New City yashuka rasmi, Mlandege yapaa nafasi ya pili ZPL

TIMU ya New City imeshuka daraja rasmi baada ya jana kupoteza kwa kupigwa mabao 5-1 na Mwenge ambayo nayo inapambana kuepuka kushuka daraja kutoka Ligi Kuu ya Zanzibar (ZPL).
TIMU ya New City imeshuka daraja rasmi baada ya jana kupoteza kwa kupigwa mabao 5-1 na Mwenge ambayo nayo inapambana kuepuka kushuka daraja kutoka Ligi Kuu ya Zanzibar (ZPL).