Taifa Leo News

Raila pabaya wabunge, raia wakimponda kwa msimamo wake kuhusu hela za CDF

KINARA wa chama cha ODM, Raila Odinga amejipata kona mbaya kufuatia kauli yake ya kutaka Hazina ya Kitaifa ya Maendeleo ya Maeneobunge (NG-CDF) ihamishwe kwa serikali za kaunti. Wabunge na...

1 hour ago


Taifa Leo News

Ruto ashangaza Wakenya ‘kukutana na marehemu’ Cheluget kujadili ardhi inayozozaniwa

KAULI ya Rais William Ruto kwamba alikutana na marehemu aliyekuwa Kamishna wa Mkoa wa Nyanza, Isaiah Kiplangat Cheluget kujadili uuzaji wa ardhi, imezua mshangao. Akizungumza katika eneo la Sogoo, Narok,...

2 hours ago


Taifa Leo News

Papa Leo XIV alikuwa ametajwatajwa kuchukua ‘uongozi wa mapema’ uchaguzini

MOSHI mweupe ulitoka kwenye paa la Kanisa la Sistine Chapel Vatican jijini Roma Alhamisi jioni kutangaza kuchaguliwa kwa kiongozi mpya wa Kanisa Katoliki lililo na wafuasi zaidi ya 1.4 bilioni...

3 hours ago


Taifa Leo News

Papa mpya kujitokeza hadharani wakati wowote sasa

MOSHI mweupe ulitoka kwenye paa la Kanisa Sistine Chapel jijini Vatican, Roma jana jioni kutangaza kuchaguliwa kwa kiongozi mpya wa Wakatoliki 1.4 bilioniduniani. Papa alichaguliwa kumrithi Papa Francis aliyefariki dunia...

13 hours ago


Taifa Leo News

Rais Ruto ateua Ethekon kuwa mwenyekiti mpya wa IEBC

RAIS William Ruto amemteua Erastus Edung Ethekon kuwa mwenyekiti mpya wa IEBC, katika tangazo la hivi punde zaidi. Rais pia ameamua kwamba Msajili wa Vyama vya Kisiasa Ann Nderitu, Moses...

14 hours ago


Mwanaspoti Sports

Simba yaacha msala CAF

SIMBA imeendeleza kugawa dozi katika Ligi Kuu Bara baada ya jana kuifumua Pamba Jiji kwa mabao 5-1 na kukata tiketi ya kucheza Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao, huku ikiziachia...

15 hours ago


Mwanaspoti Sports

Simba rasmi Ligi ya Mabingwa, Ahoua akipiga hat trick

RASMI Simba SC ina tiketi ya kushiriki michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao 2025-2026, hiyo ni baada ya kufikisha pointi 66 katika msimamo wa Ligi Kuu Bara ambazo...

15 hours ago


Mwanaspoti Sports

KenGold yaipeleka Simba Ruvuma

KENGOLD iliyoshuka mapema hadi Championship kutoka Ligi Kuu Bara iliyoicheza kwa mara ya kwanza msimu huu, imepanga kuipeleka mechi dhidi ya Simba iliyopangwa kupigwa Juni 18 Uwanja wa Majimaji, Songea,...

15 hours ago


Mwanaspoti Sports

Maabad aukubali mziki wa Mzize

MSHAMBULIAJI wa Coastal Union, Maabad Maulid Maabad amesema kwa msimu huu mshambuliaji Clement Mzize ndiye mzawa aliyemvutia zaidi kutokana na kiwango alichoonyesha kuisaidia Yanga.

15 hours ago


Mwanaspoti Sports

Beki JKT Tanzania anogewa na vigogo

BAADA ya kucheza mechi mbili dhidi ya Simba na Yanga, beki wa JKT Tanzania, Karim Bakiri amesema timu hizo kongwe zina nyota wengi bora ambao wanaufanya mpira kuwa mwepesi wakikutana...

15 hours ago


Load More...

Job Vacancies





Entertainment