando wa msanii wa Mugithi, Samuel Muchoki almaarufu Samidoh, ameelezea mojawapo ya sababu zilizochangia mwimbaji huyo kumchagua. Amesema, yeye (Karen) huvalia maridadi, hivyo basi Samidoh alivutiwa na urembo wake. âMimi ni mama mzuri huvalia vizuri nione kama nitaolewa,â Karen alisema. Akitangamana na mashabiki wake mitandaoni, alionekana kupandwa na mori
3 weeks ago
NA SAMMY WAWERU SENETA maalum Karen Nyamu amesema ombi lake limekuwa ni kuona âmumeweâ Samuel Muchoki almaarufu âSamidohâ na Edday Nderitu wanarudiana. Dalili zote zinaonyesha mwanamuziki Samidoh ametemwa na Edday, hasa baada ya kuwa âbaby daddyâ na Karen. Kupitia video aliyopeperusha mbashara mitandaoni, Karen anasema amekuwa akiomba Mungu arejeshe pamoja wanandoa hao. âMimi kuna vile
3 weeks ago
Ni Mnamo Septemba 2, 2023 ambapo yamefanyika mazishi ya msanii wa Bongo Flevani, Haitham kwenye makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam. Hizi ni picha mbalimbali unaweza ukazitazame wkaiwemo wasanii mbalimbali. #RIPHaitham
3 weeks ago
Ni Mrembo kutokea nchini Marekani SZA mwenye rekodi zake mbalimbali na time hii ametuletea hii video mpya ya wimbo wake mpya uitwa Snooze. Unaweza ukabonyeza play kuitazama hapa
3 weeks ago
Mwimbaji mashuhuri wa Nigeria, mtunzi wa nyimbo, na mtayarishaji wa rekodi extraordinaire, Tekno, amezindua toleo lake la muziki linaloitwa, The More The Better album. Ikijumuisha jumla ya nyimbo kumi na tatu zilizoundwa kwa ustadi, albamu hii inaashiria hatua muhimu katika safari yake ya muziki kama kutolewa kwake rasmi kwa sophomore, kufuatia albamu yake ya kwanza,
4 weeks ago
Mwimbaji na mtunzi wa wimbo wa Jonzing World Ruger ameshiriki muonekano wa albamu yake yakwanza âRU The World.â Albamu hiyo ina rapper wa Uingereza Stefflon Don, bendi ya Afropop ya Kenya Sauti Sol, DJ Govana wa dancehall wa Jamaika, mwimbaji wa Jamaica Projexx, na kundi la muziki la Jugglerz. Kwa maneno ya Rugers, anasema, âNinaamini
4 weeks ago
Na MWANDISHI WETU MWANAMITINDO wa Tanzania, Hamisa Mobetto ameandika ombi lake kuhusu mahusiano yake na mpenziwe. Kwenye ujumbe wake, Mobetto alisema kuwa anamuomba Mungu mpenziwe Kevin Sowax awe wa mwisho huku akiambatanisha picha yao. Mobetto ambaye amekuwa kwenye mahusiano na watu tajika ikiwemo, mwanamuziki Diamond Platnumz na Rick Ross, hajabahatika kudumu kwenye mapenzi nao. Hata
4 weeks ago
Ni Usiku wa Agosti 30, 2023 Paje Visiwani Zanzibar Kwenye Tamasha la Kizimkazi hivi ndivyo Msanii @harmonize_tz na @officialalikiba walivyokutana ambapo Harmonize amesikika akisema Mfalme yupo hapa. Tukio hilo limetokea muda mfupi baada ya Alikiba kushuka kwenye stage na kufanya Interview na Ripota wa @AyoTV_, Vido Vidox ambapo Harmonize alifika na kukumbatiana na Alikiba.
4 weeks ago
Msanii wa BongoFlava Haitham Kim amelazwa katika Hospitali ya Rufaa Temeke kufuatia kuugua kwa Muda wa wiki Sasa tatizo likisemwa kuwa ni changamoto ya Upumuaji, taarifa za kuugua Kwa msanii Haitham Kim zimethibitishwa na Mume wake Bryaison maarufu kama Bosheni. Bosheni amedai kuwa Haitham amepatwa matatizo ya kupumua na kuwekwa ICU ambapo anatumia mashine kumsaidia
4 weeks ago
Mtandao wa Spotify wametangaza kuwa  Taylor Swift ndiye msanii wa kwanza wa kike kupata streams zaidi ya milioni 100 ndani ya mwezi mmoja pekee. Habari hizi zinakuja baada ya Taylor kutoa albamu yake ya tatu iliyorekodiwa upya mwezi Julai â Speak Now (Taylorâs Version) â ambayo ilishika nafasi ya kwanza katika chati za Marekani na
4 weeks ago
NI Mkali kutokea nchini Marekani, Rapper French Montana akiwa na Swae Lee wameungana kuileta hii collabo wakiwa wamemshirikisha Lojay, Jess Glynne. Unaweza ukabonyeza play kuitazama Mwanzo mwisho.
1 month ago
Ni Mkali kutokea Bongo Flevani, Kusah ambae time hii ametuletea hii Official Lyrics ya wimbo wake uitwao Wa sasa. unaweza ukabonyeza play kutazama kile alichokiimba.
1 month ago
NA SAMMY WAWERU MCHEKESHAJI Eric Omondi anaomboleza kupoteza mtoto aliyetaka kumsaidia kupata matibabu, baada ya nguvu za umeme kupotea nchini mnamo Ijumaa, Agosti 25, 2023. Ijumaa hiyo jioni, maeneo mengi nchini stima zilipotea na kusababisha hasara hasa kwa huduma za kimatibabu, mikahawa na wafanyabiashara wanaotegemea nguvu za umeme. Kulingana na Omondi, alipaswa kuchangisha pesa kupitia
1 month ago
Ni Headlines za Usher, Summer Walker, 21 Savage ambae time hii wameungana kutuletea hii collabo yao ya wimbo wao uitao Good Good, unaweza ukabonyeza play kuitazama hapa video ya wimbo huo. Â Â
1 month ago
Ni Rapper Khaligraph ambae hivi karibu aliingia kwenye vichwa vya habari baada ya kuachia Diss Track iliyosikika akiwachana wasanii wa HipHop kutokea Tanzania, sasa leo Agosti 27, 2023 amejitokeza na kuongea kile kila kitu tusiyoyajua. Unaweza ukabonyeza play kumsikiliza Khaligraph A-Z
1 month ago
Ni Queen kutokea kwenye kiwanda cha Hip Hop Tanzania, Rosa Ree ambae time hii ameachia hii video mpya ya wimbo wake Diss Track iitwayo Mama Omollo. Itazame hapa.
1 month ago
Ni Agosti, 27, 2023 Mkali kutokea Bongo Flevani, Harmonize leo ametoa burudani katika kilele cha maadhimisho ya Tamasha la pili la Kitafia la Utamaduni lililofanyika katika uwanja cha kituo cha Zamani cha Mabasi.
1 month ago
Ni Mkali wa Nigeria, Patoranking ambae time hii anatarajiwa kuiandika rekodi wikiendi hii katika ardhi ya Samia Suluhu Hassan. Akizungumza na Millardayo.com Mkurugenzi wa Str8upvibes, Sniper Mantana alisemaâŠâDesturi yetu siku zote ni kuendelea kuwapa kile wanachohitaji Mashabiki hivyo this time kushirikiana na Kinywaji cha Henessy tumeona watanzania ama wapenzi wa muziki wa Nigeria kuikata kiu
1 month ago