Mida ya Simon Msuva kupiga mkwanja

MSHAMBULIAJI Simon Msuva anayekipiga Al Talaba ya Ligi Kuu ya Iraq, Iraq Stars League, anamaliza mkataba wake na klabu hiyo mwishoni mwa msimu huu na inaelezwa anatakiwa na klabu za Misri na Saudi Arabia kutokana na kuvutiwa na kiwango chake.