Huu ndio uwanja mpya wa Singida BS

KLABU ya Singida Black Stars leo, Jumatatu imeandika historia mpya kwa kuzindua rasmi uwanja wake wa nyumbani hapa Mtipa unaotajwa kuwa wa kisasa zaidi katika mkoa wa Singida.
KLABU ya Singida Black Stars leo, Jumatatu imeandika historia mpya kwa kuzindua rasmi uwanja wake wa nyumbani hapa Mtipa unaotajwa kuwa wa kisasa zaidi katika mkoa wa Singida.