Rais Mwinyi aahidi mamilioni Simba ikitwaa ubingwa CAFCC

Katika mechi hiyo ambayo Rais Mwinyi atakuwa mgeni rasmi, pia amelipia gharama za uwanja ambazo ni asilimia 15 ambazo zilitakiwa kulipwa na Simba.
Katika mechi hiyo ambayo Rais Mwinyi atakuwa mgeni rasmi, pia amelipia gharama za uwanja ambazo ni asilimia 15 ambazo zilitakiwa kulipwa na Simba.