Tshabalala: Tumepambana  tatizo refa

Mwanaspoti
Published: May 25, 2025 19:55:02 EAT   |  Sports

NAHODHA wa timu ya Simba, Mohammed Hussein 'Tshabalala', amesema licha ya juhudi kubwa walizoweka uwanjani kuhakikisha wanatwaa Kombe la Shirikisho Afrika, ndoto hiyo ilizimwa na maamuzi tata ya refa Dahane Beida kutoka Mauritania.