Pamba yaanza hesabu za msimu ujao

Mwanaspoti
Published: May 28, 2025 17:15:33 EAT   |  Sports

LICHA ya kubakiwa na mechi mbili tu kabla ya kuhitimisha msimu wa Ligi Kuu Bara wa 2024/2025, Pamba Jiji tayari imeanza kupiga hesabu za msimu ujao ikiwemo mustakabali wa mdhamini mkuu na maboresho ya kikosi chake.