Simba yaacha msala CAF

SIMBA imeendeleza kugawa dozi katika Ligi Kuu Bara baada ya jana kuifumua Pamba Jiji kwa mabao 5-1 na kukata tiketi ya kucheza Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao, huku ikiziachia msala Singida BS na Azam FC zilizo na siku 10 ngumu za kuomba miujiza iwabebe ili zitinge michuano ya CAF.