Maabad aukubali mziki wa Mzize

MSHAMBULIAJI wa Coastal Union, Maabad Maulid Maabad amesema kwa msimu huu mshambuliaji Clement Mzize ndiye mzawa aliyemvutia zaidi kutokana na kiwango alichoonyesha kuisaidia Yanga.
MSHAMBULIAJI wa Coastal Union, Maabad Maulid Maabad amesema kwa msimu huu mshambuliaji Clement Mzize ndiye mzawa aliyemvutia zaidi kutokana na kiwango alichoonyesha kuisaidia Yanga.