Yanga yamleta Dar beki wa Mazembe

Mwanaspoti
Published: May 28, 2025 17:39:55 EAT   |  Sports

BEKI wa TP Mazembe ya DR Congo, Ibrahim Keita yupo njiani kuja jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kufanya mazungumzo na mabosi wa Yanga inayompigia hesabu kumsajili kwa kikosi cha msimu ujao.