Mbeya City yaanza usajili Ligi Kuu Bara, Malale naye ndani

Timu ya Mbeya City imesema wakati ikiendelea na usajili, lakini upande wa benchi la ufundi imeshamalizana na Kocha Mkuu, huku ikikiri wapo wachezaji watakaoachwa kutokana na sababu mbalimbali ikiwamo matakwa yao.