Fadlu anogewa Simba, atoa siri ya Ahoua

CHARLES Jean Ahoua, sasa ndiye mchezaji aliyehusika katika mabao mengi zaidi msimu huu kwenye Ligi Kuu Bara akimpiku mpinzani wake mkubwa kutoka Yanga, Prince Dube baada ya juzi kufunga hat-trick walipoifumua Pamba Jiji kwa mabao mabao 5-1.