Singida BS yapoteza tena dhidi ya Simba, vita bado mbichi

Mwanaspoti
Published: May 28, 2025 17:30:33 EAT   |  Sports

MSHAMBULIAJI wa kimataifa kutoka Uganda, Steven Mukwala, ameendelea kuonyesha thamani yake ndani ya Simba SC kwa kufunga bao pekee lililoiwezesha timu hiyo kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Singida Black Stars.