Yanga yaifuata JKT Tanzania nusu fainali, ikiichakaza Stand United

YANGA ilichowafanyia Stand United ni kitu cha kikatili sana, baada ya kuichakaza kwa mabao 8-1, kwenye mchezo ambao iliutawala vyema, ikiwafuata JKT Tanzania katika Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho (FA).