Vurugu viwanjani mambo ya kishamba

Mwanaspoti
Published: May 29, 2025 12:29:36 EAT   |  Sports

POLE kwa mashabiki wote ambao walikutana na kadhia ya kupigwa, kuchaniwa jezi au kufanyiwa kitendo chochote kisicho cha kiungwana kwenye mechi ya Simba dhidi ya RS Berkane ya Morocco, Jumapili iliyopita kwenye Uwanja wa New Amaan, Zanzibar.