Polisi yarejea Ligi Kuu Zanzibar 

Mwanaspoti
Published: May 11, 2025 16:54:27 EAT   |  Sports

Licha ya vita vya ngumi na midomo iliyotokea leo Jumapili katika mechi ya jasho na damu, maafande wa Polisi wameichakaza Kundemba kwa kuitandika mabao 3-1 kwenye Uwanja wa Mao B, Mjini Unguja na msimu ujao watacheza Ligi Kuu Zanzibar.