Pamba Jiji yaziendea msituni pointi sita

PAMBA Jiji imekubaliana na kipigo ilichokipata katika robo fainali ya Kombe la Shirikisho (FA), lakini imesema haitakubali kuona inashindwa kupata pointi sita katika mechi mbili zijazo katika Ligi Kuu Bara ili kuwa sehemu salama zaidi.