Ishu ya Diarra kuondoka Yanga iko hivi

Mwanaspoti
Published: Apr 25, 2025 14:28:55 EAT   |  Sports

MASHABIKI wa Yanga wamekuwa na presha baada ya kuenea taarifa kwamba kipa namba moja Diarra Djigui anajiandaa kuondoka, lakini kocha mkuu Miloud Hamdi ameweka msimamo, huku akiwatoa hofu mashabiki hao.