Yanga, KVZ kazi ipo Kombe la Muungano

Mwanaspoti
Published: Apr 25, 2025 14:20:05 EAT   |  Sports

BAADA ya Singida Black Stars kuenguliwa na JKU kwa penalti 6-5 leo itakuwa ni zamu ya Yanga kuvaana na KVZ katika mechi ya michuno ya Kombe la Muungano 2025, ikikumbushia mechi mbili za Kombe la Mapinduzi zilizochezwa mjini Unguja 2019 na 2024.