Beki JKT Tanzania anogewa na vigogo

BAADA ya kucheza mechi mbili dhidi ya Simba na Yanga, beki wa JKT Tanzania, Karim Bakiri amesema timu hizo kongwe zina nyota wengi bora ambao wanaufanya mpira kuwa mwepesi wakikutana nazo tofauti na akicheza na timu za madaraja ya kawaida ambazo hufanya jasho liwatoke.