Mtibwa mabingwa Championship, Cosmo yaifuata Biashara United First League

MTIBWA Sugar imeibuka mabingwa wa Ligi ya Championship kwa msimu wa 2024-2025, baada ya kupata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Kiluvya United, huku Cosmopolitan ikiungana na 'Wanajeshi wa Mpakani', Biashara United kucheza First League msimu ujao.