VIDEO: Singida BS yaingia anga za Bayern Munich kisa mashabiki

MTENDAJI Mkuu wa Singida Black Stars, Jonathan Kasano, amefichua kuwa kuanzia msimu ujao, jezi namba 12 haitavaliwa na mchezaji yeyote kwenye kikosi cha timu hiyo, badala yake itakuwa maalum kwa heshima ya mashabiki wao.