Fadlu: Changamoto zimetukomaza, tutarudi kivingine

Mwanaspoti
Published: May 25, 2025 19:55:47 EAT   |  Sports

KOCHA wa Simba, Fadlu Davids, amesema pamoja na kupoteza nafasi ya kutwaa Kombe la Shirikisho Afrika mbele ya RS Berkane, kikosi hicho kimeonyesha ukuaji mkubwa wa kiakili na kimchezo kutokana na changamoto walizokutana nazo kabla na wakati wa fainali hiyo.