JKU yaitupa nje Singida Black Stars Muungano Cup

JKU kutoka kisiwani Unguja, imefuzu nusu fainali ya Kombe la Muungano baada ya kuifunga Singida Black Stars ya Tanzania Bara kwa penalti 6-5 katika mchezo wa robo fainali ya kwanza uliochezwa leo Aprili 24, 2025 kwenye Uwanja wa Gombani, Pemba.