KenGold: Morrison kuvaa uzi wa Simba ni uzalendo

Mwanaspoti
Published: May 25, 2025 16:25:32 EAT   |  Sports

Uongozi wa KenGold umesema kitendo cha nyota wa timu hiyo, Bernard Morrison kuonekana akiwa na jezi ya Simba ilihali ana mkataba na timu hiyo wanalichukulia kizalendo kwa kuwa Wekundu hao waliwakilisha nchi kimataifa.