Peruzi Live
General News Entertainment Travel Jobs and Career Educational Technology Business Tenders Sports International All News
  • Home
  • Categories
  • Topics
  • App
  • Settings

Samia asaini nakala za sheria Tanzania

Habari Leo
Published: Apr 23, 2025 11:25:22 EAT   |  News

DODOMA: RAIS Samia Suluhu Hassan amesaini nakala 3 za Sheria za Tanzania zilizofanyiwa urekebu kwa mujibu wa kifungu…

The post Samia asaini nakala za sheria Tanzania appeared first on HabariLeo.

DODOMA: RAIS Samia Suluhu Hassan amesaini nakala 3 za Sheria za Tanzania zilizofanyiwa urekebu kwa mujibu wa kifungu cha 17 cha sheria ya urekebu wa sheria, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma leo Aprili 23, 2025.

Rais Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, Jaji Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Hamis Juma pamoja na Mwakilishi wa Spika wa Bunge ambaye Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria, Dk Joseph Kizito Mhagama na viongozi mbalimbali mara baada ya kukabidhiwa nakala 3 za Sheria za Tanzania zilizofanyiwa urekebu kwa mujibu wa kifungu cha 17 cha Sheria ya urekebu wa sheria kwa ajili ya kumbukumbu, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma leo.

Rais Samia Suluhu Hassan akihutubia viongozi pamoja na wageni mbalimbali mara baada ya toleo la Sheria za Tanzania zilizofanyiwa urekebu la mwaka 2023, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma leo.

The post Samia asaini nakala za sheria Tanzania appeared first on HabariLeo.

View Original Post on Habari Leo

Explore Category

  • General
  • News
  • Entertainment
  • Travel
  • Jobs and Career
  • Educational
  • Technology
  • Business
  • Tenders
  • Sports
  • International

  • NECTA Results
  • Job Vacancies
  • Football
  • Movies
  • Series
  • Settings
  • About us
  • Advertising
  • Privacy Policy
  • TZ

Copyright Peruzi Live © 2025 All Right Reserved