Kipigo cha 5-1 chamzindua Minziro

KIPIGO cha mabao 5-1 ilichopewa Pamba Jiji kutoka kwa Simba, kimemfanya kocha wa timu hiyo, Fred Felix ‘Minziro’ kuzinduka na kutambua ana kibarua kizito cha kupambana hili kuiokoa timu hiyo kwa mechi tatu zilizosalia, tofauti na alivyotarajia awali.