Mke wa Tom Olaba awalilia Watanzania

KOCHA mkuu wa zamani wa Mtibwa Sugar na Ruvu Shooting za Tanzania, Mkenya Tom Olaba anasumbuliwa na maradhi ya kupooza mwili baada ya kufanyiwa upasuaji wa uti wa mgongo, huku mkewe akiomba misaada mbalimbali kwa ajili ya matibabu yake.