Maabad aukubali mziki wa Mzize

Mwanaspoti
Published: May 08, 2025 15:07:40 EAT   |  Sports

MSHAMBULIAJI wa Coastal Union, Maabad Maulid Maabad amesema kwa msimu huu mshambuliaji Clement Mzize ndiye mzawa aliyemvutia zaidi kutokana na kiwango alichoonyesha kuisaidia Yanga.