PICHA:Yanayojiri kutoka msibani kwa mchekeshaji marehemu mzee Pembe
Kutoka Yombo Nyumbani kwa Mchekeshaji Mkongwe Marehemu mzee Yusuph Kaimu Maarufu Kama Pembe aliyefariki Dunia siku ya Jana alasiri katika hospital ya Temeke alipokuwa akipatiwa matibabu baada ya kuugua kwa muda mfupi Marehemu mzee Pembe anatarajiwa kuzikwa mchana huu katika makaburi ya Yombo na “amefariki Dunia akiwa na watoto 11 yeye akiwa na umri […]
The post PICHA:Yanayojiri kutoka msibani kwa mchekeshaji marehemu mzee Pembe first appeared on Millard Ayo.
Kutoka Yombo Nyumbani kwa Mchekeshaji Mkongwe Marehemu mzee Yusuph Kaimu Maarufu Kama Pembe aliyefariki Dunia siku ya Jana alasiri katika hospital ya Temeke alipokuwa akipatiwa matibabu baada ya kuugua kwa muda mfupi
Marehemu mzee Pembe anatarajiwa kuzikwa mchana huu katika makaburi ya Yombo na “amefariki Dunia akiwa na watoto 11 yeye akiwa na umri wa miaka zaidi ya 60” amesema rafiki yake wa karibu Mzee Senga ambaye alikuwa naye hadi Dakika za mwisho za umauti wake
The post PICHA:Yanayojiri kutoka msibani kwa mchekeshaji marehemu mzee Pembe first appeared on Millard Ayo.