New City yashuka rasmi, Mlandege yapaa nafasi ya pili ZPL 

Mwanaspoti
Published: May 29, 2025 07:00:33 EAT   |  Sports

TIMU ya New City imeshuka daraja rasmi baada ya jana kupoteza kwa kupigwa mabao 5-1 na Mwenge ambayo nayo inapambana kuepuka kushuka daraja kutoka Ligi Kuu ya Zanzibar (ZPL).