Kamati ya maadili TFF yamfungia katibu mkuu DRFA

Mwanaspoti
Published: May 13, 2025 10:20:45 EAT   |  Sports

Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), imemfungia Ramadhan Missiru, Katibu Mkuu wa Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA), kutojihusisha na shughuli zozote za mpira wa miguu kwa kipindi cha miaka sita.