Devastating droughts last year in the Horn of Africa and currently in Southern Africa, as well as cyclones and floods, have also increased the region's struggles.
Mtangazaji Mkongwe wa CloudsFM Gardner G. Habash amefariki dunia asubuhi ya leo katika Hospitali ya Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) alikokua amelazwa kwa siku kadhaa akipatiwa matibabu. CloudsFM...
NA WINNIE ONYANDO SPIKA wa Bunge la Kaunti ya Nairobi, Kennedy Ng’ondi amelazimika kuwaomba msamaha viongozi wa dini la Kiislamu nchini kufuatia video iliyosambazwa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii ikionyesha...
NA OSCAR KAKAI JENERALI Francis Ogolla aliyefariki dunia katika ajali ya helikopta Alhamisi alikuwa katika ziara ya kutekeleza agizo la Rais William Ruto kwamba wanajeshi wafike katika shule ambazo zimeathirika...
Nora Damian na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla amesema Watanzania wanatakiwa kulinda Muungano kwa gharama yeyote na kuuimarisha kwa faida ya kizazi...
NA RICHARD MUNGUTI MMILIKI wa Porkies Club Paul Wainaina Boiyo na wafanyakazi wake watano wamepatikana na hatia ya kumuu aliyekuwa Mbunge wa Juja George Thuo miaka 11 iliyopita. Lakini punde...
Na JOSEPH OPENDA FAMILIA ya Kapteni Hillary Shirekule Litali, aliyeangamia katika ajali ya ndege Alhamisi, imemtaja kama mchangamfu, mwenye nidhamu na kujituma, mcha Mungu na aliyeiweka familia yake mbele. Kapteni...
NA MASHIRIKA WASHINGTON DC, AMERIKA AMERIKA imewafurusha raia 50 wa Haiti ambao walihamia Washington kutokana na mapigano makali yanayoendelea Port-au-Prince. Msemaji wa Wizara ya Usalama wa mambo ya ndani Amerika,...
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Patrobas Katambi amesema Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan...
Imeelezwa kuwa wanawake kati ya 10 wanaofanyiwa Vipimo vya Saratani ya Mlango wa shingo ya kizazi watatu hugundulika na Ugonjwa wa Saratani ya shingo ya Mlango wa Kizazi ndani ya...
Na WACHIRA MWANGI GAVANA wa Kilifi Gideon Mung’aro amemwomboleza Brigedia Jenerali Said Nzaro Swaleh ambaye aliaga dunia katika ajali ya ndege ya wanajeshi, iliyotokea katika eneo la Cheptulel, Pokot Magharibi...