In this future, direct flights link the US and Tanzania, carrying hundreds of thousands of American tourists every year to enjoy Tanzania’s game parks, beaches, and hotels.
Gold continues to be Tanzania’s most valuable mineral, but new data reveals that the production of other mineral resources is increasing at an impressive rate.
Maybe it’s not the dating world you miss but the version of yourself that believed in infinite stories. That freedom tasted sweet. But sweetness isn’t always sustenance.
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema Tanzania ni miongoni mwa nchi zinazofanya kazi kwa karibu sana na sekta binafsi ili kukuza uchumi na kuleta maendeleo kwa wananchi wake. Ametoa kauli hiyo...
KATIKA siasa za Kenya, kugawanyika kwa upinzani si jambo geni, hasa ikizingatiwa uwezo wa rais aliye madarakani kutumia mbinu mbalimbali kupunguza ushindani uchaguzini.
Rais William Ruto, ambaye ameonyesha ustadi mkubwa...
SERIKALI inaendelea kuwainua wabanguaji wadogo wa zao la korosho nchini katika mazingira mbalimbali. Mazingira hayo ni pamoja na suala la masoko, uwekezaji wa viwanda na mengine ili kuongeza thamani ya...
MKUU wa Mawaziri Musalia Mudavadi amewaomba wabunge watenge pesa zaidi kwa Wizara ya Kigeni ili serikali iweze kukodi huduma za mawakili kwa Wakenya wanaozuiliwa katika mataifa ya ng’ambo.
Hayo yanajiri...
RUVUMA: TAFITI za viashiria vya malaria nchini zinaonesha ugonjwa huo umepungua kutoka asilimia 14.8 mwaka 2015 hadi kufikia asilimia 8.1 mwaka 2022. Upungufu huo ni hatua kubwa zilizofanywa na serikali...
“NAOMBA niwe mkweli, Zanzibar tuna madaktari 134 na kati yao, madaktari bingwa ni wanne tu. Hali hii inalazimu wagonjwa wetu kusafiri kwenda Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), Hospitali...
WABUNGE Jumatatu walifungiwa nje ya afisi zao katika Jumba la Kimataifa la Mikutano la KICC kutokana na malimbikizi ya kodi ambayo sasa ni Sh50 milioni.
Pia walioathirika kutokana na utata...
MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu amesema taifa litamkumbuka Cleopa Msuya kwa unyenyekevu, uchapakazi na hakuwa na majivuno. Babu alisema hayo wilayani Mwanga jana wakati akitoa salamu za mkoa...
JARIBIO la kumuua Naibu Gavana wa Homa Bay Oyugi Magwanga lilitekelezwa Jumapili usiku.
Hii ni baada ya watu wasiojulikana na ambao walikuwa na bunduki kusemekana kujaribu kumpiga risasi Bw Magwanga...
ASKOFU mteule wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Mwanga, Daniel Mono amewataka wananchi wa Wilaya ya Mwanga kuyashika na kuyaenzi mambo makuu manne aliyoyaacha Cleopa Msuya....