Mastaa Simba wakwepa mtego CAF

KITENDO cha mastaa wa Simba SC kucheza kwa nidhamu kubwa dhidi ya Al Masry katika michezo miwili ya hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika, kimewaepusha na mtego wa CAF unaoweza kuwaengua katika fainali iwapo wataitoa Stellenbosch FC ya Afrika Kusini.