Taifa Leo Educational

Helikopta iliyoanguka ilikuwa eneo ambako KDF inakarabati shule kufuatia agizo la Rais

NA CAROLINE WAFULA TAIFA LEO sasa imebaini kwamba helikopta ya KDF iliyohusika kwenye mkasa iliondoka katika Shule ya Sekondari ya Wavulana ya Cheptulel, Pokot Magharibi ambako kikosi cha jeshi kinakarabati...

19 hours ago


Milard Ayo Educational

Tumieni utafiti na ubunifu kuboresha bidhaa kuvuka kimataifa

Wanafunzi wanaosoma vitivo vya sayansi na utafiti wametakiwa kutumia utafiti na ubunifu katika kufanya uzalishaji bora wa bidhaa ambazo zitasaidia kutangaza taifa kwenye masoko kimataifa . Akizungumza katika ufunguzi wa...

1 day ago


Mtanzania Educational

BoT kutoa elimu ya fedha shuleni

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Benki Kuu ya Tanzania(BoT) imedhamiria kutoa elimu ya fedha kuanzia ngazi ya elimu msingi hadi vyuo vikuu kuwawezesha vijana kuwa na uwezo wa nidhamu ya...

1 day ago


Milard Ayo Educational

Arusha: Dereva wa gari la shule aliesababisha vifo vya watoto 8 afikishwa mahakamani

Dereva Luqman Hemed Juma Mkazi wa kata ya Sinoni Mkoani Arusha aliyekuwa akiendesha Basi la Shule ya Ghati Memorial ( Toyota Hiace) lililopata ajali na kuua Wanafunzi nane April 12...

2 days ago


Milard Ayo Educational

FCT yasikiliza na kutolea maamuzi mashirka 429

Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza, Daniel Machunda amewaomba wadau wote kuendeleza ushirikiano na Baraza la Ushindani ( FCT) katika kuongeza uzoefu, ufanisi katika majukumu mbalimbali. Hayo ameyasema wakati...

2 days ago


Milard Ayo Educational

Zaidi ya asilimia 90 ya watoto hawaendi shule kutokana na vita nchini Sudan

Mgogoro wa mwaka mzima sasa baina ya majenerali wa kijeshi wanaoongoza Jeshi la Sudan (SAF) na Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) umepelekea kuvurugika mfumo wa elimu na kufutika nafasi...

2 days ago


Milard Ayo Educational

Wahitimu wa masomo ya sheria muwe na utamaduni wa kujisomea:Jaji Mkuu

Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania Prof. Ibrahim Hamis Juma amewasisitiza wanafunzi wanaohitimu masomo ya Sheria nchini kuwa na utamaduni wa kujisomea kwani kwasasa dunia inapitia mabadiliko makubwa ya matumizi...

3 days ago


Taifa Leo Educational

Makamu Chansela wa Chuo cha Kenyatta aenda likizo ya muda usiojulikana

NA LABAAN SHABAAN MAKAMU Chansela (VC) wa Chuo Kikuu cha Kenyatta (KU), Prof Paul Wainaina ameelekea likizo ya muda usiojulikana. Naibu Makamu Chansela wa Masuala ya Elimu, Prof Waceke Wanjohi...

3 days ago


Milard Ayo Educational

Uwasilishaji wa NIDA uwe lazima kwa waombaji wote wa mikopo Elimu ya Juu :CAG

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere amependekeza Uongozi wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu uweke mwongozo unaohitaji uwasilishaji wa NIDA kuwa...

3 days ago


Taifa Leo Educational

Serikali kuajiri walimu 20,000 kwa shule za JSS

NA COLLINS OMULO SERIKALI itaajiri walimu 20,000 zaidi katika mwaka wa kifedha ujao kwa gharama ya Sh4 bilioni kupunguza kero ya uhaba wa walimu hususan katika Shule za Upili za...

4 days ago


Load More...

Trending on YouTube

Thumbnail
Marioo - Hakuna Matata (Visualiser)
Thumbnail
Dulla Makabila - Furahi ( OFICIAL VIDEO)
Thumbnail
Rayvanny - Hongera (Music Audio)
Thumbnail
Bella Kombo ft. Evelyn Wanjiru & Neema Gospel Choir - Mungu Ni Mmoja (Official Video)
Thumbnail
Darassa feat Zuchu - Romeo (Visualiser)
Thumbnail
D Voice - Zoba (Official Lyric Audio)
Thumbnail
Diamond Platnumz - Namleta (Official Audio)
Thumbnail
TitoM & Yuppe - Tshwala Bam [Ft. S.N.E & EeQue] (Official Music Video)
Thumbnail
Chino Kidd Ft Daway - Binadamu (Official Lyrics Video)
Thumbnail
Harmonize - Na Nusu (Official Lyrics Video)

Job Vacancies





Entertainment