Ishu ya Diarra kuondoka Yanga iko hivi

MASHABIKI wa Yanga wamekuwa na presha baada ya kuenea taarifa kwamba kipa namba moja Diarra Djigui anajiandaa kuondoka, lakini kocha mkuu Miloud Hamdi ameweka msimamo, huku akiwatoa hofu mashabiki hao.
MASHABIKI wa Yanga wamekuwa na presha baada ya kuenea taarifa kwamba kipa namba moja Diarra Djigui anajiandaa kuondoka, lakini kocha mkuu Miloud Hamdi ameweka msimamo, huku akiwatoa hofu mashabiki hao.