Kisa Simba, Yanga Lawi aitwa mezani

BEKI wa kati na nahodha wa timu ya taifa ya vijana U20, Ngorongoro Heroes. Lameck Lawi, leo atakuwa uwanjani huko Misri, ili kukamilisha ratiba ya hatua ya makundi ya Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon U20), huku timu hiyo ikiwa imeshaaga michuano, lakini huku nyumbani kuna kitu kilichokuwa kinaendelea.