Simba rasmi Ligi ya Mabingwa, Ahoua akipiga hat trick

Mwanaspoti
Published: May 08, 2025 15:20:10 EAT   |  Sports

RASMI Simba SC ina tiketi ya kushiriki michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao 2025-2026, hiyo ni baada ya kufikisha pointi 66 katika msimamo wa Ligi Kuu Bara ambazo haziwezi kufikiwa na timu zilizopo chini yake.