The Tanzanian government’s initiative, which includes the development of a critical mineral policy and a focus on rare earth minerals such as graphite, lithium, nickel, and neodymium, is a testament to the country’s forward-thinking approach.
The Tanzanian government, through the Ministry of Regional Administration and Local Government (TAMISEMI), has introduced eight new religious study combinations for A-level secondary school students.
Na Esther Mnyika Mtanzania Digital Serikali ya Tanzania na Hungary zimesaini mkataba wa ushirikiano katika sekta ya maji utakaosaidia udhibiti wa mafuriko na maji taka ambao umekuwa changamoto. Ikumbukwe kuwa...
MWANZA: NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko ameagiza kuvunjwa kwa bodi ya kampuni tanzu ya TANESCO ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji...
Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) umedhamiria kwa vitendo kutekeleza dhamira ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ya kuhakikisha inamtua kuni mwanamke kichwani kwa kuhakikisha inazalisha...
KASSIM ADINASI VIJANA wenye hasira mnamo Jumatano walivamia jengo la afisi za UDA katika eneobunge la Bondo, Kaunti ya Siaya na kulipaka matope na uchafu. Bondo ni nyumbani na ngome...
Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Dkt. Tausi Kida, amesema kuwa juhudi kubwa zinazofanywa na serikali ya awamu ya sita ya kuhamasisha uwekezaji imefanikisha ongezeko la usajili...
DODOMA: RAIS Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali itafanyia kazi mambo yaliyoibuliwa katika Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na taarifa ya utendaji kazi wa Taasisi...
KIGOMA: Madiwani katika Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma wameiomba serikali kulikabidhi jeshi la polisi kazi ya kupambana na vitendo vya waganga matapeli maarufu kama Kamchape kutokana na vitendo...
Kufuatia taarifa mbali mbali zilizokua zikisamba mitandaoni zilizokua zikidai kuna baadhi ya watu hua wanatabia za kula hadharani mchana wa Ramdhani Zanzibar jeshi la polisi lilifuatilia taarifa hizo na kubaini...
NA PETER MWORIA KUKU ndio viumbe wanaoishi ambao ni wa karibu sana na jamii ya viumbe walioangamia duniani walioitwa T-Rex. Viumbe hao ambao jina lao la kisayansi ni Tyrannosaurus rex, ...
DODOMA: RIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere, kwa mwaka wa fedha wa 2022/23, imeibua madudu kwa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Akisoma ripoti...