Peruzi Live
General News Entertainment Travel Jobs and Career Educational Technology Business Tenders Sports International All News
  • Home
  • Categories
  • Topics
  • App
  • Settings

Mchinjita ajitosa ubunge Lindi Mjini

Habari Leo
Published: Apr 23, 2025 13:12:50 EAT   |  News

LINDI: MAKAMU Mwenyekiti Bara wa Chama cha ACT Wazalendo, Isihaka Mchinjita amechukua fomu ya kugombea ubunge wa Jimbo…

The post Mchinjita ajitosa ubunge Lindi Mjini appeared first on HabariLeo.

LINDI: MAKAMU Mwenyekiti Bara wa Chama cha ACT Wazalendo, Isihaka Mchinjita amechukua fomu ya kugombea ubunge wa Jimbo la Lindi Mjini kupitia chama hicho.

Mchinjita amekabidhiwa fomu hiyo na Katibu wa Jimbo la Lindi Mjini, Hamad Zuberi leo Aprili 23, 2025 katika Ofisi za Jimbo la Lindi Mjini.

The post Mchinjita ajitosa ubunge Lindi Mjini appeared first on HabariLeo.

View Original Post on Habari Leo

Explore Category

  • General
  • News
  • Entertainment
  • Travel
  • Jobs and Career
  • Educational
  • Technology
  • Business
  • Tenders
  • Sports
  • International

  • NECTA Results
  • Job Vacancies
  • Football
  • Movies
  • Series
  • Settings
  • About us
  • Advertising
  • Privacy Policy
  • TZ

Copyright Peruzi Live © 2025 All Right Reserved