Nyota Tanzania Prisons wapata ahueni

Mwanaspoti
Published: May 13, 2025 12:34:02 EAT   |  Sports

TANZANIA Prisons kukaa nafasi ya 11 katika Msimamo wa Ligi Kuu ikiwa imecheza mechi 28, imeshinda nane, sare sita, imefungwa 14 na kukusanya pointi 30 ni kicheko kwa wachezaji wa timu hiyo wakiamini kwamba wamepata ahueni.