Pamba yaanza hesabu za msimu ujao

LICHA ya kubakiwa na mechi mbili tu kabla ya kuhitimisha msimu wa Ligi Kuu Bara wa 2024/2025, Pamba Jiji tayari imeanza kupiga hesabu za msimu ujao ikiwemo mustakabali wa mdhamini mkuu na maboresho ya kikosi chake.
LICHA ya kubakiwa na mechi mbili tu kabla ya kuhitimisha msimu wa Ligi Kuu Bara wa 2024/2025, Pamba Jiji tayari imeanza kupiga hesabu za msimu ujao ikiwemo mustakabali wa mdhamini mkuu na maboresho ya kikosi chake.