Kagera Sugar ina mtego wa miaka 21

Mwanaspoti
Published: May 08, 2025 14:52:20 EAT   |  Sports

WAKATI Ligi Kuu Bara ikirejea tena wikiendi hii baada ya kushuhudiwa viporo vinne vya mechi za Simba vikimalizika, Kagera Sugar ipo katika mtego wa kukwepa aibu ya miaka 21 katika ligi hiyo.