Watano wasimamishwa KenGold

Mwanaspoti
Published: Apr 23, 2025 14:21:04 EAT   |  Sports

TAARIFA zinabainisha kuwa, siku chache baada ya KenGold kushuka daraja, imewasimamisha baadhi ya wachezaji wa kikosi hicho na kocha wao wa viungo ikidaiwa ni kutokana na sababu za kinidhamu.