Nabi avujisha faili la Wasauz, Fadlu ashindwe mwenyewe

Mwanaspoti
Published: Apr 15, 2025 15:59:28 EAT   |  Sports

KUNA sababu tatu ambazo kocha wa zamani wa Yanga, Nasreddine Nabi amezitaja ambazo zinaipa Simba nafasi kubwa ya kuitoa Stellenbosch ya Afrika Kusini.