Vurugu viwanjani mambo ya kishamba

POLE kwa mashabiki wote ambao walikutana na kadhia ya kupigwa, kuchaniwa jezi au kufanyiwa kitendo chochote kisicho cha kiungwana kwenye mechi ya Simba dhidi ya RS Berkane ya Morocco, Jumapili iliyopita kwenye Uwanja wa New Amaan, Zanzibar.